Ewe mola wngu nijalie rizki ya halali bora nitoe jasho langu kwa kupata rizki ya heri pili anijalie mwisho mwema in shaa Allah
@rahmahassan32353 жыл бұрын
Amiin yarabii amin
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Apumzishe ,Allah Ndo Muhukumu.
@evancemwakyusa26173 жыл бұрын
Heri kuwa masikini!! Kuliko Tajiri wa mikataba Kama ni hivi.
@meckgushasha88963 жыл бұрын
Vijana jihadharini na nguvu za giza pambana na mali ya halali ukitaka mali shika jembe ukalime Mungu atakubariki kazi ya mikono yako
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Mali ya jembe ni tabu my mikono inaota sugu, vjana hawataki wanataka kula bata.
@pogwamzalendotz86823 жыл бұрын
M/mungu tunakuomba sana tujaalie mwisho mwema katika maisha yetu.
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Àamiin.
@fajarfajar78553 жыл бұрын
asalam alaikum vipi daa
@fajarfajar78553 жыл бұрын
Amiin
@shadyamustafa16683 жыл бұрын
@@fajarfajar7855 Allah tujalie rizike ya halali
@lovvy8543 жыл бұрын
Ameen
@HamisiMdabuo Жыл бұрын
Mwenyezimungu amlaan zaid mali ambay haijahusishwa na allwa
@magrethcharles72033 жыл бұрын
Dada punguza maneno nenda kwenye key point
@euniceapina67973 жыл бұрын
anaboh hataki kuenda kwa point she is still beating around the bush
@azizayassin36233 жыл бұрын
Anachefuuuuuu sana kwa kweli
@rebeckaitolya75353 жыл бұрын
Lakini wapendwa ktk bwana hkuna mwenye ushaid Kama ginimbi alikuwa kwa chama hcho tumuache apumzike ili tucvune dhambi
@victorialucas90943 жыл бұрын
kwel kabisa
@wsoseneu24933 жыл бұрын
Mtapend mali mtasahau makambur ya allah nip mwish mwema kdg kiw kizr minitarizika😭😭🙏🙏🙏
@joiceqtr42153 жыл бұрын
Mungu wangu tujalie mwisho mwema na atujalie mali ya halali na Mungu ndiye msiriwake na malizake YARABI tunusuru RIP AMINARABILALAMIN
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Àamiin.
@michaelotieno17873 жыл бұрын
Life is upon anyone to choose their is freedom to decide.....ukipata hela uko secret society only God knows let the man 🙏 RIP
@fatmaali49213 жыл бұрын
Maiti haiongelewi vibaya mtu amekufa asha kufa muachien mungu amuhukumu huyu mja wake sie binaadamu sote hatuujui mwisho wetu tuombe tu mwisho mwema na yy tumuombee allah ampunguzie adhabu za kabur basi ndo kubwa letu hili
@dontcometrue76663 жыл бұрын
Duuuh mungu ni mungu tu hata uwe na pesa vipi kufa ni utakufa tuuu tumuombe mungu awe nasi siku zote
@marthagolani15973 жыл бұрын
Tumjueni mungu kwa nguvu zote angemjua mungu ingekuwa raha sana
@careenmshairi29693 жыл бұрын
Ww dad ambay una tangaza acha umbey ulikuwepo wakat ana tafut pesa zak jamn ww muogop mungu usimuukum mtu angal ww huja hukumiwa.
@maryjonh3113 жыл бұрын
ivi ajaacha mtoto?
@mwanaishahussein26353 жыл бұрын
Jamani turidhike na tulicho ruzukiwa na ALLAH sio kujidhalilisha nafsi😏😏😏🇰🇪
@salmaramadhani37073 жыл бұрын
Khullnafsi Dhaikhatul Mauti Usinihukumu Mtu Kabla hujahukumiwa
@deborahjoseph8383 жыл бұрын
Pumzika kwa amani,tafuteni pesa mtu akitafuta kwa bidii mnaongea sana akikaaa mnamsema wanadamu mnachosha . Allah atupe mwisho mwema
@Neema4083 жыл бұрын
Uongo tuu alipokuwa ajafa mbn yote ayakuwepo Leo kafa imekuwa mambo mengi jamanii muachen marehem apumzike kwa amaniii
@lailachaka53343 жыл бұрын
Pliz msihukumu mtu coz vile mwamwaogea ndio mwampa uzito kwa kifo chake muombeni ili mungu ampokele vizuri. Vile mnavyo ongea ndio mwamzidishia adhabu plz si vizuri sote tuwapita njia
@rahmahassan32353 жыл бұрын
Kwakweli wanazidi kumpa mzigo mzito kwa ALLAH mtu akifariki msipende kuongelea mabaya yake
@jaclinedavid13563 жыл бұрын
Wafu wamo makaburini.Mhubiri 9:5-6.wanasubiri ufufuo na hukumu.Hawapo mbinguni,motoni wala toharani.Wokovu ni kupitia kwa Yesu Kristo pekeee.Nje na hapo,hakuna wokovu.maombi hayafuti matendo ya mtu.akishakufa,historia yake imefungwa
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJiweK2rbJ2Mbpo
@lailachaka53343 жыл бұрын
@@rahmahassan3235 kweli kabisa
@lailachaka53343 жыл бұрын
@@jaclinedavid1356 Adhabu huwanzia kaburini mpka siku ya kufufuliwa ndio wambia usimuongele akieye kufa mabaya hata Qur'an nimeleza hiyo nikumuombea tu kwa Allah amsamehe madhambi yake na amuepushe na Adhabu ya kaburi na moto wa jahannam Amiin
@zainulikibaya67773 жыл бұрын
Mungu nijarie pesa za halali
@rosenelima86183 жыл бұрын
Mungu ajuaye yaliyo zirini na yaliyo wasi,mungu atujalie mwisho mwema na atusamehe
@wowo15463 жыл бұрын
🎺🎺 hata wewe pia una Joka chumbani kwako🇹🇿🤔
@aminaali84273 жыл бұрын
Hii ni Africa,ukiwa tajiri uko freemason,ukiwa maskini umerogwa,sasa watu wafanyeje
@paccomabula14563 жыл бұрын
Hahahahahaaa
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@morineakinyi11163 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Virginia-zh4on3 жыл бұрын
Aki watu hawaeleweki 🤣🤣🤣🤣
@lovvy8543 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣waa Africa matumbiri🐒🐵🐵
@luluauma18863 жыл бұрын
Life is a choice.
@maryiammohammed42543 жыл бұрын
Allah amsamehe
@makongoronyerere25953 жыл бұрын
Hichi kidada kimbea mbea iv, joka lenyew htulion umbea umbea2
@lulually67223 жыл бұрын
Tamaa humponza kichwa malipo ya dhambi mshahara wake ndio huo alikuwa Hana mke wala mtt ndio Mana kajitoa kafara mwenyewe na siku alikuwa anaijua ndio Mana alilewa sana kuchomoka kwake kwenye gari ilikuwa awatoe wenzie kafara yy asevu lkn wp yy ndio walikuwa wanamuhitaji na ile hakuchomoka kachomolewa kusudi wale wasiotakiwa wameteketezwa na moto lazima alipe alichokila
@mwantimazdombo60493 жыл бұрын
meneno mengi unamalizia watu bundls
@Neema4083 жыл бұрын
I'm shook dear
@happysam2513 жыл бұрын
Lakini familia ya ginimbi ingekubali tu hizo sherehe zifanyike koz hayo pia ni masharti wanapewa sasa wakikosa kufanyiwa hivo watapewa adhabu ngumu sana huko kuzimu na fimbo nyingi pia watachapwa
@vivianswtel37993 жыл бұрын
Tuonyeshe io room pali joka iko.ata ndo maana nimefungua ii page nione io joka kama niukweli
@jackiephyll12503 жыл бұрын
🤣😂🤣
@tressamakunzo22033 жыл бұрын
Utaona sasa hujawaelewa wabongo wanapenda view nying kwenye hamna
@vivianswtel37993 жыл бұрын
@@tressamakunzo2203 waaaa apo umesema ukweli...yani mtu anaongea nikama io joka iko ukweli mimi nilikua najitayarisha kuona
@lulually67223 жыл бұрын
Kachomolewa kwenye gari kimiujiza wangekuwa hawamtaki wangemuacha na yy ateketezwe na moto lkn taget yao ilikuwa ni yy kawakosea kujirusha kulikuwa kwingi kakiika masharti ndio Mana imekula kwake
@marydalotta7941 Жыл бұрын
Kuzimu ya mateso inangojea Mali za shetani, Mungu akuweke mahali unapostahili. 💀☠️🙈
@abdullahrashed48173 жыл бұрын
tumewachoka na mahabari zenu
@daud4052 жыл бұрын
hii ni kweli mm niliwahi kuiona hapo kwake
@OmarMohamed-tp4uf3 жыл бұрын
Ilo joka nipeni mm lini tapikia pesa na mm ama mpaka niwe freemasonry
@judithmelvinealuchio89683 жыл бұрын
😂😂😂weeh omba mungu atakupa rafiki yangu hata ukichelewa mungu hatakuwacha
@OmarMohamed-tp4uf3 жыл бұрын
@@judithmelvinealuchio8968 inshaAllah wacha tu ombe mungu tuuuu cozy Ata nikipewa joka nitashindwa kulimiliki yanikufata miko
@linetjuma80073 жыл бұрын
Joka kama inatema pesa shida yenyu ni nn, wacheni ginimbi ampuzike masikini ndyo wana tunga hizo maneno.akuna kitu kama hizo
@priskilakenedi94403 жыл бұрын
Hilo joka liko wapi mbona hamlioneshi linalotema pesa likiwa ndani ya chumba
@lucyshirima47013 жыл бұрын
Waandishi wa abar mungu anawaona jmn Ila hyo mambo yapo Sana tu
@bablojakitalambo5043 жыл бұрын
Wewe mama mbn aueleweki unaludialudia maneno
@Emmamusiccmb3 жыл бұрын
*Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba angalia video ya wimbo wangu mpya kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel yangu hii* Ahsante sana
@nabiiprosper65053 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhpoo
@husseindiliwa63643 жыл бұрын
Joka liko.wap
@hayesamaarufu90533 жыл бұрын
Hebu waulize
@ginafy58403 жыл бұрын
Wanahabari na umbea😂😂😂, endeeni hilo joka basi pia nyinyi liwatemee pesa.
@banzacharles29443 жыл бұрын
Wa africa bhana ukiwa tajiri ni freemason ukiwa masikini ni umerogwa
@hannahmwaura24633 жыл бұрын
Sasa shida yenu wanahabari ni nini... ata kama alikua kwa hicho chama Kuna haja gani kuongea saana..hayo yote ni yake na Mungu wake..... Pumzika kwa Amani ginimbi. ..
@shamsahassan25863 жыл бұрын
Lisemwalo lipo jamani,,hiyo hali c yakawaida,,sometyms uwongo unafanana naukweli
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
Umeona
@happysam2513 жыл бұрын
Yaani hii nayo iko wazi na hivi ndivo shetani ameanza kuchukua pesa zake duuu
@alwattanchinga3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eJiweK2rbJ2Mbpo
@fredichaki48683 жыл бұрын
Nikweli kabisa yani
@octaviomasawe53713 жыл бұрын
Jamani atakama tunasema wafrika tuna Imani potufu ukiangalia mwanzo mpak mwisho Kam muelewa unaelewa
@florachogo55373 жыл бұрын
mungu tusaidie tulidhike na tulichonacho
@stumaihumurandayishimiye72353 жыл бұрын
Utajiri mukubwa niwakumujuwa mungu basi
@johhnymasunga41373 жыл бұрын
Dah!!
@tynerzshoo86883 жыл бұрын
mtangazaji unarudia rudia sana maneno jaman mnh
@stevensosipita56733 жыл бұрын
Waandishi swali hilo joka liko wapi?jamani?mbona hivyo?
@bibianayona43483 жыл бұрын
😂😂😂😂
@believesalatiely15143 жыл бұрын
waongo ty hawa mbka wanauz
@thomacmoric78093 жыл бұрын
Mungu tuepushe na baraa za duniani
@masungwasalumu12783 жыл бұрын
Hakuna utajiri uliopo hapa Duniani usiokua na Madhabau iwe ya Mungu au ya shetani na madhabahu ya shetani huwa haidumu ni FEKI Madhabahu ya Mungu ni Original
@believesalatiely15143 жыл бұрын
Yann saiz ukipata hela unamajoka😂😂🙌🙌achen useng bna kuen na elimu bac
@wowo15463 жыл бұрын
Diamond pia ana Joka ndani kwake🇹🇿🤔
@JohnWilson-uk7om3 жыл бұрын
Kama kuna njia fupi ya utajiri Kwa nn umie kichwa sasa wakati kufa lazima hatujui tu jinsi yakujiunga ingekuwa rahis wabongo tunavyopenda starehe mm ningekuwa milionea kufa nimeandikiwa
@sophieramadhan15503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@innobugobola16943 жыл бұрын
Uongo tu alipokuwa ajafa mbn ayo yote ayakuwepo Leo kafa imekuwa Mambo mengi jmn muachen marehem apumzike kwa Amani!! et kila mmoja mmoja wapo Nww
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Tukishakufa kila mtu anasema lake.Mungu ndoanatujua vizuri jamni
@happysam2513 жыл бұрын
Wueee!!! na hivi ndivo lucifer huchukua Mali zake hayo magari yote yatachomeka hadi majumba pia heee!!!...Mungu tusamehee ss binadamu jamani siku ya kiama tutajibu nini jamani 😭😭😭😭
@qdady_tz70163 жыл бұрын
Allah ana sema usiongee kitu usicho kijua 2muachie allah ndie muweza
@lulually67223 жыл бұрын
Na mali zote zitateketea kwa sababu Hana wakurithi Hana mke wala mtt mali zinarudi kwa wenyewe
@elinaoyiso90813 жыл бұрын
No weapon against God shall prosper... free mason sio suluhisho, turn to God our saviour
@fatmamwatamba58813 жыл бұрын
Mmmh mnatubowa bwana Nenda kwenye point Mnaongeya utumbo tu,mnarudiya maneno hayo hayo ilimradi tu mchukuwe wakati😬😬😬😬
@lucymasawe54533 жыл бұрын
Mmmmm
@linetwambui98523 жыл бұрын
Mungu ndiye hakimu
@sefumohamed24163 жыл бұрын
lahasana kufa
@dawhiteschola88473 жыл бұрын
Anaonekana kabisaaa nimwana chama wahaooo mafreemos 🚴🚴🚴🚴🏃🏃
@ruwailaomar65013 жыл бұрын
Simlaumu sana sababu huyu jamaa sio muislamu
@joycemaina6232 Жыл бұрын
Mimi naoba gari Moja nko Kenya niazime .
@janefferwangui45113 жыл бұрын
What a young soul😢may your soul rest in peace 🙏
@zakyahya46453 жыл бұрын
Nipo zang apa nakunja nguo za warabu nasafisha hamam za warabu natafuta changu cha halali
@sylfiailavonga98673 жыл бұрын
Tia bidii dada
@zakyahya46453 жыл бұрын
@@sylfiailavonga9867 inshallah najitaidi
@julianacharles60143 жыл бұрын
Kweli usimuulize mtu utajiri kaupata wapi Lol😨
@mudathirmiungu20443 жыл бұрын
Pesa zinaraha ake Wakikujadili jua wamekukubali .
@gsmtzinfogsm86013 жыл бұрын
Umbea
@careenmshairi29693 жыл бұрын
Hap ndipo tunapo mkoseag mungu wetu kwaiy kila mwenye pesa ni kazitowa kwa shetan muogopen ata huy mungu kwaiy mnamaanish mungu awez mbarik mtu akaw na pesa nying kam za ginimbi jamn heeee.wanadam .jamn nabo una muhukum mtu ingalikuwa ww hujuw kesh yak.au hujuw at uyo boss wak ambay una fany kaz kwak pes kato wap acha izo bwan haipendez
@elizabethwainaina28993 жыл бұрын
Nani aliona njoka lenyewe likitema pesa
@theblackagood93813 жыл бұрын
Acheni kupotosha jamiiii jamon nyieeee wandishi @Kwani wewe unafikr kua CEO unalipwa miamia! Mbon ma CEO akina diamond majumba yakifahar anayomilik au ndo mtu akifa mnaanzisha zogo achen ushambaaaaaaaaa huo
@sylviah96663 жыл бұрын
Diamond platinumz hope you are hearing all these about evil wealth
@Noah-zt5zf3 жыл бұрын
Yes i have heard enough of these rumours
@roseatieno66913 жыл бұрын
I hope so . And that's why they together with Zari since they sail in the same boat .
@joycemwambe34943 жыл бұрын
Yatawashinda na nyivu zenu jamani tuchape kazi tu yote yanawezekana
@sylviah96663 жыл бұрын
@@joycemwambe3494 Hebu jiongeze aiseee....Tumia akili .....namwonea wivu mtu nisomfahamu? Mtu nisoishi Naye? Mtu nayemwona kwenye screen tu....jiongeze
@mwanajumasaid19833 жыл бұрын
Yarabby tupe mwisho mwema
@estherandati23623 жыл бұрын
watu jamani iko wapi joka
@shanijames63773 жыл бұрын
Wanachoitaji hapo ni story tu
@christabelathiambo30383 жыл бұрын
Kweli kabisha dada
@zahrasalim55333 жыл бұрын
Thambi muna beba nyinyi subhana Allah yeye na mola wake
We dada ilo Joka litakua lako kama umeliona huku kwa Ginimbi mbona hulionyeshi unaongea maneno mengi kama umefumaniwa, Tafuta habari zenye uakika sio kusema kila kitu Eti wanasema,mara inasemekana mara uenda alisema kila kitu ulichoongea huna uhakika sasa ndo uandishi gani huo Acha ufala
@ratifasimba96313 жыл бұрын
Ww ulishuhudia hiz mambo unazo zisemaa au ufinyu wa akili
@roseatieno66913 жыл бұрын
Dark power unauza roho yako ndio ukisea kutoa basi wachukuwa roho yako. Dirty money ndio hiyo .
@alfaweston57723 жыл бұрын
Jaman kwann tusilizike na tulicho nacho
@emmyyahya83583 жыл бұрын
Asameehewe
@johariharuna55733 жыл бұрын
Hayo anayajua mwenyewe
@gracemakenzi65153 жыл бұрын
Unarudia maneno wew af acha umbea na uongo
@patriciawaisaac48853 жыл бұрын
Hakuna za bure za bure ni Mungu pekee anapea
@marthamoses35993 жыл бұрын
😢
@elizabethwainaina28993 жыл бұрын
Naomba mutuonyeshe nyoka mwenyewe
@simonmkumbo38383 жыл бұрын
Unarudia rudia mpaka unachosha.
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Joka liko wapi?
@moshimgaza56423 жыл бұрын
YALLAB nijalie mwisho mwema
@mwathijoshuajoshua15493 жыл бұрын
Asili yamwanadamu ameumbwa kwakupenda Mali lamuhimu nimali yako utaitafuta kwanjia gani Mali tutaziacha hapahapa duniani tumuogo mungu.
@maryamomar59113 жыл бұрын
Fact
@pioustrevol34683 жыл бұрын
Kila m2 ataongea lakwake katika mafanikio ya m2, Ila wanangu tukumbuke kula Kwa jasho, co wote tutakua na pesa au utajiri Ila pambana kadiri ya uwezo wako, lidhika na ulichojaaliwa huwez Fanya kaz ya jero upate million unapewa unachostahili Ila sio unachotaka.
@victoriankanue78493 жыл бұрын
Upo vzr broooo
@pioustrevol34683 жыл бұрын
@@victoriankanue7849 ulchopewa na bnadam kinaweza ondoka mda oote Ila akikupea Sir God Amin iyo n mpk unarud kwake 😁😁😁
@athmanmhesa50473 жыл бұрын
Hakika mungu mungu yupo hizi ndio mwisho wa maisha ya kishetan
@sakinaabdallah77133 жыл бұрын
Wee ni vijifikira vidogo hivyo
@piensianamalindi993 жыл бұрын
E mola msamehe...
@ruadruad10733 жыл бұрын
Vitu za short cut havidumu heri kuchukuwa njia mrefu ili ufaulu