JOTO la UCHAGUZI GEITA -WANANCHI HAWAONI MAJINA -MSIMAMIZI wa UCHAGUZI ANGILIA KATI-AWAONESHA MAJINA

  Рет қаралды 8,219

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@EliaHiluka
@EliaHiluka 2 ай бұрын
Ninyi viongozi waovu ole wenu Mungu atashughulika na ninyi waovu mliohujumu uchaguzi huu
@gastonjohn537
@gastonjohn537 2 ай бұрын
Huyo msimamizi hafai Mungu amchukue tu
@sadocklundi5216
@sadocklundi5216 2 ай бұрын
Sisi watanzania ni wavivu wa kusoma, ukiandika majina kwenye karatasi ukatoa nakala ya majina yatajipangangaje kwa mtiririko wa herufi?
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 ай бұрын
Mbona yupo ok maelezo yamenyooka
@hamisaramadhan-ft9mi
@hamisaramadhan-ft9mi 2 ай бұрын
Safi sana msimamizi umeongea point,👏👏👏
@LazaroSalon
@LazaroSalon 2 ай бұрын
Jamani tusikubali mwaka huu tuangalie Tena mbembele kwenda umelipwa utakufa tu
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 2 ай бұрын
Huyu mzee anakibri sana
@MwenyegimbaMtaki
@MwenyegimbaMtaki 2 ай бұрын
Msimamizi wa uchaguzi eneo ilo ana jeuri sana cjapenda😢
@davidsamson8292
@davidsamson8292 2 ай бұрын
Chapa kibao huyu msimamiz
@IssaTayari
@IssaTayari 2 ай бұрын
Izo kalatasi zilizo tumika kuonyesha majin hazionyeshi vzr
@Castory-k4j
@Castory-k4j 2 ай бұрын
Kwa Hali hii kunaupande walijiandaa kimkakati mungu atuepushe na vurungu.
@deohaule98
@deohaule98 2 ай бұрын
😂 huyu msimamizi wa uchaguzi hajui anacho sema.
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 2 ай бұрын
Hapo mshindi kishawekwa tayari kilichobaki no ubabaifu kwasababu wanaoteuwa ni wao kazi bure
@DANIELHAONGA-sr9ek
@DANIELHAONGA-sr9ek 2 ай бұрын
Mbona msimamizi kama anajuwa matokeo
@EmmanuellMunishi
@EmmanuellMunishi 2 ай бұрын
Huyo msimamiz Hana sifa anaonekana ana hasira na nimtu wa fujo na ubabe
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Walipeana mkakati huo nchi nzima na kuanzia jtatu walikutana kuufanyia kazi na hao wasaidizi wao. Wanalindwa na Mkurugenzi kawahakikishia kwamba hawatadhurika na huu upungufu wanaousababisha!! Ni mkakati mahsusi kuhakikisha wanaingiza mamluki wao. Mungu atajibu hiki.kilio
@patelokoh5828
@patelokoh5828 2 ай бұрын
All the best my favorite country just be honest to each other's please
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
Umevaa kikifia chako cheupe kumbe umefundishwa wizi na hujuma
@josephnjellah280
@josephnjellah280 2 ай бұрын
Mme bandika maji na ya cabo n hAysomeki😊
@estambuya3901
@estambuya3901 2 ай бұрын
Ccm kuweni na aibu,hawa viongozi wenu mnaotuletea mitaani wasiokubalika ni tatizo kubwa.
@LazaroSalon
@LazaroSalon 2 ай бұрын
Uyo msimamizi ni msengetu amelipwa na ccm waibekura
@yapukahassan
@yapukahassan 2 ай бұрын
Hili swala linaumiaza sana tunachaguliwa viongozi wasio kuwa na machungu na wananchi , watakacho kifanya ni kunyanyasa wananchi
@songombingo108
@songombingo108 2 ай бұрын
Mbogamboga kwisha kazi. Mmebaki kuvuruga tu
@Glr-ns4cl
@Glr-ns4cl 2 ай бұрын
Kazi kwelikweli
@GraceGegasa
@GraceGegasa 2 ай бұрын
Msimamizi ana matusi huyu sfai
@rasnchimbi
@rasnchimbi 2 ай бұрын
Huu uchafuzi ufutiliwe mbali,mfumo urekebishwe,vyote vikafanyike mwakani,inawezekana kabisa.✍️🏿
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 ай бұрын
Nchi ya amani na yenye asali nyingi na ndo watanzania wengi tulio na uvumilivu itakuja fika mwisho mdogo mdogo tutaelewana tu
@ClaraCecil-rq4xf
@ClaraCecil-rq4xf 2 ай бұрын
Jamani watanzania tutunze amani yetu tupunguze jazba tuangalie majina vizuri
@akaumbo9433
@akaumbo9433 2 ай бұрын
Kwan alphabetical si just unakomand excel sekunde mbili tu majina yanakaa sawa
@MAGIDACHIMIJA
@MAGIDACHIMIJA 2 ай бұрын
Upuuzi...
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 ай бұрын
Mm ushauri wangu zile Namba ,za pembeni no 1 mpka 100 mngekuwa mnatoa Namba zile kikaratasi Ili mtu ukifika unataja Namba 10 au 100 inakuwa nyepesi
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 2 ай бұрын
Bamba tena kama ninamba mgetupa kabla
@FotoBaraza
@FotoBaraza 2 ай бұрын
Msimamizi ni kama ana matokeo tayari 🤣
@JeradiMaulidi
@JeradiMaulidi 2 ай бұрын
Mbogayakijani imechoka
@sadocklundi5216
@sadocklundi5216 2 ай бұрын
Ukiandika kwenye karatasi ukabandika orodha halisi ya majina, hayo majina yatajipangaje kwa mtiririko wa herufi. Wabongo tunapenda kusoma vitu yenye muabato wa picha lakini maandishi matupu watu hawasomi
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Acha ulevi pls
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 2 ай бұрын
Africa ginga ata utaratibu wao wakupiga kura ni wakiginga kabisa
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 2 ай бұрын
Hawa watu wa kiula nao sahani moja hata baada ya uchaguzi. Eao, wake xao au watoto wao
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 2 ай бұрын
Huono msimamizi alivyo anajiamini yaani hukuna uchaguzi mnapoteza mda kupigwa na jua bure wameshamchagu tayari
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 2 ай бұрын
Ccm kiboko yao sijui kwa nini hawaweki mfumo wa chama kimoja
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Fisiemu fisiemu fisiemu
@JonasNzemya
@JonasNzemya 2 ай бұрын
Sehemu zingine walikataa kutoa namba
@BungeyiSaiboku
@BungeyiSaiboku 2 ай бұрын
Mbona kama anajiami
@husseinmbaya4855
@husseinmbaya4855 2 ай бұрын
Huyo ana adabu watuwausalama wapo wapi
@RamadhanAthuman-d4c
@RamadhanAthuman-d4c 2 ай бұрын
Mie nimeamua nisiende kupiga kura maana napoteza muda tu mshindi wanamjua wao
@MasaweMasawe-r5b
@MasaweMasawe-r5b 2 ай бұрын
Msimamizi Gani unashindwa kutatua KERO za wananchi wewe ni kibengo tuu eti msimamizi kamsimamie mkeo
@husseinmbaya4855
@husseinmbaya4855 2 ай бұрын
Mzee huna ufaam
@ngotosilasi2099
@ngotosilasi2099 2 ай бұрын
Washenzi sana hawa majina wameyagawanyisha hovyo hovyo nimeshangaa huku kwetu wazee wenye umri mkubwa wanatabika kweli mvua inanyesha wanarudi bila kupiga kura maana wamegawanyisha vituo nakuviweka sehamu mbalimbali
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 2 ай бұрын
HUU SASA NDIO UHUNI
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Sasa unaongea nn,coz story za Nyerere zatoka wapi hapo
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 2 ай бұрын
Kiufupi ni uhuni wanafanya na huyu msomamiz mbona adabu Hana? Ni Jeur! Watu wameacha Kaz zao kuja kupiga kula na no hawakutoa hata mie sijui no. Niloandikishwa. Wangepanga vzr ndo Iko hivyo
@EdnaLugano
@EdnaLugano 2 ай бұрын
Kwa nini hamkuweka majina kwa Alfabet .Huku kwetu wameandika kwa mkono halafu mwandishi wewe ulipewa namba Yako siku ya kujiandikisha.Acheni kusumbua watu,uchaguzi 2024 bado tunavuruga TU .Huyo kaka ameongea vizur I sana mambo kabla hatujapata uhuru Hadi Leo tunakwenda ovyoovyo TU Halafu.mtasema mmetumia mabilioni ya pesa.
@AgnessJohn-v8p
@AgnessJohn-v8p 2 ай бұрын
Ccm ovyotu
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 2 ай бұрын
Mchape makofi huyo mmezidi upole watanganyika
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Sasa shida ni majina hakuna ama ni majina hakuna,wewe Wacha ujinga sana
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Huyu anayejiita msimamizi wa uchaguzi ni kimeo!! Lini umeona majina yanaandikwa bila kufuata alphabet? Kusudio ni nini na kama siyo mkakati wa kuiba kura? Mungu ndiye kimbilio letu si muda ataahusha rungu kama ilivyokuwa huko sodoma na gomora
@paolo4584
@paolo4584 2 ай бұрын
Watanganyika mmezidi upole na nyie. Ndio maana mnachezewa akili. Mtu kama huyo mnashindwa kuchapa makofi kweli?
@JeradiMaulidi
@JeradiMaulidi 2 ай бұрын
Kweccm iakwamq
@salama1113
@salama1113 2 ай бұрын
Mpeni makofi asiwafanye watu wajinga
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
CHURCH LEFT IN SHOCK AS GACHAGUA PROMISES TO DROP A BOMBSHELL NEXT SUNDAY!
8:15
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН