Рет қаралды 3,854
Wanawake wa kikundi cha fahari yetu kilichopo Tabata, Dar es Salaam wako mstari wa mbele katika kuzibadili taka kuwa mkaa mbadala.
Mkaa huu mbadala sasa umewasaidia kujipatia kipato na kusafisha mazingira katika maeno yao kwa kuwa taka zilizokuwa zikizagaa sasa zinageuzwa na kuwa fursa kwao.
Kwa habari zaidi kuhusu :-
Soma: jikopoint.co.tz/
Twitter: / jikopoint
Facebook: / jikopoint
Iwapo unataka kutushirikisha kwenye show yetu wasialiana nasi kupitia +255 677 088 088
info@jikopoint.co.tz