Dada umegusa nnapopataka nataman sana na mm nifnye icho kitu unachofanya ww shukran sana kwa kuntia moyo nimejifunza🙏
@viatorykashabizi25383 ай бұрын
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
@ganganainfochannel3 ай бұрын
Thanks a lot
@vapromamassawe89376 ай бұрын
young,beautiful,and smart 🔥🔥🔥
@jscatherine293 ай бұрын
Kuweza kuongea na hao waandishi kashafanyia kazi ualimu wake 😂🤌
@faustalymoonesmo45325 ай бұрын
Watangazaji wanaongea Sana lakini maswali ya msingi wanaacha kuuliza
@victornkonjelwa4 ай бұрын
I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora
@ganganainfochannel4 ай бұрын
Nipe 5 , ni kipindi cha masihara, ila ukikiangalia kwa makini hakuna masihara.
@amosmemba99262 ай бұрын
Nakuelewa Gangana.. Ukiwa makini ndo utaelewa. 💪
@ereswidamoshi74044 ай бұрын
Mdada smart , watangazaji mnaboa
@sikukuuchuo30934 ай бұрын
Smart Brain ❤❤❤ historia yako inasisimua na mafunzo
@deodatusmbinga19792 ай бұрын
Uyoo dada mwenyew anaongea sana Zaidi ya maswali.
@herisophisticated9275Ай бұрын
Shukran Vale.❤
@japhetmsafiri3 ай бұрын
woow very smart. Hongera sana dear...
@DosianaLulakuze-bv7fg3 ай бұрын
Naipenda sana hii biashara
@TusaKiblaga-vp9jg5 ай бұрын
Hongera san kipenz
@SIFADANIELI5 күн бұрын
Dada valentine, naomba kujua kuwa unatunza bidhaa yako kwa ghala au ukifika mzigo unakuwa unasambaza hapohapo
@AmosNhandi6 ай бұрын
Shida mnaongea Sana watangazaji kuliko mhusika
@ganganainfochannel6 ай бұрын
Unanongwa wewe
@adolfkizinga18462 ай бұрын
Yey kasema kaanza na gunia kma mbili, Leo Hii Mimi nime DM ananiambia iyo biashara ni ngumu lazima uwe na mtaji kuanzia 10milion so apo ndo ananichanganya
@bonvivant37042 ай бұрын
Hawa watu wa mtandaoni wengi waongo, usiwasikilize😂🤦🏾♀️
@witneynairas28034 ай бұрын
watangazaji hovyo sana
@ganganainfochannel4 ай бұрын
Asante studio.
@mavumdefoodproducts84952 ай бұрын
Huyu dogo ni anaelewa kweli kilimo vijana wengi wanakwama kwenye biashara ya kilimo ni kusimamia
@nicholausmaswi3141Ай бұрын
Hawa ndio watu ambao hawatakiwi Tanzania, ikitokea ameajiriwa kuwa mwalimu atawezaje kwa pamoja?
@angelsultan96283 ай бұрын
Aiseee watangazaji mnaboa, mwacheni mtu aleleze
@ganganainfochannel3 ай бұрын
Ok
@ValentinaMoi-u2n6 ай бұрын
Go valentina🙏🏿🙏🏿
@selinajohn35523 ай бұрын
Nataman kuwa mfanya Biashara Sana nawazo Hilo lakn kuanza ndo nawaza
@LangoiMollel-p1p2 ай бұрын
Nipeni namba yake nifanyenae biashara maana nina mahindi mengi
@ramadhanichuma79253 ай бұрын
Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora