Fikra nzuri sana. Nimezipigia kelele dhana hizi miaka mingi ktk safu zangu. Uvivu wa kutotaka kujifunza vyombo au nadharia na ufundi mzima wa muziki...haupo tu Afrika Mashariki...pia baadhi ya wasanii vijana nchi zilizoendelea. Hata hivyo zimeenea zaidi kwetu kutokana na udhaifu wa tasnia ya elimu sanaa kijumla. Lakini mambo yatabadilika tu hatumaye. ....
@charleslutambi5786 Жыл бұрын
😅😮
@aminamwanasali10563 жыл бұрын
Aisee!Acha kabisa Kuna watu Mwenyezi Mungu amewajaalia vipaji.Kibao kizuri Sana hiki kuanzia maneno Hadi upigaji wa vyombo.
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
Juma Ubao you will be remembered for what you have done in our music's.
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana, hongera sana bwana Adam
@johncyridion95214 ай бұрын
Kingmakusa mànodibango ivorycost
@mwajumathomas15942 жыл бұрын
Naobamunifahamishe naipataje hiyo CD
@rashidmpumu70063 жыл бұрын
King makusa juma ubao ongera ulisimama imara na biashara jazz
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Hatarii sana ni taaluma ya hali ya juu
@mwajumathomas15942 жыл бұрын
Jamani rahaaaa tunaoba utupigie wimbo wote
@jimmymakwega3872 Жыл бұрын
Ndugu yangu hizi nyimbo tutazipataje, au tutazipata wapi japo tuzisikilize tuu
@kwasimutokalondon-nafreddy52784 жыл бұрын
Mahojiano mazuri. Ila wasanii tuna jukumu la kukikuuza na kukidumisha Kiswahili. Lugha ya Kiswahili inajitosheleza yenyewe kimsamiati. Hakuna haja ya kupachika pachika maneno ya Kiingereza...bila sababu. Neno ' title' ni ' jina la kazi' ....( kiwe kitabu, wimbo, nk) na tunaweza kutumia : ' Kichwa cha maneno' , ' kichwa cha habari' ' jina ', 'kichwa cha wimbo', nk.
@MUZIKINAWANAMUZIKI4 жыл бұрын
Una maana King Makusa ndio amechanganya lugha au una maana gani?
@patrickkagito33763 жыл бұрын
Tunaomba wimbo wa posa ntaleta uwekwe you tube usichanganyike na sauti nyingine za mahojiano na mtunzi wa wimbo huu.wimbo huu nifundisho kwa jamii
@abillahmohamedi57363 жыл бұрын
Huu ndiyo Muziki
@robertmachogu43852 жыл бұрын
Ushauri mzuri ila bwana tupatie uhondo kwa KZbin ili tuufurahie
@geofreymongi54032 жыл бұрын
Mahojiano ni mazuri maudhui mazuri ila piga wimbo wote
@mayagilokasuka23943 жыл бұрын
Kibao hiki kilipiwa na bendi gani
@MUZIKINAWANAMUZIKI3 жыл бұрын
Biashara Jazz
@patrickkagito33763 жыл бұрын
@@MUZIKINAWANAMUZIKI powa ntaleta
@mwajumathomas15942 жыл бұрын
Ninaupendasana huu mwimbo nitaupataje nisaidie
@khalifasaid76952 жыл бұрын
"King Makusa" mana yake ni kwamba huyu Juma Ubao alijifundisha zana zote ili ikiwa mpigani chombo hakuja kazini basi yeye Juma Ubao anapiga chombo hicho.kwa hiyo "amekusanya" ujuzi wa vyombo ndo ikawa king makusa kwa kifupi.
@edwinmoses18972 жыл бұрын
Hatutaki story tunataka nyimbo tusikilize hayo hatuyataki
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
you need to conduct training to our people on how the music has to be undertaken using various apparatus