Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership / @simulizinasauti
Пікірлер: 100
@BarakabalumeJean6 ай бұрын
Nawependa saana change na temba ❤ nature pia
@Titointokyo Жыл бұрын
Wanangu gonga like kama umekubali ujio mpya wa TNC 👍🏽
@RamaMangale-jk2iv8 ай бұрын
Poa sana mabro
@RenovatReuben11 ай бұрын
Am 20 years from Burundi lakini tangu nizaliwe i love so much these go Guys. Hadi sasa nyimbo zao zinapigwa 🙏🙏 well come back again
@ngarathecomedian5743 Жыл бұрын
Nawakubali sana Temba na Chege waishi Sanaa Juma konki 🔥🔥
@kutokaughaibuni Жыл бұрын
Chege anasema kweli wasanii zamani walikuwa wanapenda sana kujificha studio peke yao na producer tu sasa sijui walikuwa wanajiona wanatoa hit aiseee yaani bora this day everything smooth keep it up magoma mapyaaaa
@omosh2023 Жыл бұрын
Men of very powerful voices.
@Kim-lh1yj Жыл бұрын
Ok nawakubali sana wana
@tnftz1461 Жыл бұрын
Tunamuomba nature apunguze pombe au aache kabisa maana inamuharibia voice🙏 #tnc🙌
@salumuhamza3920 Жыл бұрын
Nawakubali sana mimi nandugu zangu from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩 big up Sana T.N.C
@yusrambarouk3884 Жыл бұрын
Mungu awasimamie
@jacobsadock3530 Жыл бұрын
Vichwa vitatu ndan ya album moja, tunaisubir kwa hamu
@gintezcabayser Жыл бұрын
Hii ni kubwaaa TNC aiiiiiseeeeeh kenya twasubiria ujio huu Mungu amejibuu dua zetu
@hollymore4904 Жыл бұрын
Dawa anayokula chege iko Safi Sana✌️👊
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
lile picha linaendelea pale pale lilipo ishia ni 🔥🔥🔥 tukae mkao wa kula 💪🇹🇿🇦🇪
@stephenhaule5055 Жыл бұрын
Nawatakia kila la kheri ila Nature na Temba wako safi zaidi
@chunanachu2529 Жыл бұрын
Nimemiss hizi sauti.....I can't wait kuskia💪💪💪
@muslimdabas9066 Жыл бұрын
Nawakubali sana hasta kibla matata
@BarakabalumeJean6 ай бұрын
Wanaume kazini💪💪💪 courage
@faizaahamd2052 Жыл бұрын
Tunawapenda sana♥♥♥♥♥♥♥ yaani nimefrahi mziki mzuri humerus♥♥♥♥♥
@Brian.f.odinga6 ай бұрын
Napenda ujio mpya TNC .
@faizaahamd2052 Жыл бұрын
Fanyeni remix ya mkono moja weka ju♥♥♥♥♥♥♥♥
@BakariKazungu-pm2nw Жыл бұрын
Nawakubali kwa Asilimia
@adamsengo1869 Жыл бұрын
Temba style yake ya kijiti mdomoni Hamachi!!😁
@njoroboihustla125 Жыл бұрын
Hiyo nitabia sio staili hata kwetu yupo huyu haachii hiyo njiti
@adamsengo1869 Жыл бұрын
@@njoroboihustla125 ni kweli lakini nilimaanisha mtindo , u knw the language is wide with different meanings so the word "style" in kiswahili is something that cn sounds in different meaning inategemea na sentence yenyewe
Mpige collaboration moja na rapcha🚸 😂😂😂ila necha anawajukuu kumbe
@kasaisatv9765 Жыл бұрын
Amesema "wa juujuu."
@twahashearer8302 Жыл бұрын
Hakuna Chege bila Mh. Temba wala Temba bila Chege...
@mastaplan Жыл бұрын
Best song HILI DUDE la kimataifa
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Tunawasubiri..mjiiiiini☑️☑️🔥🔥
@ambroceharouna1612 Жыл бұрын
Energy
@mgenimawazo3099 Жыл бұрын
Yani nasikia raha sana kuona wanafanya ivo maana nilipe daga sn miziki yao na mpaka sasa Nina nyimbo zao ata 20 kwenye sim yangu nawapenda sn👌👌👌👌💞💞
@newbillionaire701 Жыл бұрын
Nature ndo kila kitu bado ana vit vingi sana ila apunguze pombe hiki kichw kikiondoka tutajuta tatiz pia apokee ushauri kama ku shoot video kali muonekano asipende kujikubali tu kukosolewa kupo
@Kijana-wa-Tanzania Жыл бұрын
Nature acha pombe, bangi we vuta lakini pombe itakutoa roho mtoto wa mama Iddi. Tunasubiri mistari tu…Mh. Temba, Juma Kiroboto na Chege Chigunda.
@eliudimfilima8064 Жыл бұрын
TNC 🥋🥋🥋
@yuzomafia3949 Жыл бұрын
Yuzo mafia nimekua wa kwanza sns mnaupiga mwingi nataka rik nyingi apa wanangu pia msisahau kusikiliza ngoma yangu ya tumeshinda
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Vita au
@shukranisibale1739 Жыл бұрын
Good
@pastoraile7195 Жыл бұрын
Kaka nyumba hiyoooo niya Alikiba alinunuwa kwa zito kabwe 2019
@MucoLambertАй бұрын
Mngu Awaongoze
@ibrahimhumanamicroscopic6515 Жыл бұрын
I love chege all ways to America 🇺🇸 💙 ❤️ ♥️
@fadhilikigwama3896 Жыл бұрын
Hawa nao wanahangaika sana mara utasikia temba na chege mara temba na necha mara chege na necha mara necha na inspector mara sasahiv temba necha na chege aise
@stevenlugojeremia2323 Жыл бұрын
Ili ufanikiwe Lazima uhangaike..kuangaika kwao ni moja ya kutafuta Maisha nakuangalia upepo wa mafanikio unaelekea wapi,,
@mrsinia3064 Жыл бұрын
@@stevenlugojeremia2323 kwer bro maisha mazur hayakutafuti wew bali wew ndie unaeyatafuta
@mbwanamtessa8607 Жыл бұрын
Sasahivi Kuna watoto wakali Sana Kama mbwa mwitu. So tunawaamini ma broh mtaonesha ufundi zaidi. Ila kwa ushauri nature apunguze maji ikiwezekana aache kabisa..
Huyu JUMA NATURE ...SAUTI YAKE niyapombe ...Aache mapombe hayana issue yeyote✍️
@g_forcemusician4242 Жыл бұрын
Kwahiyo haruna na juma nature. Projects ndo basi tena
@mariamuhady6257 Жыл бұрын
Hapana itaendelea
@IddiSaid-se9hd6 ай бұрын
Mm katika wasani ambao nitasimama kwaji yao ni hawa na alikibaa
@glorianikiza3940 Жыл бұрын
Apo vipi tunawapenda
@omaraliiddi1424 Жыл бұрын
Kama kalambwanda
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Nawakubar wazee wa kazi...ngoja tupishe njiaaa!🤣🤣
@hassannzai9785 Жыл бұрын
Wapili apa wapi like za Wa Kenya
@dicksonbaraka7639 Жыл бұрын
Uzipeleke wapi
@ahz6907 Жыл бұрын
Ili iweje?
@nacetsiringa1334 Жыл бұрын
Wangeita CTN ingevuma zaidi maana ni jina la television kubwa duniani
@Zuchu11 Жыл бұрын
Inawezekana temba ndo alie sgauri yote so inakua ngumu kubadili pia ni mpaka wajue kuna tlvn hiyo.
@nacetsiringa1334 Жыл бұрын
@@hajirajabu19 brand haziwezi kugongana kirefu Cha jina lao sio sawa mtu yeyote ingawa abriviation au kifupisho kinaweza kufanana Ndio maana striking force ya Barcelona waliita MSN Kwa kifupisho lakini ni neno lingine kabisa Kwa maana ya taasisi in short legal had nothing to do with nick names 😔😔
@Burner_Acc Жыл бұрын
Sababu ya hovyo sana
@EvodiusbarakaMtundu6 ай бұрын
Njemba zimeludi tena mtulize roo msipotee Kaa ledio yambao
@saidizuberiissa7286 Жыл бұрын
Juma uache pombe sasa ili uimbe vizur zaidi wenzako wakushauli uache pombe