Jussa arejea Zanzibar, apokewa kwa dufu na haluwa

  Рет қаралды 102,402

Weyani Tv

Weyani Tv

Күн бұрын

Ismail Jussa, mmoja wa viongozi wa ACT Wazalendo ambao walishambuliwa na kujeruhiwa vibaya na vyombo vya dola, amerejea nyumbani Zanzibar akitokea nchini Kenya alikokwenda kwa ajili ya matibabu. Jussa amepokewa na ndugu na marafiki kwa shangwe kubwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume.

Пікірлер: 431
@mwadinimwadini4068
@mwadinimwadini4068 3 жыл бұрын
Alhamdullillah Allah Akupe Nafuu Na Upone Haraka Ismail Jusa Ladu. Mwenyezi Mungu Ndie Ajuaye. Kwakweli Inauma Sanaa
@aliarkam9548
@aliarkam9548 3 жыл бұрын
Alhamdullah . Kila jambo linalo mfika kiumbemwenyez Mungu ameandika ,pole sana Jussa nawa walewe wote walipoteza maisha mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa wagonjwa wapone . Amiin 😭😭😭😭😭
@captain_kharus4784
@captain_kharus4784 3 жыл бұрын
Masha Allah mapokezi ya mheshmiwa jussa yameonesha jins gani upendo umoja na uzalendo wa kweli katika chama cha ACT wazalendo
@mheshimiwapimpanajiitaamja7787
@mheshimiwapimpanajiitaamja7787 3 жыл бұрын
Yess rasta Ismail Jussa yuko salama na tumefurahi kuona upo hai We will make togeza zanzibar beta Tupo pamoja
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 жыл бұрын
Wallah machozi yananitoka. Allah atawalipia. Alhamdulillah uko hai . Allah atakujaalia speed recovery, ALLAH awaafu wote na awarahamu maiti wetu wote in sha Allah
@abdulihalfani9133
@abdulihalfani9133 3 жыл бұрын
+255777290221
@AbdulSaid-bn2gi
@AbdulSaid-bn2gi 19 күн бұрын
Mashallah ❤❤ kiongozi wetu Kwa kurejea nchini
@aishaseif7127
@aishaseif7127 3 жыл бұрын
Mashaallah. Nikobali na, nyumbani. Ila nimefurahisana Allah ape wepesi zadi
@fatmambarouk8107
@fatmambarouk8107 3 жыл бұрын
Allah atamfanyia wepesi kipezi chetu Allah atakufanyia shifaa kipezi chetu na Hao waloyafanya haya Mungu atawahukumu kila La heri jussa wetu tunakupenda na tutazidi kukupenda kamwe hatutokusaliti tunakupenda sanaaaaaa..... Zaidi ya sanaaaaaaaaa...
@user412
@user412 3 жыл бұрын
ماشاءاللہ Twasubiria na upokezi wa Masheikh إن شاء اللهَ Allah atujaalie afya njema na furaha ya kudumu Amiin
@fatmamohammedali4306
@fatmamohammedali4306 3 жыл бұрын
ALLAH atawafanyia wepesi na wao watoke kwenye hio zahma
@mussabaucha8175
@mussabaucha8175 3 жыл бұрын
Inasikitisha kwa kweli Allah akufanyie wepesi jusa twakupenda sote
@mamymamy7938
@mamymamy7938 3 жыл бұрын
Mashaalla kiongoz wetu
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Allah akuvue hilo na jengine yaarabby
@yussuphshilingi3258
@yussuphshilingi3258 3 жыл бұрын
Pole xana kiongozi jusa kwakweli inatuuma Sana kwawaliyo tufanyia CCM hatuwasamehe mpaka mwisho wauhai wetu
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 3 жыл бұрын
Ya Rab tunakuomba mponyeshe na waponyeshe ndugu zetu wote. Allah tunakuomba vijaalie Visiwa vyetu barka utulivu na amani. Amiin.
@chamritaabdul1592
@chamritaabdul1592 3 жыл бұрын
Aamiin
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 жыл бұрын
Amin yarab
@munasuleyman3159
@munasuleyman3159 3 жыл бұрын
Amein Yarab
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 3 жыл бұрын
@@munasuleyman3159 Kila wakati dua. Hasa nyakati za sala. Allah anapokea dua hivyo tuviombee dua Visiwa vyetu mema. Mwenyezi Mungu! Tulishie maskini wenzetu, waponyeshe wagonjwa wetu,wastiri mayatima wetu,wakinge wanaonyanyaswa kijinsia. Amiin.
@annapeter4994
@annapeter4994 3 жыл бұрын
Aliyetuma yatendeke haya tunamlaani Watanzania woote Bara na Visiwani. Pole sana Jusa
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 3 жыл бұрын
Exactly dada
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 жыл бұрын
Tunakupenda baba ishalla Mungu akupe maisha marefu yenyeher na baraka
@fatmahamad9314
@fatmahamad9314 3 жыл бұрын
Nina furaha km zote kumuona Jussa wetu 💗💗💗💗💗💯
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Jusa ni mwanasiasa mkweli nampenda sana wazanzibari mumtumie sana huyo jamaa ni tunu hiyo
@salmaseif1070
@salmaseif1070 3 жыл бұрын
Waliyomtendea vbaya jusaa hawana usoooo .... Looolll mungu awalaaani wotee
@hplatnumz5690
@hplatnumz5690 3 жыл бұрын
We wait that day our shekh be free wallah all Zanzibar will be happy inshallah allah give them shifaa
@daliladalilasamehere9356
@daliladalilasamehere9356 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 3 жыл бұрын
Naam inshaallah tunawaombea na wao watolewe wallah 😢😢
@adijei
@adijei 3 жыл бұрын
Amiin Insha'Allah
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
In shaa allah mwenyezimungu akufanyie wepes jussa
@rashidrashid1105
@rashidrashid1105 3 жыл бұрын
Dah Allah akujaalie uzima urudi ktk majukumu yko na hao walowatuma na walfanya Allah awahukumu hapahapa duniani sote tuwaone na Akhera awafyeke Jahannam wakae milele. Aamin
@shixeoshxs7276
@shixeoshxs7276 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi wa afya na siha jusa hadi nalia kwa uchungu mungu aendelee kutupa subra
@salmasalim6055
@salmasalim6055 3 жыл бұрын
Mashallah mashallah nawapenda sana
@asiakhamisi469
@asiakhamisi469 3 жыл бұрын
Mw. Mungu akulinde na kila shari akujalie uzima na afya njema
@laylamohamed5015
@laylamohamed5015 3 жыл бұрын
Ameeyn
@ruthkimaro6137
@ruthkimaro6137 3 жыл бұрын
Karibu nyumbani Jussa.Mwenyezi Mungu akujaalie upone haraka insha Allah
@andersonnyahove2867
@andersonnyahove2867 3 жыл бұрын
For real, Jussa is the coming Maalim Seif Shariff Hamad, note and underline my words.
@safiyasaid1291
@safiyasaid1291 3 жыл бұрын
Wale walomtesa Jussa Allah atawaongoa....jemedari kaingia leo tunampokea.....💃💃💃💃💃💃💃
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 3 жыл бұрын
Shukuran njema zmfkiye Allaha Kwa kuturejesheya jusa wetu akiwa hai na salama ishalla kwauwezo wake Allah atakurejesheya afwa njema nakila alokuzulumu ishalla Mungu amuangamize
@maumpemba1088
@maumpemba1088 3 жыл бұрын
Pole sana kiongozi, Mwenyezi Mungu ndie hakimu kuliko mahakimu wote
@abdulihalfani9133
@abdulihalfani9133 3 жыл бұрын
+255777290221 by duli mpemba
@rastafare878
@rastafare878 3 жыл бұрын
Huu ndio utamaduni wa Zanzibar , I love this, dufu zuri sana
@rahmabilali541
@rahmabilali541 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah azidi kumpa shifaa na kila mweny marz Allah amponye na alotangulia amps kauli thbt walobaki awape mwisho mwema
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Mungu akuvuwe hili na jengine. Na awalipe hao waloyafanya hayo... Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. Amin
@mashaallahshehkhafidhmunga1764
@mashaallahshehkhafidhmunga1764 3 жыл бұрын
Masha Allah jusa ata kama wamekufanyia mabaya lakn sis bado tunakupend
@aliyasaa7972
@aliyasaa7972 3 жыл бұрын
Asante kiongozi wetu mungu akupe umri mrefu lnshaallh lla hatuwez kusahauu yalio tutokea lkn lnshaallh mungu yupo na atatulipia kw dhulluma llio tokea lnshaallh
@mgeniali941
@mgeniali941 3 жыл бұрын
Mungu atujalie naupendo uwo uwo act oyee ishaallah allah atafanya wepes
@skeneali6125
@skeneali6125 3 жыл бұрын
Mashaa allah allah akuvue hili na jengine in shaa allah utapona vizur allahumma amin allah akulindeni kwa kila shari na baalaa
@alirashid1727
@alirashid1727 3 жыл бұрын
Ammin
@shaharaltaiwan4645
@shaharaltaiwan4645 3 жыл бұрын
Aamin
@Oman-tt1hn
@Oman-tt1hn 3 жыл бұрын
Muungu awaponye walewote walio pata majiraha na matatizo katika kipindi kile kigumu cha mpito na wale walio kwisha tangulia muungu awasamehe makosa yao Amiin
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 жыл бұрын
Amiiiin
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 жыл бұрын
Ammin ya rabby
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 3 жыл бұрын
Ameen
@aishaharuni2937
@aishaharuni2937 3 жыл бұрын
From Kenya ni nn kilifanyika
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 жыл бұрын
@@aishaharuni2937 kama ungelikua unafuatilia sasa za Tanzania ungejua lililotokea
@hudaasaalim1333
@hudaasaalim1333 3 жыл бұрын
Allah akuvuwe na kila hasada 🤲
@munasuleyman3159
@munasuleyman3159 3 жыл бұрын
Allah Akuvue hili na jengine ndugu yetu shujaa wetu
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
Pole sana
@harounaakhiy4700
@harounaakhiy4700 3 жыл бұрын
Allah amjalie uzma jemedari wetu apowe inshaallah
@tuterlakapo2016
@tuterlakapo2016 3 жыл бұрын
'Bismil'Lahimaashallah Mola akuzidishieni imani na ehsani ya upendo wahesiya za nyoyo thabit juu ya ubinadam wenu..na mshikamano wa kuaniyana..amin, na hilo c jmbogeni kwetu.. kwani ndivo khasa ilivo khulka ya Zenjybabar tangu..azal tukiyaona juu ya wazee wetu washao tangulia mbele ya haki.. M/Mungu awarehm amin. Ishaallah tunamuombea Mola amzidishie afyayake Mh Jussa na amzidishie imani ya subira ktk yalio mfika na yaliotokea tukijuwa kuwa yote hayo ni maandiko ya Muumba, lililobakia na la mhimu zaidi ni mshikamano wa kulijenga Taifa jipya palipo na matumaini ya kusonga mbele na kusahau na kuyazika kbs!! Yote yaliopita na kwa uwezo wke..Allah atajalia yale yote yanayo tgmewa na kwa manufaa ya wote..Yaa Rabby tufungulie kheri ktk Kisiwa chetu, na wape nguvu na busara za uwongozi wao uwe ktk mikono yako..juu ya sheriya na uadilifu..amin'
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
Maa shaaa allah
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
Hayo km ACT haimo ktk serekali unafikiri yangefanyika? Askari wangepiga watu hapo .
@safiyasaid1291
@safiyasaid1291 3 жыл бұрын
Wallah umenena ....hta siku moja yasinhefanyika
@nassorrashid2857
@nassorrashid2857 3 жыл бұрын
Sasa hivi tunaweza kufanya tutakavyo
@linmixtv
@linmixtv 3 жыл бұрын
Sherehe hii yengependeza tungepata madaraka lakini ccm watu washamaliza kazi yao bardi saiv watawacha mufanye mtakavo saiv
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 3 жыл бұрын
Fact bab hakika
@asayubeejr1199
@asayubeejr1199 3 жыл бұрын
@@linmixtv waaaallah katika mtu ulio ongea ukweli ww mmoja wake yani hawa wanakuwa watu wazuri ila majini karibu na uchaguzi wanakuwa wafanyama kasoro mkia asa
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
Jussa in shaa allh kila la kher mwenyezmungu atatupa kher wallah dah hatar sana
@adamabui6121
@adamabui6121 3 жыл бұрын
Pole Allah atajalia haki ya wazanzibar itarudi kwa nguvu za Allah inshaallah wamekuuumiza wewe ni mpambanaji
@ummysaid8273
@ummysaid8273 3 жыл бұрын
Allah azidi kukulinda na maaduwi, Allah ndiye hakimu wa haki
@mussamahmoud2376
@mussamahmoud2376 3 жыл бұрын
Polesananusa Allah jibri (A.S) amesema kumwambia Mtume (SAW) wemahauozi nazambi haisahauliki na Allah hafi ukishajuaivo fanyautakavo Kama ulivolima ndivo utakavovuna nakwavovotevile utavowafanyiawatu naww utalipwa kwakitendoicho polesanajusa Allah atubariki sote waislaam nawaumini.
@hajikombo8578
@hajikombo8578 3 жыл бұрын
Hongereni waislamu muliomo katika vyombo vya dola kwa kutufanyia unyama mkubwa mungu atawalaani hapa duniani na kesho akhera😢😢😢😢🤲🤲🤲🤲🤲
@aliymsellem1462
@aliymsellem1462 3 жыл бұрын
WALIYOYAFANYA HAYA WATALIPWA HAPA HAPA DUNIANI IN SHAA ALLAH MAZALIMU HAWA
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 жыл бұрын
Pole sana Allah atadhidi kukuponya
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@munamohd963
@munamohd963 3 жыл бұрын
Alhamdulilah. Mungu atakuafu inshaalwah
@badriaahmed4373
@badriaahmed4373 3 жыл бұрын
MashaaAllah tunafurah kubwa sanaaa wallah
@trustman8034
@trustman8034 3 жыл бұрын
Machozi ya furaha.. Sasa sijui anajiskiaje yule alietenda mabaya kwa mwenzake...?? Ubaya haudumu... Kila la kheri Jussa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Walofanya Mungu atawarudi kwa HARAKA SANA KWA DHULMA WALOIFANYA...
@rahamaraalkheir6604
@rahamaraalkheir6604 3 жыл бұрын
Wahalifu willasakwe wahukumiwe kwa vitendo walivyovifanya, nyimbo na kudemka haitosaidia kitu.
@aishaharuni2937
@aishaharuni2937 3 жыл бұрын
From Kenya ni nn mbaya
@kingmagufuliforever3144
@kingmagufuliforever3144 3 жыл бұрын
Sasa umekua kilema kwa kuendekeza siasa umepata faida gani zaidi ya hasara pole Sana jussa this is the lesson
@MAPETEE
@MAPETEE 3 жыл бұрын
Pole sanaa kipenz chetu Kila Alie husika kuku piga ww Allah Ata hukumu
@laylamohamed5015
@laylamohamed5015 3 жыл бұрын
In sha allah
@hibaalfarsi7756
@hibaalfarsi7756 3 жыл бұрын
Allah atakuafu kwa rehma zake
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 жыл бұрын
Daaa! Allah akulinde kiogozi
@sharmilarashid5401
@sharmilarashid5401 3 жыл бұрын
🤲😪😪Amiin amiin amiin Yaa rabbyl Allaha.mina insha Allaha
@biaysha8553
@biaysha8553 3 жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Allah
@alimpatani6296
@alimpatani6296 3 жыл бұрын
Hii ni zaidi ya mapenzi ama kweli wazanzibar tuna mahaba duuu mungu azidi kuimarisha afya yako mh jussa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Mna mapenzi au mmeshikwa na ibilisi?
@sameramwajdu9029
@sameramwajdu9029 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 upendavo tafsir yaliyoyafika watu simadogo kama nww ungelijuwa kuwa niubilisi au nimapenzi
@badranassor3303
@badranassor3303 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Iblis mkubwa ni wewe. Usiopenda kuwaona wazanzibar wanapendana. Hasid mkubwa wewe
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 ww itakuwa ni mchawi wewe si bure, hasidi mkubwa
@vikitu4793
@vikitu4793 3 жыл бұрын
@@badranassor3303 Kupendana huku mnatiana fitna na chuki kila kukicha?
@didapk2529
@didapk2529 3 жыл бұрын
Yaani MashaAllah MashaAllah munainda
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 3 жыл бұрын
Mash allah upendo wenu ni hali ya juu I like it
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 3 жыл бұрын
الحمد لله على السلامه. الله يعطيك الف عافيه
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Ila wazanzibar sie kwa manjonjo 😁 tungekua tupo huru na nchi yetu aaah tungeifukiza udi nchi nzima na maasumini kila pahali aaah hatuna dogo wenyewe 😁
@nusaybasaid3378
@nusaybasaid3378 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@topaviator
@topaviator 3 жыл бұрын
Kweli
@salyali7807
@salyali7807 3 жыл бұрын
Kweli
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Ujinga huo,,,,,,,nenda Syria uone kama watu wanapiga ngoma kwa Uhuru kama hivyo!!
@Anonymous-sy5kx
@Anonymous-sy5kx 3 жыл бұрын
Wapi! Wasnzibari wachafu sana! Unapikwenda uchafu watu wanatupa taka bila kujali iwe beach, barabarani kwmeye makaazi...machupa, foils, kokwa za ubuyu, Pampers etc....eti udi! Hahaha
@selwanmohmmed8792
@selwanmohmmed8792 3 жыл бұрын
Tunamuomba Allah akuponyeshe kwa haraka kwa uwezo wake bdo tunakuhtaji ktk harakat zakuijenga zanzbar yetu
@omarynassor6313
@omarynassor6313 3 жыл бұрын
Sasa nikipi kinachosherehekewa kushangaza sana
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 3 жыл бұрын
Yaani siku nimeskia huyu mtu ameumizwa nilihuzunika sana,lakini ninachomkubali ni mtu mwenye moyo wa kishujaa,na ameonesha uzalendo,tuko pamoja mh jussa na Allah yupo nasi
@aminially4456
@aminially4456 3 жыл бұрын
Allah akupe nguvu ishaaa allah
@theophilwilliam6906
@theophilwilliam6906 3 жыл бұрын
Madhila na makovu ya uchaguzi hayo! Mwenyezi Mungu atutie nguvu na wote walioathiriwa awape wepesi ktk yote wanayopitia.INSHAALLAH..!
@bakarikhatib6777
@bakarikhatib6777 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe nguvu zaidi kiongozi wetu
@altaf.ibrahim
@altaf.ibrahim 3 жыл бұрын
pole jussa bha
@britishadam1896
@britishadam1896 3 жыл бұрын
Allah akujalie afya nzur kiongoz wetu jussa
@youmnaaboubakar5486
@youmnaaboubakar5486 3 жыл бұрын
Inshallah Alha atakuwafu baad y dhik sio dhik kher itapatkn inshallah
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 3 жыл бұрын
Allah amjalie apone na wale wote walioumia wapone pamoja na majeruhi wote na waliotangulia mbele ya haki Allah awajalie jannat firdausi na sisi tulio kuwa hai Allah tujalie mwisho mwema Isha Allah
@alirashid1727
@alirashid1727 3 жыл бұрын
Ammin ammin
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 3 жыл бұрын
@@alirashid1727 Insha Allah
@hajimwahu1421
@hajimwahu1421 3 жыл бұрын
Kwanini msiheshimu Dua wengine mnafanya mambo mengine tu
@suleiman_002
@suleiman_002 3 жыл бұрын
Allah atakujaalia uzima inshallah🙏🏾
@salyali7807
@salyali7807 2 жыл бұрын
Imenifurahisha hii
@thedon8467
@thedon8467 Жыл бұрын
ALLAH AKUHIFAZI
@balqisabdullah6200
@balqisabdullah6200 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 speedy recovery in sha allah.Na Waliotenda hilo allah atawalipa malipo wanayostahiki.kwani malipo ya allah ni bora zaid.
@aminahhamed747
@aminahhamed747 3 жыл бұрын
Alhamdulillah alaaa kulli hali mungu mkubwa utapoa baba etu uendelee na majukumu yko
@allymrisho2775
@allymrisho2775 3 жыл бұрын
Allah awanusuru kwa hili na jengine inshaAllah
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 3 жыл бұрын
Allah azidi kumpa shifaa jussa yarrab
@1carbon676
@1carbon676 3 жыл бұрын
Umeniza sana lakini tumwachie Allah yeye ndo kila kitu Allah atakusimiya na atakupa uzima wako wewe nakila alohasirika yaraab
@mudy4604
@mudy4604 3 жыл бұрын
Dah inauma sana
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Masikini aliniliza jussa allah akujaaliye umri mrefu akupe na afya na allah ndio hakeem wa yote alhamdulilah
@duniaileile5522
@duniaileile5522 3 жыл бұрын
Allah awalaani waliompiga na waliokuwa sababu ya hilo 😰😰😰 Allah akupe sihha na afya na subra jemedari wetu
@rastafare878
@rastafare878 3 жыл бұрын
Zanzibar tuwe Na akili tunawapigisha wazanzibari wenzetu kutoka Kwa watu wengine kisa ni kudai haki , iko siku yatakwisha In'shaa'Allah
@hawahaji5959
@hawahaji5959 3 жыл бұрын
Hupokezi unaniliza kikwel mungu atawalipia
@zainabyousof3742
@zainabyousof3742 3 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH ALAA SSALAAMA AKHUI
@aminahhamed747
@aminahhamed747 3 жыл бұрын
Ammmeeeeeennn
@allydaruweshi5983
@allydaruweshi5983 3 жыл бұрын
Allah amfanyie wepes inshaallah
@aliymsellem1462
@aliymsellem1462 3 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH KWA KURUDI UKIWA UPO MZIMA WA AFYA ALLAH S W ATAZIDI KUKUPONYA IN SHAA ALLAH BIIDHINI LAAH
@thukha5033
@thukha5033 3 жыл бұрын
allah kariim
@salehmadawa7035
@salehmadawa7035 3 жыл бұрын
Inasisimuwa na inasikitisha kusikia , mungu akujalie upone haraka amin, hakika jussa kutokwa na machozi inatia majonzi sana
@mbarouksalim2792
@mbarouksalim2792 3 жыл бұрын
Poe sana, M/Mungu atakusaidia inshaAllah
@adballahaji8431
@adballahaji8431 3 жыл бұрын
Pole sn jusa wetu
@admaumsengi4230
@admaumsengi4230 3 жыл бұрын
Mungu akupiganie Jussa
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 3 жыл бұрын
Machoz yetu kwako hayato mwagika bure mwenyezimungu atayalipa kwa kher
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 жыл бұрын
Wallah mn najikuta nalia kwa uchungu
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 жыл бұрын
Looooh watu wabaya Mungu atawarudi kwa HARAKA. NA ALOKUWA SABABU.........
@hassanturky7511
@hassanturky7511 3 жыл бұрын
Hio kumswalia mtume huku vigelegele,na kucheza. Ni kufru na sio neema.
@sabrasuleiman9624
@sabrasuleiman9624 3 жыл бұрын
Kuna aliekata kiuno hapo? Kwaio mtu asitikisike acha chuki ww
Vipande vya Jussa vilivyomkera Rais Mwinyi ndo hivi hapa
19:58
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 19 МЛН
CAN YOU DO THIS ?
00:23
STORROR
Рет қаралды 42 МЛН
JUSSA AONGEA MAZITO KIJIJINI KWAO.
1:33:11
RVS Online Tv
Рет қаралды 21 М.
KIJIWENI: Profesa Abdul Sheriff na Kuporomoka Beit al Ajaib
1:07:24
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 12 М.
ZIARA YA MAALIM SEIF MICHEWENI KISIWANI PEMBA
2:35:59
Bin Seif
Рет қаралды 29 М.
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37