Atleast Eva maskini umepumzika moyo mpira sasa Kwa Bill tuone kama kweli anakupenda🎉🎉
@STUMAIKALELEАй бұрын
We kuweza😂
@fatumambaruku963Ай бұрын
Na juma nae ataiweka was sura yke
@esterester3628Ай бұрын
@@fatumambaruku963 Ela hatakunya kabisaa🤣🤣
@NancyShoo-ce2wxАй бұрын
@@fatumambaruku963juma hajaathirika anaogopa tu majibu ila ni mzm
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
@@STUMAIKALELE😂
@SaadaHarounАй бұрын
Annah ataend na hlo wigi lake na hatosifiwa kwa ninavomjua davis atamchek kwa kejel😂😂😂😂😂😂😂
@user-qi6jt7rt7tАй бұрын
😂😂😂😂
@FunnyHoverboard-ce6znАй бұрын
😂😂😂😂😂
@ashminaabdulla8946Ай бұрын
Ilo Fumbo la Diva 😂😂😂😂😂😂😂
@AbigailDamaАй бұрын
Huo ndukweli acha achekwe sasa😂😂😂😂
@HappyNass-mu3luАй бұрын
Uyo ndio Anna
@user-vw6fd3kf7kАй бұрын
Eva umetisha na hongera kuwa jasiri
@user-vk1ph3xv6gАй бұрын
Biri naeva nawapenda sana 😢jmn❤❤❤❤❤❤❤
@stellayusuph7662Ай бұрын
Tupo na Anna bega kwa bega mpaka pale atakapo aibika kwa devis 😂😂
@pikanaauntzuu1466Ай бұрын
Mi naomba apate ukichaa tena maana Anna na Maria hawana utofauti kbs
@stellayusuph7662Ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 😂😂watakuja kufa vby hawa
@rithakiondo1099Ай бұрын
Jmn Anna hapana kavurugwa hyu dada 😂😂😂😂😂😂😂😂
@rithakiondo1099Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@WahidaHilalyАй бұрын
😂😂
@SamiraGodfreyАй бұрын
Jua kali bhana unaweza lia na unacheka jamn😂😂😂anna
@nyamiziramadhani4232Ай бұрын
Kupendwa raha maria weeee😂😂
@HudhaimaYussufАй бұрын
Maria mwenyew sasa atahajali 😂😂😂
@radhiamohamedi9318Ай бұрын
Jamani maria hayo macho na baba kijacho wako wakweli😂😂😂😂😂
@hanifahkhamiss8485Ай бұрын
Bill na Eva mnaniumiza sana😢😢
@user-tp4sn4ko1fАй бұрын
Anna master of the game nakupenda inaonyesha hali halisi ya Mapenzi siku hizi pamoja na Maria
@user-oz9zy5ck1iАй бұрын
Mm jaman Eva umetia huruma Bill pls mstiri Eva ila kilanga cha Sofia atajua mwenyewe Fala huyo
@user-sn6dc9gh8kАй бұрын
Sophia sophia sophia mwenzio atakuchoresha pole aisee 😢😂😂
@nyamiziramadhani4232Ай бұрын
Sofia nyege mbayaa khaaa unahangaikia nn jmn mbn ulimpenda vzr idi kabla.hajakuoa
@SeriesTzАй бұрын
Umeonaeee
@fatmaomary8437Ай бұрын
Yaan apo mwsho wa siku atafumaniwa na talaka yake juu .
@user-hy9pp5rp9iАй бұрын
Madevu huo mdomo kama umeramba ukwaju😅
@user-co5ed6xr5cАй бұрын
Ann anajichqnganya kweli 😂😂😂
@marryofficial9143Ай бұрын
Yaan sjui kapatwa na nn mm ananikela kwl
@DayanaPeter-pd9yfАй бұрын
Mmenikosha na haka ka wimbo ka kiheheeeee😂😂😂
@NoorynModyАй бұрын
😂😂😂
@user-mx7fq5vc8oАй бұрын
Mungu aninusuru na mwanaume aina ya professor ,watu sample hi wanauzi sana hivi huwa wanahisia kweliii!😒 mana jitu gumu halishauriki haliambiliki akaaa!
@user-oe7ui9td3l28 күн бұрын
😂😂
@zenamtembezi4921Ай бұрын
Eva pole ht waginjwa nao wanahaki yakumpenda mtu tusiwanyanyapae
@anithiajohn9209Ай бұрын
Hatimae maria tumesha mzoea 😅😅😅
@user-rs6cs3bs4iАй бұрын
Mpak anakela
@rukiahassan7001Ай бұрын
Any way kahaba mxoefu au sio.
@asnathally18Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣ila anna ni kichwa maji jmn inàmaana keshajiona anapendwa na Davis mungu wangu ngoja naisubri zarau
@user-tp4sn4ko1fАй бұрын
Ana ndo staring wa hii Tamthilia na Maria watazamaji wengine hamjui burudan tu. Haya ndo mambo halisi Dunian sasa kwa vijana wetu
@user-iz7vs9my9zАй бұрын
😂😂😂Ila anna nimechekaa😅 jmni devis anaenda kukuchukulia wew😢 Eva kanitia huruma na Kaniliza mwwee😢😢😢
@chrispinsaumuАй бұрын
kwan anti zai shida ako nn kama atadanganywa😅😅😅 wivu mbaya adi kwa mwanao
@user-bc3jg6py2hАй бұрын
Roho mbayaa tu ananikela mm na visirani vyake😢
@sameraamiry3849Ай бұрын
Kikubwa nimeona jua Kali mengine me sijui DJ Maua yako❤❤
@SaraphinaLyeluАй бұрын
Pongeze Kwa eva maana wanawake kama Wewe walikufa tangu Enzi za kinjeketile na majina yao yalisombwa na kimbunga Hidaya... Haya na Wewe Anna hiv moyo wako una vyumba vinne kama Sisi mbona napata wasiwasi wamekushinda wanyakyusa utawaweza Hao watoto wa mjini 😂😂😂😂😂
@lucybudeba6561Ай бұрын
Huyu aty zai ingekua mm evaa namjibu natoka kuliwa😂😂😂 kufatilianatu
@deogratiusdominick8882Ай бұрын
😂😂😂
@glorytarimo2788Ай бұрын
Kimeumana uku ana ameshapenda tena mtoto wamtu kamsahau bobo na dibaaa
@frolaibrahim1257Ай бұрын
Anna nichizi
@user-bi9zi1ex7tАй бұрын
Lakin Viviani Mie sikuwezii😂😂😂
@suzanafromomani2973Ай бұрын
Anna kanunua wigi😅😅😂😂
@getrudaleonard8323Ай бұрын
Anitha wa Juakali me hua nakupenda bure
@user-kc2vq5gc3gАй бұрын
Anna hatukuelewi ujue x unaondoa x watakaawigi upendwe Weye Larkin ujue x maria ana nyota yake
@user-rf8oq1jd6uАй бұрын
Anita nmrembo mashalla
@mwanamisiomari8189Ай бұрын
Hii sauti mbona
@glorymuro5411Ай бұрын
Anna anamtafuta wa kumlipizia kisasi kwa Diba
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Itakua Ht mimba sidhani km anayo
@witnessgeorge1976Ай бұрын
Ivi huyu Anna anamatatizo gani😂😂😂😂😂
@mercynina6288Ай бұрын
Anna tumuache kama alivyo Yaan 😅😅
@sadiyasadiya571Ай бұрын
Dj hapo sawa
@rechalmussa6085Ай бұрын
Mbona ana simuelewi Yani kanunua wigi kama la malia au aliona devidi alivyo msifia Malia kua yeyé uwa anapenda mwana mke anaesuka
@user-lq6mt5ji4lАй бұрын
Kumbe jibu unalo😂😂😂😂
@sweetkeedАй бұрын
Ana anatfuta kuchekwa tu oficin na maria na Vivian watajua aliona wivu ile siku😂😂
@walterkimaro3702Ай бұрын
Tusubir tucheke nao 😄😄😄
@neemamakori6152Ай бұрын
Dah Anna,aibu naona mm 😂
@LatifahKhamisАй бұрын
Ata mm nimeona aibu vo watamsemaj mfano
@rukiahassan7001Ай бұрын
Anna sijui yuataka Nini ndipo.hajui apende nani kwenye maisha yake.mapenzi yanamchanganya
@malkiarosemuhando3310Ай бұрын
Yaani sauti Iko juu kama kwaya !!!
@karembo7082Ай бұрын
😂😂😂😂
@JosephineCharles-d6bАй бұрын
hahahahaha
@ketchmanmpandela602Ай бұрын
Anna kichaa wa mapenzi 😂😂😂penda penda😅😅😅
@fhugghi4109Ай бұрын
Ila Ana akili zako unazijua mwenyew 😂😂😂😂😂maan ni mpofu wa mapenzi 😂😂
@PuritySalama-yv6toАй бұрын
Kwan anah anawivu kiasi,gani😂😂acha tuone kwa ofs itakuaje hpo ni kicheko,tu
@ShineyraАй бұрын
Ila uyu aunty zai anaboa sikuhizi aaah
@SeriesTzАй бұрын
Umeonaeee
@user-ly7ho2oo8yАй бұрын
kawa mama mwenye nyumba
@user-rn8tl6pl4jАй бұрын
Eva wangu pôle sana kwa kweli 😢😢
@user-sc5gt6gs3sАй бұрын
Ya leo ni moto jmn. Moja kwa moja kwa semeni ananyoosha miguu ya mme we akiva suruwari 😂😂
@ChristinaHamisi-sb3gqАй бұрын
Kama wanawake wa aina ya sofia tupo aisee izi nyege ni MBAYA ana nyege msenge uyo khaa
@hawalukas7958Ай бұрын
😂😂😂😂
@DaudLazaro-fy2cjАй бұрын
Hahhhhaahaaahah we dad weweeee umenishinda tabia
@lilianelisamehe9586Ай бұрын
Kwahiyo bill na Eva ndo wameamua kutuliza eee😭😭
@moizjohnston3841Ай бұрын
Kijana wetu Fure,ipo siku jua litamuwakia sana
@zainabzain3434Ай бұрын
Mwache aburuzwe matukio yote hajielewi
@user-ce4ho1vv7yАй бұрын
Kipind kile aliparalais awamu hii ni kifooo
@rukiahassan7001Ай бұрын
Anna Anna kujifanya kutompenda devis kumbe ndio likuw umeshampenda hadi kumuonea wivu tyr umeenda hadi kununua mawig kisa kamsifia maria..naona hivi ukijichora nalo hilo wigi lako..mana vivian anakusubir
@user-co5nh1rx1tАй бұрын
Awe Vivian anajua banaaa
@RizikiZikiАй бұрын
Sophie kacanganyikiwa na mapenzi ya shemeji😂😂😂
@DinahNish-bm9srАй бұрын
Mroho wa cake nimebaki mdomo wazi😢😢😢
@FurahafutakazaGloriaАй бұрын
Ila umalaya unamtasa ana mpaka nacoka ninavyo muangaliya iyi sini ya ana inamtiyani hum
@LizybethGodfreyАй бұрын
Adi nimelia bil wew nimwanaume❤❤❤❤
@EsterAidanmadatiАй бұрын
Jaman ana aibu naona mm
@user-bf3ij2ie5kАй бұрын
Hahaa kma naona wigi la anah litakavyo vumuliwa kazin na kuanguka hili hahaa
@user-ph9ds9dm7wАй бұрын
Anna kujifanya mgumuu kote kumbe hana lolote keshapenda teari.
@user-qm2kb1ln7pАй бұрын
Kazi nzuri sana. Eva. KWakumuereza ukweri. Bri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@leahsanzala28 күн бұрын
Asante
@BahatiNjemo-of9lxАй бұрын
Nimengi ninayo taka kuongea bt acha niseme jua kali hoyeeeeee❤❤❤❤❤❤❤
@linahwandera4638Ай бұрын
Sasa Anna Mazengo hata miaka yako na akina maria inakataa vitu vingine ni vya aibu Devis alisema ukweli aliposema Wacha kujichanganya nyinyi ni partners si lovers 😅
@edinamathews7717Ай бұрын
Kwan anti zai unataka mwanao bill akupelekee moto wewe au
@user-st2ig6ds3fАй бұрын
Anna crazy love😂😂
@Walden-tb6icАй бұрын
Napenda sana nyumbani kwa iddy nipamoto
@shidashida6060Ай бұрын
Hii tamthilia imejaa usaliti mtupu 😅😅 Thomas sio kwa jicho hilo😅😅😅