JIMY MAFUFU AFICHUA MADUDU YA SHILOLE, SABABU YA NDOA KUVUNJIKA

  Рет қаралды 26,391

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 90
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 4 ай бұрын
Safi sana Mafufu umeongea points zote umemaliza
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 4 ай бұрын
Safi Sana Jimi 🤝Ila msalimie Masha love
@aishatest4451
@aishatest4451 4 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli kaka, 👏👏
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 4 ай бұрын
Safi sana Shilole, Tusaidie kuwanyoosha hawa viumbe 😂😂
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 ай бұрын
Umeeleweka mkuuu big up sanaa
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 4 ай бұрын
We jamaa umenena wanaume saiv tumekua wavivu sana ❤
@VictoriaKajembe-m1m
@VictoriaKajembe-m1m 4 ай бұрын
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
@Darling99booo
@Darling99booo 4 ай бұрын
Kaupiga mwingi 🎉
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er 4 ай бұрын
Ebwana huyu jamaa kaongea
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 4 ай бұрын
The men is talking right there
@jokhaali5893
@jokhaali5893 4 ай бұрын
Good talk brother, keep it up
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 ай бұрын
Kweli wanawake wengi wanatamaa wakimkuta mtu ana mali zake akishaanzaa mtoto mmoja basi ili ataka wagawane sio haki
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 ай бұрын
Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 4 ай бұрын
Ahahahahahahaaaaaaa duu.jamaaaa mafufu una akili sana
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 4 ай бұрын
I like it
@aamaasm2141
@aamaasm2141 4 ай бұрын
😂😂😂unesema ukweli kaka
@AliciaJonas-gu8ho
@AliciaJonas-gu8ho 4 ай бұрын
Mafufu chukua maua yako safi sana kwa point izo malioo watakoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimempend huy baba pont zak jmn oyooooooo
@maryjohn5317
@maryjohn5317 4 ай бұрын
Hatariii,nimekuelewa kaka
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 4 ай бұрын
True my brother
@BakariSilima-hz8mc
@BakariSilima-hz8mc 4 ай бұрын
Unafaa kuwa waziri sheria baba Ahsante
@salisali3738
@salisali3738 4 ай бұрын
Eti tajiri ana pigwa 😂😂😂😅😅
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 4 ай бұрын
Sense TALK
@petermangama330
@petermangama330 4 ай бұрын
Kweli sheria za kiboya sana zinainkareji uvivu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Hiyo kweli Mtani wangu❤❤❤
@rehemayona2223
@rehemayona2223 4 ай бұрын
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 4 ай бұрын
Panga la shingoo🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🤣🙏🙏 Mungu tusaidie
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 4 ай бұрын
Jamaa namtusi shiloke kisomi saaan lakin nibonge la tusi😂😂3333
@mambas264
@mambas264 4 ай бұрын
Panga la shingo typing…😅
@alsam4881
@alsam4881 4 ай бұрын
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 4 ай бұрын
Huyu baba anajielewa tofauti na wasanii wengi.
@rehemaomary6631
@rehemaomary6631 4 ай бұрын
Umesau barnaba j
@stephenmasha8623
@stephenmasha8623 4 ай бұрын
😂🤣 Tajiri hapigwii daaah...
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 4 ай бұрын
Ndowa yakisilamu hako hiyo
@emedimtheodor5249
@emedimtheodor5249 4 ай бұрын
Uko vizuri bro,ndo a zimekua business.
@x7hia
@x7hia 4 ай бұрын
M
@marygabagambi3342
@marygabagambi3342 4 ай бұрын
Mjomba Lusajo,hiyo nimecou sell, uncle Lusajo........
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 4 ай бұрын
😂😂😂😂umesema kweli mjomba Lusajo ungesema pumbavu kaputula.
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 ай бұрын
Myeeeee myeeeeka😂😂😂😂shenzi kaputura😂😂😂😂
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 4 ай бұрын
Mjomba lusajo nimekuelewa sana😂😂😂😂😂😂
@siashayo8676
@siashayo8676 4 ай бұрын
😂😂😂mjomba Lusajooo
@Qs3557
@Qs3557 4 ай бұрын
Mwandish rud nyuma kdg mbona Kama unataka kukumbatia
@UmmuJauzan
@UmmuJauzan 4 ай бұрын
Daha jamaa anakili sana
@AfricaQueen
@AfricaQueen 4 ай бұрын
💯💯💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🤸🏽‍♂️✍🏽🙌🙌🙌🙌🙌💯💯Maneno yako.
@VickEdson-z1d
@VickEdson-z1d 4 ай бұрын
Point sana
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 4 ай бұрын
😂😂😂😅vitonga sawa sawa
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 4 ай бұрын
kumbe unaakili mafufu kabla sikusikiliza Nilitaka Niseme ivo ivo
@eggysulle7988
@eggysulle7988 4 ай бұрын
Mafufu akiwa mwinjilist atanoga😅
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn 4 ай бұрын
Pia Hata music Wa dance umesahauliwa sanasana wanatajwa na kuwapronoti ni WA bongo flavor pia wawakumbuke na music Wa dance
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 4 ай бұрын
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 4 ай бұрын
😂😂😂😂 imenibidi tu ni cheke Astaghafirullah
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz 4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 4 ай бұрын
kuish Namwamke alie kuzidi kipato harafu mwaume ukawa hujielewi itakua kazi kubwa sasa hapo Nani kaachwa Ni Chi-Chi au 3D
@petermangama330
@petermangama330 4 ай бұрын
Vyombo haviwezi kujenga Nyumba
@petermangama330
@petermangama330 4 ай бұрын
Aende Tamwa naye akavute kidogo
@Grataaaaa
@Grataaaaa 4 ай бұрын
Iyo ya Mali kwa uislam hmna
@TausiSeif-g2d
@TausiSeif-g2d 4 ай бұрын
Nchi za kiarabu mkiachana km mmezaa baba anatoka mama anabaki kwenye nyumba na watoto
@esuvathmollel2475
@esuvathmollel2475 4 ай бұрын
Shishibabeeee anafanya vizuri 🤣🤣 be
@martinjonathan4595
@martinjonathan4595 4 ай бұрын
Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Saripa234-u7g
@Saripa234-u7g 4 ай бұрын
Kusikia muda Umeisha 😂😂😂😂😂😂😂 mie hoi cn mbavu sina 😂😂😂😂😂😂
@lucymtui8680
@lucymtui8680 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanaume vitongaaa
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
Kaka una Akili saana wewe wanaume tafuteni Hela jamani kumbe huo
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 4 ай бұрын
Mjomba umeshinda kuhusu Shilole na sheria za ndoa, Shilole nene nene 😂😂 linaolewa muda mchache na kusukuma mume nje
@wakushibandfrombushland
@wakushibandfrombushland 4 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂 mnaopenda kitonga
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 4 ай бұрын
Bonge la interview vijana wanatumika kama mashine za kukoboa zikishachokwa zinaletwa zingine brother mafufu nipenda nondo zako vijana waache kuwa vibenteni watafute pesa.
@farajapeasonmagota8226
@farajapeasonmagota8226 4 ай бұрын
Kaka kamuuaaa
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 4 ай бұрын
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
Oman ukizaa watoto kama unamwacha mke mpe talaka lakini anabaki hapo nyumbani na watoto wewe mwanaume ndio uondoke unam achi Kula kitu upo
@frankemmanuel5239
@frankemmanuel5239 4 ай бұрын
Mzee wa myekaaaa
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 4 ай бұрын
Mtu akupige panga la shingo huyu jamaa anahamasisha mauaji kwenye jamii
@ShukurMkan
@ShukurMkan 4 ай бұрын
Wapo wengi
@LillyaneJoseph
@LillyaneJoseph 4 ай бұрын
Serikali inazngua
@janethhendry6734
@janethhendry6734 4 ай бұрын
We demu miyayusho sikupendi maswqli ya kifala
@lailaabeid717
@lailaabeid717 4 ай бұрын
Ukimpemda bwana ako inatosha sana sio lazima umpende
@Mwamba-fh2zf
@Mwamba-fh2zf 4 ай бұрын
Kweli kaka sheria zingine ni za ajabu,inabidi zibadirishwe.Mtu unatumia nguvu nyingi kutafuta hela alafu mtu anakwambia tumetafuta wote.
@annajohn3377
@annajohn3377 4 ай бұрын
Nimecheka umeongea ukweli sasa ww mvula unaend oa mtumzim hiyo familia utaipata saa ngapi
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 4 ай бұрын
Mama samia mama yetu muangalie mjomba lusajo Kwa jicho la tatu anafaa
@tonyi6807
@tonyi6807 4 ай бұрын
😂 kampen hiyo
@safiasaleh669
@safiasaleh669 4 ай бұрын
Unafaa uwe mwanasheria Mkuu umeongea point 🎉🎉🎉
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Vivulana vinavizia 😂😂😂😂 vijanaume vinavyodhani kunyonya nanihii za mwanamke ndio utamvuruga hela huna kazi uvivu kudoea doea lazma uachwe
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 4 ай бұрын
Mjomba lusajo
@SuzanA-up4pr
@SuzanA-up4pr 4 ай бұрын
Jojo
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 4 ай бұрын
Vivulana😅
@ALmolhamFarsy
@ALmolhamFarsy 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@charlesngamanya9275
@charlesngamanya9275 4 ай бұрын
Toa mfano ya hizo nchi wewe mande hata Sheria hujui
@Marjeby
@Marjeby 4 ай бұрын
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua
@javandaudi5553
@javandaudi5553 4 ай бұрын
Acha ushoga tafuta hela pimbi ww
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 4 ай бұрын
​​Samaleko 😅😅😅o​@@javandaudi5553
SHILOLE AWASHIWA MOTO NA DK SURE, KWANINI UNAWACHEZEA WANAUME
47:17
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 10 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 71 МЛН
TABIA ZISIZO ZA KAWAIDA KATIKA NDOA SEHEMU YA 5
47:28
BUSATI ONLINE TV
Рет қаралды 341
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 191 М.