JK Afunguka Lowassa, Kinana na Rostam Walivyomshawishi | Aelezea Mchakato wa Kugombea Urais

  Рет қаралды 248,285

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna mchakato wa kugombea Urais ulivyoanza 1995 mpaka aliposhinda 2005

Пікірлер: 228
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 11 ай бұрын
Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 2 жыл бұрын
jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Tell him. Mpe
@charleschanai601
@charleschanai601 2 жыл бұрын
One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA
@juniornamao527
@juniornamao527 2 жыл бұрын
Kbsaaaaa
@jdanny497
@jdanny497 2 жыл бұрын
Mnafiki huyu
@jdanny497
@jdanny497 2 жыл бұрын
Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,
@gebborecords
@gebborecords 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 2 жыл бұрын
Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.
@SudiMgonza
@SudiMgonza Жыл бұрын
Unafiki
@BalemesaValelian
@BalemesaValelian Жыл бұрын
WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki
@HenriHSP
@HenriHSP 2 жыл бұрын
Only Magufuli forever
@alishamlan7434
@alishamlan7434 Жыл бұрын
One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders
@ramadhanimtambo6755
@ramadhanimtambo6755 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Danganyifu.
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 2 жыл бұрын
Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi
@AbelMwakimbwala
@AbelMwakimbwala Жыл бұрын
King of mind games🙌🙌
@sambayo2440
@sambayo2440 2 жыл бұрын
Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu
@ernestsamson2761
@ernestsamson2761 2 жыл бұрын
Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia
@Munyama675
@Munyama675 Жыл бұрын
​@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Wakapeana.
@abdallahwazir7466
@abdallahwazir7466 2 жыл бұрын
M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾
@karaoglan9444
@karaoglan9444 2 жыл бұрын
Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!! Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 2 жыл бұрын
Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.
@johnriwa2854
@johnriwa2854 2 жыл бұрын
Bless you sir you did a good job
@JumaMapanga-h1x
@JumaMapanga-h1x Жыл бұрын
Wewe ndio baba usio nauonevu namtu
@simionbirai7851
@simionbirai7851 2 жыл бұрын
Unastahili sana Mzee Kikwete! Una hekima na busara sana!!! Hauna makuu!!!!
@issabilali3539
@issabilali3539 2 жыл бұрын
Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Mlimwonea Lowassa
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 2 жыл бұрын
Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!? Big up sana JK.
@geeva99
@geeva99 2 жыл бұрын
Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep
@massive1765
@massive1765 2 жыл бұрын
Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii
@smarty1064
@smarty1064 2 жыл бұрын
ohooo!
@damianlyimo5782
@damianlyimo5782 2 жыл бұрын
Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 2 жыл бұрын
Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.
@kiliankamota7922
@kiliankamota7922 2 жыл бұрын
Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader A true son of African who rose from humble beginnings Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake Nkosi sikeleli Kikwete!
@franciskavyega280
@franciskavyega280 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😅
@peterlucas7246
@peterlucas7246 2 жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
@@peterlucas7246 umenifanya 🤣🤣🤣 na pia alienda Jamaica 🇯🇲 kube......a
@zachariakejo2563
@zachariakejo2563 2 жыл бұрын
We mzee mungu akupe maisha marefu kwali tena kwa niaba ya wale wa 2014, niseme tu much respect 🙏 👏 👍
@augustinosiasi7368
@augustinosiasi7368 2 жыл бұрын
Mzee duh bila yeye tunge Kaa sana mtaani jk jembe ukitaka kula lazima na we uliwe mungu akujalie miaka mingi
@hamisipolenisanaissa8859
@hamisipolenisanaissa8859 2 жыл бұрын
Hongera kwa
@zachariakejo2563
@zachariakejo2563 2 жыл бұрын
Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu
@johnandrewmsigala7803
@johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын
Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela. Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.
@Munyama675
@Munyama675 Жыл бұрын
Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?
@focuserick6162
@focuserick6162 2 жыл бұрын
Jangiri kuu
@5.1Mgeography
@5.1Mgeography 11 ай бұрын
My favorite president
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 жыл бұрын
Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 2 жыл бұрын
Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Ni kweli. Roho inamsuta.
@machaggechacha243
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.
@AndrewKombe-ie9nf
@AndrewKombe-ie9nf 8 ай бұрын
Yes
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Anajikosha
@feisal6592
@feisal6592 2 жыл бұрын
Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo
@halifajuma545
@halifajuma545 2 жыл бұрын
Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini
@ziadakandanga2477
@ziadakandanga2477 Жыл бұрын
Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa
@SophiaRamadhani-e6b
@SophiaRamadhani-e6b Жыл бұрын
❤Mungu akujalie maisha marefu❤❤❤❤
@DadialiDadi
@DadialiDadi Жыл бұрын
Tenaa huyuu jamaaa wazenjii tunamuelewaa Kwa maaana ukingiaa maeneo ya ajiraa fastaa na wa baraa piaa wanamuelewaa so mrohooo wa nafas za kaz
@trig5623
@trig5623 2 жыл бұрын
Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Anayefanya vizuri anasemewa na watu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Ye anajitangaza. Na kujitembeza.
@LukahLuka
@LukahLuka Жыл бұрын
Unajua mungu anaona 😊
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Anauona uongo hapo.
@saiddelefa1749
@saiddelefa1749 2 жыл бұрын
Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa
@rahmambugi1950
@rahmambugi1950 2 жыл бұрын
Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏
@hajiameir8688
@hajiameir8688 Жыл бұрын
Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 2 жыл бұрын
One of Africa’s best presidents
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 жыл бұрын
Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Alisema wafuasi wake ni wa MKAPA! Hakuna tena team JK!
@adelinaikombe9929
@adelinaikombe9929 2 жыл бұрын
MR President tunamkubali
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 жыл бұрын
Wasiokupenda wanachuki binafisi
@jeromemassawe6801
@jeromemassawe6801 3 ай бұрын
Kweli penye nia ipo njia. Nimejifunza ujasiri kwako Baba.
@ramadhanikipande356
@ramadhanikipande356 2 жыл бұрын
Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 Жыл бұрын
Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni 85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 Жыл бұрын
Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Kajifichua na wenziwe.
@nunumrisho6548
@nunumrisho6548 2 ай бұрын
Ulifanya kweli kaka yangu wenye wivu wajinyonge
@RAFULUMBE
@RAFULUMBE Жыл бұрын
Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani
@johnandrewmsigala7803
@johnandrewmsigala7803 Жыл бұрын
Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU
@Munyama675
@Munyama675 Жыл бұрын
We jamaa ni CHIZI
@ramadhanikhalfan848
@ramadhanikhalfan848 2 жыл бұрын
Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.
@zainabmapezi5730
@zainabmapezi5730 2 жыл бұрын
Mirada yote aliyomalizia Magufuli aliianzisha huyu.
@sambayo2440
@sambayo2440 2 жыл бұрын
Kabisa
@mvukiedavid4332
@mvukiedavid4332 2 жыл бұрын
People dont want to hear this
@eddysimba6829
@eddysimba6829 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@aronatv47
@aronatv47 2 жыл бұрын
@@mvukiedavid4332 Kabisaaaa
@ramadhanjuma3584
@ramadhanjuma3584 2 жыл бұрын
Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako
@fredrickallan5437
@fredrickallan5437 2 жыл бұрын
Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.
@zainabmapezi5730
@zainabmapezi5730 2 жыл бұрын
Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.
@NyakiMollel
@NyakiMollel 11 ай бұрын
Tulikosea Sana Hii Nchi
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 2 жыл бұрын
Vizuri, Mh Kikwete.Sasa tusaidie kupata Katiba mpya na kuleta usawa na amani nchini.
@sampaconnector2845
@sampaconnector2845 2 жыл бұрын
“Edward is sick” that one was so emotional.
@tibubandar413
@tibubandar413 Жыл бұрын
Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂
@haridsaid6286
@haridsaid6286 Жыл бұрын
Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana
@valenakomba7686
@valenakomba7686 Жыл бұрын
HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 11 ай бұрын
Sungura huyu
@Loddy-b3h
@Loddy-b3h 11 ай бұрын
Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi
@noelnoel4916
@noelnoel4916 2 жыл бұрын
JK nampenda Ana wisdom kubwa sana
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Mjanja
@LukahLuka
@LukahLuka Жыл бұрын
Tunataka latina mpya acha maneno meng
@jumakaoneka5456
@jumakaoneka5456 2 жыл бұрын
Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015
@jebace
@jebace 2 жыл бұрын
nguruwe
@mikaelikamili3108
@mikaelikamili3108 2 жыл бұрын
wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 11 ай бұрын
Jpm alikuwa rais gani
@panafrican.nation
@panafrican.nation 2 жыл бұрын
Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete
@shabaniselemani9159
@shabaniselemani9159 2 жыл бұрын
Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut
@apple9711
@apple9711 2 жыл бұрын
Aisee unaona MBALI
@ichronicpro3081
@ichronicpro3081 2 жыл бұрын
Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake
@elizabethpetro1258
@elizabethpetro1258 2 жыл бұрын
@@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Жыл бұрын
Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.
@gracemima5234
@gracemima5234 2 жыл бұрын
Muongo mkubwa. Huyu ndiye Rais Ali yea ha nchi ikatafunwa na kuwachwa mifupa mitupu. Ingekuwa nchi imagists sheria, huyu jsmaa angekuwa getezani na Mali zake kukamatwa. Kwa Tanzania ndiyo kwanza anapanfikiza familia take kwenye uongozi. Mungu tusaidie
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 2 жыл бұрын
Mkimbizi wewe au mhamiaji haramu, rudi kwenu Burundi.
@hapaupdates9277
@hapaupdates9277 2 жыл бұрын
Mbuzi MKUBWA wewe acha chuki kimya wewe
@karaoglan9444
@karaoglan9444 2 жыл бұрын
Rudi kwenu Burundi Grace.kenge kabisa!!
@thomaskatwila7461
@thomaskatwila7461 Жыл бұрын
Nikweli kipindi chale ndicho kilikua na majambazi wengi mpaka vituo vya police kuvamiwa umeme shida machinga kupigwa maji hakuna rushwa mahospitalini police mahakama mikopo vyuoni shida wakina zombie kuuwa wafanya biashara na kuwapola pesa
@hamzasukwa432
@hamzasukwa432 2 жыл бұрын
Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.
@isayamsoka5590
@isayamsoka5590 2 жыл бұрын
Channi hicho kitapeli aaah!
@juliuslabarani8575
@juliuslabarani8575 2 жыл бұрын
Nimejifunza jambo ktk maisha
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
Rostam kitambo sana amejichimbia haswaa ndani ya serikali!!
@sueimanally8264
@sueimanally8264 2 жыл бұрын
Mpaka nimeogopa duuu
@smarty1064
@smarty1064 2 жыл бұрын
yeah kazama kabisa ndani
@abdallahmbonabona8860
@abdallahmbonabona8860 2 жыл бұрын
King maker
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Rotam hakutaka uwaziri.. alijikita kwenye chama na kuwakilisha wananchi tuu
@livinohaule8442
@livinohaule8442 Жыл бұрын
"Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅
@omaryngitu2443
@omaryngitu2443 2 жыл бұрын
Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@shinipapaya846 punguza makasiriko
@foyaalfa8837
@foyaalfa8837 2 жыл бұрын
Watumishi fekije, mwehu ww
@karaoglan9444
@karaoglan9444 2 жыл бұрын
@@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa
@florencemeza6540
@florencemeza6540 2 жыл бұрын
Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua
@estermpagama9664
@estermpagama9664 2 жыл бұрын
Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao
@awamiabbas222
@awamiabbas222 2 жыл бұрын
Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀
@samwelimwashiuya7894
@samwelimwashiuya7894 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima na kutamani ingewezekana katiba kuruhusu kurudi hakika tungekurudisha mheshimiwa kiongozi wetu.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 2 жыл бұрын
Rais Bora Africa tuna kupenda tunakutakia maisha marefu na nataka tele baba.
@peterdavid4230
@peterdavid4230 2 жыл бұрын
sema unampenda usitujumuishe na sisi kidampa wewe
@foyaalfa8837
@foyaalfa8837 2 жыл бұрын
Mwehu wewe
@AwadhiAlfani-bd5pj
@AwadhiAlfani-bd5pj Жыл бұрын
baba shika mooooo
@eliassangisangi
@eliassangisangi Жыл бұрын
Mbwa loko
@erickgadson1617
@erickgadson1617 2 жыл бұрын
Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 жыл бұрын
@Erick Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana
@foyaalfa8837
@foyaalfa8837 2 жыл бұрын
Mwizi mwenzio mwehu
@leonardliberath2664
@leonardliberath2664 2 жыл бұрын
Best president in Tanzania
@foyaalfa8837
@foyaalfa8837 2 жыл бұрын
Mbwa wewe
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu
@kianda973
@kianda973 Жыл бұрын
Mmhh
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 Жыл бұрын
Wewe ni baba kweli nakupenda sana
@masaimediagroup3146
@masaimediagroup3146 2 жыл бұрын
Lowassa
@fabiopaul8897
@fabiopaul8897 2 жыл бұрын
Ishi miaka mingi mzee wa msoga
@lgffumbuka183
@lgffumbuka183 2 жыл бұрын
One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 2 жыл бұрын
Netwk/mtandao
@mkalisimbatv1915
@mkalisimbatv1915 2 жыл бұрын
My president ever....
@furika7931
@furika7931 2 жыл бұрын
Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.
@irenekisanga1761
@irenekisanga1761 2 жыл бұрын
Lakini uhuru watu waliutumia vibaya hasa wa vyombo vya Habari
@allyshija2613
@allyshija2613 Жыл бұрын
Mungu no mwema
@allyshija2613
@allyshija2613 Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
Mzee kikwete tunataka utukamilishiye kiporo ulichokiacha chakatibampya Sasa vipi naombajibu ndg mh!!! duniani hakuna umilele kibinadamu vilevile hakuna kitakachodumumilele,wanyuma atakuwa wambele!!!!
@DadialiDadi
@DadialiDadi Жыл бұрын
Huyuuu ndo Rai's wa tpdf staminaaa hakuwaaa na roho mbaya katikaa uajir wa vijanaa sehem zote big up tpdf kikweteee😅😅😅😅
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 2 жыл бұрын
Kwahiyo lowasa anaumwa
@jonsjones2580
@jonsjones2580 11 ай бұрын
Mswahili sio mtuuu
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 297 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
JK Asimulia  Mkapa Alivyotangazwa Mshindi
7:43
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 62 М.
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 564 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН