Maa sha Allah the best of all ni Bakhresah huyu mzee he’s so humbled May Allah grant him More Barakah and good Health always 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤍Eid Mubarak from Uk 🙌🏾🩵
@lisawilliam24913 ай бұрын
Saaa kunakufuru gani hapo
@Zuu6733 ай бұрын
Sema sina pesa sio hatuna pesa😂😂😂😂
@allahisone63863 ай бұрын
😅😅
@Alkaburu3 ай бұрын
Kila ujinga unafundisho ndani yake. Omeona jinsi Bakharesa alivyo simple na kutoa alicho barikiwa kwa watu wasio jiweza.
@yasminoluoch1693 ай бұрын
Hata hao wengine pia wametoa joho ametoa sana hata siku ya eid hupeana kila anaemia kwake 1k na vyakula wakapike...Ramadhani nzima anazunguka mombasa akipeana chakula
@ZiyandaMhlana3 ай бұрын
Nic time
@salhamrishoi49433 ай бұрын
Waomani wanacheza ivyo😊
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Hawa wayemen
@allahisone63863 ай бұрын
AKINA BAKHRESA.?
@gamarmahsan82543 ай бұрын
Lahawlaaaa
@bintabou8283 ай бұрын
Ila cheza yao kidgo haiko poa 😂😂
@barrynzeyimana62703 ай бұрын
Ni tamaduni za warabu. Mkijichanganya ndani mtaambulia umasikini wakati wao wananufaika
@ghhhhy18123 ай бұрын
Mashaallah
@marthamatiku57293 ай бұрын
Embu sns siku moja tuonyeshe na hamorapa,mkojaniii na amberruty walivyosherekea eid
@PeninsulaHouses3 ай бұрын
Matajiri wanasheherekea idd ila wengine sisi tunakula idd😂
@MohamedAhmed-ns5mi3 ай бұрын
#001
@Sidrasidra6363 ай бұрын
Hapo wame kosa vile visu vya kuzungusha zungusha 😅
@hassanmwallimu57673 ай бұрын
GSM sio wa Oman ni watanzania wenye asili ya Yemen
@oman1oman1793 ай бұрын
Oman ndo wanacheza hivo
@Rose-ue2ho3 ай бұрын
No ,wa yemen sana wanacheza hivo hata hio nyimbo ni ya kiyemen.
@missp18143 ай бұрын
yaan namajirani zangu hapa ni waislamu yaan wamejikausha utasema sio Eid utasema nisiku ya kawaida jamani,usiku jana wamekuja kuniuliza kuku wao kama nimemwona ikabidi niwaulize nyie Eid yenu ni lini kwani😂😂 wananiambia kuku alikimbia ndo alitakiwa kuchinjwa😂😂
@EliasJohn-lc8nu3 ай бұрын
Anae jua kula pesa maskin sema hajapata
@aediayumgo85463 ай бұрын
Kufuru siyo mchezo
@MakoyeBq3 ай бұрын
First one
@sarahgaula22203 ай бұрын
Hakuna tajiri mtanzania ?
@mudrick45533 ай бұрын
sikukuu sio pesa sikukuu ni afya na kujiuliza je funga yako imefika
@nadiahassan79933 ай бұрын
Mbona Wana dance kimasaai? Hadhramy dance 🕺 watu hawaruki hivyo
@user-nn7uf1mr7x3 ай бұрын
❤❤❤
@saeedmagoda96513 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@muzafarsharif94653 ай бұрын
warabu koko😂😂
@mohamedkhamis83593 ай бұрын
Wabongo ni washamba kweli kila kitu ni ajabu asa kulikua Kuna haja gani yakutuletea taarifa hizi
@mohamedkhamis83593 ай бұрын
Wenzetu nje wanatuma Habari za umuhimu ifike wakati tujitambue mnafeli wapi sns
@missp18143 ай бұрын
Ebu acha jazba,Sns wana vipindi vingi humu unavyotaka wewe pia vipo,inaonekana hufatilii wala uangalii pia ila upo kupinga tu,na sky alishaelezea vipindi vya burudani ndo watu wanafatilia sana so ndo maana kuna taarifa nyingi za burudani,ili waweze pata maokoto kidogo....na pia kuleta hii taarifa watu tumeona wengine ,matajiri wameserebreti😂 vipi sikukuu ujue Instagram inavitu vingi si rahisi kujua ila SnS ipo kwaajili yakutujuza yanayoendelea huko sio mbaya