Munasikiya . D. N. A kua hiyo ni kazi kubwa, Every thîng ok hiyo nae ni kufuru wapi tumepata kusikia hayo basi huyo firaun huyo ndo kazikwa n'a Mali zake
@rebeckaitolya75353 жыл бұрын
Ila mmemsema mtt wa wtu jmn muachen apumzike mnaumba maneno mungu hpend
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Hiyo ndo true . D. N. A si ya hamissa aliosema alikwenda kupima n'a akapewa saa hiyo hiyo . Mungu wangu wee
@benjaminwafula10 ай бұрын
Sijawai sikia tajiri Kaa huyo eti Ginimbi kupitiapitia kwangu hapa KZbin ndo nikaona hii video ya Ginimbi siku zote Mali au utajiri wa mapepo au ushetani au pia freemason Mali hizo hazidumu kamwe pambana kisabuni mungu wetu sio kipofu wala kiwete asikusikie wala kukuona fanya kazi na bidii huku ukimtegemea mungu mwamini mungu ipo siku utafanikiwa kibao chake bony mwaitege
@salamapembe4563 жыл бұрын
Pumzika kwa amani amani ginimbi inshaallah Mungu akusamehe dhambi
@gracenyeho66213 жыл бұрын
Hakuna kusamehewa dhambi ukifa inatakiwa utubu kabla haujafa
@edithntwigah91603 жыл бұрын
Watu watafute pesa....yaani Mungu hawezi bariki mtu na pesa...mtu akitajirika ni shida...binadamu
@daudyminyanyasayi47133 жыл бұрын
Tunataka tuone huyo nyoka alivyotokeza hapo msiban nyie cyo wakweli achen uzushi wenu wa ajabu
@kicheleibasso53823 жыл бұрын
Ubinadamu ni kazi
@happynelson11363 жыл бұрын
Hivi nyie vichwa vyenu vibovu namna hiyo mnaamini mtu anaweza kuwa mchawi akawa tajiri au kuna joka linatoa pesa? mbona wachawi bongo ni masikini wa kutupwa kazi yao kuwadanganya tu watu pesa
@shakila39823 жыл бұрын
Wewe hujui unasema nini, kuzaliwa ni bahati kufa lazima
@marymango31823 жыл бұрын
Kwann msiwasaidie maskini
@minabuelysee83 жыл бұрын
sio lazima vieneye sabab mtu akifa na ujauzito kilicho ndani kikafia ndani kinakua hakijazaliwa
@kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын
Nafurai tu na hiyo sauti yako dada lakini unavoielezea hii story sijakuelewa dada, sawa na wemwenyee pia kua wasema huelewi
@herie16m3 жыл бұрын
Hovyo Kichwa cha habari ni tofauti na ulichoongea!!
@rosemongi52733 жыл бұрын
Mungu Kwanza vingine vyote tutaongezewa maana fedha na zahabu vyote Ni vyake utajiri na heshima vyote vinatoka kwake unitaka vya shetani ni lazima utavigaramikia Tena garama ya ajabu.
@geoginawabululu323 жыл бұрын
So sad kama ni ukweli mama katolewa kafara
@donmlevi3 жыл бұрын
Akuna nyoka ina tema pesa iyo ni uongo, pesa ina tengenezwa na machine sio nyoka,
@khadijaomar84273 жыл бұрын
Liko dear ila kwa ushirikina fatilia story za davistar mata mikasa
@victorialucas90943 жыл бұрын
lipo ila unaweza ona mtu ana chen kumbe ni joka ww unaona chen usk linakua joka na linatema pesa ishamtokea kibaka kaiba cheni usk likawa joka linatema ela akawa hajui afanyaje alizimia kuzinduka imekua chen vile vile na akailudisha kwa mwenyew
@victorialucas90943 жыл бұрын
Muoxha magali
@emmanuelnzaligo62623 жыл бұрын
Machine yeyote inayotengeneza pesa basi pesa hiyo inakuwa ni feki na huwezi kutumia pesa nyingi hivyo zikiwa ni feki au niongeze sauti
@kaimuulongo95903 жыл бұрын
Ww wacha kubisha vitu usivyovijua ww kwan unazijua pesa za majini kama huzijui pesa za majini basi nitafute kwenye namba 0788888800 nikupe muongozo.
Mwachen kufuatilia maisha ya watu mtu akifa visingizio huwa havikosi
@hemedsabuni45113 жыл бұрын
Mbona unaeleza tofauti na mada?unamaanisha nini?
@joycepeter66783 жыл бұрын
Umeona e
@cirilapalingo78673 жыл бұрын
Achen kudadavua vtu wabongo tunakuwa wambea mtu kafa nyie mnapata fursa ya kutafutia kipato
@micamathew25953 жыл бұрын
Jmn kifo kipo!!! Msijiwekee hazina hapa duniani bali jiwekeeni hazina mbinguni!!! Sasa bora kufa ukiwa masikini wa pesa kuliko kufa ukiwa tajiri wa mali nyingi. Hakika ni vigumu sana tajiri kuingia katika ufalme wa Mbinguni!!! Sasa mimi na ww tunajifunza nini???
@deusirichard34423 жыл бұрын
Nkweli nmekuelewa
@johannahakim84703 жыл бұрын
Mpishe bi FATMA anatuongezeya mchoko
@simonjonas63163 жыл бұрын
Oisit
@sylviah96663 жыл бұрын
Sasa we mbuzi hiyo mada yko mbona ni tofauti na yale unayasema....waudhi wewe...
@mwathijoshuajoshua15493 жыл бұрын
Ukiwamasini balaa ukitajirika shida yatasemwa mengi ila ajuwaye yote ni mungu.
@khadijamadiwa60673 жыл бұрын
Pumuzika kwaaman ginimbi
@joycepeter66783 жыл бұрын
Umeona ee
@gboysam43843 жыл бұрын
Acheni hizo jamani
@gboysam43843 жыл бұрын
Kama ginimbi kuwa tajili inawauma basi na nyie ni vema muingie free Mason mpewe joka linalotema pesa acheni majungu bana