Hayo mambo hayawezekan bongo tu 7bu ya fisiemu,,mpinzan achukue nchi thubutu
@DennoDenno-ws8mj5 ай бұрын
Danns kutoka mombasa Kenya 🇰🇪
@MethodJulius-fu9hf5 ай бұрын
Rais kijana, akiwaza mabadiliko na maendeleo nchi itafanikiwa ila akiona kapata chance ya kuponda raha na kula ujana nchi itaangamia.
@JacquilineNoah5 ай бұрын
Nchi yako imekushinda unafatilia nch za watu utaweza!?
@sophiakassim67845 ай бұрын
Method umeonge point kubwa sanaaa achana na hao waropokaji
@sophiakassim67845 ай бұрын
@@JacquilineNoahkwani kaongea baya gani hapo mbona viumbe wazito sana hataa kwenye mambo ya maana
@benOfficial365 ай бұрын
Sasa twende kazi ❤❤ Always huwa najipa moyo kutokana na simlizi za bongo faster ❤❤❤❤
@fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын
Ukitaka kupata kiongozi WA upinzani mzuri asiwe na chama atafanya KAZI nzuri bila makundi
@charlestangawizi91915 ай бұрын
bongo fasta hongera sana, naitwa Charles tangawizi,tokea ifakara naomba Kwa heshema, uifafanue move ya jagwa paul au apocalpto, makosa mapungufu na kiasi Cha fedha walichotumia na mafanikio ya muvi pamoja na jangwa.
@kafitiwilliam83585 ай бұрын
Abdulu wade nae sii alikuwa mpinzanii akapata uraisi senegel mbona unachangaya mambo
@sonnyr18995 ай бұрын
Uyu mke wa pili bado sijamuelewa
@nguvuyamaonomedia5 ай бұрын
Congratulations brother 💪
@iddijumaali71925 ай бұрын
KWANI KUNA HADITHI ZA IMAM.ALI AU KUNA HADITH ZA MTUME MBONA NYIE MASHIA MNA MATATIZO😂😂😂
@ttss77165 ай бұрын
Kwani waisilamu nini uwa mbaya na nyinyi subhanallah 😢