Safi sana Shilole, Tusaidie kuwanyoosha hawa viumbe 😂😂
@emmanuelmayunga15184 ай бұрын
Umeeleweka mkuuu big up sanaa
@RedSun-ms2zq4 ай бұрын
We jamaa umenena wanaume saiv tumekua wavivu sana ❤
@VictoriaKajembe-m1m4 ай бұрын
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
@Darling99booo4 ай бұрын
Kaupiga mwingi 🎉
@BabaFarzan-ml4er4 ай бұрын
Ebwana huyu jamaa kaongea
@JoalAlma-ci1hi4 ай бұрын
The men is talking right there
@jokhaali58934 ай бұрын
Good talk brother, keep it up
@farhannahkulishwaburekunam53604 ай бұрын
Kweli wanawake wengi wanatamaa wakimkuta mtu ana mali zake akishaanzaa mtoto mmoja basi ili ataka wagawane sio haki
@farhannahkulishwaburekunam53604 ай бұрын
Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
@nicolauselias90844 ай бұрын
Ahahahahahahaaaaaaa duu.jamaaaa mafufu una akili sana
@abuuawalina26254 ай бұрын
I like it
@aamaasm21414 ай бұрын
😂😂😂unesema ukweli kaka
@AliciaJonas-gu8ho4 ай бұрын
Mafufu chukua maua yako safi sana kwa point izo malioo watakoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@marthadaniel49044 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimempend huy baba pont zak jmn oyooooooo
@maryjohn53174 ай бұрын
Hatariii,nimekuelewa kaka
@BeullahBujah-lk3sx4 ай бұрын
True my brother
@BakariSilima-hz8mc4 ай бұрын
Unafaa kuwa waziri sheria baba Ahsante
@salisali37384 ай бұрын
Eti tajiri ana pigwa 😂😂😂😅😅
@israelmkaka28074 ай бұрын
Sense TALK
@petermangama3304 ай бұрын
Kweli sheria za kiboya sana zinainkareji uvivu
@aminaomary55674 ай бұрын
Hiyo kweli Mtani wangu❤❤❤
@rehemayona22234 ай бұрын
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
@sarahkinyashi62134 ай бұрын
Panga la shingoo🏃♀️🏃♀️🤣🤣🙏🙏 Mungu tusaidie
@JoalAlma-ci1hi4 ай бұрын
Jamaa namtusi shiloke kisomi saaan lakin nibonge la tusi😂😂3333
@mambas2644 ай бұрын
Panga la shingo typing…😅
@alsam48814 ай бұрын
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
kumbe unaakili mafufu kabla sikusikiliza Nilitaka Niseme ivo ivo
@eggysulle79884 ай бұрын
Mafufu akiwa mwinjilist atanoga😅
@GraceMalley-ly2xn4 ай бұрын
Pia Hata music Wa dance umesahauliwa sanasana wanatajwa na kuwapronoti ni WA bongo flavor pia wawakumbuke na music Wa dance
@ernestkatyega57814 ай бұрын
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
@leokamil62844 ай бұрын
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
@maryammdoe58014 ай бұрын
😂😂😂😂 imenibidi tu ni cheke Astaghafirullah
@DavidMbwilo-qk1bz4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ScopionScopion-zj9cd4 ай бұрын
kuish Namwamke alie kuzidi kipato harafu mwaume ukawa hujielewi itakua kazi kubwa sasa hapo Nani kaachwa Ni Chi-Chi au 3D
@petermangama3304 ай бұрын
Vyombo haviwezi kujenga Nyumba
@petermangama3304 ай бұрын
Aende Tamwa naye akavute kidogo
@Grataaaaa4 ай бұрын
Iyo ya Mali kwa uislam hmna
@TausiSeif-g2d4 ай бұрын
Nchi za kiarabu mkiachana km mmezaa baba anatoka mama anabaki kwenye nyumba na watoto
@esuvathmollel24754 ай бұрын
Shishibabeeee anafanya vizuri 🤣🤣 be
@martinjonathan45954 ай бұрын
Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Saripa234-u7g4 ай бұрын
Kusikia muda Umeisha 😂😂😂😂😂😂😂 mie hoi cn mbavu sina 😂😂😂😂😂😂
Kaka una Akili saana wewe wanaume tafuteni Hela jamani kumbe huo
@fatmaalnabhani36094 ай бұрын
Mjomba umeshinda kuhusu Shilole na sheria za ndoa, Shilole nene nene 😂😂 linaolewa muda mchache na kusukuma mume nje
@wakushibandfrombushland4 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂 mnaopenda kitonga
@gordiansoko91134 ай бұрын
Bonge la interview vijana wanatumika kama mashine za kukoboa zikishachokwa zinaletwa zingine brother mafufu nipenda nondo zako vijana waache kuwa vibenteni watafute pesa.
@farajapeasonmagota82264 ай бұрын
Kaka kamuuaaa
@esthermatisho26044 ай бұрын
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
@tinnahagustinolyelu42474 ай бұрын
Oman ukizaa watoto kama unamwacha mke mpe talaka lakini anabaki hapo nyumbani na watoto wewe mwanaume ndio uondoke unam achi Kula kitu upo
@frankemmanuel52394 ай бұрын
Mzee wa myekaaaa
@ernestkatyega57814 ай бұрын
Mtu akupige panga la shingo huyu jamaa anahamasisha mauaji kwenye jamii
@ShukurMkan4 ай бұрын
Wapo wengi
@LillyaneJoseph4 ай бұрын
Serikali inazngua
@janethhendry67344 ай бұрын
We demu miyayusho sikupendi maswqli ya kifala
@lailaabeid7174 ай бұрын
Ukimpemda bwana ako inatosha sana sio lazima umpende
@Mwamba-fh2zf4 ай бұрын
Kweli kaka sheria zingine ni za ajabu,inabidi zibadirishwe.Mtu unatumia nguvu nyingi kutafuta hela alafu mtu anakwambia tumetafuta wote.
@annajohn33774 ай бұрын
Nimecheka umeongea ukweli sasa ww mvula unaend oa mtumzim hiyo familia utaipata saa ngapi
@dotnatajoseph26204 ай бұрын
Mama samia mama yetu muangalie mjomba lusajo Kwa jicho la tatu anafaa
@tonyi68074 ай бұрын
😂 kampen hiyo
@safiasaleh6694 ай бұрын
Unafaa uwe mwanasheria Mkuu umeongea point 🎉🎉🎉
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Vivulana vinavizia 😂😂😂😂 vijanaume vinavyodhani kunyonya nanihii za mwanamke ndio utamvuruga hela huna kazi uvivu kudoea doea lazma uachwe
@chantalmulasi56634 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@OnesmoEmmanuel-xr2rf4 ай бұрын
Mjomba lusajo
@SuzanA-up4pr4 ай бұрын
Jojo
@haidhabushiri95584 ай бұрын
Vivulana😅
@ALmolhamFarsy4 ай бұрын
😂😂😂😂
@charlesngamanya92754 ай бұрын
Toa mfano ya hizo nchi wewe mande hata Sheria hujui
@Marjeby4 ай бұрын
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua