HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA

  Рет қаралды 611,944

TBConline

TBConline

Күн бұрын

Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconetanzania

Пікірлер: 365
@swahiliforex
@swahiliforex 4 жыл бұрын
Kama Umekuja Kwa Ajili Ya Kikwete, Anaanzia 8:33
@yirgayemyirgah7820
@yirgayemyirgah7820 4 жыл бұрын
Shukran sana
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 4 жыл бұрын
umeokoa
@swahiliforex
@swahiliforex 4 жыл бұрын
@@jelasnkoma4240 😅😅
@richardsolomon1268
@richardsolomon1268 4 жыл бұрын
umetisha sanaaaaa
@simbomart6186
@simbomart6186 4 жыл бұрын
Kweli 8:33 nimesogeza Ila angevaa jez ya CCM angepita
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 4 жыл бұрын
Man of the People Lt Col(rtd) Comrade Kikwete alitumia mbinu za kimkakati za Kijeshi kujiandaa kuwa Rais hii inaitwa "Long Term Information Before the War."
@mtopelamussa7440
@mtopelamussa7440 3 жыл бұрын
Du! Kikwete noma alikuwa anataka ashike madaraka akiwa msela
@samwelkibogoyo1958
@samwelkibogoyo1958 4 жыл бұрын
Mpaka wazee wakasimama ama kwli busara za jakaya ni kubwa sana,,tump haki yake
@salimhusseni4784
@salimhusseni4784 4 жыл бұрын
Hiyo ndio matunda ya mwalim nyerere kwabusara nahekima alifanikiwa kwajenga akina ally hassan mkapa na jakaya mrisho kikwete wamelelewa kwenye mikono salama ya baba wataifa leo hii tunaona viongoz wavyama wanakosa busara hekima hawana ni waongo wapo kimaslai yaho hawajal ata kama taifa litaingia kwenye mitego yawalafi na misukosuko wapo tayar ilimrad wahowafanikishe matakwa yaho wapi tunakwenda hakuna hajuae ni mwenyeez mungu tu ndie hajuae InshaAllah tuepushe na shari ambazo zitaligawa taifa letu Amin
@innocentmtashobya1102
@innocentmtashobya1102 2 жыл бұрын
Kabisa jamaa ana busara sana sio wale jamaa wababe "nimesema,.kuanzia leo stak........"
@davidnyambuche352
@davidnyambuche352 4 жыл бұрын
Kikwete amenifurahisha mnoooo
@leonarddamian
@leonarddamian 4 жыл бұрын
Nyerere alifurahi sana kwa sababu kikwete aliongea kitu ambacho alitaka kusikia.
@jackobchibago1812
@jackobchibago1812 3 жыл бұрын
Nilichojifunza mimi hapo ni kuwa, uzee unakuja kwa kasi. Kikwete wa miaka 25 iliyopita ni kijana mdogo kabisa. Mcheki leo. Hivyo tunapaswa kutambua tu kuwa ujana ni maji ya moto.
@leaderdanojoro.1925
@leaderdanojoro.1925 Жыл бұрын
Hakika
@timorpathsullusi7055
@timorpathsullusi7055 4 жыл бұрын
Kikwete dah! Ulikua umekomaa kisiasa, had Mwl. Nyerere akasimama kukupigia makofi.👍👍
@mckamongo5354
@mckamongo5354 4 жыл бұрын
Hongela sana TBC hiki ndicho nilitamani kukiona kama kijana waleo nimependa history hiyo
@allymsega5639
@allymsega5639 3 жыл бұрын
Hapo kikwete alikuwa mdogo xn asingeweza kupewa nchi
@kileohemed4958
@kileohemed4958 7 ай бұрын
Kapewa na Utuuzima wake kipi alichokifanya aaaah Shit...
@wakusinitv
@wakusinitv 3 жыл бұрын
Tulio kuja huku baada ya kummiss magufuli tulike hapa
@delphinusbarakamathphytuto7012
@delphinusbarakamathphytuto7012 4 жыл бұрын
Hekima sio mvi.... hata wapumbavu wanazeeka, mh. J.M.K alionesha ukomavu mkubwa hapo.. Asanteni sana TBC online.
@elijahaywago7274
@elijahaywago7274 3 жыл бұрын
Sijui Tanzania mlifanyia mungu nini kusudi awape viongozi wazuri hivi. Mimi si Mtanzania lakini nitawapa watoto wangu fursa ya kuwa watanzania kwa kuoa mtanzania eheheh
@elijahaywago7274
@elijahaywago7274 3 жыл бұрын
@@rashidseif6095 Kiongozi wetu wa kwanza alifanya juu chini akauwa wapinzani wake. Wanasiasa shupavu kama Tom Mboya (rafiki mkubwa wa Nyerere) na wengine walipigwa risasi na kuwawa sababu za ki siasa. Rais huyo pia alieneza ukabila na kuweka jamaa zake uongozini. Pesa nyingi ziliibuwa na hiyo iliendelea kufanyika ata kwenye atamu wa rais wa pili. Tanzania najuwa pia mko na changamoto zenu lakini ukabila na ufisadi pamoja na mapendeleo ya ki jamii haijawathiri sana kama sisi. Ata wakenya wengi wanaomba kupata rais kama magufuli au nyerere.
@johnbernad6806
@johnbernad6806 3 жыл бұрын
Kikwete hasa wewe ni mkomavu wa kisiasa usiye kuwa na chuki hakika wewe umebaki kuwa hazina ya taifa
@sabatoelia312
@sabatoelia312 4 жыл бұрын
Kama umegundua wajumbe walianza zaman na si mwaka huu kama mm nipe like 🥰🥰🥰
@mutalemwagabrie9791
@mutalemwagabrie9791 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu jamani 😂😂😂😂😂😂
@HamisCharles-d1r
@HamisCharles-d1r 3 ай бұрын
Aliye mwona ummy teacher!
@kusekwasita1576
@kusekwasita1576 4 жыл бұрын
Aliweka akiba ya 2005,,, Kizazi cha kina membe kinasepaga aisee
@juliusmaricha8836
@juliusmaricha8836 3 жыл бұрын
JK n genius
@petroerinest6962
@petroerinest6962 3 жыл бұрын
Kikwete alikua mdogo saana lakini akili yake ilikua komavu sana,hongera sana kikwete
@josephkisaro1377
@josephkisaro1377 2 жыл бұрын
Kikwete hakuwa mdogo alikuwa na miaka 50, mkapa 60, mwinyi 68 na mwalimu alikuwa na 70 ..
@zamzamseif5637
@zamzamseif5637 Жыл бұрын
@@josephkisaro1377alikua na miaka 44!! Mdogo tu.
@christianmwashala276
@christianmwashala276 4 жыл бұрын
Kikwete akiongea uwa mda wote anacheka tyu hanaga noma uyo
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Kikwete is very Intelligent, Kama mara kumi ya Magufuli hivi.
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 7 ай бұрын
Ogopa sana watu wanaongea hvyo wanaakili nyingi mno i.e Nyerere
@kimwerionlinetv5574
@kimwerionlinetv5574 4 жыл бұрын
Mh. Jakaya ni bonge la diplomatic leader
@jameskileo955
@jameskileo955 4 жыл бұрын
Hakika huyu ni jungu kuuu
@jameskileo955
@jameskileo955 4 жыл бұрын
Watu kama huyu baba ni wachache mno ktk nnchi zetu hasa linapokuja swala la Democrasia
@issamunga9039
@issamunga9039 4 жыл бұрын
Kwa kweli Mzee alikuwa na busara saana ingawa mimi binafsi si kumuelewa wakati ule , lakini kwa sasa nimabaini kuwa alifanya maamuzi ya kuiokoa nchi kweli. Chaguo lake kwa Mkapa lilikuwa sahihi.
@misanamaige490
@misanamaige490 2 жыл бұрын
Tanzania yetu ni nchi nzuri sana. Wapumzike kwa amani Julius Nyerere na Benjamin Mkapa. Mungu awape maisha marefu na yenye furaha viongozi wetu wastaafu mzee Ali Hassan Mwinyi na mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Busara na hekima zao bado zinahitajika kuendeleza amani na umoja wa Watanzania. Kidumu chama cha mapinduzi
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 4 жыл бұрын
Wazeee wa zamani walikuwa na busara hebu msingie mwl nyerere na Al khasani Mwinyi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍
@reyneajoxeph1301
@reyneajoxeph1301 3 жыл бұрын
jakaya kikwete arikuwa anakubarika tokaezi hizo hadinyerere kafrai
@charlieadam646
@charlieadam646 3 жыл бұрын
Wale wa 93. tujuane... Tuna miaka 2 apo.. maji pia hatuezi kuita Mma😂😂
@benedictordaniely8332
@benedictordaniely8332 3 жыл бұрын
20/10/1993
@charlieadam646
@charlieadam646 7 ай бұрын
4/01/1993
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 4 жыл бұрын
Kikwete tokea kijana kbs ika kikwete kwakwel Ni mtu Wa busara sana
@luganomasebo6606
@luganomasebo6606 3 жыл бұрын
Yaani moja ya stori niliyoipenda hii na mtangazaji wangu Wa muda wote sued mwinyi
@thomassenga2526
@thomassenga2526 3 жыл бұрын
Siyo swedi mwinyi wewe
@philipongilini8604
@philipongilini8604 3 жыл бұрын
Shaban kissu
@trio9911
@trio9911 4 жыл бұрын
Kumbe wajumbe walikuepo tangia apo
@handhalhandhal4608
@handhalhandhal4608 3 жыл бұрын
I always appreciate JK for the way he is.
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 4 жыл бұрын
Tumetoka mbali, tunakwenda mbali, mungu ni mwema sana , Mungu ibariki Tanzania
@sharifunchimbi785
@sharifunchimbi785 4 жыл бұрын
Nyerere alionaa kikwetee anakitu kikubwaa sanaaa
@wazirimavilu5710
@wazirimavilu5710 4 жыл бұрын
Never forget you, president JAKAYA,masomo yako kila siku yanazidi kueleweka.ninaushauri mkubwa kwa ccm ipo siku nitautoa.
@mwegetejoseph4925
@mwegetejoseph4925 3 жыл бұрын
Hatari sana
@jescamatumula2110
@jescamatumula2110 Жыл бұрын
@@mwegetejoseph4925 7 Ok.
@sampartick2235
@sampartick2235 3 жыл бұрын
Kikwete alishinda kulikuwa n figisu
@dullasakume7902
@dullasakume7902 3 жыл бұрын
Jk ni mtu simat sana kama mama samia suluhu vile kum amusha mwalim na kupiga makofi si swala dogo
@venturejackson6357
@venturejackson6357 3 жыл бұрын
Dah we mzee ulijaliwa busara sana mungu akutunze mstaafu jk
@khamisibinamu5323
@khamisibinamu5323 3 жыл бұрын
Kumbe jk kucheka hajaanza cku hz tangu zamani ni mcheshi
@raphaelnyigo8740
@raphaelnyigo8740 3 жыл бұрын
JK yuko vizuri sanaa.
@othmansuleiman6140
@othmansuleiman6140 3 жыл бұрын
kunautofauti kati ya hutba ya hayati William Mkapa na Mh. Kikwete
@shaibumandova6108
@shaibumandova6108 4 жыл бұрын
Kikwete alionesha furaha ya wazi kabisa na ni sawa Mungu alimlipa fadhila zake kwa kuwa rais aliyefuata. Siyo miaka ya hivi karibuni anayekosa nafasi hukasirika.
@salumismail6253
@salumismail6253 4 жыл бұрын
Ni kweli wengi wanakuwa wamejawa na tamaa za harakaharaka kutaka kuongozà
@amanisengele9684
@amanisengele9684 3 жыл бұрын
Hongereni Tbc kwa utunzaji wa makala nzur Kama hizi n msaada kwa vizaz vijavyo
@maryndilleh6942
@maryndilleh6942 3 жыл бұрын
Kwikwete cheko na furaha yako kila wakati inafanya uongeze siku za kuishi nimejifunza kitu kutoka kwako mda wote unafuraha itokayo moyoni sio ya kinafiki kumbe ni sawa eeeeh!
@yahayalugongo4825
@yahayalugongo4825 3 жыл бұрын
Diplomatic leader J kikwete
@mustaphagairo1936
@mustaphagairo1936 3 жыл бұрын
Kikwete alkuwa dogo janja
@athumangullam3854
@athumangullam3854 3 жыл бұрын
A man and half ..Jakaya 💪
@MrKhatibu
@MrKhatibu 4 жыл бұрын
Nakumbuka vizuri, Kikwete alibadili suti siku hio kama vile a naenda kuowa
@abdulkatalango2890
@abdulkatalango2890 3 жыл бұрын
toka zamani kikwete ni mtu kutabasamu,ameshindwa lkn alikuwa na tabasamu,sasa wale wanaomtaka leo awe stone face hawajui haya ndio maumbile yake?
@franciskomba8057
@franciskomba8057 2 жыл бұрын
Dah japokua sijakuwepo ila kikwete kanikosha sana kaongea kikubwa sana
@tawfiqmbagwa9407
@tawfiqmbagwa9407 4 жыл бұрын
Mzee Jk anabadilika ngozi na nywele tu kwa uzee ila kiungeaji, tabasamu, kicheko na body language viko vilelvile. Nimefurahi sana maana kipindi hicho bado nanyonya ziwa la mama
@ramadhanseif4564
@ramadhanseif4564 4 жыл бұрын
Mzee kikwete ndio rais wangu bora ccm kuwahi kutokea
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 4 жыл бұрын
This is some good content. tunaomba vitu kama hivi tuoneshe vizazi vyetu tuweze kutambua historia ya nchi yetu. Proudly Tanzanian
@emperor5330
@emperor5330 3 жыл бұрын
i admire you tanzanians.........................am kenyan
@sketchbabu
@sketchbabu 3 жыл бұрын
Kabisa kabisa, hara kama mtaiweka exclusive content tutafurai sana.
@vailethamin8439
@vailethamin8439 3 жыл бұрын
Kabisa
@theonlyeye9738
@theonlyeye9738 2 жыл бұрын
.i.loo
@davidbochela1441
@davidbochela1441 2 жыл бұрын
Nchi imetoka mbali...sana.
@abdullahomar8687
@abdullahomar8687 4 жыл бұрын
Shaaban Kisu maa shaa allah umejaaliwa Sauti adhym iliyonegesha makala hii ahsanteni....
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 жыл бұрын
Huyu jamaa amepewa sauti amazing na anaitendea kazi
@ayubuadamu8587
@ayubuadamu8587 3 жыл бұрын
Baba Jakaya hakika hekima zako ni kubwa sana🙌🙌
@sabatoelia312
@sabatoelia312 4 жыл бұрын
Nan kaona watu walikua wengi na nguo za nyumban kuliko kijani ya leo 🥰🥰🥰
@katerelomkuyati6764
@katerelomkuyati6764 2 жыл бұрын
Kwekwekwekwekwekwe
@eliahinnocent9419
@eliahinnocent9419 4 жыл бұрын
Dah mheshimiwa mkapa alikua na bahat sana kupigiwa kampeni na Nyerere ushindi lazima
@joezeno8
@joezeno8 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@jamalmuhsini9954
@jamalmuhsini9954 4 жыл бұрын
Hongereni TBC kutupatia historia sisi vizazi vichanga
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 жыл бұрын
Kikwete nakuita Tena Kikwete na busara za kutosha
@nehemiaemmanuel1386
@nehemiaemmanuel1386 3 жыл бұрын
Naona ndani ya chimwaga hall😁😁😁leo hi tunatumia kama darasa wa udom-chss wanaelewa
@nurdinisalum3651
@nurdinisalum3651 4 жыл бұрын
Kwa umri uwo isingekuwa raisi kupewa nchi
@salumkanju1732
@salumkanju1732 4 жыл бұрын
Mwalimu alisimama kumpgia kikwete makofi kwakuwa lengo kuu lilishakamilika, hongera jakaya kwa uvumilivu wako hatimae nawew ukawa president
@saidmasanga8707
@saidmasanga8707 3 жыл бұрын
Hakika Jakaya anayaishi Maisha halali ya Mwanasiasa.
@rajimoonsima7984
@rajimoonsima7984 3 жыл бұрын
Dah hayati baba wa taifa kasimama kwa hotuba ya mzee kikwete
@ausonjustinian5494
@ausonjustinian5494 3 жыл бұрын
ASNT TBC. HIZI HISTORY ZINATUSAIDIA KUJUA TUMETOKA WP. TUKO WP. TUNAENDA WP. NA TUNAENDAJE ENDAJE. ASNT.
@zynabmanyandeshi7143
@zynabmanyandeshi7143 3 жыл бұрын
Ni kweli kbs
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 3 жыл бұрын
Kweli hatutapata kiongozi mjuzi wa siasa Kama Kikwete barikiwa baba.
@annasanana5192
@annasanana5192 3 жыл бұрын
Hongera sana J.M.kikwete
@wanderenyeura9011
@wanderenyeura9011 3 жыл бұрын
Mtangazaji ananikumbusha RTD RADIO TANZANIA DAR -ES- SALAAM
@allykiba9727
@allykiba9727 2 жыл бұрын
Mwisho nilifarijika na hotuba ya Kikwete na namna mwl.Nyerere alivyo pigia makofi hotuba ya Kikwete
@shaby988
@shaby988 4 жыл бұрын
Kikwete
@mimimoop2617
@mimimoop2617 4 жыл бұрын
R I P Ben Mkapa
@ramahamis5793
@ramahamis5793 3 жыл бұрын
JK mungu aendelee kukulinda tuone BUSARA ZAKO
@masundelwa
@masundelwa 4 жыл бұрын
Ka kikwete kalikuwa kadooooooooogooo sanaaa ndo maaana WAJUMBE walimkata daaaaaa🤗😅
@kaswakija6002
@kaswakija6002 4 жыл бұрын
Kametoka Mbali aise kamepambana sana🥰🙏
@mayaally2512
@mayaally2512 3 жыл бұрын
Alipata baba wa taifa aliona tu muda wake bado aliongoza wakiwa wa 3 hayati kigoda na mkapa mkapa na yeye .
@razackkambi8318
@razackkambi8318 3 жыл бұрын
Mwaka 1995 ndio nimezaliwa mwezi wa kumi
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 3 жыл бұрын
😂😂😂 Mimi 1990
@katyalengajua6716
@katyalengajua6716 3 жыл бұрын
Naona wajumbe kikwete walimfanyia yao
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 4 жыл бұрын
Ila kikwete mwanasiasa
@othmansuleiman6140
@othmansuleiman6140 3 жыл бұрын
huyu ni Mh. Kikwete na Kikwete hapa duniani ni mmoja tu
@jamaa2760
@jamaa2760 4 жыл бұрын
TBC, mmefurahisha Moyo wangu,,, TBC inogile!!!
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 4 жыл бұрын
Kwakweli hasa
@ginonochachaisaya7357
@ginonochachaisaya7357 3 жыл бұрын
Hekima za Kikwete ni kipaji na ni fundisho kwamba mvumilivu hula mbivu, na wakati wa Mungu ndo bora zaidi, muda wake ulifika akawa rais na akaongoza vizuri sana. Pia ukiona mtu anashindwa mchujo anahamia chama kingine basi hizo ni tamaa
@mapenzighasia5270
@mapenzighasia5270 2 жыл бұрын
Mgombea urais mshindi wapili ccm hakuamia chama kingine Bali aliongeza nguvu kwa mshindi wakwanza ccm hayati B.W.Mkapa,naona vijana mmejifunza kitu kizuri sana
@ezapesambili2130
@ezapesambili2130 4 жыл бұрын
Upepo wa kupendwa jakaya kumbe ni enzi hizoo !
@sylvesterchisenga3707
@sylvesterchisenga3707 4 жыл бұрын
Wa magomeni mpoooooooooo! ...tupooooooooooooo! Hilo vibe sio poa! ...siasa ni maisha!
@juliusdaud8239
@juliusdaud8239 4 жыл бұрын
Kipnd kizur 💯Sijapoteza bando bure👊👊
@msafitv8663
@msafitv8663 4 жыл бұрын
Wajumbe walimkata Mheshimiwa Kikwete🤣🤣🤣🤣
@caindunke8526
@caindunke8526 4 жыл бұрын
Mwalimu bana sio wajumbe
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 3 жыл бұрын
Wajumbe walimpa bana
@efraimobadia4944
@efraimobadia4944 3 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza namuona mwal. Nyerere Mwenyez
@abedkirway8668
@abedkirway8668 2 жыл бұрын
kiongoz bora kuwahi kutokea baba kikwete
@shadiluck9015
@shadiluck9015 3 жыл бұрын
Du hii ndo ilikua CCM , ,,
@jumakondo3527
@jumakondo3527 2 жыл бұрын
JAKAYA BONGE LA KIONGOZI MANENO MAZURI SANA KAONGEA PIA NI KIONGOZI MWENYE SUBIRA
@majulakizango943
@majulakizango943 3 жыл бұрын
Kumbukumbu nzuri Sana, maneno mazuri ya Jknyerere,JKikwete, R.I.P Jemedali Mkapa great president aliefungua pazia la kuwa president ndani ya vyama vingi....big up TBC this is fantastic memory
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 4 жыл бұрын
Hadi nyerere alifurahia kumbe kikwete alikuwa na akil toka enz zile alijtambua
@bennympatanishi8341
@bennympatanishi8341 4 жыл бұрын
Mtangazaji unavyotamka huo mwaka unatuchanganya
@michaeleustach9769
@michaeleustach9769 4 жыл бұрын
Hhhhhhha
@potiyowatz836
@potiyowatz836 3 жыл бұрын
Safi TBC.Vijana wa leo tumejifunza mambo kadhaa kutoka kwenye hii vidieo rekodi.asante
@polycarpmicky4151
@polycarpmicky4151 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/i4jFpqOmgMSjbZo Karibu sana utazame wimbo mzuriNEEMA YA MUNGU YATOSHA
@LumolaSteven
@LumolaSteven Ай бұрын
Tangu mwaka 1995 kulikuwa na ubinafsi, imagine makala kama hii imechukua habari za CCM peke yake. Hawakuweka vipande vya wagombea wa chama kingine angalau kimoja tu yaani.
@acstv7185
@acstv7185 2 жыл бұрын
Jk.ingekuwa wapinzani wa tanzania wana akili nzuri kama ya father jakaya. Wangesha itoa ccm madarakani.lakini kwa jinsi wapinzani walivyo sasa watasubiri sana.jk mfano bira sana Africa.asante
@wawajunior6633
@wawajunior6633 4 жыл бұрын
Kikwete charismatic leader
@saidishebuge4796
@saidishebuge4796 3 жыл бұрын
He was bright kikwete
@vailethamin8439
@vailethamin8439 3 жыл бұрын
Kikwete watu wame mfurahia kweli kweli
@josephkiphizi5129
@josephkiphizi5129 3 жыл бұрын
TBC andaeni makala kama hizi tujue tulikotoka...has hotuba za Mzee ruksa hatuzisikii kabisa
@mossilamanne3350
@mossilamanne3350 2 жыл бұрын
Jk ni noma sana alimfanya mwalimu anyanyuke ,halafu leo hii umfananisha na watu wasiojulikana
@dulabori9922
@dulabori9922 4 жыл бұрын
Wapinzani mbona hazionekani clip zao enzi hizo
@yahayakikoko740
@yahayakikoko740 4 жыл бұрын
Muulize baba wa taifa
@noahsr3827
@noahsr3827 4 жыл бұрын
Hawana Enzi
@saidjuma9782
@saidjuma9782 4 жыл бұрын
Hii hiki ni Chombo cha CCM
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 4 жыл бұрын
Enzi zipi sasa wakati hawakuwepo?
@majosamalundi3687
@majosamalundi3687 4 жыл бұрын
Kama kawaida yao
@chingychingy2066
@chingychingy2066 4 жыл бұрын
Kikwete kumbe mcheshi tokea kitambo
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 3 жыл бұрын
Kama ulikuwa hujui kama mimi kuwa Nyerere kashawahi kufika kariakoo achia like
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
ndo nasikia hapo kaliakoo
@kapondamsita476
@kapondamsita476 3 жыл бұрын
Kweli tumetoka mbali tulinde amani yetu iliotunzwa namababu zetu
@helgaaporinaly2811
@helgaaporinaly2811 3 жыл бұрын
Kongole sana Mzee Jk kwa busara zako nyingi
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,7 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,7 МЛН
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 292 М.
Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere
17:48
KIKWETE: 1995 NILIMWAMBIA MKAPA ANAFAA KUWA RAIS/AKANITEUA UWAZIRI
9:56
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,7 МЛН