Piga kazi kijana walishazoea hao kuhonga sasa imefikia mwisho mungu akulinde
@exaverysimon10644 ай бұрын
M NDO MAANA NAPINGANA NA WATU WANAO SEMA ET VIONGOZ WOTE WA SERIKAL HAWAFAI WAPO VIONGOZ WAZUR TU KAMA HUYU GOD BLESS
@abuumuhammad71334 ай бұрын
Na mimi napingana na kuwa Serekali ya awamu 6 ndio Serekali sikivu na utekelezaji ila watu hawataka sasa sijui wanataka nini!
@laylayl51664 ай бұрын
Hatamimi sikubaliani nao wapo viongozi waadilifu kama huyu waziri wetu MashaAllah mungu amlinde kina chalamila yaaniwapoo
@zulekhaponti93534 ай бұрын
Wachache😅
@saidnoumani72445 ай бұрын
Hongera waziri unafanya kazi nzuri
@MegaAbby10104 ай бұрын
Great stuff Jerry, naona umerithi mikoba ya JPM
@user-wt7vf4uf3x4 ай бұрын
Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.
@charlestobby60314 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏
@dennishyera54484 ай бұрын
Aibu kwa walio mshindwa Mush, miaka yote hiyo alikuwa anapeta tu kwa raha zake hamna wa kumgusa du. Waziri hongera, God bless you.
@shaamemchauru13654 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ndo huyu kumbe? Shenzi kabisa
@user-zg4yz7je8d4 ай бұрын
Kwa hakika mimi ni mpinzani na siipendi ccm ila Jerry slaa Daa Bwana Yesu akuinue na akulinde dhidi ya maadui zako nimetokea kukupenda,
@jasonwatz74574 ай бұрын
Kuna mawaziri expetional, hailajilish wako chama gani, japokuwa wako wachache mno
@MinskBelarus-il2tl4 ай бұрын
Mungu kakufedhehesha😅😅😅wachukie baadhi ya watendaji wa CCM,nasio Chama cha Mapinduzi. Hata ndani ya Chama chako wapo watendaji kama wa CCM
@user-vl5xv2xd6e4 ай бұрын
Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen
@blandinamwarabu50254 ай бұрын
Mfate ofisini kwake utapata haki yako au mfuate Makonda hawa wamebarikiwa na Mungu asaidie watu.
@ClementinaHabineza4 ай бұрын
Amen utasaidiwa
@muhammadvirjee4 ай бұрын
Mweheshimiwa waziri anafanya kazi yake kwa uaminifu na kwa haki kabisa mungu amsaidie aendelee kuchapa kazi 🙏🙏
@aminaomary55675 ай бұрын
Mhe. Waziri huyu mzee mwizi na ni majanja sana anamdhulumu baba wa watu.Waziri ongera sana❤❤❤❤
@harounkiyungi72884 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya
@babazungu31805 ай бұрын
Huyu waziri siku 1 nilimsikia akisema yeye hanywi pombe wala havuti sigara na usiku yuko nyumban nikasema hapa nimepata kiongoz,hongera sana wazir wangu
@TitoRufizi-xb2ub4 ай бұрын
Waziri nakupongeza sana kwa kazi unayofanya,unastahili kuteuliwa nafasi ya juu zaidi,viongozi wengi ni mizigo kwa serikali hawawajibiki
@emmanuelmwakyoma57464 ай бұрын
Ateuliwe nafasi ya juu alafu hii achukue nani? Maoni hayatoshi
@ngambikomsu644 ай бұрын
Nafasi hiyo inatosha apambane kwanza na hao mazandiki wa ardhi, akitoka hapo aingie wizara ya ujenzi apambane na makandarasi uchwara.
@JoshuaMusukwa-kq4ll4 ай бұрын
Waziri Silaa ongela kwa kazi zito Mungu Akubaliki sheria ni musomeno ongela sana Silaaa
@hatibbaraka39564 ай бұрын
Waziri hukupewa kwa kubahatisha wizara upo vizuri na unaijua hasa sheria maana unavyowachalenji matapeli asee! Hongera zako!
@nyakatongongo42924 ай бұрын
Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena
@nassercurtis95794 ай бұрын
Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)
@butoyihenis1389Ай бұрын
Mueshimiwa waziri Silas Mungu akulinde ajaliye ujaliye ujage kuwa rayisi wa tanzania
@user-ul1co9kw4c5 ай бұрын
Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.
@victoriamazula55924 ай бұрын
Peter nakuona lo ni miaka mingi sana enzi za NBC. Hongera kwa kupata haki yako
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Kwann mataoel wengi wa ardhi ni mushi,mmasi, yaani majina yaliyotrend humu 🙌
@user-ks7zc6kd7u4 ай бұрын
Mungu akutunze na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako unawatetea wananakandamizwa
@HamzaGaudence4 ай бұрын
Safi sana waziri mchapa kazi hodari so kinyonge an unaijuwa kazi ako na unaifanya vyema so👏👏👏👏👏👏💪
@jomba65145 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiongozi kazi nzuri
@lukemelyemwenga29102 күн бұрын
Mh Anafanya kazi kwa uaminifu mkubwa barikiwa sanaaa
@zablonnyanda60954 ай бұрын
Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??
@dignakanje45084 ай бұрын
Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.
@apolleorevocatus85774 ай бұрын
Kuna ndugu wa ukoo wake anaitwa Ryodes Mushi naye ni mdhulumati wa viwanja na nyumba Arusha kama huyu wa Mbezi Dsm
@kwzjkwz35324 ай бұрын
ukilikuta kanisani kitambi mbele kutoa sadaka huku likisema vijna hawajui kutafuta hela ila wachaga duh
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Kuna mmasi pia yaani ni aibu jmn Mpk wajane jmn,🙌😭
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
@@apolleorevocatus8577basi atakua yule aliyekutana na makonda Ndo maana nashangaa mbona Majina yaleyale kumbe ni ukoo 1 Aisee Kuna koo sio kabisa
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
@@kwzjkwz3532kabisa tena unakuta lizee la kanisa
@dignakanje45084 ай бұрын
Nimekupenda mpka mungu amesikia.Mm SIPENDI uonevu kwenye nchi hii,ila slaa mungu akupe heri.Watoto wako wawe nahkma kma zakwako,Huna hraka huna hsira huna hk hka yamajibu.Unafanya kitu kwaumakini unaheshma nahkma.Mam akuache jmn uwanyoishe wenye mabavu,hpo mama hkukosea kukuweka hpo.Kwi umesomea ardhi mkuu.
@elizabethtenge1524 ай бұрын
Hongera kiongozi Mungu akulinde
@angonzamujunangoma87753 ай бұрын
Unafanya kazi nzuri mbunge wangu,Mungu akubariki
@aliabdallah84564 ай бұрын
Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri
@user-oo1vz3zi1t5 ай бұрын
Hongera Wazir kwa maswali mazur yenyekueleweka
@NancyMatuli-fb5jp4 ай бұрын
Mushi wewe mwogope mungu utasababisha watoto wako na wajukuu zako kupata laana
@user-qh2bx5em6jАй бұрын
Asante👏🏻
@user-ws8bc1jn7z4 ай бұрын
Waziri jerry uko vizuri mungu akulinde katika kazi zako ameen
@khamisjuma12782 ай бұрын
Hongera sana Mr slaa kwa kazi iliyotukuka
@johnmichaellukindo215 ай бұрын
Yule waziri mabula aliyeondoka ndio alikuwa anapewa hongo na kina mushi! Hongera slaa
@user-ii6gs2jg4g4 ай бұрын
👏👏👏👏👏
@dotnatajoseph26204 ай бұрын
Huyu wazir ni hazina yetu ya baadae ya nnchi yetu mwenyez mungu amtunze inshallah 🙏
@user-xo4cs9eu4o4 ай бұрын
Tanzania inatakiwa kuwa na kina waziri Silaa kila mkoa na wilaya. Hongera waziri Silaa
@salumchoma87314 ай бұрын
Kwa ukweli mawaziri wanaoteuliwa na rais ktk wizara hii mungu awajaalie sana kz zenu zinaonekana tangia Lukuvi,na Sasa Jerry silaa
@user-fv4zw5ki3x4 ай бұрын
Nimependa sana mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge
@blandinamwarabu50254 ай бұрын
Mpeni ulinzi huyu mtu
@shaamemchauru13654 ай бұрын
BIG UP JERRY PIGA KAZI HAKUNA UOGA,KUFA MTU ANAKUFA MARA MOJA....
@nkenemalulu13304 ай бұрын
Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi
@chemstry4094 ай бұрын
Mh SLAA ABSOLUTELY YOUR AMAZING BRO' PIGA KAZI WE ARE BEHIND YOU 100%
@jumaayubumohamedi48133 ай бұрын
Bigg up mheshimiwa waziri hon Jerry Slaa
@RoanCorporation4 ай бұрын
Waziri mzuri sana , muisho mzee Meole amepata hati yake , mzuri sana
@gladistaemanueliy63364 ай бұрын
Asant waziri mungu akubariki naomba uje arusha
@laylayl51664 ай бұрын
Mama yetu samiha umetupa kiongozi huyu niwaziri mashaallah
@amontv86284 ай бұрын
Wizara ya aridhi inakufaa mh. Waziri ❤❤❤
@abuumuhammad71334 ай бұрын
Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.
@jamhurilibawa65055 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati.
@rosehaule67654 ай бұрын
Mungunni.mwema sana Mungu pekee atakulinda waziri wetu
@emanuelleopod39494 ай бұрын
Wachaga ukicheka nao ni wazulumishi balaa 😂
@simulizitanzania25714 ай бұрын
Sasa Nchi ilivyo ya kipekee,utasikia Jerry amebadilishwa wizara
@naibalasamoralukumay3324 ай бұрын
Waziri ni genius 🎉
@brightnjau6515 ай бұрын
Safi sana Slaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@musayosia40814 ай бұрын
Mungu akulinde muheshimiwa uendelee kutetea wananchi🙏
@safiaothman51754 ай бұрын
HONGERA MH.WAZIRI JERRY SLAA.
@salummbarouk42164 ай бұрын
Muheshimiwa mungu akulinde
@rashiditembo15744 ай бұрын
Mwenyezi mungu akutangulie waziri,
@leahivan69154 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akutunze waziri.
@user-jb7nh5pp2e4 ай бұрын
Magufuli wa pilii Asante waziri
@user-cy5ck8lh4j4 ай бұрын
safi sana wazili haki itendeke nawanao tumiya pesa zao wakomeshwe
@WatsonMwaigaga-uy5jk4 ай бұрын
Kijana anafanya kazi. Mama usimwache uyu.
@karimhasham82594 ай бұрын
Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana, Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani, Hongera sana waziri
@ahmadseaman34873 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@jtheophil54995 ай бұрын
Waziri mungu akusimamie .umeweza wako wengi kama uyo yaani ni balaaa.
@KeiFerouz-fn9oc4 ай бұрын
Asante mama samia
@lovegodmunisi10064 ай бұрын
Hongera kiongozi
@sheilamarandu27504 ай бұрын
Mungu yupo tumeteseka mno
@salimamri67385 ай бұрын
Sio Mushi peke yake,wapo Wachaga wengi wavamizi wa ardhi za watu kwa kutumia ubabaishaji na jeuri ya pesa.Asante Waziri Slaa.
Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!
@mohamedimuyugi62494 ай бұрын
Ongera sana kakaangu
@user-rn6ft5yz2l4 ай бұрын
Ndo viongozi tunaowataka mungu akubariki sana waziri
@damsonwilson52025 ай бұрын
Huyo Mzee Tapel tuuu
@matukutajuma1565 ай бұрын
SHUKRAN WAZIRI
@matukutajuma1565 ай бұрын
ASANTE KIJANA HUYO MUSHI ANAONEKANA MJANJAMJANJA WA MAHAKAMA!
@ismailmuna16044 ай бұрын
Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO
@mlatambuu63644 ай бұрын
Sifa ya kwanza ya tapeli, ni kupekua pekua daftari au kuchezea simu wakati akihojiwa 😂😂
@nikkimbishiunju24024 ай бұрын
Mchagga MWIZI Mpare BAHILI.
@amosmbangala90794 ай бұрын
Waziri unafanya kazi nzuri naomba uje njombe kunatajili kama mushi anaitwa yohana sanga marufu makete namtoto wake endwin kasian sanga wanacheza na kaimu mkuu waidara ya aridhi kamishina namwenyekiti mtaa mjimwema lenard mkupi
@samsonmbukwa83894 ай бұрын
Lusha you tube wataiona
@winfredkaroli50654 ай бұрын
Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe
@mwarimohamisi13784 ай бұрын
Wakifika mahakamani wamenunua hakimu
@EliaEgbert4 ай бұрын
Huyu mzee anatowaga rusha silaa mungu akulinde
@fredmselle22274 ай бұрын
Kuiba kiwanja cha watu ni sio haki kisa una pesa na ujanja ujanja hongera waziri
@blandinamwarabu50254 ай бұрын
Matapeli wanababanishwa
@sambulugu99884 ай бұрын
Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!
@johnmamuya53983 ай бұрын
Ndugu@sambulugu9988, huyu Mushi ni mhalifu na anatakiwa ashughulikiwe kama mhalifu na sio kama mchaga
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Aisee too much
@YusuphMwangobolaАй бұрын
Hyu mzee hatari .
@MohamedIbrahim-bn1gz4 ай бұрын
uyu mzee katuangaisha sanaaaaa sanaaaaa
@anaabsaid35444 ай бұрын
The wachaga system popote walipo
@ChristopherKiwanga4 ай бұрын
Jerry slaa mwamba WA ardhi......mbez,,bagamoyo Kuna mitapeli kama hayo mengi sana
@jamesjahasa33484 ай бұрын
Viongozi hawa MUNGU walinde hongela waziri
@user-px6il1tk9k4 ай бұрын
Kwa kweli mungu asimame na wewe hayo yapo mengi sana
@britonkanumba68285 ай бұрын
Mzee anatamani ardhi ipasuke
@annamwakibinga5274 ай бұрын
Aibu sana Mushi unadhulumu watu maskini
@abdirizakibrahim19754 ай бұрын
Moja kati ya vijana wazalendo katika Taifa letu MUNGU akulinde kijana wetu mzalendo tunakupenda na tunakuombea tunaona maana ya kua kiongozi
@user-cz5oy1od5d4 ай бұрын
Tusiseme mengi, tusubiri kama kweli atatiwa hatiani na kama waliodhulumiwa viwanja watarudishiwa. Hii ni nchi ya chochote chaweza kutokea.
@nassercurtis95794 ай бұрын
Mwanakulitafuta mwanakulipata, angejitoa tu wala yasingemkuta haya yote, amefanyiwa ustaarabu uungwana aishie hapo amejifanya mjuaji, sasa anafanyiwa kazi kweli kweli.
@ondieckotoyo11434 ай бұрын
Hii Sawa lakini pia ufike tarime uone malalamiko ya waliyoporwa ardhi zao na wababe na wengine kwa kutumia Baraza la ardhi kilio ni kwa wengi wengine wanazo hati lakini nyumba wanamiliki wengine Hadi eneo iliyokuwa ya kituo cha mafuta ya serekali na shirika la kahawa zote ni mifano Tu ya maeneo yaliyoporwa na matajiri wezi
@user-cz7bd9tc5k4 ай бұрын
Huyo Sawa Na Moleli Ana fanya hayo kwenye viwanja Huko Mbezi Beach Afuatwa na yeye Ana sumbua Wa nyonge kamata hao Wana Roho ngumu sana