Tujuwane Wale Ambao Wamekuja Hapa Baada Ya Ben Pol Like Hapa👇🏾
@directorrey86654 жыл бұрын
Watanzania Mnatisha kwa kuchunguza duuh
@yahayarashidi2024 жыл бұрын
😂😂😂
@djbcom25464 жыл бұрын
Tayari
@jacksonmwalyego49334 жыл бұрын
George Kinyonga Mungu Mashairi yako yatadumu daima,,Jobso Mlitulia kweli Mwaka Mpya umefika tuombe Mungu Akina Baba akina Mama tufike salamaaaa,Kuna Wengine wapoo hospital ,kuna wengine tena wameisha kufa waliobaki saidia maskini,na wewe uliyemzima shukuru,......Chrismass imefika mwaka Mpya umefika saidia Babaa tufike salamaaa.......Wapi zamaniiiiiii.
@selemanikisalo50604 жыл бұрын
Bendi iligawanyika kutoka les wanyika, George peter kinyonga, akiwa kiongozi wakaanzisha bendi mpya Orchestra Jobisso
@mabudaissere10395 жыл бұрын
Nyimbo km hizi ukizikiza unaweza tokwa na chozi,zama nyingi zmepita...ardhi nayo imewameza vipenz vyetu....old z gold
@afrahrajab57472 жыл бұрын
Wakati sauti za dhahabu utadhani wameingia studio mwezi huu muziki umepangika ardhi lnameza vingi pumzikeni kwa amani
@toshamezaw14606 жыл бұрын
Mtunzi George Peter Kisaka Kelekezi, RIP - Hiki kibao mwanana kila kipindi cha Xmas na Mwaka Mpya lazima kisikike kwa umuhimu wake. Na ikumbukwe kuwa marehemu /mtunzi wa huu wimbo alikuja kufa 25-12.1992. Ni miaka 25 sasa tangu atutoke nguli huyu wa muziki wa dansi. Kundi lililopiga wimbo ni Orchestre Jobiso
@pelagemassae65815 жыл бұрын
safi sana Tosha kwa kumbukizi nzuri.Mf.Mimi nilikuwa sijui mtunzi wa hiki kibao
@richardmtavangu26594 жыл бұрын
Hakika hiyo nyimbo Ni funzo kwa Kula binadamu.
@selemanikisalo50604 жыл бұрын
Upo sahihi kaka kundi liligawanyika kutoka less wanyika
@jamesmwakilema74884 жыл бұрын
@@selemanikisalo5060 Liligawanyika toka Simba wanyika wakitengana na nduguye Mkubwa Wilson Peter ikumbukwe pia kwenye familia yao walikuwa ndugu watatu ambapo aliye hai bado ni mdogo wao William Peter.
@brianmathewchepkonga40654 жыл бұрын
@@jamesmwakilema7488 William Peter ama ni Wilson Peter????
@EWMachu4 жыл бұрын
Dhahabu tupu! A song I listen to whether it's June or December......2020, tuombe Mola umalizike salama!
@abedinegongwegwe58544 жыл бұрын
Daaaah! Hakika ya kale ni dhahabu! Nyimbo haipitwi na wakati hii. Wahenga inatukumbusha mbali
@Nyagwoka2 жыл бұрын
Zama zetu. Tamu sana.
@ziadasaddy42887 жыл бұрын
Nyimbo naipenda hii hatarii old is gold bwanaa sikuhizi keleleee tupu hamna muzik
@ziadasaddy42887 жыл бұрын
Old is gold hatari ujumbe tosha unapenda kuusikiliza wakat wote, muzik zaman bwana asante Jobiso
@kiatupaul94294 жыл бұрын
The music is waooh!! A golden voice, can't have enough of this. Jesus Christ remember us we have many sins but you still love us
@abdi51466 жыл бұрын
Back then,music must be a calling in you before standing to perform,wilson peter kinyonga in action.golden good old days,reminds me of my childhood days.
@joelmussira28512 жыл бұрын
It's George Peter Kinyonga, not Wilson Peter Kinyonga!
@amrwagason2 жыл бұрын
wow this came with the TZ after 1979 war was epic music to now
@geraldmagembe44287 жыл бұрын
naamini huu ni mwimbo bora kabisa kuusikiliza kila mwisho wa mwaka.
@deusngowi6 жыл бұрын
Kabisa Gerald, na ndio muda wake huu sasa - 26 - 31 Dec. Tuombe tuu salama.
@donaldkamundi48944 жыл бұрын
Hautachuja aslan...
@donaldkamundi48945 жыл бұрын
Hautachuja aslan.,.Mola ampumzishe pema...
@johnonaka1449 Жыл бұрын
Jobiso Kwa wakati wake na maneno ya maa dili
@mecksonlongole6034 Жыл бұрын
George Peter Kinyonga, na Orchestra jobiso 1989 edition, hatunaye duniani ila bado kazi yake inaishi
@alexcharles-j6r10 ай бұрын
I love jobiso
@samsonriika5681 Жыл бұрын
I remember this song many years back
@robertchesebe69013 жыл бұрын
'and you who is alive should thank God, to complete one year nowadays is so difficult since death is everywhere......" How true.
@simonlissu300410 ай бұрын
Very nice orch jobiso
@kokombwana90066 жыл бұрын
Miaka ya utoto 1980s kule Handeni,Tanga
@awadhmbezi37747 жыл бұрын
Daa inanikumbusha enzi hizo nipo mbeya kyela kasumulu borda
@kokombwana86254 жыл бұрын
Nakumbuka Handeni,mayambo na kule Kivesa miaka hiyo
@charlesakida62884 жыл бұрын
Ilikuwa hatari enzi zile
@kokombwana86254 жыл бұрын
@@charlesakida6288 sana Akida
@athumanimohamed78757 жыл бұрын
NARUDIA NARUDIA HADI RAHA JOBISO WEEEEE
@leonardkatamba86056 жыл бұрын
Heartfelt feelings from George Peter Kinyonga(1945-24/12/1995).
@rosewaithera67504 жыл бұрын
he was born in (1950-25/12/1992)
@meleniafrancis94625 жыл бұрын
Nyimbo hii aiseee inatufanya tujisikie laha kukaribia kuvuka mwaka
@musannuru98425 жыл бұрын
Nyimbo nzur saaana
@jumannealmas7945 Жыл бұрын
Unanikumbusha mwaka 1984 nikiwa Igogo mwanza jirani na polisi ilikuwa hatari
@danaseb162010 ай бұрын
nakuunga mkono nakumbuka George Peter alikufa 1992 ila sijajua tarehe na kaka yake Wilson Peter kinyonga yeye alikufa 1995 sijui tarehe amebaki mdogo wao William Peter kelekezi yu hai ila ana changa moto ya maradhi ya akili na anamaisha c rafiki pakuishi ni shida je tuombe serekali ya Kenya imsaidie mbona ilikuwa MDAU???
@maghimbihosea10986 ай бұрын
Good performance
@pelagemassae66476 жыл бұрын
ujumbe wa kutosha.Wanamuziki walikuwa wametulia
@manyangadavid70095 жыл бұрын
Kuna wimbo unaitwa "tujenge chetu" ulipigwa na hawa Jobiso. Nweza kuupata? nitumie kwenye email yangu: manyangadavid7@gmail.com
@Stellakayr8j4 жыл бұрын
2019 ....
@gloriaclement9197 Жыл бұрын
2022
@yohanamjema9666 Жыл бұрын
Utunzi bora kabisa wa George Peter Kinyonga enzi hizo. Bado wimbo huu utadumu milele na milele kutokana na mashairi yake kila kipindi cha mwisho wa mwaka
@zainamselemu10 Жыл бұрын
Orchestra Jobiso xmass"hakika haitasahaulika hata vizazi vijavyo RIP GEORGE PETER KINYONGA" BENDERA SAME KLMANJARO mwanzoni miaka ya 1980