Shukran sana Joel. Kuna wale wengine ambao mtakuwa marafiki wazuri sana (hii ipo sana kwa wanawake) lakini ukifanikiwa katika jambo lolote lile, huyo rafiki anageuka kuwa adui lakini taaaaratiiiibuuu!!! Mie imenitokea mara mbili so far katika maisha yangu. Na namshukuru sana Mungu kuwa kumbe alikuwa ananiepusha kwa kuwaondoa marafiki hao katika maisha yangu bila mie kujua. Ila kwa kweli, ilinistaajabisha sana!
Ahsanteee sana Kaka Joel Kuna rafiki yangu wa dam kabisa ashakuwa adui yangu coz alinidhurum pesa zangu,,,
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Kibiashala hiyo ndo inanikuta kila ninapopigga hayua
@alonto81592 жыл бұрын
Am luck to know u my brother JN
@gastoniisaya20082 жыл бұрын
Nakubari Bro amini nimejifunza kitu kutoka kwako
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Hakika Namshukuru Mungu kwa ajili yako kila ulichofundisha Kama nimekusimulia. Zaburi 32:8, Isaya 48:15-17, MALAIKA WA MUNGU wakulinde sk zote (Zab 34:7,Waebrania 1:4,7,13-14,ISAYA 9:6 JEHOVAH SHALOM=Waamuzi 6:20-24.
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen Ameen
@angelajoseph46437 ай бұрын
Mimi siamini marafiki kwani wanageuka. Siri zangu zinabaki kifuani kwangu, niliwahi kupata pigo la rafiki kuungana na adui yangu.
@farajhassan17752 жыл бұрын
Hatari sana ndio maana mimi sinaga marafiki yaani nipo nipo tuu....sitakag kabs kumweleza mtu vit vyangu 🙌🙌
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Kila ninapopiga hatua kutokana na kanuni zangu hilo hutokea
@FatumaAhmed-c9i2 ай бұрын
Alitaka niache kazi ya 10,000tufungue biashara 1000 ndio amenitenga
@victorwere29972 жыл бұрын
Naitwa Victor kutoka Kenya, nimefatilia ushauri wako naupenda but nashindwa kupanga bajeti how can you help me to find out what is the problem
@TabuMashauri8 ай бұрын
rafiki kutaka Kila wakati upo chini yake usimzidi Kwa chochote ( wivu)
@hamisilumona71632 жыл бұрын
Watu kma hao nikuashana nayo pia punguza mazoeya. Kama nivigumu sana kwako kuonana nayo badilisha number za siku na kuwa block na ku delete numbers zao for goods. Cheza role ya bubu na kiziwi.
@veronicawilsonmbwambo1054 Жыл бұрын
Asante sana kijana masom yako na fatilia sana yamenibariki San barikiwa
@michaelkayoka16152 жыл бұрын
Aisii brother unaongea vitu vinavyo nitokea mm kila atua rafiki yangu aliungana na watu wenye nia mbaya ya kunihalibia jina langu ina uma sana brother
@mahmoodalghefeili53702 жыл бұрын
Acha tu ndugu
@salomeedson98682 жыл бұрын
Rafiki yangu nilimwambia siri ya maisha yangu
@Fantastic.-gm1eo2 ай бұрын
Kuna marafiki wanapenda kucontrol wenzao, unapoanza kupinga amri zao, wanaanza kukuchukia na kukuchonganisha na watu wengine ili uonekane mbaya😢😢
@zenabaziga36202 жыл бұрын
Iyo kweli haswa sisi tuko mbali na nyumban kila mtu akauwa adui hata familia sasa mm hua nachanganyikia kwakweli kuona kila mtu hanitaki
@janethpallangyo26332 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fhyubhhh28812 жыл бұрын
All is true!! be blessed na tumeshapatikana sana kw watu kama hao!!
@vincentmassay46102 жыл бұрын
Mr Joel naomba maelekezo ya namna naweza pata vitabu vyako nikiwa na uhitaji
@ndobeheshija41762 жыл бұрын
asante sana sir nana umenifunza mengi Sana 🙏🙏
@kiotastar17912 жыл бұрын
Pitien na kwangu pia
@yasirabdalla14302 жыл бұрын
diamond na harmonise
@fabiolabeni712 жыл бұрын
Hapo kwenye mahusiano masikin wa mungu imenikuta ila nashukuru mungu mafundisho yako yananifundisha
@Francsimba642 жыл бұрын
Nakuelew sana kak
@mudingusii22522 жыл бұрын
Ok,nilijua pia jambo linalohusu mahusianao pia litatajwa hapa kwan wapo baadhi ya watu ni maadui kutokana na mahusiano..... 🤔🤔🤔 Ok,asante kaka joel kwa somo zuri
@ericndahani51522 жыл бұрын
thanks for today brother nanauka
@charlesjohn53772 жыл бұрын
Marafiki wengine wana wivu, akiona umefanikiwa urafiki unakufa
@neemaonesmo14832 жыл бұрын
Very true Sir. Thanks
@nursechunga44702 жыл бұрын
Asante Kaka Joel namba moja imenicost Sana😢
@kharifasiraji34462 жыл бұрын
Br joel sana sana apo ni swala la pesa
@badilishafikratv93542 жыл бұрын
Asantee sana
@ndobeheshija41762 жыл бұрын
Kumtongoza mke au mme wa rafiki yako, hapo sir nanauka inaweza kupelekea kutoka kwenye urafiki na kuwa maadui wa milele huwa inauma Sana rafiki uliemwamini ukagundua ana uhusiano wa kimapenzi na mke wako hapo hakuna urafiki tena
@consolatamapunda51422 жыл бұрын
Xna bro
@annahaule72752 жыл бұрын
KAKA JOEL UMEGUSA MSHIPA WA DAMU SIJAONA TU KWA WATU WALA KUSIKIA IMENITOKEA MIMI MWENYEWE NINAMTU TUMEVUNJA URAFIKI SABABU NI YEYE KUWA RAFIKI WA ADUI YANGU KUVUNJA MAKUBALIANO YA KAZI NA KUFANYA KINYUME NA KILE TULICHOKUBALIANA NA MAMBO KADHA WA KADHA KAKA NIKUTAKIE MAISHA MAREFU KAZI YAKO INANIBARIKI SANA