Bwana yesu asfiwe mtumishi naomba kujiunga na grup la ukomboz wa familiy
@MCH.JAPHETHZACHARIAH6 ай бұрын
AMINA SANA LEO SHETANI LAZIMA ANAACHIA NYOTA ZOTE AMEN
@AidaKantara-v3d3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana
@angelamugoywa49176 ай бұрын
Amen mutumishi
@ااا-ح9م6 ай бұрын
Ameni,ubarikiwe mutumishi wa mungu
@maxinenaibei5 ай бұрын
I have been following you since 2022 I love your teaching hope you come Kenya Mt elgon in bungoma count
@nyamweruhuruma96284 ай бұрын
Be blessed so much the servant of God
@maxinenaibei5 ай бұрын
Your eyes has really improved
@JamesNymwarua6 ай бұрын
Amen
@GodenBMDaniel6 ай бұрын
Amen 🎉🎉🎉
@SuzanaJoseph-t1b5 ай бұрын
Asante sana Mt naomba uniunge na kwenye group la ukombozi wa familia
@pendomtobela52386 ай бұрын
shaloom naomba kuungwa kwa group
@linetmusee64315 ай бұрын
Amina! Naomba muniunge kwenye group ya whatsApp tafadhalini
@margaretnekesa20195 ай бұрын
Ameeen. Baba
@frankwilson24846 ай бұрын
Powerful
@Bigborashots6 ай бұрын
AM BLESSED
@naomicharles544413 күн бұрын
Naomben link ya gruop la watsap please😊
@EZRA-b1c6 ай бұрын
AMEN
@neemangowo14536 ай бұрын
Amina
@ellyitete9386 ай бұрын
Bwana asifiwe, naomba link kujiunga na grupu la komboa familia
@AugustMchomvu5 ай бұрын
Naomba namba ya whatsap mtumishi na mm niwe mshirika wako Kweny grop
@EmmanuelNgendakumana-vl3ol6 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mimi nawafatiliya KZbin swali langu Nihili nikihuliza swali kwenye KZbin nitajibiwa swali langu ?
@elizabethawuor54024 ай бұрын
Nawezaje kujiungana na what's up tafadhali nisaidieni
@nicodemusmpogole9676 ай бұрын
🙏🙏
@IssacNtacho6 ай бұрын
Karibu kasulu tena (HWAZI FPCT)
@angelamugoywa49176 ай бұрын
Ameen
@vailetlemenya65766 ай бұрын
🙏🙏👍
@nyangiboke6 ай бұрын
Nami nimjiunga na katekela tv
@Neemajolamokataly3 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe sana mtu wamungu naomba unierekeze visit yakujiunga na katekera tv
@FailaMwangaza-x5s2 күн бұрын
MUNGU azidi kuku tumikisha kitofauti kabisa
@angelamugoywa49176 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏
@DianaDeclass-lz7yg2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe? Tunapataje namba ya Whatsapp?
@katekelatv2 ай бұрын
@@DianaDeclass-lz7yg 0756 275 511
@jentrixsimiyu-rh6rn6 ай бұрын
Mchungaji naomba tuelezee jinsi ulivyopata wokovu
@happymvula6 ай бұрын
Angalia shuhuda promover tv no 1-9 anaeleza Kila kitu
@MCH.JAPHETHZACHARIAH6 ай бұрын
AMINA TUKO PAMOJA KUMSHAMBULIA SHETANI
@FelisterLigazio-mw3hh6 ай бұрын
Naomba mniadd kwenye group
@MjumbeAgano4 ай бұрын
Sisi tulishakombolewa kwa damu ya Yesu,Huu ni wakati wa habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@IssacNtacho6 ай бұрын
AMEEEEEEEN
@IssacNtacho6 ай бұрын
AMEEENI
@JaneNgure-k3f5 ай бұрын
Jane nakufuatila sana maobi yako Kenya
@rosekishinhi82466 ай бұрын
Naomba kuungwa kwenye group la friends of Katekela plz
@kizandume30156 ай бұрын
Jambo mtumishi Mimi niko naswali 2 Mimi niko Australia Mimi siku mojamoja ahotaga mtu amekufa tena anakwaga ni ndungu manayake ninini
@emmanuelngunyale36396 ай бұрын
Lakini mtumishi haya mambo ya nyota si mambo ya wanajimu na waganga sisi tuliokoka tunaishi chini ya mpango wa Mungu wala sio kwa bahati wala nyota
@Frosita6 ай бұрын
Hao waganga wangedili nayo vipi kama hayakuwepo?
@tabithakombe42476 ай бұрын
Andika somo la nyota na mchungaji Amiel katekela
@judithminja7706 ай бұрын
Hao waganga mpaka wanadeal nalo unafikiri mchezo ndg???
@happymvula6 ай бұрын
Uliza tuliookoka wenzio tukwambie....yeye amefanya kazi huko usibishane naye.. Me nipo hapa anachosema nakiona kwenye maisha yangu....
@anseliminalingand41786 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu sasa hivi ni muhimu kusoma biblia wewe mwenyewe na kumuomba Roho mtakatifu akufundishe. Maana kuna mambo mengi sana
@elishamafulu1066 ай бұрын
I received
@MariaMlenda-mv1yh5 ай бұрын
1
@katejacob33696 ай бұрын
Naombeni mniunge kwenye group ya WhatsApp tafadhali. Nipeni muongozo