Namuona mrembo joyce kajitaidi sana kwenye u Queen
@ManjiNzobheNzobhe8 ай бұрын
Hongera father good job 🎉🎉🎉🎉
@shilindemasalu-zg2fl8 ай бұрын
jaman juma marco ww unasitahili upewe tuzo yako bora mwaka huu hatutaki ujanja ujanja mashabik wako kaka huu mwaka
@ngasasospeter68998 ай бұрын
Hiki chuma nimekielewa sana sana, ubunifu ndio mafanikio kwa dunia ya sasa, hongera juma, nakujua tangu uanzee kwenye game "nzala"
@shabanmlekwa95139 ай бұрын
Daah kwa kweli hata mimi nimeielewa sana hii ngoma. Ushauri wangu badilisheni mapigo ngoma ikichanganya. Muige mapigo ya Kina Extra Musica, Pepe kale muyawekee ladha ya kisukuma tu kidogo.
@rogetichuo46879 ай бұрын
Kaka Juma naona umeanza kutupa radha za kisasa zaidi nimejifunza kitu kwako
@MaforogoMaforogo9 ай бұрын
Iko poa saaana j mooo
@ibrahimbaraka52629 ай бұрын
Juma umepiga hiligoma kweli kumbe ukimya unamabo mengi❤❤❤❤🎉
@jumamarco9 ай бұрын
dugu yangu acha tupambane na Hali yetu ibla
@machiyajohnmbasa27468 ай бұрын
Big up sana broo
@deuspetro72849 ай бұрын
Ok hii nimeipenda
@shinjengasa35749 ай бұрын
Hii nayo iko pw sana,jamaa umezidi kupanda viwango kuutafuta ufamle wa mziki
@NGANGATV19 ай бұрын
Kazi nzuri kaka
@kachelengwa9 ай бұрын
Kazi nzur Kaka❤❤
@Jameskakola9 ай бұрын
Juma malico james kakola nimeopata lafk yangu kazi kubwa sana❤❤❤❤❤❤
@KijangaShigela-tg7bm9 ай бұрын
Hongera saana Master wa wasanii Juma Marco Tunakutakia Mafanikio Ili mziki wako uende mbele zaidi pia tunakuombea saana tunaona mziki wako umevuka mipaka ya Tz Sasa tupo Congo uendelee kubuni zaidi Ili mziki wa kisukuma ufike nchi mbalimbali Hongera saaana💯💪💪🤝♥️♥️♥️
@jumamarco9 ай бұрын
asante babaangu tuko pamoja sana
@GWIJIGWIJISELLA-tt2it9 ай бұрын
Mpe hai manoti 🔥
@AdelinaCharles-id1gr9 ай бұрын
Kaz nzuri
@YobatYohana-qi9yl9 ай бұрын
Kiukweli kaka juma kazi nzur sanaa
@mrishobulabo80149 ай бұрын
Video kalii Melody kaliiii Location unyama mwingi Mavazi (code) imezingatiwa💯 Juma umerudi mjini kwa kasi sana kama vile hujawahi kupumzika Keep it up 💪 Sukumaland 🔥🔥🔥
@jumamarco9 ай бұрын
asantee kakaangu naamini yajayo yanafurahisha tuko pamoja saana babaangu
@leonialucas10239 ай бұрын
🔥🔥🔥uko sawa sana
@jumamarco9 ай бұрын
mm naomba maoni kutoka kwenu wadau na mashabiki zangu ili tuendelee kuupeleka mbele mziki wetu na kuusapot mziki wa kitanzania
@malingomediaofficial9 ай бұрын
Kazi Tamu Sana Juma Hongera Pia Director #Migera Tuko Pamoja
@MigeraStudio9 ай бұрын
Asante maringo
@jumamarco9 ай бұрын
sawa pamoja sasa kakaangu
@MasanjaLuhunja9 ай бұрын
Master wa masters
@jumamarco9 ай бұрын
yesiiii
@simonphabiano90509 ай бұрын
Tamu sana kwa kweli
@kgwaburumabutiamayika21758 ай бұрын
Safii san ❤❤❤❤❤
@TumainiMasige-y4c9 ай бұрын
Kazi kubwa hufanywa na wenye akili kubwa, Hongera sana naanza kuona wakongo si muda mrefu wataomba collabo na wasukuma, na hii ndo game change inatakiwa ifikie kipindi wasukuma kupiga show mpka nchi jiran 🫡🫡☑️☑️☑️☑️✅✅✅
@MigeraStudio9 ай бұрын
Wameaanza tayari
@zagalazabuinge38939 ай бұрын
Kazi nzuri Sana, pongezi kwa team waandaaji wote
@jumamarco9 ай бұрын
asante sana ndugu yetu
@thentuzumusic9 ай бұрын
DR KAZ KUBWA
@MusaSaganda5 ай бұрын
Juma marko, hongera sana bro Hii nyimbo nimeikubari sana sana kaka, nipo dar es salaam. Watu wanakukubari sana sana kaka wasukuma tumejaa hukuu tembelea uone support yetu
@sukumatraditionalkingdom9 ай бұрын
Best Song & Quality Video
@yusuphmunhusana65662 ай бұрын
Bonge la song!!!!! 🙏🙏🙏 Big up Sana j'mo
@Shilangila9 ай бұрын
kaka nimeona
@immabahatiimmabahati23739 ай бұрын
Sasa kaka mbona huimbi kama mwanzo sasa ndo nn hiki mbona bongo freva tena😂😂😂😂😂😂
@jumamarco9 ай бұрын
asante kaka mkubwa
@jumamarco9 ай бұрын
umejifunza nini tena mdogo wangu roget kutoka kwangu?
@martinemaganga52539 ай бұрын
Kaka Juma Marco, siyo tu Rogeti bali wasanii karibia wote huwa wanafuatilia kazi zako na cha kufurahisha zaidi nao watakuja juu ili wakuzidi na huo ndo wivu wa maendeleo, endeleeni kutupatia radha ila jaribuni siku moja muandae kazi moja muifanye wewe, Gudegude, kisima,Bhudagala, Rogeti na Nyanda Lunduma itakuwa powa sana
@yusuphmunhusana65662 ай бұрын
J' mo naomba nyimbo yako ya kwanza kabisa iliyokuwa unasema JAKALIKA EJIBHYALILWA, NULU NDUGUYO AKUKWENHELA MAMIHAYO, UKWITAYA SABHO:🙏🙏🙏
@MigeraStudio9 ай бұрын
❤❤❤
@Wazimamoto9 ай бұрын
Umeuwa jembe langu
@jumamarco9 ай бұрын
pamoja sana mdogo wangu mwanamalonde usjar
@SambayiJulias8 ай бұрын
Juma www
@user-xz6fz5nz2s9 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@ChensoomusterChensooMuster9 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@yusuphmunhusana65662 ай бұрын
Hii video Niko nayo nyumbani, aisee inamaliza umeme balaa, maana haikifu. Ikiisha inarudiwa yaani kutwa nzima aisee
@NchenyaJumanne5 ай бұрын
Bro imetisha kwa queen ulienda kuchukua Dubai nne?