Mimi ni mzaliwa wa Burundi. Niliishwi Tanzania (Dodoma) 1977-1982 na 1984/1985 kama mkimbizi (lakini sikuteseka, nilikua na kazi nzuri sana serikalini). Hizi nyimbo zinanikumbusha maisha kwenye baa huko Dodoma, Nzega au Kahama. ASANTE SANA TANZANIA.
@obillaezra62053 жыл бұрын
Adam Zuberi wewe ni zaidi ya Mtangazaji” upo vizuri kuanzia Sauti na Kuhoji kwa Ufasaha” Mwaka wa Watoto inanitoa Machozi” polepole Ndio mwendo pole pole Ndio mwendo eeehhhh” Duh siku hazirudi nyuma” RIP Twahiri Mohamed
@patrickmsimbe23704 күн бұрын
Wimbo Bora sana mwaka wa watoto, mtunzi alifanya Kazi kweli kweli , Matuka Mwenda Bizoo, yupo Sammy Makasa , Kabeya Badu, Dingituka Malai, Mobali Kumbe, Twahiri Mohamed, Hiyo solo ya Sammy Makasa si mchezo na Saxophone ya Twahiri Mohamed imenogesha sana huo wimbo 😊
@twilamtumbi53513 жыл бұрын
Adam kaka hongera sana. Unatupeleka mbali
@nkombakababa59593 жыл бұрын
kUMBUKUMBU HIYO
@aishamwalley11594 жыл бұрын
Adam Zuberi - hii kitu uloanzisha inatupa raha saaaa na kujua mambo mengi saana, Huyu Bizoo mie nilimsahau kabisa wallah! Big up!
@MUZIKINAWANAMUZIKI4 жыл бұрын
Asante Aisha. Kaa vizuri kwani makubwa zaidi yanakuja.
@twilamtumbi53513 жыл бұрын
@@MUZIKINAWANAMUZIKI kazi nzuri. Unatupeleka wakati ule
@nkombakababa59593 жыл бұрын
@@twilamtumbi5351 Yes
@davidm83592 жыл бұрын
Hongera Adam Zuberi. Hongera Matuka Mwenda Bizoo!
@Vessojr Жыл бұрын
Wazanzibari wapo vizuri sana katika ala za upepo
@twilamtumbi53513 жыл бұрын
Matuka ulifanya kazi nzuri sana na OSS
@nkombakababa59593 жыл бұрын
Ya
@TheShakazulu024 жыл бұрын
Asante sana kwa kutunza kumbukumbu kwa faida ya vizazi vijavyo
@nkombakababa59593 жыл бұрын
aKSANTI
@savvyfmnewsroom53939 ай бұрын
KAZI NZURI .....
@twilamtumbi53513 жыл бұрын
Yani happ marehemu Twahiri amefanya kazi kubwa
@nkombakababa59593 жыл бұрын
sANA KABISA
@athmanimkangara92909 ай бұрын
Unaweza kulia daah 😢😢
@edmboya7779 Жыл бұрын
Adam Zuberi anajitolea vema kubeba zilizopendwa kale
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Hakika Twahiri Mohammed alikuwa fundi wa kupuliza saxophone tangu akiwa Simba wanyika Original.
@beatusrichard54545 ай бұрын
Mungu awabariki sana ndugu,mimi Huwa silali nikisikia nyimbo hizi Mungu azilaze roho za marehemu hawa pema peponi Amina
@salumkyelula443 Жыл бұрын
Hebu wafundishe hao wanaijiita maraisi wa wachambuzi wa muziki