VARANGATI BUNGENI: MBUNGE APIGA SARAKASI KWA HASIRA - "NIMEKASIRIKA"

  Рет қаралды 459,325

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

VARANGATI BUNGENI: MBUNGE APIGA SARAKASI KWA HASIRA - "NIMEKASIRIKA"

Пікірлер: 273
@linahgitige4911
@linahgitige4911 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde mbunge wangu kwakweli unatupambania mi nafikiri Tanzania nzima ni mbulu tu hakuna lami toka uhuru wa nchi hii sasa naona kuna mahali tutafika
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
🤐🤐
@jeromendalu4263
@jeromendalu4263 2 жыл бұрын
Safi Sana mbunge fratei nakukumbuka Sana classment wangu enzi zile monduli mzee wa sarakasi kama zote
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Jamani hapo Wah Mawaziri mjifunze somo. Wah Wabunge hawana utani huyo sio wa viti maalumu kautafuta kwa taabu. Mvumiliane tu Wah.
@farajmanuar3589
@farajmanuar3589 2 жыл бұрын
Noma sana mheshimiwa kapresent hoja kwa hisia kali,sana wananchi wake watakua wamewakilishwa vizur saana,big up mbunge flatei...
@saidykhamis2317
@saidykhamis2317 2 жыл бұрын
Ongera muheshimiwa
@joshuajeremiah868
@joshuajeremiah868 2 жыл бұрын
Haydom hoyeeeeeee nilikuwa nataka nichukue Jimbo nimeahirisha kwa ulichokifanya Leo mbungeni nifurahi sana
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 2 жыл бұрын
Na Huyo mwanamke usipotumia busara hilo bunge utaliona moto tangia lini mwanamke akawa mbele ya Wanaume ukasome vitabu vitakatifu Paulo amesema simpi mwanamke ruhusu ya kumuongoza mwanaume sasa. Huukiukwaji wa maandiko matakatifu wanakiuka
@mohamedisimon9719
@mohamedisimon9719 2 жыл бұрын
Mimi napenda kuishauri Serikali au kutoa maoni katika upande wa michezo upande wa viwanja vya mpira Serikali ijitahidi tu hata Kila mwaka kujenga uwanja mmoja itasaidia sana kukuza soka letu nchini.
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 2 жыл бұрын
Kiongozi mwenye hekima ya kumaliza mambo Mhe. Spika NimeKukubali. Neno la Mungu kimejaa ndani yako.kazi iendelee
@celebritygossiptv6958
@celebritygossiptv6958 2 жыл бұрын
Siku zote
@innocentboykid244
@innocentboykid244 2 жыл бұрын
Kujaa kwa neno Mungu hakumaanisho utendaji wako wa mema kwa Mungu kutaja jina n kutaja tu
@pastorygeorge3062
@pastorygeorge3062 2 жыл бұрын
Bongo sihami
@dickmgaya4573
@dickmgaya4573 2 жыл бұрын
Upo vizuri Ahadi ni deni pambana upate haki yako Wabunge mnatakiwa kuonyesha hisia hivyo mnapo himiza selikali kutimiza ahadi kwa wananchi!!
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 жыл бұрын
Fratei big up Sana mheshimiwa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Hongera mbunge.umetendea haki kiti ulichopewa na wananchi
@hassanihamisi6239
@hassanihamisi6239 2 жыл бұрын
AwA wabunge awajierewe au awajui wajibu wabunge
@antonnadenade4597
@antonnadenade4597 2 жыл бұрын
Safi Sana wanazigua manyara tunatakiwa mbunge Kama huyo
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 жыл бұрын
Am tz nimecheka safi sana 😅😅😅🥰mpaka basi bora furaha kuliko kurushiana viti 💃💃💃💃
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 2 жыл бұрын
Bongo bhna mmh inafaidiwa na wachache et..... hairuhusiwi alafu unamrinda aaaah Mheshimiwa......
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Hongera mbunge mzarendo mungu akuinue na kukulinda
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Asante baba hakika umevaa viatu vya makufuri
@teenah1759
@teenah1759 2 жыл бұрын
Safi sana, hongera kupigania haki ya waliokuchagua👏👏👏
@michaelmwambona3017
@michaelmwambona3017 2 жыл бұрын
Nikweri bwana hatumuherewi kabisa mama kitu anacho Fanya mpaka saizi hapo ikulu au kwasababu ajachaguliwa na wananchi ndomaana anafanya anavyo taka yeye mwenyewe
@teenah1759
@teenah1759 2 жыл бұрын
@@michaelmwambona3017 Royal tour, huku vitu vimepanda bei..🇹🇿
@masalumaduhu4029
@masalumaduhu4029 2 жыл бұрын
Nape ajifunze kupitia mbunge huyu anauchungu na wananchi sio kusifu serikali tu.
@antonyluvanga6362
@antonyluvanga6362 2 жыл бұрын
Mbunge mweshimiwa wa Iringa uko kimya barabara kutoka ndiwili hadi marurumo baya sana
@hadijakisungis5289
@hadijakisungis5289 2 жыл бұрын
Hiii Kali sana 🥰🥰
@CHITUS
@CHITUS 2 жыл бұрын
Mbunge uko vzuri hii nchi yetu ni nzuri Ila viongoz wetu inaonekana ya kiboya ndo Mana jpm hatoki vichwan vyetu alikuwa akisema vinafanyika kwa wakat Yan來
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 2 жыл бұрын
Kumekuchwaaaaa.....Haya sasa.
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 2 жыл бұрын
Spika nimekupenda bure unahekima sana Mungu akulinde uendelee kuwa na roho kama hiyo hiyo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Evance tarimo spika ni mzuri sanaaaa ana hekima wabunge wanapata tabu miradi haitekelezwi wapiga kura wao hawawaelewi wanaona ahadi ni za uongo kumbe serikali siyo watekelezaji ndiyo maana hayati magufuli alikuwa mtu wa watu na mtekelezaji wa ahadi
@ajaykilawah2622
@ajaykilawah2622 2 жыл бұрын
Mama eee Huyu mbunge natamani angekuwa wetuu
@frankmwakatundu9856
@frankmwakatundu9856 2 жыл бұрын
UNABII WA BWEGE ALIYEKUWA MBUNGE WA CUF MTABAKI WENYEWE NA MTAPARURANA WENYEWE KWA WENYEWE SASA UMETIMIA!!! BWEGE HOYEEE.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
😁😁😁 ndio wewe mbunge ni kweli tu wanaomba fedha nyingi utekelezaji hakuna zinapigwa tu.👍👍👍👍
@abisinamustafa3118
@abisinamustafa3118 2 жыл бұрын
Jamani mbunge wetu sisi yuko wapi jimbo limeoza.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Huyu Mheshimiwa tunamuomba Kigoma Mjini anatufaa Sana.
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 2 жыл бұрын
Haaaahaaah umesha onaaa kigoma tusha pigwaa na ki2 kizito::::!!!!
@ntezebigazi7785
@ntezebigazi7785 2 жыл бұрын
Tena hv mkoa wa kigoma wawakilishi bungen?
@darkplatnum9006
@darkplatnum9006 2 жыл бұрын
Hv kwanz mbunge wa kigoma mjin alisha wah hat kupew nafas ya kuingea kam babu tale na sjui anaitwa na
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 2 жыл бұрын
Kwani kuna mbunge huko kigoma zito si haki hakuchaguliwa?.... Kigoma hawana muakilishi
@noeldismas7340
@noeldismas7340 2 жыл бұрын
Kigoma hatuna wabunge serious, tunabahati mbaya mno
@paulmichael5811
@paulmichael5811 2 жыл бұрын
Mh. Flatei hongera kwa kutetea watu wako onyesha kwa vitendo naona km hawakuelewi
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 2 жыл бұрын
Umeuwaaaaaa mh
@surylinetv4677
@surylinetv4677 2 жыл бұрын
Hii sio vurugu ila ni msisitizo wa ujumbe kwa waziri kuhusu kilio na ombi la Mbunge na wananchi wake,,,Mimi nampongeza kwa kuonyesha Moyo wa kuwatetea wananchi wake ijapo katumia sarakasi hongera kwa Moyo huo wa kuthamini wananchi wako
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Wewe ndiyo mbunge unaejua kazi ya kutetea haswa wabunge wako mungu akujalie na urudi tena bungeni wengine ni wabunge ndiyo na kusifia sana mama anaupiga mwingi hujui kuwa anamaliza pesa kwa kusafiri kila siku na kubeba umati wa kwenda nao hajua kama anamaliza pesa za kutengeneza barabara wewe mtu sana
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 2 жыл бұрын
Nazani hii haijawahi kutokea tangu kuanzishwa Kwa bunge inatakiwa iingie kwenye Hansard za bunge 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂🙋🇹🇿🙏☺️
@mubamatoto9451
@mubamatoto9451 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 aisee magufuri wabaadae kabisa ww😂😂sio kwa sarakasi iyo uwiii
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 2 жыл бұрын
Kwenye haki lazima aje juu safi
@emmanuelbayi4640
@emmanuelbayi4640 2 жыл бұрын
Wananchi wa haydom flatei hoyeeeeeee,mbunge was KARATU umeona hiyo
@gishangaak7608
@gishangaak7608 2 жыл бұрын
Hii nchi uhuru umezidi😀😀😀
@davidmkayula3243
@davidmkayula3243 2 жыл бұрын
Alipigaga moja alipokuwa akihojiwa na mchaga Og
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 2 жыл бұрын
Mh #KEISHA nakuona 👍
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
bangi sio Chai
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mungu baba bariki Africa bariki Tanzania
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂wabongooo nmeshindwaa mie hii nchi😂😂😂😂😂
@angelusngwiso700
@angelusngwiso700 2 жыл бұрын
Wabunge wa mufindi,kilolo,kalenga barabara zetu ni mbovu zaidi hatuwacikii
@yahyajuma8830
@yahyajuma8830 2 жыл бұрын
Hii nchi huru sana
@anicethmeruss8525
@anicethmeruss8525 2 жыл бұрын
Naomba like za wananchi wa Mbulu 👍🏿
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 жыл бұрын
BADO HUDUMA NA TIBA ZOTE UHAKIKA NA ZINAENDELEA KAMA KAWAIDA ❤️🔥✅
@Worldunite
@Worldunite 2 жыл бұрын
Waziri jibu kwa sarakasi pia😁😁
@kisurangusa554
@kisurangusa554 2 жыл бұрын
Aise nimekubali huyu mbunge ni jembe🤸🤸🤸
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
safi sana mbunge serkal ya maneno utendaji 0
@emmanuelbayi4640
@emmanuelbayi4640 2 жыл бұрын
Mbunge hoyyyyyyyyeeeeeeeeee
@shinjemackenzie6256
@shinjemackenzie6256 2 жыл бұрын
Shigongo uko wapi buchosa vumbi tangu uhuru?piga na wew sarakasi bora
@maryjoseph6973
@maryjoseph6973 2 жыл бұрын
Jamani kweli ana uchungu na maendeleo
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 2 жыл бұрын
Kiukweli Mbunge wewe ndo mtetezi mkweli umeonesha Uzalendo mkubwa.
@fadhilsanga9180
@fadhilsanga9180 2 жыл бұрын
Mbunge uko vzuri hii nchi yetu ni nzuri Ila viongoz wetu inaonekana ya kiboya ndo Mana jpm hatoki vichwan vyetu alikuwa akisema vinafanyika kwa wakat Yan🤭
@bukuruphilibert8658
@bukuruphilibert8658 2 жыл бұрын
Hicho ndicho kitawakuta kenya mkimpa embarambamba ubunge atakuwa anajifichi chini viti na kuruka sarakas mpk kwa sipika
@zarinaathuman4839
@zarinaathuman4839 2 жыл бұрын
Ila bange nyingine jaman wabunge punguzeni bange
@kevinmukisira
@kevinmukisira 2 жыл бұрын
Hawa ndio twaitaji huku kenya
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 2 жыл бұрын
Ujumbe wako umefika vzr
@hamadiabdallah3906
@hamadiabdallah3906 2 жыл бұрын
Big up Flatei
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Nampenda spika jmn❤️❤️❤️❤️
@blendembesimba
@blendembesimba 2 жыл бұрын
😂😂😂Apo sawa sarakasi kwa wingi wape wape
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 2 жыл бұрын
Inchi ile ya Kiki bunge Lile la comedy show na upuuziiii
@axa29
@axa29 2 жыл бұрын
Dah!! Kakasirika huyu 😁🤣
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 2 жыл бұрын
Kweli
@mikidadijoseph5612
@mikidadijoseph5612 2 жыл бұрын
Hii nchi imezidi uhuru aiser
@kambonamahmadoo6814
@kambonamahmadoo6814 2 жыл бұрын
Ulitakaje?
@boscosango1144
@boscosango1144 2 жыл бұрын
Bungeni sioni kinachoendelea
@sultankivumbi9255
@sultankivumbi9255 2 жыл бұрын
Kweli kwenye familia lazima comedian mmoja akosi nakubali kikao kimenda vizuri wanafamilia tumefurahi
@issaedward1064
@issaedward1064 2 жыл бұрын
Ndoo serikari iliyobaki mheshimiwa
@lukassamwel5168
@lukassamwel5168 2 жыл бұрын
Mliondoa chadema na kuwaleta wapiga sarakasi bungeni wakati maisha yanapanda
@kambonamahmadoo6814
@kambonamahmadoo6814 2 жыл бұрын
Chadema ni ya kina DJ ndio hovyo kabisa,,, VIDAKA TONGE TU
@mitinjezmaziku5449
@mitinjezmaziku5449 2 жыл бұрын
Pigen sarakas bungen uchumi upande
@revinaedward6616
@revinaedward6616 2 жыл бұрын
watu wanahasira hadi sarakasi du
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 2 жыл бұрын
Wapiii mheshimiwa Babutale Tale tale
@abdulsinga2464
@abdulsinga2464 2 жыл бұрын
Huyo babu tale..kiazi tu..hana vision ya kuwawakilisha wananch wa morogoro vijijini kabisa..anamungelea daimond.sasa sijuwi.kwanini wale wajumbe...walimchagua.
@jacksonnduna4419
@jacksonnduna4419 2 жыл бұрын
Hiyo yote inatokana nashibe tu 😎😎
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 2 жыл бұрын
Hahaaahaaa
@bahatihemedi5136
@bahatihemedi5136 2 жыл бұрын
Safii
@aliebrahim9423
@aliebrahim9423 2 жыл бұрын
Safi sana
@aweynajameel8609
@aweynajameel8609 2 жыл бұрын
Kweli KABISA
@BarakaThadeo-k7r
@BarakaThadeo-k7r 11 ай бұрын
Tatzo viongozi wetu weziiii
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
e hivi ni mbunge,au 😢
@sittandaki2135
@sittandaki2135 2 жыл бұрын
anatakiwa akapimwe hakiri huyu kiongozi
@rezembuses5739
@rezembuses5739 2 жыл бұрын
Ushujaa kwa mbunge ni kujenga hoj na kushika shilingi. Ayo mengine ni comedy tu.
@alfrednyamnini7352
@alfrednyamnini7352 2 жыл бұрын
Ukishika shilingi ndio iweje mwisho utaiachia tu.
@octavol
@octavol 2 жыл бұрын
Fratei, unajua
@OmaryUttah
@OmaryUttah 2 ай бұрын
atali sana
@peterdavid4230
@peterdavid4230 2 жыл бұрын
kweli tuna bunge la ajabu haijawahi kutokea yaan mmejaa laana tupu coz nyote hamkuchaguliwa apo Mungu tujalie tz
@magdalenabenard4208
@magdalenabenard4208 2 жыл бұрын
Kahawa
@tonitonito90
@tonitonito90 2 жыл бұрын
Wabunge wengine wanavuta bangi
@shabanimatua4971
@shabanimatua4971 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 hapo kwanza ncheke mana nna cheko la mhaho,hii nchi kila kukicha haiishi vituko😂😂😂
@hadijahassan6467
@hadijahassan6467 2 жыл бұрын
BIG UP TULIA ACKSON 😍😍😍
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Vumbi hilo bungeni
@msengikelvin8565
@msengikelvin8565 2 жыл бұрын
Muhuni ndo aelewi
@ShaidaAfati
@ShaidaAfati 8 ай бұрын
Halo mnatuektia siyo
@sulekun7245
@sulekun7245 2 жыл бұрын
Afadhali hata wabunge Wengine tunawaona wanavyo pigania Maeneo yao. Sisi Tuna Mbunge Anaitwa Babu tale, Barabara za Maeneo Aliyopigiwa Kura Zimekufa Kabisa, Toka Ngerengere - Mkulazi- Kidunda. Nakushauri Mh Spika Huyo Tale Msimpe Posho yoyote Hapo. Huyo ni Ziro.
@itilimadc
@itilimadc 2 жыл бұрын
Si anawatetea wasanii 😂
@sulekun7245
@sulekun7245 2 жыл бұрын
@@itilimadc Ni Mpuuzi Tu. Atetee wasanii ndiyo walompigia kula? Kwan Waziri Anae husika na Usanii Hamna?
@mrh2812
@mrh2812 2 жыл бұрын
Wcb for life
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
Kinqchokutesa tunakijua wala sio kukosekana kwa barabara
@sulekun7245
@sulekun7245 2 жыл бұрын
@@009biafra8 Ni Nn Sasa
@florajames1890
@florajames1890 2 жыл бұрын
Ni kwel kakasirika au miyeyusho ty 😁😁😁😁😁😁🤭🤭
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
Wale wadada wanao sema Maake apo nicheke wakowapi jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ddontz
@ddontz 2 жыл бұрын
Mwanaume anasema kemea kweli muheshimiwa ungeluka kavu apo😁😁😂
@frankbinadola5816
@frankbinadola5816 2 жыл бұрын
Nahisi ndo maana kuna kigezo cha "kiongozi awe na akili timamu"😁😁😀😁
@abdalaalmas2535
@abdalaalmas2535 2 жыл бұрын
Good job MP
@sarahluhanga7537
@sarahluhanga7537 2 жыл бұрын
Vibeee
@Nufaila442
@Nufaila442 2 жыл бұрын
Mwanume halii jery akalia duh
@abdalaahnaziru7315
@abdalaahnaziru7315 2 жыл бұрын
mazoezi mingii mbunge huyo
@allabout1783
@allabout1783 2 жыл бұрын
Endeleeni kulewa Fedha za wananchi. 🙏
@athumanimhina1869
@athumanimhina1869 2 жыл бұрын
Wanatufanya wajinga muda wakuichangia unaisha yeye anafanya comed
@harunilutego7618
@harunilutego7618 2 жыл бұрын
Uyu niatari
@sheddyjustine3714
@sheddyjustine3714 2 жыл бұрын
Tunaitaji watu kama hawa kwajili maendeleo yetu
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
WATU 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA KWA MAUAJI KATAVI
4:19
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 М.
MSUKUMA "AVURUGA" bunge Zima, AKINUKISHA Balaaa!!!!!
10:02
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 680 М.
KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE
5:00
Mwananchi Digital
Рет қаралды 785 М.
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН