Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1

  Рет қаралды 564,341

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 948
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 4 жыл бұрын
The best president ever jk wa msoga tunakupenda Sana mh rais mstaafu uishi Sana mzee wetu tukikuona tunapata faraja watanzania
@salehsimba5306
@salehsimba5306 4 жыл бұрын
Kila ninapomuona mzee Jakaya najivunia utu, unyenyekevu, heshima, upole, usikivu, wa sisi Wakwere.
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 4 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 4 жыл бұрын
Best interview in 2021 Kama umependa like apa tufurai pamoja
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 4 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 8 ай бұрын
Safiii namkubali Sana kikwete hyu mzee anajua kujieleza tumpe heshima yake nafatilia sana mengi kuhusu legend hyu🔥
@medardkihekaabel2601
@medardkihekaabel2601 4 жыл бұрын
Kama unamkubali JK weka likes zako hapa tuone...
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 4 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@salumhamisi6706
@salumhamisi6706 4 жыл бұрын
Mbunge wangu wa muda wote wa Chalinze, Rais wangu Mstaafu na the best of the best, Mzee wangu na ninaye jifunza mambo mengi kwake. Mungu akujaalie ukamiishe kitabu chako ili tupate mambo yote ulopitia. Itakuwa bonge la kitabu
@KidotiTwiga
@KidotiTwiga 4 жыл бұрын
Tunaompenda baba JK gonga like
@abdallahrashid1182
@abdallahrashid1182 4 жыл бұрын
Salama is very talented, the way anavyoongea na muheshimiwa ni kama binti anaongea na babaake, her facial expression and the way she is enjoying the moment with mr. President! It is lovely! She is my star
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Amejikaza kucheka
@chidiberbatov3613
@chidiberbatov3613 4 жыл бұрын
Ukiskia wahenga ndio hao watu wa pwani wana maneno yenye busara kubwa ndani yake...like kwa rais wetu mstaafu
@bobrudala3784
@bobrudala3784 4 жыл бұрын
Nimefurahia sana historia nzuri ya kiongozi wetu Mungu azidi kumpa maisha marefu na afya njema,hongera zake dada Salama kwa kipindi kizuri
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 4 жыл бұрын
Dada usiwasahau Mzee Mwinyi, Mama Maria Nyerere, mama Fatma Karume na mama Ana Mkapa nk kuwapa kipindi kama hiki. Ni raha kuwasikiliza hawa wazee wetu. Tuwaenzi. Hongera sana.
@mrsmbaga6082
@mrsmbaga6082 4 жыл бұрын
Heshima kubwa sana kwa my favorite pressident ww ni raisi wa dunia hizo interview wanafanya wakina obama
@psychtoday7732
@psychtoday7732 4 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@GeraldElias-s7j
@GeraldElias-s7j 5 ай бұрын
Dunia ipi au dunia ya manzese 😅😅😊
@controlTheoryChamps
@controlTheoryChamps 4 ай бұрын
@@GeraldElias-s7j 🤣😂
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 4 жыл бұрын
Hii customer service is extraordinarrrrry yani tumeletewa JK mezani...guys, let's send more tip!
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/joa5g2VsZtGWkLs
@lazaromtui1355
@lazaromtui1355 4 жыл бұрын
Alafu kuna washenzi wamepress 👎. Watz tuna mdudu kichwani
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 4 жыл бұрын
@@lazaromtui1355 hawajielewi hao wanaopress
@nicholausmaganza6192
@nicholausmaganza6192 4 жыл бұрын
Jk ni mcheshi Sana...m2 wa kufurahi, naenjoy sana kila nikitazama mahojiano yake, mungu azidi kumbariki na kheri juu yake
@jaafarjacka9272
@jaafarjacka9272 4 жыл бұрын
Daahh huyu mzee ALLAH amuhifadhi ampe afya njema ampe mwisho mwema na amsaameh makosa yake...JK mtu mwenye moyo wa kustahimili
@kayandayona8496
@kayandayona8496 4 жыл бұрын
Jk pole kwamlipoko
@kayandayona8496
@kayandayona8496 4 жыл бұрын
Jk pole kwamlipoko
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/joa5g2VsZtGWkLs
@allymuhammad325
@allymuhammad325 4 жыл бұрын
Hakika mwamba
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 4 жыл бұрын
One of the best presidents ever in our country's history. His humbleness, decency, dignity and character are unbelievable!
@mikemrosso5679
@mikemrosso5679 4 жыл бұрын
Trueeee
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 4 жыл бұрын
Leo hii kwavile hayupo tena madarakani dah! Watanzania sisi sijui mchawi wetu nani, maana karika maraisi ambae ameshambuliwa na wanasiasa dah! Mh! Kikwete anaongoza maisikini alipewa majima kibao mpaka wengine wakafikia kumuita raisi wa wanawake maana ndio waliomkubali nahapa nanukuu maneno ya zito kagwe bungeni aliwahi kusema raisi gani kazi kucheka cheka tu na kula bata raisi kila kukicha ulaya hana muda na mambo ya ndani ya nchi, ni ubaridhifu wa fedha za watanzania, na akatoa mpaka kiasi cha fedha zinazotumika raisi anaposafiri na group lake na akasema tunahitaji raisi mkali asiecheka na mtu na hatutaki raisi kila kukicha ulaya hata akiumwa na mafua ulaya, sasa amekuja kinyozi ananyoa kwa msumeno, na anafuata walichotaka wanasiasa ila leo hao hao wanamsifia Kikwete, wakati kinyozi kipicha kwanza amemaliza miaka 5 hatapanda ndege kwenda ulaya na ameumwa ametibiwa hapa na hata mke wake amelazwa bongo sio ulaya mpaka amepona.
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 4 жыл бұрын
@@davidcurtis8556 jiulize kwanini wasisifiwe hao wengine?.kubali tuu kikwete is the best,kwangu Mimi namwita baba kumpa heshima stahiki
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 4 жыл бұрын
@@jorampaulo7008 huo ndio mtazamo wako kwa namna nilivyolelewa nilifundishwa niheshimu mtazamo wa mtu, pili soma japo mistari mitatu tu utanielewa nini namaanisha, hata huyu aliopo madarakani akitoka atasifiwa na kuambiwa hakuna mzalendo kama yeye.
@psychtoday7732
@psychtoday7732 4 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@mrsmbaga6082
@mrsmbaga6082 4 жыл бұрын
Raisi asiye ogopa kuhojiwa raisi mwenye kujitambua mcheshi daaah mic u our father
@J4UPro
@J4UPro 4 жыл бұрын
Mmmh hapa unamaana yake siyo!
@captendunga1392
@captendunga1392 4 жыл бұрын
Kwani huyo ni rais?? Au unataka kujenga hoja... nishajua unachotaka kumaanisha ni kwamba hata MAGUFULI akiachia kiti ruksa kufanyiwa intervew.
@anahna6788
@anahna6788 4 жыл бұрын
@@captendunga1392 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
Nionyeshe interview aliofanyiwa Kikwete akiwa Madarakani...! Acheni mbwembwe..!
@alistairelias536
@alistairelias536 3 жыл бұрын
@@chiefmahucha6847 Zipo sana! Fanya usearch KZbin utaona.
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 жыл бұрын
Baba yetu kipenzi m.mumgu akumpe umri mrefu na swalih na akusameh madhambi yako ameen.
@IsaacParuz
@IsaacParuz 4 жыл бұрын
Sijawahi ku comment kwa chanel hii.. It may take a lot to Express how I feel, but for few words (Thank you so much Guys, Mungu awabarikie team yote kwa kazi nzuri).. Si kwamba kutoku comment huko kwingine haina maana kwamba sijapenda kazi zenu, uwa nazipenda, Leo nilipoona hii nimezidiwa mahaba...hongereni salama na Team nzima..
@nassororamadhani6353
@nassororamadhani6353 4 жыл бұрын
Jamani like zenu mimi ndo mara yangu ya kwanza kukoment kwa sababu hii ndio interview bora sio tu ya mwaka 2021 bari ya miaka 20 iliyopita na ijayo
@rithapaschal8141
@rithapaschal8141 4 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akutunze baba yetu tunakupenda ,tunakukumbuka sana kwenye uongozi wako thabiti na wenye huruma kwetu
@nkugi
@nkugi 4 жыл бұрын
JK kama JK. Tunakutakia maisha marefu uendelee kutulea kama mmojawapo wa wazazi wa taifa letu. Feeling blessed
@khamissaid1156
@khamissaid1156 4 жыл бұрын
Hawa wazee wamefanya kazi kubwa sana nchi hii,tunapaswa kuwapenda ,kuwathamini ,kuwaheshimu, na tuwaombee mwisho mwema .
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 жыл бұрын
raisi wangu bora kabisa kuwahi kumuona very humble, mtu mwenye moyo safi na roho kunjufu mwenyezi mungu akuhifadhi raisi wa watu.
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 Ай бұрын
Kwa kweli hata mimi naonaga ndo baba yangu wa taifa
@brendachibura6040
@brendachibura6040 4 жыл бұрын
Jmn kusem kwel mpenzi wa Mungu huyu mzee napenda sana anavyoongea natamani asiache kuongea......but Salama hongera sana🙏🙏
@asanatimrisho1816
@asanatimrisho1816 4 жыл бұрын
Nampenda huyu baba jamanii Allah amlinde
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 жыл бұрын
Nampenda Sana huyu babajamani.I wish nikutane naye sikumoja.ntafurahi Sana. Nimcheshi,halingi,mzuri,tabasamu tamu.Mungu akulinde baba.
@ramadhanseif4564
@ramadhanseif4564 4 жыл бұрын
All the best jk rais wangu bora kuwahi kutokea tanzania hakuna cha nyerere wala magufuli
@charlesphillip1855
@charlesphillip1855 4 жыл бұрын
hujaulizwa hilo acha chuki za kijinga
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 4 жыл бұрын
Watu wanaomshangilia Meko kuwa anafanya kazi kuliko Marais wote hao hao ndo naona wanakoment kummiss JK.Na kumuombea maisha Marefu kwa busara zake na uongozi wake uliotukuka, Watanzania tunapenda nini??!! Asante Sana Salama, Binafsi Viongozi Bora wa nchi hii Baada Ya Nyerere Ni Kikwete.
@leahmcharo7306
@leahmcharo7306 4 жыл бұрын
Hatari Sanaa's
@GeraldElias-s7j
@GeraldElias-s7j 5 ай бұрын
Nyerere na magufuli full stop
@bongeone
@bongeone 4 жыл бұрын
Salama unahitaji heshima kubwa sana ktk tasnia ya utangazaji,mungu akuongoze...hii ni kubwa kuliko #JakayaKikwete💪
@avancavan4240
@avancavan4240 4 жыл бұрын
And another good thing about my favorite president he is a good narrator LIVE LONG MR PRESIDENT
@Kwafilamuzenyeubora2024
@Kwafilamuzenyeubora2024 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eHKqqot-mLeBY80
@ramadhanmohamed8851
@ramadhanmohamed8851 4 жыл бұрын
Hii nimeipenda salama your the best ww ni mwisho kwa kweli hakuna kama wewe
@jacksonmtumishi2157
@jacksonmtumishi2157 4 жыл бұрын
Mungu wa hajabu sana Jk , Umenikumbusha mbali sana . uliyoyapitia mengi Mzee nimeyapitia Dah !!!
@abdallahrashid1182
@abdallahrashid1182 4 жыл бұрын
Respect to Our lovely President, respect to Salama jebir!
@haikaruwakrekamoo49
@haikaruwakrekamoo49 4 жыл бұрын
Jk a very good definition of a leader,so friendly,if I were to select again I will still choose you.
@ndalokacha7885
@ndalokacha7885 4 жыл бұрын
Jk tuna kukumbuka sana tupata raha ya maisha
@mikemrosso5679
@mikemrosso5679 4 жыл бұрын
👏👏👏
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 4 жыл бұрын
Salama hii interview umetutendea haki KABISA!
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
Nampenda sana JK wallah... My all time favorite person 😍 JK
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 4 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@fredydonald1610
@fredydonald1610 4 жыл бұрын
Wewe kama unatak upepo kwenye nyumba ya makuti kajenge yako uishi... Hahaa we miss you hon JK
@faustinamahenge3563
@faustinamahenge3563 3 жыл бұрын
Kanichekesha
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 4 жыл бұрын
Very humble man 🙏🏾 Asante Salama kwa interview tumejifunza mengi
@victormichael6791
@victormichael6791 4 жыл бұрын
Niaje brooo
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 4 жыл бұрын
Hii niliisubiri kwa hamu kubwa sasa acha niangalie kwa amani ❤
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 4 жыл бұрын
Baba yetu kipenzi 🇹🇿❤️✅
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 жыл бұрын
He’s humble and charming 🇹🇿❤️
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 4 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@khadeejaalmahri6217
@khadeejaalmahri6217 3 жыл бұрын
Mash Allah big up mstaafu wetu mungu akupe Maisha marefu hizi ndio ndoa alizotuusia mtumie wetu s aw hongera baba mungu amekupa mafanikio ya dunia na akhera inshalla
@omariamiri5556
@omariamiri5556 4 жыл бұрын
Miss you JK wallah Allah akupe afya bora na maisha marefu yenye baraka ndani yake
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Jk Mungu azidi kukujalia afya njema ili uzidi kutufundisha mambo mengi ya mazuri katika huu ulimwengu nimependa Sana mahojiano haya. 🙏🙏
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 4 жыл бұрын
A symbol for Democracy....In Tanzania and Africa....
@psychtoday7732
@psychtoday7732 4 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@BenjaminFMosha
@BenjaminFMosha 4 жыл бұрын
Kazi nzuri salama unajua kuhoji haumkatishi mgeni big up
@davidnchoji
@davidnchoji 4 жыл бұрын
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakupenda sana.
@TemuTV
@TemuTV 4 жыл бұрын
Wat a Big Move On podcast Ohh I can't believe ni yeyeee Mr President. I love this game congratulations salama kubwaaa sana hii
@nassorkatongo3621
@nassorkatongo3621 4 жыл бұрын
0k
@saidimatawilo2689
@saidimatawilo2689 4 жыл бұрын
Good interview
@loveadventure1957
@loveadventure1957 4 жыл бұрын
🥰much LOVE to our old president❤
@ellieayamba5299
@ellieayamba5299 4 жыл бұрын
yoooooo..... salaaaamaaaaa you brought us J.K.... Nimeshangilia kama naangalia mechi ya simba na Yanga... Love him😍
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/joa5g2VsZtGWkLs
@ecabelmwai3474
@ecabelmwai3474 4 жыл бұрын
This is Major
@siyamyovela4356
@siyamyovela4356 4 жыл бұрын
Baba yetu Mungu akutunze saana was Tanzania tubakupenda saana
@sultantany6091
@sultantany6091 4 жыл бұрын
Salama nilikuona jana ivi ulikua unashabikia azam ama mlandege? Alaf hongera kwa kumpata huyo mzee jk
@prosperkullaya4529
@prosperkullaya4529 4 жыл бұрын
Lol! Nice hair style keep up
@baumbachogero9410
@baumbachogero9410 4 жыл бұрын
Maelezo ya Rais Mstaafu JK yananikumbusha na mimi historia hiyo ya mfumo wa elimu ya mkoloni hadi 1965. Asante JK kwa kuwaelimisha wa leo mfumo huo wa elimu ya kikoloni. It was challenging and interesting.
@bisengobubasha
@bisengobubasha 4 жыл бұрын
Wooow, stay blessed Salama. Great interview
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 4 жыл бұрын
Rais wetu uyo yupo simpo sana,, Mungu akusimamie kwakila jambo JK
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 4 жыл бұрын
Daah...dadaangu Salama hongera sana kwa kutuletea Mh. JK.
@whitneywhitney283
@whitneywhitney283 4 жыл бұрын
Hatareeee
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 4 жыл бұрын
Uko sahihi MH. JK SIO ZAMANI WALA SASA TATIZO NI COMPATIBILITY . Your very right !
@mabulamayunga4938
@mabulamayunga4938 4 жыл бұрын
Wisely man, politely man & strong politician
@ezralangborn214
@ezralangborn214 4 жыл бұрын
Nice
@Winstonfying
@Winstonfying 4 жыл бұрын
Safi sana, heshima kwako Mzee JK, nimefurahi kumuona hapa 👏🙏
@jackmeshack
@jackmeshack 4 жыл бұрын
Najaribu kumtafsiri JK. Mtu ambae hajioni, hajisikii, anajua utu. Nashangaa hawa wasiopenda kujadiliana na jamii
@dizzboss7526
@dizzboss7526 4 жыл бұрын
Hao wengine usiwaulize acha kabisa
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 4 жыл бұрын
Akikusikia dr ulimboka atakudharau sana
@danielalphonce1653
@danielalphonce1653 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kina nani hao hawataki kujadiliana na jamii? Sema upole wake ndo ulifanya akafeli kwenye utawala wake.
@hammylove1268
@hammylove1268 4 жыл бұрын
@@danielalphonce1653 usichokijua ni kwamba kila rais anatekeleza ilani ya chama alipoishia kikwete ilikuwa lazima aishie hapo vitu vinafanywa kwa utaratibu maalumu acha kuropoka au mpaka afe ndio mtamsifia?
@danielalphonce1653
@danielalphonce1653 4 жыл бұрын
@@hammylove1268 we unaelewa nini? Kikwete kafeli na ukweli lazima aambiwe, mwenzie sa'iv anapata shida na lawama kwa sababu yake. Mambo mengi angechukua hatua kama mkuu wa nchi wala Magufuli asingepata tabu ya kuliongoza Taifa...we yaelekea umesahau zama za JK... - waziri akiboronga anaombwa kujiuzulu tena kwa lugha ya kubembeleza. Any way tumuache apumzike, hata tukiongea sana haitasaidia lakini bora aelewe yeye ni Rais KIVURUGE aliivuruga nchi..
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 4 жыл бұрын
Great Salama...kumkaribisha huyu Mkuu wetu.... I've learned a lot!!!!
@davidnchoji
@davidnchoji 4 жыл бұрын
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakuoenda sana.
@dicksonchobanka1922
@dicksonchobanka1922 4 жыл бұрын
Nikimuona JK najifikiri leo Ningekuwa nafanya kazi gani. I love u my Hon.President
@mtemi
@mtemi 4 жыл бұрын
Aisee hongera mno Salama. This is huge. Nakupea zawadi ya subscription mamangu
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 4 жыл бұрын
Safi sana
@naslee1010
@naslee1010 4 жыл бұрын
Dada yanagu #salama nakubali unacho kifanya hadi #mrjakaya duh! hii #kubwa kuliko🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@csellah4930
@csellah4930 3 жыл бұрын
salama mungu akubarik sana heshima yako mh Jakaya mrisho kikwete allah akupe afya njema daima.💪
@chumayahaya9095
@chumayahaya9095 4 жыл бұрын
Wemzee umepitia mengi ndyomana mjanja sana unaelewa sana mtaa our former President Dr jakaya mrisho kikwete
@chesadennis254
@chesadennis254 4 жыл бұрын
What a humble man!!! Former president kwa talk show ya vijana? Kenya haijaai tokea.
@adidjakhalfani2661
@adidjakhalfani2661 4 жыл бұрын
Nimekuja apa sababu ya kikwete Allah akupe umri mrefuuuu🤲🤲
@KhalfaniSaidi
@KhalfaniSaidi 9 ай бұрын
Watanzania wengi wamegubikwa na unafiki apa kwa kuwa mko kwenye media mnaanza mungu akuweke mungu akunze mkitoka apo mnakaa mitaani mara rimonti ipo msoga akuna naye msadiki kukoment Kutoka moyoni mh shimiwa raisi mstafu raia wako tumekosa misimamo Kutokana na Hari zetu kiuchumi😢😢
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 4 жыл бұрын
Nampenda Sana Rais Jakaya, my best role model
@isackulomi2293
@isackulomi2293 4 жыл бұрын
Dr HON JK KIKWETE HUWAA NAFURAHI SANA UNAPOCHEKAA KONGOLEE SANA RAISI MSTAFU MTU USIYEKUWAA NA MAKUU. MUNGU AKUPEE MAISHA MAREFU.
@editherkigabo9541
@editherkigabo9541 4 жыл бұрын
Hakika hii ndo interview ya kufungulia mwaka2021
@psychtoday7732
@psychtoday7732 4 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@ramadhanimohamedisheshe7073
@ramadhanimohamedisheshe7073 4 жыл бұрын
JK THE SECOND ALLAH AMPE UMRI MREFU HUYU MZEE....
@jrsingham
@jrsingham 4 жыл бұрын
Daah kumb hata president alikuwa hataki shule duuh chama la utoro tumepata mwenyekiti 🤣🤣
@jamesmgalla3504
@jamesmgalla3504 4 жыл бұрын
Hahahahà hahahahaha 😂😂😂😂😂
@cosmaskimati730
@cosmaskimati730 4 жыл бұрын
Mjumbe apa no 3
@hermanaaron1320
@hermanaaron1320 4 жыл бұрын
Hahaha Duh imebidi nicheke
@annasamo7063
@annasamo7063 4 жыл бұрын
Hahaha
@salmangonera8916
@salmangonera8916 4 жыл бұрын
hongera salama umepiga hatua sana.... katika watangazaji nawapenda na kuwaelewa we ni mmoja wao
@barakachalres9316
@barakachalres9316 4 жыл бұрын
Waoooooooooooh leo coment ya 7 asante sana dada Salama kwa kutuletea mtu mashuhuli na kipenzi cha watu kama huyu
@asueddy1465
@asueddy1465 4 жыл бұрын
JK......JK....JK.....Nimekuita Mara tatu..Uishi miaka mingi baba...Mungu akutunze...Tunakupenda Sana baba
@msokeentertainment5720
@msokeentertainment5720 4 жыл бұрын
Aliyemaliza adi Mwisho Kama mm 👍
@makamoarea5270
@makamoarea5270 4 жыл бұрын
Mzee huyu mwenyezi mungu ampe maisha marefu sana ntampa jina la JAKAYA
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 4 жыл бұрын
Mzee wangu Mwenyez Mungu akupe kla la kher na miaka mingi. Iwesh urudie urais
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 4 жыл бұрын
Huyu ndio raisi wangu wa miaka nenda miaka rudi, msikivu,anashaurika na hana majivuno kingine mtu wa kujichanganya.kama kweli unaamini nipeni like zenu
@mosimba467
@mosimba467 4 жыл бұрын
Hatukupi
@abdallahomari9860
@abdallahomari9860 4 жыл бұрын
Ikulu Kam ikulu sasa. Msooooooogggaaaaaa. Mojaaaa JK Master
@emilianashayo5978
@emilianashayo5978 4 жыл бұрын
JK is the best, definition of a leader is WISDOM. Mungu amembariki na busara sana. He speaks very humble 😊
@melkizedecknicodemus7020
@melkizedecknicodemus7020 4 жыл бұрын
Hii video inaenda kua trending mapema sanaa, Hongera sana salamaaa🔥🔥🔥
@mudymudy9989
@mudymudy9989 4 жыл бұрын
Duu yni kikwete mungu aendelee kumlinda jmani na mtangazaj salama jabir
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/joa5g2VsZtGWkLs
@nyoniscaffoldcompany3338
@nyoniscaffoldcompany3338 4 жыл бұрын
All the best Mr President mstaafu huna baya mungu akujaalie umri mrefu
@kingchavala
@kingchavala 4 жыл бұрын
Hongera sana Salama! Umeweza!💪 Hii Nimeipenda! Haya mambo ya kijamii tu tunahitaji kuyasikia wakati mwingine! Na leo Nimejua kuwa Mimi na JK wote tumesoma Tanga School😅
@joycefelix9047
@joycefelix9047 4 жыл бұрын
Hi Salama Kindly Invite Mama Salma Kikwete/Dr Asha Rose Migiro/ Mama Samia Suluhu
@osmandemebele3335
@osmandemebele3335 4 жыл бұрын
Kikwete rais pendwa sna tz alafu mfasaha sna mashallah
@augustinoshigela6329
@augustinoshigela6329 4 жыл бұрын
Mbona hujawah msifia akiwa Rais,,,,wabongo wanafiki sana,,,,wacha tuisome,,,,mzee Magu kaza baba watu walizoea kupigakupiga hahahahah
@georgedaniel3911
@georgedaniel3911 4 жыл бұрын
@@augustinoshigela6329 wanafiki sana walishawai kusema alikua anacheka cheka, ndoo maana mafisadi wengi,acha Magufuri apige kazi.
@maridhiamsemo6012
@maridhiamsemo6012 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde Baba kwa hekima zako
@zussicutie
@zussicutie 4 жыл бұрын
He is my ol times favourite... de former president..👌👌👌❤ BABA JK... penda sanaaaaaaaaa weweeeee na mama SALMA Kikwete. 😊KEEP IT UP SALAMA MAM...N DE OL CREW HIGH FIVE 👋
@doreendinamica3473
@doreendinamica3473 4 жыл бұрын
This is great.....well done Salama.........More Health Life to JK!
@christophernundu9018
@christophernundu9018 4 жыл бұрын
Salama umetisha sanaa aiseeee nimeona ukubwa wa kipindi hiki ur genius mom am proud of you wewe lulu ya waandishiii....
@edwardobreymarunda496
@edwardobreymarunda496 4 жыл бұрын
We miss you JK.. Thank you Salama
@Makdavy1
@Makdavy1 4 жыл бұрын
Baba CJ. Mjomba anakunyoosha nini? Hahahah
@Kwafilamuzenyeubora2024
@Kwafilamuzenyeubora2024 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eHKqqot-mLeBY80
@cheupemwanga3326
@cheupemwanga3326 4 жыл бұрын
Nakupenda sana JK
@kanyika14kanyika16
@kanyika14kanyika16 4 жыл бұрын
Jamani muheshimiwa anazungumza vizuri 😍😍 we still missing you 😙😙
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 4 жыл бұрын
KIKWETE UTADHANI UMESOMA SOCIOLOGY UKO VIZURI SANA YANI KWENYE MAMBO YA KIJAMII. YAANI WEWE WAJUKUU zako wanawnjoy Sana. YOU ARE SO FRIENDLY TO PEOPLE
@trifainanjalika9643
@trifainanjalika9643 4 жыл бұрын
Dah jaman mrx prezda penda sana wew jaman we missed u jaman
@EugenFrednand-v9m
@EugenFrednand-v9m 2 ай бұрын
Mungu akuweke maisha maref enzi zako shida sizihui baba asaivi buku kz
@haikamandari2234
@haikamandari2234 4 жыл бұрын
JK the unforgettable. My favorite president 🤩
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 297 М.
Какой я клей? | CLEX #shorts
0:59
CLEX
Рет қаралды 1,9 МЛН
-5+3은 뭔가요? 📚 #shorts
0:19
5 분 Tricks
Рет қаралды 13 МЛН
Sigma girl VS Sigma Error girl 2  #shorts #sigma
0:27
Jin and Hattie
Рет қаралды 124 МЛН
DUNIA (Ep 49)
22:42
ASMA FILMS
Рет қаралды 46 М.
BSS 2024 SE15 EP01 EXTRA ARUSHA | FULL SHOW
27:58
BongoStarSearch
Рет қаралды 85 М.
BSS 2024 SE15 EP08 STUDIO 1 | FULL SHOW
1:35:50
BongoStarSearch
Рет қаралды 76 М.
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Какой я клей? | CLEX #shorts
0:59
CLEX
Рет қаралды 1,9 МЛН