Kizazi ni kizazi cha mafanyikio tu but kikiwa ni kizazi cha lawama na mikosi basi kuna accent ya kufeli maisha Moses ni kijana mbunifu na mtaftaji tumuunge mkono...by the ceo 👨💼 @manyemaroyaltycampany.thankyou moses.
@ni20ch012 ай бұрын
Perfect
@ayubukassim79953 жыл бұрын
Safi sana Broo sema mm nilikuwa nataka kujifunza pia kunyoa kwa kutumia kiwembe cha cha kawaida na shida yangu sana ni kwenye kuchonga nywele ukipata nafasi tuletee na hyo naimani wqtapenda wengi cozi sio wote wanauwezo Wa kununua mashine
Habari mr musa. Asante kwa somo. Lakini naomba msaada wako. Mimi nina mashine kama hiyo ila inasumbua kunyoa tangia kuinunua na sijajua tatizo nini. Nishabadilisha kiwembe lakini bado hainyoi.