#SeifSharifHamad #Zanzibar #JeneraliUlimwengu Exclusive Interview with Maalim Seif Sharif Hamad.
Пікірлер: 144
@ramadhantiba45924 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu Jeneral Ulimwengu kwa kutoa nafasi kama hizi kwa viongozi wetu wa kisiasa kwasababu kutokana na mazingira ya sasa wananyimwa kabisa nafasi za aina hii, Hakika Mungu aendelee kukulinda kwa kila hali.
@afropatriot77694 жыл бұрын
Kila siku tunawaona kwenye media wamenyimwa kivipi sasa,au unataka wawakusanye barabarani wawatembeze mkapigane mabomu kama ilivokua arusha zama za mkwere
@salehmadawa70354 жыл бұрын
@@salmasebastian1340 ni kweli kabisa kalala huyo
@abdullakihanza54324 жыл бұрын
Mzee ungepumzika ukawaachia wengine, wengine miaka 80. si haba afya ni bora kuliko hayo unayo yataka ambayo hutoyapata asilan
@omarmwalimu924 жыл бұрын
Seif ni mfano kwa wanasiasa wa kileo,wanasubiri afe waje kumsifu..Ahsante jenerali kwa kutusogezea maarifa na hekima za Maalim
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
Jenerali ulimwengu una hekima na busara na unajua kumhoji mtu.Asante sana
@hashirsalim95703 жыл бұрын
awa ni watu kwa tanzania mungu awapeni kheiri nyoote inshallah
@tonyelshabbaz4 жыл бұрын
Mzee Jenerali tunakupenda saana mzee wetu! Umeitendea haki TASNIA YA HABARI
@saumuhasanhasn13884 жыл бұрын
Hongera maalimu seif ulipo tupo
@iddijumaali71924 жыл бұрын
Hongera maalim sefu tuko pamoja na wewe kwa asilimia kubwa INSHALLAH
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Allah atakupa umri mrefu siha afya Yaarabiy
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mwaka huu tunamstaafisha siasa!!
@annapeter49944 жыл бұрын
Poleni poleni poleni. Kwa kawaida dhuluma inaleta fujo. Ila nyie mmekuwa waungwana na wapole. Mungu aiongoze safari yenu
@Natureo-hr9xc4 жыл бұрын
Pamoja na yote aliyozungumza Maalim mimi naona mashirikiano ya vyama ni muhimu sana kwa wapinzani.Bila ushirikiano upinzani hautapata chochote.Kuna haja ya kujifunza kutoka Malawi.
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
One side would reject the proposal, definitely!
@johnmmassy27334 жыл бұрын
@@sylvesterjose3286 ..
@bernardmallya29674 жыл бұрын
Nature tatzo la vyama vya upinzan Tz n wabinafsi na wenye uchu wa madaraka... wakizitoa hizo tofauti watafanya maajabu na CCM washawajua kwamba wapo kipesa zaid ndio mana wananunuliwa kma chupi za mtumba kuchwaaa... siasa za Tz siku hiz n pesa kwanza na sio kutetea wananchi
@hassaniidrissa59164 жыл бұрын
Wameenda kuunga mkono juhudi za jembe letu, alioyafanya yanaonekana asioyaona ni zaidi ya kipofu,
@athonymalamla98204 жыл бұрын
Malawi jamaa kachukua familia yake yote kaipa ofisi na vyeo.Inatakiwa maandalizi ya kutosha na vyama kushibana.
@hassanally5114 жыл бұрын
Mungu akuweke Mzee wetu
@topotachilemba91964 жыл бұрын
Asante mzee Jenerali kutuletea hi kitu natumaini itaenda kwa wagombes wote
@juniorjunior4124 жыл бұрын
This man is Genius 💯
@solemba5954 жыл бұрын
Kweli Ni Aibu Sana @Maalimu umesema kweli mtu kuuza utu/heshima yake kwaajili ya kuaidiwa Cheo au posho, Ni utumwa na aibu ya kiwango Cha SGR,
@ignacekiwale72814 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na mahojiano haya baina ya Jenerali Ulimwengu na Mhs Maalim Seif Sharif Hamad.Ni matumaini yetu kuwa utaratibu huu utafanywa kwa wanasiasa wengine walioziomba nafasi mbalimbali za uongozi ,kipindi hiki kuelekea uchaguzi Mkuu..
@abuujureyjkhaniy.55204 жыл бұрын
Maalimu tunakukubali wew ni lulu ya amani visiwani busara zako na hekima huidumisha zanzibar mpaka leo amani inatawala hongera jembe..........uwapo tupooo..
@kushokakitasunga97804 жыл бұрын
Nimekuelewa Maalimu! Heshima kwako simamia haki!
@bosskamanda884 жыл бұрын
Kalee wajukuu wako Tena umri umri
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
@@bosskamanda88 mtume alipewa utume akiwa mtu mzima nzima tena hakupewa ktk ujana uwongozi hautegemei umri
@imraniqbal007654 жыл бұрын
Allah akupe umri wenye kheri Kipumba kaisha kisiasa ni kibaraka wa ccm tu
@venerandemiburo90394 жыл бұрын
Tupo pamoja na ww Rasi wetu Allah akupe umuri wenye afya
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
JamanJamani dua dua za kisawasawa tena na imani kubwa sana za kuvunja vunja shari zao na huyo Mwenyekiti wewe tutanza kupambana nae kwa kila dua ya kumvunja vunja na yeye na unyoka wake Allaah atawashinda na wote watakaokuwa wanataka kutudhulumu haki yetu
@hajihassan54334 жыл бұрын
Haki yenu ameichukuwa nani? Kama ilivyokuwa kura zote za Unguja na Pemba kuwepo au kutokuwepo hazina msaada wala mchango wowote kwa Rais wa Tanzania ni hivyo hivyo kura zote za Pemba hazina msaada kwa Urais wa Zanzibar. Cha msingi Wapemba mupende Pemba yenu mudai kujitenga lakini hivi mlivyo nyinyi ni Wapemba lakini kila mmoja anaitamani Unguja mtaishia kulia lia, Unguja ndio Zanzibar na Unguja ni ya Waunguja.
@alfeshhassan41814 жыл бұрын
Alla akbar ...allah akueke yaa rbb ututmkie znz na ktukomboa kwny mkono ya wadhlumuji😮😮🤲
@farhatfatma124 жыл бұрын
Maalim Seif Sharrif Hamad na General Ulimwengu. Mahojiano mazuri sana. Waandishi msikilizeni General Ulimwengu anavyouliza masuali bila kujipendekeza kwa mgeni wake na wala kwa serikali. Hats off General Ulimwengu.
@edsonoden80994 жыл бұрын
Inapendeza sana viongozi wa kisiasa kupata nafasi ya kutujuza
@Byondorujulika174 жыл бұрын
Safi sana kwa ujumbe muzuri na wa faraja kwa jamii.
@hajimnubi45814 жыл бұрын
We missed jenerali on Monday, tunsshkuru umeileta huku mtandaoni kama jenerali online,its all gud mzee Twaha
@amanmohd94354 жыл бұрын
Maalim ni strong tunakukubali
@cheupemwanga33264 жыл бұрын
Kweli
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Maalim Seif Sharif Hamad nuru ya Wa Zanzibar na wa Tanganyika Afrika mashariki na Duniani kwa ujumla,
@amankhalfan47984 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kipindi kizuri na mjadala mzito tunahitaji tupate viongozi wengine wengi waje na wao watoe hoja zao.
@user-kr3vh4nu1w4 жыл бұрын
Maalim mpaka allah atakapo chukua amana yk ila mm namuomba allah bwana waulimwengu muabudiwa wa mbinguni na waardhini akupe umrimrefu wenye manfaa kwako nawengine na asikufishe mpaka ndoto za urais zitimie kwako ili tuone uongozi wako utakavyo utumikia Amiin
@mohamedturanardan88714 жыл бұрын
Start Allah by a capital letter plz
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@mohamedturanardan8871 Watu wa siasa humtaja tu Allah SW lakini HAWAMJUWI.
@michaelmwaluko28824 жыл бұрын
Hongera mzee wetu maarim
@aminamodi89274 жыл бұрын
Ulimwengi saa HII ndiyo wamtafuta Seif hivi ulikuwa wapi siku zote hizi Hebu sema kweli muogope mungu kama una DINI
@annapeter49944 жыл бұрын
Hongera sana mh Generali maana katika hali ya sasa bado hauogopi kutetea haki hadharani. Poleni mh Maalim, yaonekana nyuma ya pazia simba kaingia.... Lakini Mungu ni mkubwa kuliko simba huyo. Siku moja haki ya watanzania itapatikana
@mohamedsharian48744 жыл бұрын
Gwiji lasiasa Tanzania
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Allah atupe mabadiliko in sha Allah mwaka huu atuondoshee watawala madhaalim
@hajihassan54334 жыл бұрын
Wadhalimu nani?
@sabamarkodindo85234 жыл бұрын
Napenda sana kupata mahojiano ya watu wa kongwe kama seif sharif !
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Maalim seif ww ni mwamba
@Mido-eh9vz4 жыл бұрын
Vijana wengi tunahitaji sna kusoma busara na hkma za viongozi Hawa niwazoefu na nijuzi wa siasa za ktk taifa na nje ya taifa letu tujifunze siasa Bora kwao Hawa na busara kubwa ahsanteni
@majidomary38244 жыл бұрын
Ndomaanna ukaitwajenerar urimwengu hogera Sana kwa kutoa nafasi maojiano wanasiasa
@hashirsalim95703 жыл бұрын
kweli maalim wengi wao hawasemi na nafsi zao.
@mosaidi26334 жыл бұрын
Hawako tayari kumtangaza seifu kwanini hukupisha wengine kidogo vijana,umejaribu sana haiwi
@halimafaki81754 жыл бұрын
Mm nakubaliana na ww Maalim kwamba Lipumba alijiuzulu tatizo ambalo wanasheria wako ambacho walikifanya hakukumbuka kipengele cha kuitsha mkutano mkuu wa kuridhia kujiuzulu kwake hapo mkubali kama binaadamu mlikosea Lipumba ingebaki stori tu
@Mido-eh9vz4 жыл бұрын
Jmani mm nadhani uwepo wa busara kubwa kwa watu Kama Hawa katk uongozi bsi hatutofika ktk Safari hongereni sna sna wazee nyinyi nyote mnahkma na busara za taifa
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Wakongwe kazini
@AbduRahman-os2vx4 жыл бұрын
Ccm wanaenda na mfumo wa divide and rule party ili wauue upinzani ila lipumba kibaraka wa ccm ,ukiangalia tuu ,shukrani ulimwengu kwa harakati,bila upinzani nchi yetu haitoendelea.
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Maalim naam watu walokuwa hawakupendelei kheri watakuona kama ni mwenyewe hawahamu kama ni sisi ndio tunakutaka utuongoze kwa kuwa wao ni walafi wa madaraka
@saiddigogogo82184 жыл бұрын
Aojiwe na lipumba
@faithmayingehama22754 жыл бұрын
Plse mr Jenerali can you try to organize a debate ccm politicians versus opposition
@TamuzaKale4 жыл бұрын
They won't agree to do ti!
@hilalhilal84004 жыл бұрын
🤣🤣🤣 CCM WATATUMIA BUNDUKI NA UPINZANI WANATUMIA SERA SASA SIJUI KAMA ITAWEZEKANA?
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
@@TamuzaKale The other side would reject the proposal, definitely!
@TamuzaKale4 жыл бұрын
@@sylvesterjose3286 Evidently!
@jumakapilima56744 жыл бұрын
@@TamuzaKale before thinking about debate, it would be a good thing if you advise the man to ritire!!
@omarali98174 жыл бұрын
mapambaano ya kupigania haki mpaka mwisho wa uhai
@111dudi4 жыл бұрын
Mallam hajakata tamaa tuu. Angakau wampe hata kazi ya kufagia ikulu
@abdulrahmanrajab43694 жыл бұрын
good
@marcogodfreymboya73494 жыл бұрын
Mlete hapa Azaveli Rwetama
@gideonnsamuli99534 жыл бұрын
Jenerali uje na mbeya chunya
@MAPETEE4 жыл бұрын
Ww malim una nuru wallah ya uso Wako mashllah una konga Lakin bado upo mzur tuna kupenda WA Zanzibar ww ndio baba WA Zanzibar ytu
@ibrahimpeter55854 жыл бұрын
Upo sawa maalim
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Kweli Maalim maana washanza kusema kuwa watashinda kwa vyo vyote maana yake nini na wao hawaoni kama uchochezi huo Allaha tunakuomba uwatenze nguvu za shari zao
@khadijashabani55094 жыл бұрын
Kweli nyani haoni kundule ye mbona kahamia ACT!
@bakarimngazija66724 жыл бұрын
Tuchaguwe mmoja tubaki wamoja .
@jackhans77084 жыл бұрын
Huyu anamiaka mingi serikalini na amekula sana Kodi za watajuwa,lakini cha msingi hajafanya kituchochote kwa wananchi au wanachama wake
@bakariahmadi96454 жыл бұрын
Wepumba unazungumza nini wwe??
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Na ndio mana Mungu hayupo pamoja nae mana nayy ni miongoni mwa madhwalim.
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
ww kichogo tulia
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
huijui kabisa znz lini maalim alipewa nchi ata ale pesa
@jackhans77083 жыл бұрын
@@zuheraaziz9343 zuhera zuzu kaa kimya Kama hayaijui historia ya basha wako mzee madevu
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
Maalim seif ni kweli yote unayoyasema. Ila kwanini ulijitangazia urais kabla ya mwenyekiti wa tume kutangaza matokeo?
@bernardmallya29674 жыл бұрын
Amechoka kuibiwa... kaibiwa sana, na aliwawahi... yko wapi ya Jecha kuchukuwa fom? Leo kawa muosha vyombo tuu na kujichekesha chekesha alidhania atapewa nchi kma fadhila... Maalim ataishangaza dunia
@iddisalum49884 жыл бұрын
Huyu hajajitangaza ila aliiomba tume imtangaze
@jumamhamadi40044 жыл бұрын
Sawa malim sef ulipo tupo
@simbalion28714 жыл бұрын
Mzee kwa heshima yako ungefaa ustafu na kua mshauri mkuu wa chama ushakua mzee akili yako kwa sasa nibusara kuwapa ushauri vijana
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Allah ndie tunayemuweka mbele sie hivyo tunamuomba Peke yake na atatusaudia maana CCM mbwa ana afadahali kuliko wao Hasbunallah Waniimal Wakiil ndio iwe kilma chetu
@moyesmboya61714 жыл бұрын
Kwa hio lipumba atagombwa urais?
@athumanisururu17114 жыл бұрын
Nani anawahadaa wanachama na wana siasa kwa kuwaahidi vyeo kwani hata mtoa mada Maalim naye yupo njia hiyo hiyo kwani alipohama cuf alishawishi wabunge na wanachama kumfuata yeye akiwaahidi vyeo vipi hili limekaaje?
@kuntakintekoko53204 жыл бұрын
Kama kweli unataka kugombea na wewe tafuta bunduki mzee, kwa kupitia uchaguzi hiyo sahau kabisa, malizia maisha yaliyobaki na busara zako kwa kukaa na wajukuu zako.Ccm watakulipuwa kwa mtutu bure kama yalivyo wakuta wenzako.
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
tangia 95 hawajamuuwa tu walingojea nn usiongee pumba hujui mungu anapanga nn
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Alikuwa keshatongozwa huyo ndio maana
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Wanafiki wamekutana!!!!
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Rubani wa yote hayo ni CCM na Tiss basi Allah atawapa tiss ya kikweli maana tupo tunamuomba kheri
@hajihassan54334 жыл бұрын
Hakika SIZIFAHAMU siasa za Tanzania. Ni nchi gani duniani ambako vyama vya Upinzani hufanya mikutano ya hadhara kabla ya wakati wa Kampeni? Huwezi kuifananisha CCM ambayo ndio yenye Serikali na vyama vingine. Usawa wa vyama vya siasa ni "equit" na sio "equal", kwa maana mwenye Serikali hupewa nafasi zaidi.
@swahibal-karama1454 жыл бұрын
Hakuna chochote ni Porojo tu....seifu kashaongea zaidi ya hayo. Na hakuna kitu:
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
porojo lkn umelisikiliza
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Tena hao wa ccm wao ndio waseme wanavyotaka mtovu wa wa adabu alosema simiogopi Maalim Sef nwa yeye tunamuambia hawamuogopi MMungu CCM alikupeni pumzi mtamuogopa kiumbe tumtizame Rais Mstaafu Salimu Amour kiburi kimefika wapi na hao dola tunawaambia Alaysa LLah Biahkamil Hakimiin
@hajijuma92324 жыл бұрын
R
@azizawadh59734 жыл бұрын
Shusha tanga pandisha tanga.
@selemanimzee41404 жыл бұрын
Yote maisha
@aminaabdallah77024 жыл бұрын
Hakuna upizani TZ au watanzania wenyewe ndohawataki yupezani wabaya ambao hawapendi tuseme wanachukia maendeleo ya TZ yahivi sasa?
@saidhamis59564 жыл бұрын
Mzee mbona sera hazibadiliki
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
adi wataka aseme ataleta maji na njia😂😂
@lucky92854 жыл бұрын
Lipumba OUT 😂😂😂
@kalundemedia2424 жыл бұрын
Nahitaji kununua kitabu cha RAI YA JENERALI kama unauza soft copy. Namba yangu ya simu 0783700083 / 0653 700083 au Email: kalunde47@gmail.com
@mahmoudally99194 жыл бұрын
Ndio kununuliwa huko mwanamke akishapata mwanaume nje WA kumuhadaa hununanuna ovyo ameyatupa hatumtaki hata kumuona huku Zanzibar
@arafataliomar74324 жыл бұрын
Huo ndio ukweli kuhusu lipumba
@omarabeid74904 жыл бұрын
Lipumbavu
@georgewambura71354 жыл бұрын
na ni ujinga uliopitiliza kutaka kuua upinzani
@kaniogachief61514 жыл бұрын
Ulimwengu mbona mahojiano yako hu Balance unahoji mtu mmoja??
@bernardmallya29674 жыл бұрын
Fuatilia wew... kawahoji watu kibao... na hata unaowawaza hawawezi kukubali mualiko... kama walikataa wa BBC mwaka 2015 je wataweza 2020 kwa Jeneral Ulimwengu online??
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Huyu jamaa bwege sana, analalamika watu kuhamia CCM wakati yeye mwenyewe kahamia ACT!
@aishamuhammad77854 жыл бұрын
Bwege mkeo
@jumakapilima56744 жыл бұрын
@@aishamuhammad7785 huyu jamaa bwege sana!
@ahmedalbalooshi85184 жыл бұрын
Juma:neno bwege si pahala pake hapa.Wewe kama una hoja ya kupinga maalim basi toa hoja yako,na wananchi wataweza kufaidika.
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Kwenye comments mna MBWA ngapi walizoitwa CCM, je zinahusika?
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 😂😂😂😂huna tusi lkn neno ulilompa ni zaid ya tusi
@kidelenyafundi51674 жыл бұрын
Jenerali Ulimwengu, wewe ni Mnyarwanda usituletee mambo ya Wahutu na Watusi
@georgewambura71354 жыл бұрын
kaa utulie ww
@bakariamour60244 жыл бұрын
Na wewe pia ni mnyaruanda Tanzania hatuna jina kama lako
@MS.independent89344 жыл бұрын
nanyie mliopokea wabunge na madiwani je mliwanunuwa? na nikwanini hamuwezi kuongea mambo yetu tuu bila kui'ongelea CCM? kwani hamjui kujibu swali bila kuweka CCM kwenye vinywa vyenuu? na ww ulinunuliwa na zitto ili uondoke CAF? kwanza umesha zeheka bakikuwa mshauri waachie vijana wa chama chenu nafasi hizo siomyaka yoooote ww2?🙄 aboooo
@gochamso4 жыл бұрын
Mbwa wewe
@RioIpo4 жыл бұрын
Hahahah hebu muache Mau Dodo wetu
@solemba5954 жыл бұрын
People are differ in IQ...
@TheKuntakinte4 жыл бұрын
"Ni sababu gani ya Lipumba kukasirika na kuondoka,sisi sote hatujui", That's bullshit old man, do not say urongo.
@godisgreat18454 жыл бұрын
Yani huyu anawazuia vijana kugombea yeye anajua kuwa wa Zanzibar hawataki ndio maana analazimisha wazanzibar I hawakutaki wewe na huwi Rais hadi kiama Mungu hakukupanga wewe uwe Rais hivyo hata ufanye nini
@solemba5954 жыл бұрын
Hujui unacho ongea...
@solemba5954 жыл бұрын
If you don't have data, you don't have right to argue...
@georgewambura71354 жыл бұрын
kwani mara ngapi mzee katoboa uko ila wazadiki wakaziba kinafiki usiwe kama mgeni nchi hii
@zuheraaziz93433 жыл бұрын
hawampendi uyo mwinyi kasema kama znz upande wa upinzani kwa maalim ni mkali ww kichogo nyamaza kimya huyajui ya wa znz😂😂
@godisgreat18453 жыл бұрын
@@zuheraaziz9343 ww membe nn maana wa Pemba ndio wenye kauli za dharau kama yako wewe unanijua nilivyoumbwa mm eti kichogo dharau tu mnahisi nyie Mungu hakuwa PA dothari ila kwa watu wa Bara ndio Wana vichogo jitizame wewe kwanza hutoi harufu katika sehemu zako za siri au udi ndio unakustiri Sasa kama unadhani mimi ni mtu wa Bara umekosea Sana na wazanzibar ndio wenye maamuzi na nchi Yao Sasa sio Akina sefu kama hujui maana ya kusema hivyo nambie nikusomeshe mpemba wa mwisho kuongoza zanzibar katika karne hii I sheni bas sio sefu Allah atatulinda na Shari zake na kama mnadhani ile tabia ya kutaja watu kwenye majuwaa ya siasa mkasema laana tu Allah kuwatakia laana watu laana ile I arudi kwenu ndio maana kila siku Allah anawashusha na msipoacha tabia hiyo mtakuwa dalili hadi siku ya kiama