Ama kweli mungutujalie AMANI Tanzania kuna raha asantee J MOO
@bigtimetz Жыл бұрын
Great job pamoja sana dj kafika Toka manzese kuchota mzigo wa j mo AMANI🇹🇿🇺🇬🇰🇪
@shilindemasalu-zg2fl Жыл бұрын
jumaaa marco wew nooma sana
@RajabujumahassaniRajabujumahas Жыл бұрын
Pow sana
@MasanjaLuhunja Жыл бұрын
Juma hapa umeuaaaa mwamba
@KujelwaJames Жыл бұрын
Hongera baba Aman Sana maziku toka mwakuhenga
@FaidaMashaka-df8ln Жыл бұрын
Nimepata juzi bulige moja
@salibunzali Жыл бұрын
Juma ww nooma saana
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx Жыл бұрын
Hii hata ukitulia ni ya kufungia mwaka 2023 kwenda 2024 ntusubili ya mwaka mpya hii iko poa sanna
@ShabaniShabaniTv-dp5xq Жыл бұрын
Kazi
@Jameskakola11 ай бұрын
Unaferi wap jems kakola baba
@KijangaShigela-tg7bm Жыл бұрын
Quality song Hongera saana J.MO kudumisha Amani nchini Tz ❤❤
@thentuzumusic Жыл бұрын
MIGERA SNIPER GOOD JOBU UNAMAAJABU KILA VIDEO
@MANDUFamilly-tp1yg Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥👍 director Migera Asante kwako
@ibrahimbaraka5262 Жыл бұрын
Wa inekupata ngoma hiyi❤❤❤
@NzengaBuyaga Жыл бұрын
Juma Mariko piga Kaz mpaka wakukome
@justinemolla1645 Жыл бұрын
Unaimba vzr ila uache kujisikia
@deuspetro7284 Жыл бұрын
Kwer hii mlituliza hakili na direct wako hongela
@massanja21 Жыл бұрын
Kwenye video hujawah feri ila sauti ni nzito sana endelea kutumia mfumo wako wa mwanzo kabisa inakuwaga vibe hatari
@ntemi_someke Жыл бұрын
Siyo JJ Nyerere,ni JK Nyerere
@PatrickZubery Жыл бұрын
Juma mwaka huu razima uchue tuzo
@kachelengwa Жыл бұрын
Jaman kazuri
@leonialucas1023 Жыл бұрын
Kiukweli uko sawa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Jameskakola Жыл бұрын
Kama tuko ote hivi kwenye utuzi jey mo damu yangu ❤❤❤❤
@jumamarco Жыл бұрын
nakupata vzur sana Jems kutoka kakola
@peterjosephnzegatvnzegaasi5681 Жыл бұрын
Amani Sana Msanii wangu Juma Marco👍👍👍
@yente9chanel733 Жыл бұрын
Kazinzuri mzee
@Grayvoice-s5r Жыл бұрын
Kazi nzur kaka
@PaulBulugu Жыл бұрын
Juma marco pamoja sana ngoma zako nazipata na hii tena nimekuwa mtu wa kwanz
@PeterAlexander-cx5cz Жыл бұрын
Kaz nzur
@machiyajohnmbasa2746 Жыл бұрын
Highest level broo
@Directorstanton Жыл бұрын
Migera Creator 🔥
@bigtimetz Жыл бұрын
Tuwekee kazi mpya j moo
@mrishobulabo8014 Жыл бұрын
Ujumbe 🇹🇿💪 Video 🔥🔥 Melody na mixing sio sana
@ShijaKagoke-oc2zu Жыл бұрын
Hongera Nyimbo zako zinaelimisha jamii enndeleeni kudumisha mila zetu za kisukuma wabheja sana👏👏👏👏
@Emanwerydaudi Жыл бұрын
Ujumbe umefik j mo
@Teccno001-ex1uh Жыл бұрын
J mo👍
@mosesjohnswilla9926 Жыл бұрын
Kama hujawahi kulala njaa huwezi kujua maana ya kushiba
@ngazi_films Жыл бұрын
👍👏👏👏
@MweliMazozo-g6j Жыл бұрын
❤❤
@immabahatiimmabahati237310 ай бұрын
Kaka juma mimi niko China 🇨🇳 ngwanzuuuu hapa nakukubali ila kaka ushauri tu kama mashabiki zako hebu rudi Yuma kama ulivyo kuwa unaimba mwanzo kaka kiswahili unavyo imba haziendi kabsa na vina na mizani katika uimbaji wako kaka mkubwa
@ElishaMollaАй бұрын
Kaka unajua sana
@SambayiJulias Жыл бұрын
Jumaaa
@FaidaPetro-v2f10 ай бұрын
Kz nzuri San brother
@ngwanaedina90709 ай бұрын
❤❤❤ kaka noma
@YOHANARIREMMA21 сағат бұрын
🎉
@MabulaMalale-d3vАй бұрын
MUNGU BARIKI
@KulabaStephen11 ай бұрын
broô your so creative yani unafaa tuzo hakika father unaweza ujumbe wa wimbo upo vizuri,is like song called NAPAMBANA hizi nyimbo mbili zinanikosha sana unahitaji tuzo sema asili yetu sijui ipo kushoto Lakini pia hata vijana chipukizi washauri ni wasitukanane tu bali watengeneze kazi yenye malengo na kueducate na kufurahisha watu THANKS MORE TUNAKUSOMA TUKIWA MUSOMA MARA TANZANIA FROM MASWA DODOMA