JUMA NATURE: POMBE IMESABABISHA NIMESHINDWA GAME ''INANIUMA SANA''
Пікірлер: 111
@linkreuben58045 жыл бұрын
Watangazaji kuweni creative, Nature anawakimbiza!
@ngasikajoel957611 ай бұрын
Always Nature yuko really kitambo watangazaji mnamzingua tu hapo
@dadyshunaydah58025 жыл бұрын
Kama na ww umemuona KIROBOTO macho Yameiva kwa TUNGI jua kua tupo pamoja🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎼🎼
@kigendihassan6305 жыл бұрын
Tatizo mnaingiliana sana kwenye maswali, mngekuwa mnasubili swali linajibiwa kwanza, maana swali lililopandishwa juu swali, wala halikuwa na ulazima wa kuulizwa kwa wakatihuo.
@pacifiquerema23475 жыл бұрын
Wafunzwe na Millard ayo
@hatwabiswalehe2625 жыл бұрын
Hawa wanazingua xna,mtu hajajib swali,fala mwingne anauliza swali,hovyo kabisa
@bensonmwita5745 жыл бұрын
Kabisa
@newforcejv97215 жыл бұрын
Kpnd nkizuri ila mkipungua wakabak wawili ktapendeza zaidi walionielewa like twende pamoja Maana maswali kama walev nawao
@mbawalakamkanda77115 жыл бұрын
Safi sana
@esnestotadeunete2104 Жыл бұрын
napenda sana miziki ya nature uku mozambique
@billalphilip57765 жыл бұрын
I like this guy...vibes zake ziko true....nkikudanganya ntakuwa mchawi😂😂😂
@malickkasuga48055 жыл бұрын
Daaaaah vijana hawana heshima kwa legendary nature
@ayubumpate40805 жыл бұрын
Ila nn studio nzuri, kipindi kizuri ki2 kimoja mnachokwama nyinyi hamna mpangilio mzur wa maswali yenu cjui ndo underdog igeni mfano wa wenzenu clouds tuongee Ukweli jamaa wapo juu xana kuhusu mpangilio wa maswali ok but hata mbuyu ulianza kama mchicha so tunawapa muda najua hamtotuanguxha mashabiki wenu 🙏
@ezradaniel46135 жыл бұрын
Kwel nature hata show ya wasaf festival ya kwanza diamond alipangiwa mwisho alivyopanda watu walikuwa wameshachoka,,,walikuwa hawana vibe kabsaaaa
@deusmallya53472 жыл бұрын
Watangaxaji mnizingua pangilien maswali Big up nature
@patrickkilonzo64985 жыл бұрын
aaah Juma Nature baana unaniangusha punguza pombe boss aah mambo gani haya
@kadaawizaa55883 жыл бұрын
Acheni kumchora nature
@hassankihonde12755 жыл бұрын
Kama umemuona huyo dada hapo pembeni akichezea simu tu kama network oparator gonga like
@salumabdallah66805 жыл бұрын
Hassan Kihonde 🤣🤣
@mirajihazard21175 жыл бұрын
anachukuwa mshahara wa bure
@hassankihonde12755 жыл бұрын
@@mirajihazard2117 umeonaeee
@nassoromangi35975 жыл бұрын
juma nature tumekumc sana blaza,ww mkali tu nature,dondosha Ngoma la mwaka 2019
@jacksonlukubah39564 жыл бұрын
Gavamenti......!!!!
@josephgatunzi16705 жыл бұрын
Dingi yuko sawa kidogo, Mtoto ...
@geoffreymdede76785 жыл бұрын
Jonijo we ntangazaji mzuri sana ila upo na maboya awo na wew unaonekana boya tu hmna format ya kipindi
@jacobmwalituke89815 жыл бұрын
Hamjajipanga,mnauliza maswali.meengi kwa wakati mmoja mpaka hamueleweki
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Vyema nature sahihi kabisa
@kebumtanza51195 жыл бұрын
Eti nature kafanana na lukole kuanzia juma, Rasta mpka sura alisikika mlevi mmoja uko mtoroni
@shabbyofficial_5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@kassidpandu98064 жыл бұрын
Nyio bado na utoto mnao pia
@abuyabally50864 жыл бұрын
naona juma neture kama anafanana na mbwana samatta je una ubinamu nae hahhaa
@fababindawood83635 жыл бұрын
Yupo sawa angalia kijana anavyochezea gar kwa drift hatar #fabaonline
@mbarakasaidi82432 жыл бұрын
awa watangazaji makuma
@damianmachilutv11675 жыл бұрын
Kubeli ileeee, we mwanhalie vizuri
@mgeyo64645 жыл бұрын
GONGAAAAAA MEZAAAAAA NAMNA VIPI VIPIIIIIIIIII NI VIMPROOOOO😀😀😀
@JohnLauMusic5 жыл бұрын
Respect nature
@fredyndumbalo98175 жыл бұрын
Juma nature bado una uwezo wa kuimba acha pombe daimondy ana tatizo na MTU mungu atamtumia kukurudisha tena kwenye gemu
@emanueltemba54385 жыл бұрын
Juma nature Anapenda Ugali
@SUZIBALE_OG5 жыл бұрын
Mnazingua maboya nyie mjue mnamuhoji nani muwe na heshima
@kassimjuma87135 жыл бұрын
GONGA MEEEZAAAAA
@toney.. Жыл бұрын
Hapo ugoro uko on point 😂😂
@ikupamwaisoba73795 жыл бұрын
Nature nakukubali mno bado uko juu kuliko hawa wanajifanya wanaimba cku hizi.
@barakakambi14695 жыл бұрын
Hii show yenu c mbaya lakin hamna mpangilio wa maswali ...mnagongana maswali huyu anasema hichi yu kile hata mnamchanganya MTU hajui aanze na nan kumjibu... Kueni na mpangilio wa maana katika maswali yenu... Outer 254
@mwambietv76145 жыл бұрын
Njoo Mbeya kapunga mbarali usangu tena Nature
@nassorbinfundi11962 жыл бұрын
Uyo ndo j kibra wa tont ajatokaga mbwinderee
@sekundemaster4605 жыл бұрын
sasa maswali gan mnamuuliza nature ...mnamzalilisha maswali ya kidwanzi hayo mbn mnazingua nature sela alafu mnamcholesha
@alhajimbaga40625 жыл бұрын
Sir juma nature koroboto kibali Sana kamanda lejendary
@ngalawekikohingalawekikohi47685 жыл бұрын
Msiridie tena Intaviw za hv nitawadelete mala moja hamjui Kumuuliza mtu maswali sasa mnajua nikwann yuko kmya
@jerrystephen94544 жыл бұрын
Ila jamani walevi wana sura zao broh juma hiyo sura inaulakini
@bjaymaster39425 жыл бұрын
nakubali at
@zubeiramlanzi2480 Жыл бұрын
Huyu mjinga Kwa ndum ni noumer kinoumer yani
@georgesamwelchacha76805 жыл бұрын
#jonijoo Tutafutie mpoki na kingwendu #BABAKOO
@mohammedothuman59745 жыл бұрын
Punguza pombee MJOMBA nature Yaani sauti hamna kabisa
@khalifawapili17994 жыл бұрын
Mapokopoko manjali maugariii
@greenboyhaskai4 жыл бұрын
Kwani Joni Joh huezi fanya hii show peke yako? Angalieni LilOmmy anavyopanga show
@hundamaniamania8725 жыл бұрын
Kifaa hiki noma
@isaakalmas68705 жыл бұрын
Yaani hivo mnavofanya siyo interview ila mnapiga soga hapo, tunahitaji kumsikia kwann yupo kimya, anajipangaje, nini hapendi nini anapenda. Yaani hapo vichwa vyote mmeuliza swali moja tuuuuu kwa kanuni za interview zingine zote soga tuu
@chipmunks61134 жыл бұрын
hayo una taka kuskia ww wengine hzo fujo ndio tuna zipenda usi force watu wa ige maisha lazma uje na kitu chako personal ww kama umezoea kuiga maisha usi force chama kubwa lifate akili yako ndogo
@thomasmwambe43724 жыл бұрын
Ndio tatizo la kuiga ilooo
@mohammedothuman59745 жыл бұрын
Nature punguza pombee
@khamismasaai53075 жыл бұрын
Mwaanza kuzuga na headline ya habari yenu.
@jacobmwalituke89814 жыл бұрын
Hovyo sana
@lenjeevara34075 жыл бұрын
Pwaaaaaaaaaaa
@alicksitephan29663 жыл бұрын
Rapcha
@norbethekitosi53545 жыл бұрын
Blood necha upo juuuu san
@dadyshunaydah58025 жыл бұрын
Oyo nyie WASAFI zingatieni kipengele cha kuuliza maswali mnauliza maswali kama walevi wa gongo nn maana Yake kueni serious 😒 bhana!!!!!!!!!! Ni MTAZAMO tu wanetu msijenge chuki🎙🎙🎙🎙🎙
@kilimohub5805 жыл бұрын
Respect muhimu, mzaa mzaa mwingi apo. Unemployment in disguise
@everjekela39595 жыл бұрын
Lilliomy is best
@fubanjenjele5215 жыл бұрын
Mapresenters bado dhaifu sn, mnaingiliana lkn mnasahau kumwachia msanii nafasi
@mickeykibabu69994 жыл бұрын
Hakazeeki haka kajamaaa
@henrykishiwa67555 жыл бұрын
Diamond fukuza wote hapo huna watangazaji, una vilaza
@manmacho65295 жыл бұрын
yan apo ni kuchoreshana tu watu wamefulia jaman mnataka mpaka waseme siri zao
@samirnaty87745 жыл бұрын
Jonijo ulichouliza hukupata jibu sahihi
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@hassankihonde12755 жыл бұрын
Na ndio maana kila cku huaga nawaambia wadogo zangu wasanii sio kioo cha jamii kama inavyosemekana wanaunganisha unganisha tu mistari ili wapate hela zakufanyia umafia, na hata maandiko matakatifu ya Quran yameshasema kuwa moja miongoni mwa tabia ya za waimbaji ni uongo, kwa maana kwamba hata yale mazuri wanayoimba wao hawafati, wasanii ndio wanaongoza kwa umafia duniani, ukichunguza utagundua hilo
@goodboi98215 жыл бұрын
Sio kwamba nahate ila hii show ingebaki na host wawili Wengi ni makelele tu ata haina mvuto
@sammycharo88575 жыл бұрын
Nguvu zakiume huletwa na mke
@mussakassim2995 жыл бұрын
Diamond ulikosa watangazaji
@mauranamussa97225 жыл бұрын
kanyinyi
@rajabmwanansoga84304 жыл бұрын
hiki kipindi watangazaji wote wanadandia dandia maswal mpaka kinabore
@deusernestbarnabas46914 жыл бұрын
Nilifikili muntumia hakili kua katika bench hilo kumbe manazalau kama tajili yenu hamnahakili kabisa
@joegitonga98215 жыл бұрын
These radio hosts lacks content. They focused more on the downsides of Their guests instead of seeking to know about his future plan. Feki sana..
@samouritoure32825 жыл бұрын
I agree with you
@masharikijuma70784 жыл бұрын
Interview ya kishenzi, interviewers washenzi, maswali ya kishenzi... mnajaribu kumfumania LEGEND na maswali ya kijinga lakini bado apo imara ndo maana anawajibu bila wuoga wala kusitaa, NENDENI ZENU, HAMNA MPANGO!
@officialzalkey5 жыл бұрын
yoooo
@patrokilgeofrey5 жыл бұрын
Ovyo tu maswali mnauliza bila mpangilio
@nasibumutabazi87215 жыл бұрын
Rais wa Tmk
@khamismachemba40205 жыл бұрын
Interview mbovuuu sn unauliza vitu vya kitoto PERSONAL kuliko kz
@barakakambi14695 жыл бұрын
Tatizo wote ni watoto ... Hawana experience pia cdhan kama wako na producer pia ...its a pity wanapoteza maana halisi ya hicho kipindi
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@hassansamata96965 жыл бұрын
Una hata tatooo
@mcgeemwamba93032 жыл бұрын
Jamaa kabebwa na machela kisa tungi kzbin.info/www/bejne/j5bZqpecmNV8o5Y
@beatusmwabena69504 жыл бұрын
Horrible presenters poor programme management
@mirajihazard21175 жыл бұрын
most of the horrible interview at the moment
@deusmauka96264 жыл бұрын
Pombe inaharibu acha ubishi Juma ,acha pombe, piga kazi, pombe si maji. Ujinga tu huo.
@myself41285 жыл бұрын
Msanii kunywa na kulewa au kuvuta bangi na uzinifu haziwahusu sababu ni maisha yake nje ya muziki huo ni uswahili wa hali ya juu kuingiliana kimaisha isipokuwa unatakiwa ushauri na sio live kiivo nyuma ya pazia,tena msanii ana walezi marafiki na washauri ndio wanamuambia sio nyie kazi yenu kupayuka tuuu kwani nyie wazazi???
@alexanderbruno50484 жыл бұрын
Uko sahihi
@Kimbururu5 жыл бұрын
Masenge matangazaji ya bongo. Yanakurupuka. Maswali hayana hata mpangilio. Mtu anaongea wanamkatisha. Motherfuckers. Fucking rookies
@kilimohub5805 жыл бұрын
Wazee , watu watatu afu bado maswali ya kijinga !!
@emableelias66915 жыл бұрын
Wasafi kila siku mmnaabiwa kitu kimoja tu harafu hamuelewi..mnashindwaje kupeana muda kwenye maswali..mnangiliana sana..harafu hamueleweki..mnatuchosha mapema tutaanza kuwapotezea... yaani ule mchujo wate wa watangazaji ndio mmetikana nyinyi ambao hamjielewi
@tumlakimwaitumule5 жыл бұрын
punguzeni kuingilina wazee,mtaanza kuboa soon,kila mtu awe ana mwaswali yake ya msingi mapemaa,na muheshimiane kila mtu asikatize swali la mwenzie....
@jumakilua17155 жыл бұрын
.
@mchabwajrmeso53695 жыл бұрын
Yaani huwa naboreka na hichi kipindi kwa sababu hiyo kila MTU awe na nafasi ya kuuliza swali lake sio kuingilia swali la mwingine
@famitoissanawanda62954 жыл бұрын
Hongera kwa kuliona hilo kama wanapitia comments nahisi ujumbe huu utawachoma tuombe walione hili yani hawa kila mtu anataka awe bora kuliko mungine
@kofiianodi33264 жыл бұрын
Kabisa
@beatuslongino56665 жыл бұрын
watangazi wote wajinga tuu wanatafuta umaarufu,,,,ndo nyie maboya mnataka shindana na clouds kwa kuingiliana hovyo mnatakiwa pewa course aisee.