kazi juma unafanya vizuri endelea kuwa bora na mungu atasimamia kipaji chako
@MasanjaLuhunja10 ай бұрын
Niite masanja kutoka mwakitoryo no 5 nimefka Kwa j mo kukagua maswara
@msomezsaid29 күн бұрын
kaka juma nimesomaa komment za mashabiki wako wanaponda, kwanzaa inatakiwaa wajuee umeanzaa muziki lin?? je enzi zako ilikuwajee??? kwanza shukuru mungu mpaka saiv upo kwenye gem. wako wapi akina mchelemchele, shitungulu na mmeanza pamoja
@ManjiNzobheNzobhe9 ай бұрын
Father Good Job pambana baba yang
@MasanjaLuhunja10 ай бұрын
Rafik yangu Rogeti njo tujifunze mapbo yq kikubwa kutoka kwa mkubwa wetu jmo
@EvaJohn-ll5vb10 ай бұрын
Vizuri sana j m mungu akuweke juu zaind kaka
@MjBingwa-e5i10 ай бұрын
Naitwa jilala nshishiwi niko mwanza nakukubali sana kaka
@bigtimetz10 ай бұрын
Big time dj kafika kukagua kazi mpya 🔥🔥
@KasaiBoyTv10 ай бұрын
Kasai Here
@kingboytzphonesolutionking762210 ай бұрын
Mzee wa mix nakubali san
@SambayiJulias9 ай бұрын
Juma marcooo
@mrishobulabo801410 ай бұрын
Migera asili unazijua sanaaa adi sio poah Juma umepiga hiiiii Kali sana
@shilindemasalu-zg2fl9 ай бұрын
j moo washa motooo sana
@MarwaMarwa-w9t9 ай бұрын
Acha majungu imba kila mtu ana njia yake
@bulugunhandi5 ай бұрын
Pamoja sana Juma nakukubari
@CrescentMussa9 ай бұрын
Hongera sana faza mungu akusaidie sana.
@rogetichuo468710 ай бұрын
Tamaduni yetu moto mbele kaka J MOO
@MasanjaLuhunja10 ай бұрын
Umeona rafk angu
@BenjaminiMasanja9 ай бұрын
Najuwa Kila kitu wanaume jina linazidi kutomba juma marco mushibiki wake magwasi au mgelegele fupe
@SAGANDANDAKILO-h9d9 ай бұрын
Wimbo mzuri, Nakushauri uache bifu Kwa wasanii wenzio Mimi kama Shabiki wako nahitaji muendelee kuelimisha jamii kupitia nyimbo sio kuanza kutambiana mfano Nangadanga ndio nani?. Ni ushauri tu ndg yangu
@DirectorJostar699 ай бұрын
Kazi nzuri J mo and dir.miger🎉
@Ngwanasamaka10 ай бұрын
👍 Nice job🔥
@FaidaMashaka-df8ln10 ай бұрын
Wapi dj faida bulige moja
@thentuzumusic10 ай бұрын
Napita kumuagalia migera tu maana mwaka huu uumbaji wa juma Marco mmh Migera unakoelekea sijui
@massanja2110 ай бұрын
Ushauri wangu huwa hauoni ila acha tusapot mana ni watu wanaotuwakilisha sema video imetulia sana ni high quality
@thentuzumusic10 ай бұрын
Kweli kabisa
@BarakaJames-s1w6 ай бұрын
Upo vzl kwelii
@immabahatiimmabahati23737 ай бұрын
Kaka usitukane mashabiki bashabiki ndo wanakuweka kwenye gemu sisi kama mashabiki kaka mwaka huu umekoroga mbaya kabsa unaimba nyimba hazina vina na mizani imba nyimbo kama zile za mwanzo mfano kama Ile ya TUMBA, WAZAZI, SUZANA, SATA, MBONA NI NZURI TU KAKQ
@NasryMihambohamissy10 ай бұрын
Kazi njema sitahili na kisima uwimbaji napenda sho yao
@KijangaShigela-tg7bm10 ай бұрын
Asili 🤝💯💪💪
@bujiboytz46508 ай бұрын
Hapo ni mhandu segese Fufumo water falls
@YobatYohana-qi9yl10 ай бұрын
Nic job kaka
@immabahatiimmabahati23737 ай бұрын
Kaka yani ulivyo kuwa unaimba mwanzo ni vizuri sana sasa hivi umekuja kuboronga kabsa vina na mizani huzingatii bora kaka imba kama mwanzo ulikuwa unaimba vizuri sana tatizo lako unalamizimshia kuimba kiswahili kama utaka kuimba bongo freva ludi kwenye bongo freva ila kama ipo kwenye nyimbo za asili imba kama ulivyo kuwa unaomba mwanzo shabiki yako hapa 🇨🇳 china ngwanzuuuu naijia na dwa ya biashara 😅😅
@kachelengwa10 ай бұрын
Kazi nzur
@PaulBulugu10 ай бұрын
Kama kawa homa gai wapi dj mna kizungu nindo shy njoo upakue magoma mzee
@PatrickZubery10 ай бұрын
Kazi nzuri sana brother🎉🎉🎉🎉🎉
@budodianthony80949 ай бұрын
😂😂😂❤❤jumaa waoo wapii wasukuma😂😂❤
@japhetsahani71219 ай бұрын
kaimba vizr Sana ila Sasa anayemuimba Ni Nani??????????
@massanja219 ай бұрын
Yan hapo ni ukiona imekugusa jua ni yako hiyo 😂😂😂😂😂😂😂
@japhetsahani71219 ай бұрын
@@massanja21 🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒 pmbv mm nmeulza Kama huna lakunijb kaaaa kmy fara nn
@massanja219 ай бұрын
Sasa we unahisi anamwimba nani na juma marco me sijawah sikia anaimbana na msanii mwingine ko hapo ipo kwa jamii ukiona kuna watu wanakuzingua haf mamb yanaendana na wimbo unanyoka nao tu ndo mana nikasema ukiona kama imekugusa yaani kuna ile mtu anakuwa anahisi mbon kama kaimbwa yeye bas inamuhusu 👍👍👍👍👍
@ANTONITzofficai10 ай бұрын
Nifatjlie
@RajabujumahassaniRajabujumahas9 ай бұрын
JJ w noma
@samsonemmanuel134410 ай бұрын
Good song kaka
@alphoncelaurent46809 ай бұрын
Tatzo mnamuiga kisima
@majaliwasamweli742710 ай бұрын
Kisima ndo kalianzisha hilo wewe huwez Kaz kuiga kwawenzio
@SospeterGeorge9 ай бұрын
Ni Kweriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kak
@kgwaburumabutiamayika21759 ай бұрын
Kazi nzuli ila inataka kufanya na ya Fulani video baka bt
@mageletz10 ай бұрын
good music my brother yaani big up sana
@thentuzumusic10 ай бұрын
Mda mwigine tuwe tunasema ukweli mashabiki uimbaji wa juma mwaka huu hauko vizir lakin video wanga hafeli Yani wanga anagalamika sana lakin kiumbaji kafeli huu mwaka
@thentuzumusic10 ай бұрын
Pia samahan kwa watakao nielewa vibaya lakin huo do ukweli
@mageletz10 ай бұрын
Kwa hapo siwezi kujibu make Kila artist ana uimbaji wake so hata Mimi wapo wanao sema nime feli ila kikubwa mzigo ume fika
@thentuzumusic10 ай бұрын
Sawa kabisa do maana nikasema mnisamehe Kwa wale msio penda ukweli 🙏🏿
@mrishobulabo801410 ай бұрын
Kwa hii Juma kajitahidi jaman tuseme ukweli video kaliiii na Audio kaliiii piah kama kafeli basi sio hapa
@shilindemasalu-zg2fl9 ай бұрын
❤🇹🇿🇹🇿
@sikujuajames-y1l10 ай бұрын
❤❤❤❤
@Maliganyamadirisha-c5n10 ай бұрын
Pg. Kaz kak uko vizuli
@jumamarco9 ай бұрын
mm sihitaji mashabiki wa mchongo wa mtandaoni ww kama haupend kazi yangu naomba upotezee mm sidaiwi na mtu katka maisha yangu wew kama unaona mm nakukera hamia tu upande wa pili naomba achana na mm hata nikishuka nikishuka kimzik tegemei kuimba msaanda wew
@budodianthony80949 ай бұрын
❤❤❤❤❤vipi kale kawimbo lejii😊😊❤
@immabahatiimmabahati23737 ай бұрын
Kaka usipaniki wasikilize mashabiki wanataka nn sasa ukiwatukana mashabiki utakuwa kama Baraka da prince 😂😂😂😂😂
@immabahatiimmabahati23737 ай бұрын
Kaka juma unaambiwa ukweli unaanza kutukana mashabiki ili iweje sasa tunakuchana ukweli uimbaji wako wa sasa kaka sio mzuri imba kama mwanzo 😊