Kazi nzuri sana shuna Please create jina halafu weka your country name as signature like naigeria okra soup or ghana Jellof rice Wanaigeria wanaiba recepi kisha wanaweka jina lao ili waclaim kuwa is originated in naigeria Mchuzi huu ungeuita eg tanzania samaki stew
@mahramarswad60413 жыл бұрын
Shunas wallah napenda ukiongea kisauti chako mungu akubariki dada angu
@levinatravellifestylevlog911124 күн бұрын
Very nice recipe looks so delicious 😋 ❤
@margaretfestokessy74704 жыл бұрын
Yaaani wewe ni mpishi booora kuliko wote, Mungu akubariki sana!
@hermandemello22004 ай бұрын
V lovely fish in coconut curry recipe n well detailed to a understanding, wow from TANGA Tanzania.
@sammyochieng35375 ай бұрын
Asante sana Shuna. Hii video imenisaidia kutayarisha Samaki mtamu sana🐟
@tz11704 жыл бұрын
Mashallah allah akujaalie umri mref uzid kutufundisha
@hassanm38843 жыл бұрын
Aa.. Na furaha Sana kwa mapishi yako kwa jumla kila mara niko nawe zanifurahisha.... (haswa chai ya nazi) done 😍👍
@satwanthoogan67463 жыл бұрын
Wow! Unafahamisha vizuri,dear..❤👏👍😋
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Mashallah unavutia kwa ugali uwo mate yadondoka
@mariamissaahmed76754 жыл бұрын
Yummy! Mouthwatering Tutajaribu mseto wa kunde Tumezoea wa pojo Shukran sana
@aminamohamed39163 жыл бұрын
Salàm alekum mashallaah mm napenda sàna mapishi yàko mazuri sàna mm Amina yaro kutoa Kenya
@salohamohammed70684 жыл бұрын
Mashallah nitajaribu kwa njia hii
@halimahalum30084 жыл бұрын
Mashaa Allah shukran sana ni mtamu kwa kweli
@christinejaphet73552 жыл бұрын
Mchuzi mzuri na wapendeza Mashalla.
@aminasalamalekumamina62173 жыл бұрын
Salam alekum mm napenda sana samaki mm amina yaro kutoka kenya
@nataliajamesjames15964 жыл бұрын
Napenda mapishi yako.,unaeleza vizuri na ni rahisi kufuatisha.huna papara.,yaani sauti na maelekezo ni vizuri saana
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
Asante sana
@nataliajamesjames15964 жыл бұрын
Shuna's Kitchen karibu
@maryamyahaya82504 жыл бұрын
Mashaallah katulia kwel
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mashaallah nimependa hadi mate ya dondoka
@fatmasalim82934 жыл бұрын
Mashallah tabarak Rahman nzuri sana sister
@aminasalamalekumamina62173 жыл бұрын
Salam alekum mapishi mazuri sana mm amina kutoka Kenya
Thank you. I am cooking this now for my Tanzanian husband. Hope he will like it 😂
@ShunasKitchen5 ай бұрын
Hi dear, how did it go? I hope you both enjoyed it 😊
@ashamidello82984 жыл бұрын
wooow kitu mashaallah aunt Shuna!
@jolielopez20584 жыл бұрын
Umenifunza kupika sana sis thank you so much
@christinejaphet73553 жыл бұрын
Mashalla asante kwa kuzidi kutuonesha mapishi barikiwa sana
@marywambui62494 жыл бұрын
Mashallah hata nimesha download
@elizaliz64453 жыл бұрын
Namependa
@aminasalamalekumamina62174 жыл бұрын
Salam alekum Mimi amina chakula kizuri napenda sana samaki mashaallah
@ummaisha14684 жыл бұрын
Maasha Allah 👌👌👌👌👌👌👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
@maryanomar1193 жыл бұрын
Mashallah shukran naupenda
@BiubwaMuhammed-un3dt4 ай бұрын
Mashallh mashallh tabarakal
@ShunasKitchen3 ай бұрын
Jazakillah kheir sis
@fainaladavid6014 жыл бұрын
Wow! Unavutia kwakweli
@hamya57144 жыл бұрын
Salivating here Masha Allah 😋
@aminasalamalekumamina62173 жыл бұрын
Salam alekum mashaallah mm napenda sana samaki
@faridahjumanne77734 жыл бұрын
MashaAllah yummy yummy😋😋😋😋😋
@janenyaranga20654 жыл бұрын
Looks delicious.didnt imagine potatoes and fish
@ravinemfoi67074 жыл бұрын
Asante nimependa
@aminasalamalekumamina62174 жыл бұрын
Salam alekum mashaallàh Mimi napenda sàna sana sàmàki
@joycemtinda39793 жыл бұрын
Mchuzi mzuri sana
@saydaameir8302 жыл бұрын
Ma shaa Allah, So nice mamy, ila vipi unaweza kueka tomato paste? kwa kupata rangi nyekundu?
@mariahzackaria46124 жыл бұрын
😋nimependa Mashaallah
@sakhiyasaif58974 жыл бұрын
Waonesha mzuri na mtamu tutaujaribu shukran
@estherwilliam51253 жыл бұрын
So nice
@ElnaElsie8 ай бұрын
Nimependa mamaa
@muniraalmusalmy83634 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Very nice
@bintkismayokitchen344 жыл бұрын
Mashaa Allah delicious 😘
@EvaJonas-g5m Жыл бұрын
Umenitamanisha sana
@ummibrahim23604 жыл бұрын
Mashaa Allah delicious 😘
@nancyngigi344 жыл бұрын
I will try this recipe minus the potatoes
@PinkPetals14 жыл бұрын
Kimependeza!
@latriciah01augustino674 жыл бұрын
😋😋😋 Kumbe unaweza weka ndimu mwisho kabisa baada ya tui leo ndo nafahamu.. Huwa nawekaga ndimu tui la kwanza waja wanasema ndimu inakata tui🙄 mbona la shuna halijakatika jamn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sabrakhamis80704 жыл бұрын
mashallah nice very delicious
@rhamasalim78883 жыл бұрын
Naomba nduma za nazi za nyama 🙏
@jamilahmdawali47794 жыл бұрын
Thanks love! I love u mumy
@hamidaomar4304 жыл бұрын
Masha allah
@aminamohamed39163 жыл бұрын
Salàm alekum mashallaah
@RaniyahAnwar4 жыл бұрын
Ma shaa Allah I will come back to this video when I'm ready to try this amazing 😋😋
@khatibkhatib22492 жыл бұрын
You have to do right now why u delay??
@Ukhtyzuhura4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah
@bimbeemohammedaly13203 жыл бұрын
Wow. Taste good
@saadiamusdaf87614 жыл бұрын
mashaallah mungu akubarikia🙏🙏
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
Asante sana
@lailahussein16954 жыл бұрын
Salam alekum Can you please show how to make kuku wa kupaka and later on samaki wa kupaka. Many thanks
@irenekisasembe60154 жыл бұрын
Nzuriii
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
Asante sana
@zuhurasleyman14644 жыл бұрын
Looks yummy
@kijanahodari20804 жыл бұрын
Ntajaribu kupika ivyo na mm
@asiakibwana1973 жыл бұрын
Mashaallah
@aliloutfiya34 жыл бұрын
MACH'ALLAH Merci beaucoup
@fatimabinsayid13234 жыл бұрын
Mashallah
@cutelady74104 жыл бұрын
Yaan ndugu yang amepika mchuz huu nmejiramba mpk vdole
@MathnaSuleiman-vo9ke Жыл бұрын
Aslam alykum habbty naomba unfahamishe kupika mchuzi wa Nazi wa pweza ilaa sitak kukaanga vitu wengn wananmby unachemsha nisaidie hbbty😔
@mamakhayrat78074 жыл бұрын
Nice
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
Thank you
@rumaanrumaan22164 жыл бұрын
Samahani na asante kwa kutusaidia naomba unifahamishe unga wa maida ni unga gani?
@nanaathman67214 жыл бұрын
Ni unga wa ngano
@pupion3 жыл бұрын
All season spices what does it consist of?
@st.schogg67724 жыл бұрын
Wao,,, look very Delicious... Love it
@susannesusie32172 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@aishaabdallah45604 жыл бұрын
MashaaAllah ukiweka limau baada ya tui kuiva mchuzi haukatiki?
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
hapana halikatiki, muhimu tui liwive tu
@aishaabdallah45604 жыл бұрын
@@ShunasKitchen Asante my
@mohammedjawad54804 жыл бұрын
MashaAllah looks yummy.Jazakillah for sharing .wl try😍
@queenmariana58874 жыл бұрын
mashallah
@foreveryoung60364 жыл бұрын
Na sima weee washuka
@cutiethuma99314 жыл бұрын
Naeza marinate samaki nkaeka soy sauce ama
@mbaroukabdul34304 жыл бұрын
Mchuzi hasa wa kiswahili haupikwi kwa kukaangawa. Ila. Ni sawa
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
Huu si mchuzi wa kiswahili. Ni mchuzi ninaopenda kupika mimi 😊. Asante sana kwa kuangalia
@kijanahodari20804 жыл бұрын
Weka video zako na ww sio kukosoa wenzio wakati hujui kilichopikwa
@mbaroukabdul34304 жыл бұрын
Kijana hodari hatushindani sisi tunatizama kwa hoby tu
@mariammnishanga54784 жыл бұрын
😋😋
@mamamuu82173 жыл бұрын
😘😘😘😘
@jmal7188 Жыл бұрын
taaamu sanaa
@lucymshomi32914 жыл бұрын
😋😘
@fallymetoo1914 жыл бұрын
👌🏼😋
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Delish 😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋
@madibasunshine87184 жыл бұрын
Mashaallah shuna's kitchen.Nimependa sana hii recipe yako.Samaki gani umetumia because its looks delicious
@nurjahanlogde18154 жыл бұрын
Wa-alaykum salaam Shuna dear I don't understand why we people from Africa use this word "Tamu Sana" Kwa fikra yangu kiti chochote kilichokuwa na sukari ndio inakuwa tamu sasa mchuzi wa samaki utakuwaje mtamu?? Bora use this word "Ladha" just a suggestion 🤗
@halimamvungi13 жыл бұрын
Tui la nazi vikombe vinne vinapakinaje au unakuna nazi nyingii? Maana hata za dukani nazo Hadi upate vikombe vinne utakua pakt ngapi ,au unachanganya na maji ?
@zaharamsafiri8254 жыл бұрын
All purpose ndio nn dada
@asiy22834 жыл бұрын
❤🌹
@levinaringoma3 жыл бұрын
Nauliza Kama Naweza kutia embe bichi
@felstamushi64024 жыл бұрын
No tam sana
@jolielopez20584 жыл бұрын
I love you honey nakuwaga na kufatilia sna
@zujjhmrombo78614 жыл бұрын
Tui hali funikwi
@ShunasKitchen4 жыл бұрын
likishakuchemka likaanza kushikana halina neno, muhimu moto sio mkubwa ili lisipande juu au usifunike moja kwa moja. Shukran kwa kuangalia