Рет қаралды 1,670
Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao bado hawafahamu namna ya kutengeneza mkaa mbadala, usihofu kwa sababu hauko pekee yako! Fatma Abdulrahman, Mwenyekiti wa kikundi cha kijamii cha Sauti ya Jamii cha Kipunguni jijini Dar es salaam anaeleza kwa undani namna ya kutengeneza mkaa huo.
Mkaa huo ni rafiki kwa mazingira, unaokoa gharama za maisha na kufungua milango ya ajira.
Kwa habari zaidi kuhusu :-
Soma: jikopoint.co.tz/
Twitter: / jikopoint
Facebook: / jikopoint
Iwapo unataka kutushirikisha kwenye show yetu wasialiana nasi kupitia +255 677 088 088
info@jikopoint.co.tz