Julius malema deserved to be the president of South Africa
@papynyota37515 ай бұрын
Story ahijaiiii
@WazainaKigomaboy5 ай бұрын
Nimeiyomba tangu nipo bongo
@tumainiamani1115 ай бұрын
Anafa sana kuwa rais wa nchi hiyo, kwanini nasema anafa sana ''nikwasababu kiongozi mzuri niyule anaye jishusha kwa watu anawo waongoza kwani yeye pekeyake hajui kilakitu bali wanawo mzunguka pia wanaweza kumpa ushauri mzuri zaidi pia, kuwa na msimamo kwa kile unacho kiamini, hiko ndio kinacho mtofautisha yeye pamoja na viongozi wengine wa nchi hiyo'' kingine nikwamba Waafrika tunabidi tujiulize kuwa mbona tukipata viongozi wazuri wanawoweka maslayi ya wananchi mbele huwa wanakaa muda mfupi hapo nahisi kunakitendawili chakutegua''
@worksmart10235 ай бұрын
Africa inafaa kuongozwa na madikteta design ya kina john pombe mambo na kura inapoteza hela nyingi sana
@jaffaryhamiddy89395 ай бұрын
To be honest i real love and appreciates JULIUS MALEMA to the fullest ,he is a man and ahalf he deserve to be a PRESIDENT OF WHOLE AFRICA 100%, FRM TANZANIA💥💪
@MuhemeliNyogwa5 ай бұрын
Anakubali mashoga labda awe rais wa kabila lenu
@backarmponji65375 ай бұрын
100% that's kind of President we need in Africa bro
@jacobluckiztv26485 ай бұрын
Huyu aliuwa wakoloni waliyobaki South Africa
@khalifanoti69745 ай бұрын
Anaweza kuonngoza tu tena vizuri
@Kakajambazitv..5 ай бұрын
Malema kWa luga yetu yakibembe ni msukule congo 🙏🙏🔥🔥🔥
@SilverTv555 ай бұрын
I wish angekuwa mkenya
@MohamedHalake-cy8bh3 ай бұрын
Mimi ni shabiki wake
@AthumanJuma-iw8fh5 ай бұрын
Huyo anafaa kupata ulais
@muhamadharun94325 ай бұрын
Julius malem🎉🎉
@judychepkirui53135 ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini namku ali sana Malema, mwenda zake, John pombe maguvuli, mwenyezi mungu ailaze roho yake pepon angekua hai hadi sahii, halafu washikane nakwampia, mmoja wao akue rais na mwingine naibu wa rais, Africa mzima tungekua na amani na umoja
@chizcom42295 ай бұрын
kuna sehemu kuhusu kenya ni kweli wakati tanzania tunawapigania south afrika kenya ilikuwa ndio kibaraka na wahujumu afrika mashariki.
@davidkipkore30245 ай бұрын
Comparing president Ruto with Malema is a waste of breath. Ruto is a great diplomat and a liberal minded schemer who is generous and does not ask supporters to chase away fellow africans looking for greener pastures
@johnkitwima69635 ай бұрын
huwa napenda kufahamu JM afadhali leo nimemfahamu kidogo😂😂❤
@ashuraomari5045 ай бұрын
Kaka bongo fasta naomba unisaidie hichi kitu naskia kuna angel no hiz angel no zina maana gan n zinasaidia nn au ni nn hasa naomba utuelewesh
@mastajabudekula48285 ай бұрын
Malema anastahili kabisa kuwa rais hata Afrika nzima
@deodathsilayo36395 ай бұрын
Atawanyoosha akiwa raisi na ataua sana
@elvisernest32805 ай бұрын
Sasa mbona mnaficha sura ya mtoto?
@chachamwita46875 ай бұрын
Anafaa sana
@kalengashoppingcenter11085 ай бұрын
Anafaa
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👊👍✌️.
@TysonBrown-z2x5 ай бұрын
Ndio anafaa
@jizzotheking92385 ай бұрын
Leo ndo mara ya kwanz nimegundua kuwa ww ni pimb kabisa, kama unafany video ili kitengenez pes bac fumia akili yaan hujui malema kama anasapot ushoga??
@aediayumgo85465 ай бұрын
Acha kabisa kumuataki Justin Na Malema kama hujui History uliza ungekuwa karibu ningekupiga ngumi ya Pua pimbi baba yako Malema hatetei ushoga alicho SEMA wasiuwawe wengine wamepandikizwa Hilo tatizo wakiwa wadogo Ni innocent Nani kweli kunguru we usirudie Tena,🤮🤮🤮
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Kweliiiiiii 😢😢😢😢😢😢😢
@aediayumgo85465 ай бұрын
Ungekuwa karibu ningekupiga ngumi ya Pua pimbi baba yako Malema hatetei ushoga alicho SEMA wasiuwawe wengine wamepandikizwa Hilo tatizo wakiwa wadogo Ni innocent people