Jaman mbona huzisemi hizo kanuni? Au ndo tupige simu privately
@nakalisapaschal3 ай бұрын
Hongeraa sana KWA kazi nzuriii,lkn nakuomba uzungumze kdg uingie kwenye point,
@EstherNafula-cq9tk3 ай бұрын
Eeeh mungu wangu uliye juu mbinguni nanyenyekea miguuni pako naomba unifundishe kuomba,yaondoe maneno makali kwenye kinywa changu na unijaze yaliyo yako
@SallyChebet-f5g5 ай бұрын
Mungu wangu nionyeshe jinsi ya kuomba natamani kukuskia mungu wangu
@MagrethKarumba4 ай бұрын
1.Mpende BWANA MUNGU wako Kwa NGUVU zako zote,Akili zako zote,Moyo wako Wote, -MPENDE JIRANI YAKO kama unavyojipenda wewe... 2.SOMA NENO SANA EV.HOPELANDA
Eeee Mungu nipe njia nzuri ili niweze kuomba kwa usahihi..
@ashuramashaka9204Ай бұрын
Hueleweki. Huongei hayo makosa. Sema content ya title yako. Kuomba inapaswa lifestyle lakini wenye uhitaji huomba na hujibiwa. Tueleze tofauti ya uhitaji na tamaa.
@dottomashimba64744 ай бұрын
Yananisaidia sana pia ninaswali JE NIKITU GANI KILIKUWA KINAFANYIKA KWA WANAFUNZI KIPINDI WANASUBIRIA UJIO WA MSAIDIZI NA HICHO KITENDO CHA KUSUBIRI KINATUFUNDISHA NINI SISI KATIKA MAISHA YETU YA KIROHO NA KIMWILI?
@AsiaH-jf5fo5 ай бұрын
Munguakubarikisana mungu akupewingi wasiku
@NoellaBilembanoАй бұрын
Mbona haufunguki? Ongea sasa unazuguka hauseme tutakuelewa je?
Kaka kipindichako nikizuli ila unaongea sana pendant kwenyepo intimate bana aaa unakela sijui unable wa!!!!!!
@JulithKimario3 ай бұрын
Mbon umeacha point unaongea vingine samahn nenda kweny point unarudiarudia sana
@RoseManyanda4 күн бұрын
Eeeh Mungu 🙏 nifundishe kuomba vizuri 🙏🙏🙏
@marytetty5563 ай бұрын
Pastor somo lako ni zuri were greatfull ila plz try to go direct to the point! Otherwise unapoteza muda mwingi kwa kurudia rudia kitu kimoja
@EmmanuelPaul-v6zАй бұрын
Uwendii kweny point unazunguka sana at the end point nilikuwa naisubil ujaongea
@SarahNasimiyusimiyu16 күн бұрын
Nifundishe kuomba ea MUNGU
@BlessingNkaya2 ай бұрын
Samahani ni luka ngap??
@louisejeanne8306Ай бұрын
Luka :18:1-7
@KarimoboA123 ай бұрын
Kuna kitu sielewi hapa..ukiwa kiroho maombi hua inakuja tu yenyewe
@crestian83434 ай бұрын
Asante kwa mafundisho kuhusu maombi mimi nimechukuwa yangu pastor na nitafatilia sana Amen 🙏
@HadijaMwansasu-tr7pr8 күн бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi MUNGU aendelee kukutumia
@lucyedward954211 күн бұрын
Mm pia mungu wangu sijui kabisa kuomba nifundishe tafadhali
@floramgimwa44644 ай бұрын
Mh! Sijui lengo hapa ni nini. Unaongea sana lkn hufundishi point muhimu za mada. Kwa nini usikamilishe somo hapa mpaka nijiunge na group? Weka injili hapa direct watu wapone mtumishi. Bla bla ni nyingi na mada haijampa mtu maarifa ya kumsaidia
@damianndabatinya39262 ай бұрын
Nimesikiliza mwanzo hadi mwisho sijasikia siri hata moja,Ni maneno matupu.
@TokyoBaby-f5x2 ай бұрын
Mbn huendi kwenye point jamani
@JescaBanyezako2 ай бұрын
Ee yesu nikumbuke wakati huu ninao pitia magum
@EshaalMsamba-tb3eu2 ай бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu amen🙏
@mariamchimamyz97433 ай бұрын
Wapi Nina teleza pasipo kijuwa kuomba
@LemariJosphat3 ай бұрын
Eeeee! Mungu wangu nifundishe jinsi y kuomba vizuri na kuifanya ombi langu jibiwe
@DanielKawaya-pe5ox17 күн бұрын
Pôle Sana baba yangu nilikuwa Nime potenza namba
@gracedamas588310 күн бұрын
Ee Mungu nifundishe jins ya kuomba
@ElizabethBunga-y8p6 күн бұрын
Eee Mwenyezi Mungu niwezeshe kuomba vizur nitie nguvu amen
@magrethqamunga60524 ай бұрын
We Mungu Roho Mtakatifu nifundishe jinsi ya kuomba vizuri maana peke yangu siwezi
@ShukulaniMlangimoto6 күн бұрын
Asate kwa somo zuri nimejifuza kitu namuna yakuomba
@rabiyahjoseph47353 ай бұрын
Mungu mwema katika yesu nifundishe 1.ubarikiwe mtumishi kwa kufindish kweli ndani yakristo
@RemedAustin2 ай бұрын
Anatoa maelekezo vyema kumfuata 😊
@ChristineMape-y3l10 күн бұрын
Eeeeeh Mungu wangu nfundishe gisi yakuhomba
@graceeliah96826 күн бұрын
Sasa mbona hujatuelekeza hapo mtumishi umetoa tu maelekezo
@jacksonjackson-yo9ku3 ай бұрын
MM ni mwananz niombeje niweze kufaulu
@jescamwidimya40745 күн бұрын
Sasa tuombaje jamani tufundishe jinsi ya kuomba
@SophiaAndrew-i5b11 күн бұрын
Emwenyezi mungu naomba unisaidie kunifundisha jinsi ya kuomba
@MaurineKatsele3 ай бұрын
Eeeeh mungu naomba unifundishe kuomba ...
@JaneZipporah3 ай бұрын
Pastor mm ata nashidwa kuomba
@JovinReopord2 ай бұрын
Ee bab nifundishe kuomba
@josephgalandu1285 ай бұрын
Tupe utaratibu sasa,kwani Yesu alitumia kanunu ipi??tupe
@Mwesige-s8qАй бұрын
Kuna siri kubwa za kiroho naanza kuzielewa
@GlauryHauleКүн бұрын
Amina nashukuru kwa mafundisho nimebadirika sana Mungu akubariki
@MonicaSimon-n3iАй бұрын
𝚎𝚎 𝚖𝚞𝚗𝚐𝚞𝚋𝚗𝚒𝚏𝚞𝚗𝚍𝚒𝚜𝚑 𝚗𝚓𝚒𝚜 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚒𝚙𝚊𝚜𝚊𝚟𝚢𝚘
@bahimocatherine4075 ай бұрын
Unaongea sana nenda kwenye point
@MutekanoDiane7 күн бұрын
Eeee Mungu naomba unisaidiye nijue kuomba
@AlenUrassaАй бұрын
eeeh mung nitazam me mwanao nimekuwa mtiifu kwak nijalie nguvu na niendelee kuku tegemee mpak kifo chang
@nicksonabuyaАй бұрын
Ee bwana, nifunguliye njia ya kuomba na kuyafikiaana ninayoomba.
@salimamataluma13844 ай бұрын
Mmmmh 🙄 mi hata huwa sifanikiwi kwa kweli sijui nakosea wapi
@AminaSalm-wd8zqАй бұрын
Nisaidie nijuwe kuomba
@ivona-p4t2 күн бұрын
Eee Mungu nisaidie nijue namna ya kuomba 🙏🙏🙏🙏
@hellenobwogi4722 ай бұрын
Mungu waisrael nifundishe kuomba
@EvaSylvester-j6r10 күн бұрын
Ee Yesu nifundishe kuomba
@chizaesther45262 күн бұрын
Na Mimi nataka nijuwe kuomba Niko apa Australia Jina langu naitwa Fatuma hassani
@VictoriaDawiteh11 күн бұрын
Mungu anisaidiy niweze hayo a nayo nifundisha
@julianampanduji60005 ай бұрын
Pastor INNOCENT siku nyingine just get into it…to the point. Unapoteza muda mwingi kuzungumza vitu repeatedly😢imagine dkk 5 za mwanzo bado hujazungumza kilichotuvuta kufungua video hii!
@BjdkNxndn4 ай бұрын
Mtu wa Mungu mbna Mtumishi Yuko Sawa tu, Maana Haropoki Anazungumza mambo muhm kabla ya Hilo unalodhani wewe yaani manaanisha, Mungu ana mengi yakukufundsha jifunze kuhitaji kila ktu Beyondly, zaidi ya ungepewa. Ubarikiwe kama umeelewa 🙏
@ZulfatSuccess4 ай бұрын
Noo. Don’t say that again please 🙏. Mtumishi wangu anaongozwa na roho mtakatifu🙏
@agathemichelle2384 ай бұрын
Mtumishi anafundisha tu vizuri hakika Mungu amubariki anasaidia watu wengi sana kutu funza watu wake gisi yaku elekea mbele za Bwana 🙏🙏 Asante Mtumishi wa Bwana kwa kazi uliipewa na Mungu peke.
@LeahHaule-m6b4 ай бұрын
M naomba aendelee hivi hivi ndo tunaelewa vizuri sana. Na anaongozwa na Mungu hafanyi kwa kukurupuka tusipende kusikia tunavyotaka sisi. Binafs yangu napata maarifa ya kutosha kwa namna anavyofundisha. Barikiwa Mtumishi.
@RegnaPaulosumuni4 ай бұрын
Bwana atusaidie sana maana bila yeye hatuwezi
@SadalaLeshao10 күн бұрын
Aimeni asante kwa funzo lako
@NdelaKimambaАй бұрын
Mungu nifundish nikujue wewe
@olivemakyo5552 ай бұрын
You haven't named even one mistake that we make while praying ...your title is completely different with what you speak of...
@JaneOkotsi5 ай бұрын
Natamani sana kukujua mungu wangu na bila kuomba sitafaulu nizidishie neema niwe mtu wa kuomba
@HildaYohana-g7t9 күн бұрын
Eeeh mwenyez mungu naomb kuomba
@DominaMushi-t1r23 сағат бұрын
Mungu naomba uniwezeshe niweze kuomba
@PurityMogoi-e1l6 күн бұрын
Eeh mugu nisaidie nijue kuomba
@LucyWanjala-si9hq20 күн бұрын
Roho mtakatifu nisaidie kuomba,nisiombe kwa tamaa zangu,nisiombe. Kwa akili yangu niongoze bwana
@MohamedBakari-gw9id4 ай бұрын
Sijapata point maongezi mengi sna bado hujatusaidia kujua kuomba vzr your like unatangaza biashara
@MonicahBrillian3 ай бұрын
Ndugu yangu mbona roho mbaya Kwa mchungaji,wewe Muslim kua na heshima ya kuongea ndugu yangu au nakukosea
@VeronicaPaul-k2lАй бұрын
Wee nae hujaelewa alichoongea ,point kubwa kasema tunaomba ili tujibiwe kwa ajili ya matumiz ya tamaa zetu na sio kwa ajil ya Mungu ,muwe mnasikiliza vzr
Sasa wewe mwenywe mbna hujasema tuombeje yan umetoa mifano tuu na hawa ulio watolea mifano tunajua bado hujasema kivp watu waombe
@irinenjombo33685 ай бұрын
Ameen nimejifunza mengi Mungu akubariki sana Pastor 🙏🙏
@ZubedaZubeda-x5x5 күн бұрын
Mungu nisaidie nijue kuomba
@TimothyLupimoАй бұрын
Mbona hauxemi
@AnethPetro-y9b5 күн бұрын
E mungu nisaidie nijue jinsi ya kuomba 🙏
@SarahSarahjohnsonАй бұрын
nisaidie ee bwana😭😭
@Ibrahimmeshilieki22 күн бұрын
Mbona hukutsja sababu sasa
@DonathAugastine3 күн бұрын
Mungu naomba unisaidie kujua namna ya kuomba
@AdelphinaEfrem4 ай бұрын
Mishono ya nguo
@TeresiaWangui-sy1ohАй бұрын
Nifunze bwana njiya yako
@American-qu1mf3 ай бұрын
Ee mwenyenzi MUNGU naomba unisamehe kama nimeomba vibaya naomba maombi yangu yakapate kibali mbele zako niweze kupokea nilivyoomba' uwajalie wote wanaoomba Kwa IMANI wapate kupokea Kwa njia ya kristo bwana wetu
@nine....3 ай бұрын
Tr
@redemptachepkorir90862 ай бұрын
Roho mtakatifu uniongose na unifuntishe jinsi ya kuomba
@sarahfeni18665 ай бұрын
Ubalikiwe sana MUCHUNGAJI WA MUNGU UNAZIDI KUTUELEKEZA KUOMBA 🙏🙏
@victormolely8423 ай бұрын
hata mimi bwana
@florabuzoya39484 ай бұрын
Si useme sasa
@juliuskalawa78605 ай бұрын
Eeh Mungu naomba uyapokee maombi yangu kadiri ya mapenzi yako,naomba hayo kwa njia ya Yesu Kristo,,,Amen
@JacqulinedeogratiusKahwa4 ай бұрын
Mung uu baba. Naomba unipe nguvu ya kuomba.
@LizyOpiyoАй бұрын
Eeeh mungu nifundishe kuomba🙇🏼♀🙇🏼♀🙏🏽🙏🏽🙏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🥺🥺🥺🥺🧎🏼♀🧎🏼♀🧎🏼♀😔😔😔
@Ellyshishi4 ай бұрын
Eee mungu nisaidie nijue kuomba kwa imani
@AliceRobert-o8p17 күн бұрын
Ee Mungu wangu naomba unifundishe kuomba ipasavyo bila wewe siwezi.Amina
@kantungekojeanclaude-10179 күн бұрын
Ee mung piya mimi unikumbuke unapowajibu wengne usinipit unikumbuke naunifunz kuombea na kuwanauvumilivu🙏 naomba uyasikiy maombiyang