Pesa hizi hawawezi kufanya msada wote ju wanaogo watakufa lazima wazitumiye kimasheta ili Wakipe thamani chama chowo bila ivo watakufa, wote umoya Bada yaungine,ndio mana na wanafata masharti wamepewa na mwenz a kwote awo ni chama kimoja, ya rabbi tupe mwisho mwema, from🇧🇮
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Kila kitu kitaishia hapa duniani basi ni amali zake tu mungu atachukua sawa kubukeni dunia mapito 😢 mungu aiweke mahala pema peponi Amina.
@danielicosmas1373 жыл бұрын
Anae mtegemea mungu like twenzetu
@selemaninahimani8203 жыл бұрын
Wamesahau kumzika na nyumba na magari yake yote 😂😂
@hongeramfugale32393 жыл бұрын
😂😂😂 wamesahau na clabu yake
@dorkasedmund49623 жыл бұрын
Umeona eeeeh
@binsultan69813 жыл бұрын
Uyu ata wakimzika na fly over ya tazara na B.O.T Tayar Kw sasa ni chakula cha wadudu
@mamachris68113 жыл бұрын
Mungu hapokei rushwa,hata ukizikwa na pesa utahukumiwa kulingana na matendo yako
@robertjunior99163 жыл бұрын
Hawa vijana wanajua mikataba wanayoingia na mwisho wao huwa wanajua itakavyokuwa 🚴
@gabrielisack77863 жыл бұрын
Nalo ni neno
@FourTeen_Kiid3 жыл бұрын
Asa nia yao nini kumzika na pesa nyingi hivyo, wakati kwa Mungu hakuna rushwa ni haki tu
@shamsahassan25863 жыл бұрын
Waambie wasoelewa kua zawadi kubwa yakwenda NATO ni amal take tu na c pesa
@niwemugenimediatrice56403 жыл бұрын
Haitawezekana !labda kupiga picha tu lakin atakuja kufufuliwa na kurudisha pesa kwenye mzunguka wake!
@allymacnair51893 жыл бұрын
Lengo wapige maskin tu maan hataacha kuenda kulichimba kaburi
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Atazitumia huko anakokwenda ?
@FourTeen_Kiid3 жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 haiwezekani
@shemsahemed35773 жыл бұрын
Kuna watu wasojiweza mafukara mayatima wagonjwa hospital pesa wanazichezeya hivi subhanaallah
@radhiambwana87873 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema maan pesa nikitu kizr pia kibaya sana.
@carolmuchiri99213 жыл бұрын
Pale Yuko Sasa, Akapewa nafasi ya Kufufuka tena, Atakuja kama Amempokea Bwana Yesu, Pole Mwanadamu😭😭😭😭
@farisytanzania65663 жыл бұрын
Hivi nyie kila kitu Yesu, kwani Yesu ni nani?
@frankmpoto53473 жыл бұрын
Yesu aliwauliza wanafunzi wake kuwa; EE MWANADAMU ITAKUFAIDIA NINI UKIUPATA ULIMWENGU HUU WOTE KISHA ROHO YAKO IKATUPWA JEHANAM? Maisha ya dunia hii si kitu hata ungekuwa tilionea halafu ukafa bila YESU; Hapo ujue moto wa jehanamu ya milele na milele unakusubiri, umaarufu wako wa duniani hautakusaidia kuikwepa ghadhabu na hasira ya Mungu; Kwakuwa ulijifurahisha katika dunia hii kwauovu sasa mshahara wako ni JEHANAM ya milele na kuliwa na funza huku ukilia kilio cha kusaga meno milele na milele; Wakati wakutubu kwa Yesu ni sasahiv unaposoma ujumbe huu; Kifo hakitoi taarifa wala hakichagui tajiri wala maskini; Je wewe ukifa sasa roho yako itakwenda kuishi wapi milele?
@christopherchebii59733 жыл бұрын
Hello guys It is so sad to loose such a person being a son, a brother, a neighbour, a business partner, a boy friend to some lady or some ladies, a father to a son or a daughter, is very painful guys, but when I see Ginius in a Christian way, he made his choice. The bible tells us guys that we will always reap what we sow. Life is a choice guys, Ginimpi is gone, what do we learn from his life? what can one say, I want to be like him? Was he a kind person? But the main issue here guys is, after his death, can he possibly be in heaven or hell? Guys that is not ours to judge, but for us who are alive today, can we be ready ,? Coz any time you may leave this earth, when you go, where will you be? Very important for us today, no matter where you may be reading this post death can meet you there, surrender your life to Jesus Christ so that when your time come, you are ready to go home. Be blessed guys.
@credo78373 жыл бұрын
Kama nawew umemjua huyu jamaa alipokufakama mim nipe like
@rayaalaisari45923 жыл бұрын
Ndio tujuwe kama Mali si chochote hapa Duniani... Una kufa vyote vinabaki.
@erickjohansen34453 жыл бұрын
Vyote vinabaki ila unaowaacha dunian unawaachache. Tufanye kazi kwa bidii
@ramahamis57933 жыл бұрын
KBS unaenda kama ulivyokuja duniani
@sharonchristian37113 жыл бұрын
Kwaiyo uctafte Mali kisa unkufa?
@allpotentials84203 жыл бұрын
@@erickjohansen3445 kabisa ndugu watu wanapenda kuuabudu umaskini kwa kauli za kizembe fanya kazi utakufa utaacha watoto wako na mke.
@letisiamakonda38733 жыл бұрын
Si chochote sawa lakini zipitie kwako
@mcpambe80633 жыл бұрын
Leta pia habari za Ginimbi na namna alivyoishi na wazazi wake! Very sad; bilionea aliyeshindwa kabisa kuchangia matibabu ya mama yake mzazi hadi mama alipoaga dunia. Inastaajabisha, maisha anayoishi baba mzazi wa bilionea Ginimbi, huwezi amini kama ndie baba mzazi wa mtu aliyekula bata wasiohesabika na malaya wa kutosha sana. Ayo leteni stories hizo pia, zinafikirisha sana na zina mafunzo makubwa sana!
@TeamKRX3 жыл бұрын
Zimbabwe kumbe kuna wafrica matajir sikuwa najua 😳ila ya dunia tu haya kuna Sahaba mmoja alieishi miaka mingi kuliko wote alipoulizwa na alisema ameona kama Katoka mlango alipotoke na kupitia mwengine jee sisi viungo vinatusuta huyu jaaa mdogo sana ila ndio hivyo tena
@goodlucktemu31493 жыл бұрын
Mtangazaji unaongea kwa uchungu.
@maryamkhatau94453 жыл бұрын
Bahati mbaya haziwe kumsaidia maana kwa Allah hakuna rushwa ulichokipanda ndo utakacho kivuna jamanini tukitahidi kufanya mema ili iwe hakiba siku pumzi zikirudi kwa mwanyewe Allah jamanini Dunia twapita tujiandae
Usijidanganye ww dada uislam haukuja kuchezewa yaani mkiristo umjengee msikiti tena amekwishakufa kafiri . Usichekeshe umma
@binlubawa83873 жыл бұрын
Kuna watu hata rakaa 3 za mlo kwa siku zinatusumbua kwa kukosa pesa ya kununulia chakula ambacho ndio muhimu na lazima ili tuishi, wakati huohuo kuna watu wanazo nyingi na hawajui hata matumizi yake wanapanga kuzifukia kaburini daah! Mungu tustiri waja wako wallah.
@khadijaomar84273 жыл бұрын
Kweli
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Quran 20. Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.
@salmamgeta15993 жыл бұрын
Ndiyo mwisho Wa maisha yake umefika
@nonniedejosef80833 жыл бұрын
36yrs only, nothing in the house,,, wasted energy
@nasrafita69093 жыл бұрын
Dah ukishangaa ya Mussa utayaona ya filaun wakati wewe unalala na njaa wengine wanafanya pesa kuwa matangiko ya kabulini je? hizo pesa wangewapatia masikini ama kumtolea sadaka kwa mayatima au sadaka tulujalia ingeweza hata kumfaa maiti huyo huko aendako na kesho kiama Ee Mungu wetu tujalie liski za halali na mwisho mwema
@mariammuscat43003 жыл бұрын
Stafirulllah hazisadikitu kufuru iyo aaalllah atupe mwisho mema uwislam nine ma aaalllah mdulilah
@CAPTAIN_GALAXY133 жыл бұрын
ᴴᴵᵛᴵ ᴴᴵᶻᴵ ᴴᴱᴸᴬ ᵀᵁᴷᴵᴷᴬᴬ ᵀᵁᴶᴬᴰᴵᴸᴵᴬᴺᴱ ᵀᵁᴷᴬᶻᴵᶠᵁᴷᵁᴱ ᴶᴱ
@hasinarashid27683 жыл бұрын
Twende tukafanye mpango
@najmaulaya88193 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@CAPTAIN_GALAXY133 жыл бұрын
@@najmaulaya8819 tupange deal sasa 😂😂
@jamilaingu79223 жыл бұрын
Jaman !!🤭 😁wawaza ivyoo karbu waeza faulu
@CAPTAIN_GALAXY133 жыл бұрын
@@hasinarashid2768 ᴹᴵ ᴺᴬ ᴵᴹᴬᴺᴵ ᵀᵁᵀᴬᶠᴬᴺᴵᴷᴵᵂᴬ 😂😂😂
@ibrahimaziz71583 жыл бұрын
Life is not fear at all watu tunatafuta pesa wengine wanazikwa nazo
@blackman75323 жыл бұрын
Ndio ujue waafrca bado tunashida vichwani mbona wanafariki mamilionier wadunia wanazika bila chochote hiyo pesa wage pewa watoto yatima. Hivi Dunia ikisikia hayo itashangaa watu weusi.
@RAUNATION3 жыл бұрын
mbona live wakati huyu ni marehemu 😂😂😂😂😂
@oimermollelzephania1393 жыл бұрын
Haitachukua muda wagumu watazifukua au kufukua hata kama italidwa kwa masaa 24 kila leo
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Waje wamzike apo kinondoni na madola yake , ujinga tu sasa anazikwa na pesa ili iweje? Isaidie nini? Uko ni pepo au ni moto pesa zifanyeje? Wapumbavu wakubwa
@getrudandabita16513 жыл бұрын
Watu wanaoenda peponi,huwa wanambwembwe,,, Mungu anawashangaa tu,wakose kuomba toba,yani duniani watu tunahangaika,mno
@watakaniitaje12153 жыл бұрын
Mmmh cjui akili yangu ya kimasikini najiuliza hizo pesa za kuzikwa nazo anaenda kununua nini huko na atamringishia Nani ikiwa duniani huku waitaji kibao c kumzidishia adhabu tu bora wangetoa sadaka kwa ajili yake Jamani Ila masikini ndo tunavyowazaga matajiri wanawaza kuchezea
@katwigayona80413 жыл бұрын
Kweli mitandao ya kijamii ni upuuzi mtupu,,kwahiyo mnaamua kudanganya jamii kabisa
@abuuazhar37383 жыл бұрын
Illuminati members huwa siku zote hawanaga mwisho mzuri. Haya vijana kazi kwenu.
@chrispinboniface33293 жыл бұрын
Acha wafe tu mim nitakula mihogo yangu nilale hayo mengine Mungu kama hajaruhusu Kuwa na hela bas afadhari uridhike na ulicho nacho
@robertjunior99163 жыл бұрын
How can join illuminati 🚴🤦
@ThomasEmmanuel-lm3uh11 ай бұрын
Dah ety kaz kwetu hahhaha
@ashasalim28263 жыл бұрын
Mailuminati mjifunzie hapa muombe msamaha kwa Mola
@fatommmaff7053 жыл бұрын
Kaburi lake litafunika kwa gundi kuanzia chini au nivipi mana waja awawezi kuvumilia njaa pesa zikakae namarehem atafukuliwa nawajuba
@seifkulwa33463 жыл бұрын
Binadamu walio wengi masikini wanaamini kufa masiki tiketi ya kwenda mbinguni, wakati matajiri wanaamini kufa masikini ni uvivu na chukizo kwa Mungu. Mungu anapenda watu wote tuwe matajiri ndo maana ametuasa tutawale rasili Mali zote na utajiri wote wa dunia!
@bibianayona43483 жыл бұрын
On Point I dont Want To die Poor M Milionea..
@seifkulwa33463 жыл бұрын
@@bibianayona4348 Ahsante sana, tafta Mali Mwana wa Mungu utimize agizo la bwana.Nunua kitabu kinaitwa " The secret of psalms" yaani siri ya zaburi by Godfrey Selig upate fomula za kimungu utawale Mali!
@bibianayona43483 жыл бұрын
Shukran
@nonniedejosef80833 жыл бұрын
Hakuna wageni hutebea kwa Hawa watu fikila zao hewa tu. Maono hewa wanaoishi kusubiri wageni, Familia nyumba zipo pesa zipo basi upweke kwao
@henryemanuel70723 жыл бұрын
Serikali haiwez ruhusu huo upuuzi
@filberthabashi33663 жыл бұрын
Shida ni kwamba, wamiliki wa madola na viongozi wa iyo serikali wamo humo humo kwenye maisha ya ginimbi, wachache wataelewa
@issakamangila91133 жыл бұрын
Onyo watu wasijifanye kimbelembele kufukua kaburi lake kisa izo minoti atakazo zikwa nazo maana iyo nyumba nina mashaka isije kuwa magic house 🏠
@mariamukajiru23023 жыл бұрын
Hata akizikwa na hela viboko vipo pale pale sana sana atawaongezea hasira na kuadhibiwa na mkia wa taa
@zulfaathumanmashanllahmaya60823 жыл бұрын
Noma 🙆♀️
@johnmike26783 жыл бұрын
Pesa una imiliki tu ila sio yako pesa ni ya serikali uwez izika chini labda rais wa nchi iyo awe bogas chiz asiejielewa
@rashidhamis67793 жыл бұрын
Freemason ndo zao kuzikana na madola wala serikali haina tatzo nahs watakuwa wanajua hlo manake huyu jamaa ni Mason wala hakuna mjadala pesa ya halali huwez iharibu hv maisha ya anasa sana unaambiwa kila ck anaenda club na ananunua. Mapombe makal ya garama
@happymacha90533 жыл бұрын
Dah zimbabwe kunawatu wangapi wenye uhitaji maalumu??afadhari hizo hela zitolewe kwa watu hao kama sadaka kuliko kufukiwa chini jamaniii..
@cloudmlowe81403 жыл бұрын
mungu awe pamoja naye
@latipheralmasy16693 жыл бұрын
Innalilah wainna ilah rajiun... uhimidie allah kwa kuweka usawa huu,
@radhiambwana87873 жыл бұрын
Nakwel usawa wamauti nihatar vinginevyo wangekufa masikini pekeao
@latipheralmasy16693 жыл бұрын
@@gallantman604 nigee yako nikutafute
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Kamzikeni bwana na hilo zigo lake za pesa ata pigwa na hill zigo kwanza marafiki zake wanamsubiri huko mukari wa nakiri haita mfaa kitu maliyake hiyo
@dorisnyamwihura46853 жыл бұрын
Yaani kwanza kabisa mnazikaje mtu na pesa wakati zinatafutwa acheni kufuru nyie,and then mmesahau mgemzika na majumba,magari na vingine vyake vyote.He z dead z gone already ni mavumbini tuu ata uwe tajiri kiaje sote ni kwenye udongo tuu.
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Niliiyona iyo nyumba kwa mbali kwani,nilikaa siku 2 harare
@sadikidaudi12233 жыл бұрын
Haya mambo yakuzikwa napesa naona kama yanapatikana Africa tuu🙊🙊🙊
@zubedamagambo96003 жыл бұрын
Halafu ni ujinga tu, si wangezipeleka hata kwny kituo cha kulelea watoto yatima zingesaidia.
@ayoubgasper10773 жыл бұрын
Marehem ameacha watoto wangapi
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
bora azikwe nazo man hazin Saman yyte man so za halali huo ni moto 2
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
Umeona
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
kabisa yn
@natureworld2953 жыл бұрын
This guy was running a whole petroleum company like total , shell , kenol . how comes you expected him to still remain poor
@pamelauwera38303 жыл бұрын
Ingekuwa bongo wajumbe tungezifukuwa
@umnooralriyami95523 жыл бұрын
😂😂Wajumbe watu hatari
@umnooralriyami95523 жыл бұрын
😂😂Wajumbe watu hatari
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
hao ndugu zake ni wapumbavu
@winfredykabonge13663 жыл бұрын
Kabonge mwenzangu kaniangusha
@juliacheptum18633 жыл бұрын
Maajabu...all is vanity...
@iyangasungwa26273 жыл бұрын
Mwezi huu tutakoma kila ukifungua mitandao no be ginimbi kafa zari kaja Tz ni mtihani
@phiniaskishenyi2973 жыл бұрын
Ngoja afe unakufuru wakat umekufa makin wengi istoshe ela si yako ni ya serikali
@exoduspaul33823 жыл бұрын
Mungu ni Mungu tu!
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
😁😁 hawa kili wambiye wanipye mimi hizo hela.maana hazina faida kaburini sawa plz nilteee mm hizo😊
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Unaota sana
@ghanimaali45073 жыл бұрын
kama alivyo kuja ndio alivyorudi hata kazikwa na nn ni yy na amali zake tu
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
wao wamzike nazo tu watazifukua hzo ni mali za serikali
Huko sheria haipo?fedha ni nyaraka ya serikali,tujifunze kit u,duniani tunapita,na haya yote ni kujichosha,na kujilisha upepo,tuweke hazina. mbinguni,huko hakuna kuliwa nondo na kutu
@hasinarashid27683 жыл бұрын
Hiv mtu unaanzaje kuzikwaa na hela?na uchumi wa duniaa ulivyoyumba??wangap tunashidaa hapa dunian?leo zikaozee chin mhhh
@ivaniavianarodrigo72013 жыл бұрын
hasa hiyo nchi ya zimbabwe, ni hatari sana, ila ni pesa kishetani usishangae.
@hamisikitwana79573 жыл бұрын
Tens Nchi yenyewe ni Zimbabwe ambayobuchumibwao ni mgumu sana hizo Dora serikali inazitafuta kwa udu na uvumba
@ibrahimbyaese91483 жыл бұрын
Sasaizoela njozitamlipia kuiona pepo ama 😂😂😂
@mwajumamissanga26163 жыл бұрын
Kaburi litachimbuliwa hilo😁
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Fedha c Mali yake ni ya serikali wanaruhusuje kufukia ardhini? Ponda Mali kufa kwaja
@thesonofficial18973 жыл бұрын
Kama ipo we ponda tu Kama hauna hauna Ata usipoponda kifo akiepukiki
@judithkatabaro32943 жыл бұрын
Sio eshima bali zile pesa ninyoka litakuwa lina mla mpaka pale atakapo itwa namungu rasmi
@cosmasdaud90883 жыл бұрын
Huu utajiri unawalakini Sio bure kwani nchini kwao hakuna masikini hadi ufukie pesa chini
@machintangachibwena59223 жыл бұрын
Milard ayo hauna habari siku hizi wasafi watakupoteza kwenye Ramani
@mbecheterombeche33753 жыл бұрын
Huu ndy ungese umekula bata na uliwazarau watu wa kawaida leo wanakizika duuuu
@muanashaswaleh51103 жыл бұрын
Ninge kua karibu ninge zifukua lakini shida niilo joka kumbwa utaweza fatwa usiku
@nabillalli16613 жыл бұрын
Kama ulikuwa hujui hili ndio jumba diamond aloshutia utanipendaga....na ndinga zote zile
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Ss kumzika na pesa IIi iweje jmn si muwape masikini uko
@joeweke28273 жыл бұрын
RIP Ginimbi
@josephinegravasiano88603 жыл бұрын
Kwa hiyo akizikwa na fedha zake imsaidie nini ,Mungu atuhurumie tu
@josephmusagasa55663 жыл бұрын
Je,roho yake ipo wp pamoja na mali zake zote akizokuwa nazo,yaani roho kwanza mali ni majaliwa
@jameszephaniajames72993 жыл бұрын
Kwa sheria ipi ya kumzika na PESA? Mbona mganda alizikwa na pesa ila wakazifukua ije iwe yeye
@allystideforever65943 жыл бұрын
wakipgwa doro watamfukua kwenye kaburi lake ingekuw kheli endapo pesa ambazo atazkwa nazo waztoe sadaka kwa Mungu,wapewe ata masikn ili apunguziw adhab ya kaburi kuriko kuzikwa na pesa ambazo watu tunatafuta usiku na mchana maandko yanasema ukitaka kumfata Mungu uuze ulivyo uwape masikini kisha ndio umfuate apo mgefanya ivo marafiki mliobaki nasio kumzka na pesa. pesa Niya kaisali, mwili ni waudongo na pumzi ni ya Mungu ambapo Mungu kamyang'anya pumzi, udongo utachukua mwili pesa nyumba na magari vinabak duniani. nmeeleza mpaka mate yamekauka @millardy nipe ata buku nipate maji ya bard😂😂(Rest in peace billionaire😫)
@mosesmoses14293 жыл бұрын
Hahahaha kweri Bora kifa masikini kuliko kufa tajiri
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Huo no upumbavu pesa wape familia yeye kasha kufa bwana laaaaaaana na upuuzi tuuu😪
Mmmh! watu hawanaga akili kabisa wala Hawamjuwi mungu tangu lini mtu akazikwa na pesa
@iyangasungwa26273 жыл бұрын
Hizo pesa atazitumia kwa matumizi gani huko kaburini
@selemanisalimu73983 жыл бұрын
Aisee kama mungu akitaka
@allanothuman29413 жыл бұрын
Mungu spend sana hizi dharau apend San Kwann hizi ela usiwape watu wenye shidh why why why usiwape hiz ela pelek bhac Hata hospital watu wanashid nyie mnamzik mtu na ela aiseee utaulizwaa sana ww ulie mzik na hiz ela utaulizwaa sana nyie
@maryamm77653 жыл бұрын
Dah mtihan bora ukawape watu wasiojiweza
@mukaipeter21863 жыл бұрын
Uuuuiiii nileteni izo hela jamani
@mollywoodtelevision12193 жыл бұрын
RIp
@nestorykaloto50553 жыл бұрын
Nihatar bola kidogo cha bila taabu
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Pengine akatowe rushwa kwa malaika wenye kutowa azabu
@hongeramfugale32393 жыл бұрын
Wamesshau kuzika na nyumba na clabu yake
@munabweniz40843 жыл бұрын
Kufuru hio mtu atazikwaje na pesa wakati mayatima wamejazana na maskini tele? Hio pesa wangepelekea maskini ili ajipunguzie mzigo uko anakoenda
@carenalphonce50133 жыл бұрын
Ni kwel muna yaani awawezi kuona ata masikin wanavolia
@munabweniz40843 жыл бұрын
@@carenalphonce5013 kuna watu wanamkosea mungu wallah 😭😭sasa hio pesa akizikwa nayo atakwenda nunua nini huko kaburini
@carenalphonce50133 жыл бұрын
@@munabweniz4084 yaani ni dhambi sanaaa
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
😂😂😂😂 kuoza ni kulekule tu
@ibrahimmohammed56303 жыл бұрын
Nonsense hakuna watu wa hekima huko Wakazuia usifanyike ujinga huo ?