Shukrani CDF Mabeyo! Shukrani B Gen Komba! Shukrani kikosi cha nyumbu! Hili ndio jeshi letu! Tunajivunia kuwa nalo! Nafikiri watanzania tutaelewa kwa nn AMIRI jeshi mkuu anawapa Kazi nyingi JWTZ! Huwa hawashindwi na jambo Mungu ibariki Tanzania.
@eliahlesilwa79514 жыл бұрын
Jwtz nimoto wa kuotea mbali
@rizikibakar31864 жыл бұрын
Sahihi
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Tunashkuru kwa support yenu.
@jackgodgivenzihindula4 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Rais mzuri, Askari wazuri, wanaichi wazuri, inchi nzuri... Tuna pongeza kila mtu aliye shiriki kwa kazi izi.... Viva Tanzania. Watching from Capetown 🇿🇦
@fatmamustapha69294 жыл бұрын
Maneno mazur Kama haya na wifi yetu huwa unamwambia hv?
@gilianmlindo93124 жыл бұрын
Dah, nimekupenda bule kila kitu kizuri tanzania yetu saaaaafiii.
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
We we pia mzuri kuwa making huko sa.
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Jamani watanzania tusimsahau mke wa Dereva maana kaachwa mjamzito hatujui kama anakazi au msaada wowote na Mungu awabariki, jeshi la wananchi Tanzania Mungu awabariki sana.
@jamilamweta44444 жыл бұрын
Twawezaje kupata mawasiliano ya huyo mama
@fideadavid91474 жыл бұрын
Ila kweli kuhusu mke Wa dereva jamani. pia mungu aendelee kuonesha njia kwako mama
@MohsinKhan-fr2vp4 жыл бұрын
@@jamilamweta4444 q
@naftalsigwejo6234 жыл бұрын
JWTZ mmefanya kazi kama Jeshi la Mungu wa Majeshi, hongereni sana na huo ndio moyo wa kitanzania. Mungu anaagiza upendano. Bravooo!
@salumkhalifasalum25864 жыл бұрын
Mama usikate tamaa inshallah kwa uwezo wa ALLAH utapata gari lingine zuri zaid yahilo sisi tuko pamoja nawewe kukuombea dua kw ALLAH akunyooshee njia nzuri na iliyosahihi zaid. Hongera sn mkuu wamajeshi mzee GENERAL MABEO naww ALLAH akujalie imani namoyo wahuruma kuwahurumia wanaoskihiki kuhurumiwa shukraan sana BARAKALLAH FIIK.
@klthoomklthoom6984 жыл бұрын
Alhamdulilah mungu ni mwema
@bibiemohamed60444 жыл бұрын
Ameen
@jmtvtanzania24034 жыл бұрын
Mbali kiwe kwakazinzili jw
@jasmineshechambo34014 жыл бұрын
Alhamdulillah
@salomelugome47422 жыл бұрын
Hongereni makamanda wetu.Tunajivunia Jeshi letu imara. Mungu awabariki sana
@queenlynne41574 жыл бұрын
Kutoka Kenya nimefuatilia hii story Hadi nimeona Mungu akisaidia mama.pole Sana kwa hio .shukrani kwa jeshi kuu kazi Safi hapo..God bless Tanzania .....
@janetmlulla3744 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana Aisee. Mungu atampa maarifa mengine mwanamke mwenzetu na ataamka tena. Hakuna kukata tamaa.
@jacklineminja20224 жыл бұрын
Acha niwaendelee kupenda JWTz asante sana Brigedia General Komba na team nzima ya kikosi cha Nyumbu. Mkuu wa majeshi Mungu akutunze akubariki asante baba
@dalilamohamed81264 жыл бұрын
Safi sana jeshi langu la Tanzania mmeonyesha moyo kwanduguyetu bi Mwajuma asante sana asante jeneral mungu awabari muwe na moyo huo huo wakutusaidia
@agathakomba81334 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana CDF.namshukuru Mungu Sana kwa ajili ya kumtetea mtanzania huyu . Mama Mwajuma usikate tamaa Mungu anakupenda na kukuthamini Sana hata ameinua msaada juu yako.endelea kupambana.
@denismketo37174 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ya jeshi la wananchi. Hongera sana Gen. Mabeyo, Brig. H. Komba na wote mliofanikisha zoezi ili. Ni imani yangu, mama utapata msaada zaidi. Salute
@lydialiyaruu13634 жыл бұрын
Usipokata tamaa Mungu anafanya. Ashukuriwe Mungu anayekwenda kufanya hata zaidi kwaajili ya mama yetu mpanaji.Asante jeshi la Tanzania kwa kazi njema Sana . Mungu away awabaruki wote.waliotoa support katika jambo hili. Hakika tumejifunza mengi
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Asanteni sana jeshi letu la Jwtz pamoja na Cdf Venance Mabeyo mungu akuzi dishie baraka na umri mzur kwa kuonyesha kwako kujari tatizo la mama yetu Mwajuma mungu ibarik Tanzania nawatu wake
@AishaAisha-rh1fc4 жыл бұрын
Jamani mwenyewe kujariwa mshikeni uyu mama mkono 😭😭😭😭😭nimevaa kiatu chake akinitoshi
@omarishabani23574 жыл бұрын
mmb
@RomwardWM4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁 hatare sana we dada kaongo umevaa kitu chake hakikutoshi , una hata gari la mkulima ?
@yahayyahay67734 жыл бұрын
@@RomwardWM 😂😂
@ndwatanchullah40134 жыл бұрын
Japo duah zako dada
@AishaAisha-rh1fc4 жыл бұрын
@@RomwardWM gari sina ila nikilitaka na nunua jipya kwa akili yangu ndogo siwezi kununua gari hali ata banda la kuku sina ..... nikija kwenye kiatu uyo mama kachakarika miaka sichini ya 10 au 9 lkn ndio imeishia hapo je mm ninae anza kutafuta..............
@jackycute20474 жыл бұрын
Mungu awabaliki Sana jeshi letu la tz pmja na mkuu wa majeshi
@salmasaidi28754 жыл бұрын
Alhamdulillah,Palipo na nia pana njia, Shukran kwa mkuu wa jeshi na wenzake Allah awazidishie wote upendo na Amani na huruma Aamiin.
@mwanaidimussa49984 жыл бұрын
Mubarikiwa sana wana jeshi namungu awaongoze. Asanteni sana kwakazi murio ifanya hatamimi nime fulahishwa sana kwakuonyesha ushirikiano asanteni sana mungu awa bariki
@deniceshao15784 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu .. Kwa kuwapa uwezo JWTZ. Kikosi nyungu kulitoa ilo gari ni bora kilicho patikana sio sawa na bure. Kuliko mama angeendelea kujipa moyo gari ipo kumbee imesha kwisha.. Mungu amtie nguvu
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Sio nyungu.ni nyumbu
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Ni nyumbu co nyungu ndugu yangu
@hadija8464 жыл бұрын
Amiin🙏🏼
@severinmmassy76274 жыл бұрын
Duuu
@oscarcharles92694 жыл бұрын
Safi Sana JWTZ MUNGU awape Kila la kher katika shughuli zenu hakika mna moyo mzuri Sana Sana.!!!
@gabrielmatthew66674 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wanajeshi wetu
@angelrichard82114 жыл бұрын
Daah miujiza tu kutoka binafs nilishakata tamaa Mungu awabarik sana mliolitoa
@neemambwambo75374 жыл бұрын
Ahsante Mungu
@shemsahemed35774 жыл бұрын
Ameen yaarabi
@fatumamohammed42264 жыл бұрын
Nice mkuu wa majeshi ya Tanzania mungu awape moyo huo wa guswa na kuwasaidia wananchi na wale wote walioshirikiana ktkt kila jitihada mungu awatunze vyema.
@stanleyfocas82504 жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania mungu ibariki Tanzania mungu bariki viongozi wetu wape afya njema upendo huu sio wakawaida
@mdidiomari73514 жыл бұрын
Millard ayo umewashinda tv zote tz wewe upo pamoja sana na wananchi🙏pongezi kwako mkuu pamoja na mkuu wa majeshi tanzania
@cammycamilius68564 жыл бұрын
Mungu awatunze JWTZ Tunawapenda Sana makamanda wetu
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Mungu awabariki sn kwa moyo wa huruma mlikotoa Mungu awazidishie.
@abdulmalikaudreykaipa40074 жыл бұрын
Baraka zishukie mkuu wa majesh kwa kanzi mzur Allah akuepushe na mabaya Allah ailinde familia yako.
@mheheoriginal97124 жыл бұрын
Mungu amjalie helly nanguvu nafraha nauvu milivu Maishani mwake nawalio fikwa namatatizo Kama haya Amen
@fatumahassan82124 жыл бұрын
Hongera mkuu wa majeshi kwa namna ambavyo umeonyesha moyo wa imani na kutowa msaada kwa mama yetu khakika na imani kubwa sana na utumishi wa awamu ya tano (Mungu ibariki tanzania )
@dennischeyo13024 жыл бұрын
Asante watanzania wote mlioifanya hii Kaz tuendelee na upendo wetu na amani yetu
@SarahNambela-m1vАй бұрын
Mungu wetu hufanya njia atapasipo njia ametenda maajabu🙏🕊️🧡💛💚💜💙💕
@giftmlange33274 жыл бұрын
Ayo Tv mmbarikiwe sana kwa kumsaidia hyu mama bila nyie asingeonekana pia jeshi mmbarikiwe sana kwa upendo kwa kumsaidia hyu dada lv u👏👏😍😍
@abdulimalikhamadi10784 жыл бұрын
Maa shaa allah maashaalh Mwenyezmungu awalipe kher nyote wakuu wetu wa majeshi na wote mlio husika kwa msaada huo
@florameza95294 жыл бұрын
Asante saaana ndg zetu wanajeshi mungu awape nguvu zaidi
@daudimahimbo12224 жыл бұрын
Hongera sana JWTZ kwa kazi nzuri ya uokoaji.
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la polisi kwa kumsaidia huyo mama Mungu wa mbinguni awabariki sana muendelee kuwa moyo huo.
@faustinemavere14504 жыл бұрын
Mungu ambariki sana sana huyo mkuu ana moyo wa huruma sana na anamjua Mungu hakika hii ndo tz inayojali raia wake asante Mungu
@jacksontawete92264 жыл бұрын
munguu awabarikiii sanaaa katika kazii zenuu
@ariffaizal80064 жыл бұрын
Very good, , Allah will pay you, it's heart terching
@michaelsumka70904 жыл бұрын
Ahsanten pia hongereni Sana Hili ndo lile Jeshi Pendwa nchini Tanzania mbarikiwe Sana🙏🙏🙏
@daudimichael73384 жыл бұрын
Hii ndiyo nchi yangu tz, naipenda nchi yangu. Asanteni wanajeshi wetu, mmeonyesha mpo kwaajili yetu!!
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Jeshi letu zuri sn.Mkuu Mungu akuinue pamoja na familia zenu wote mliohusika kumsaidia mama Mwajuma.Mungu atawainua.
@sabinashabani97424 жыл бұрын
Safi sana makamanda kwa kuguswa na hili tukio chakusema sasa nikuzidi kumuombea huyu mama asikate tamaa mungu yupo atalipa tena na pole sana mama
@abuuqaasim48154 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu wa majeshi na serikali yetu kwa ujumla hakika huo ndio ubinadamu mungu awatangulie ktk kazi zenu za kujenga taifa letu.
@ghulamjuma28834 жыл бұрын
Hongereni sana Ni kweli nyinyi ni jeshi la wananchi
@stallahsamwel56274 жыл бұрын
Dhu! Mmefany kazi nzur hongereni San kwa kazi nzur mungu atawalipa
@shailakipingu11124 жыл бұрын
Hongera sana mkubwa wa majeshi na wote walioshiriki jeshi retu ra Tanzania daima tutatuenzi kwa aman
@sabujrtv4874 жыл бұрын
@JWTZ hakuna linaloshndkana kulee MUNGU azd kuwalinda ma Afande wangi💪💪💪
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa majeshi ya tz kumbe mna huruma mungu tunaibariki kwa njia yoyote ile nimepata amani niliumia Sana japo siyo langu mama kuweza kuwa na gari km hilo anapambana Sana mama mungu nilijua atawainua watu wa kukusaidia usiogope Kaa na mungu vinzuri na pole Sana mamaa
@stellakiondo72834 жыл бұрын
Mungu awabariki jeshi letu .
@krispinkomba46064 жыл бұрын
Viva JWTZ,,, viva Nyumbu,
@imanmwashitete52434 жыл бұрын
Kwakweli mungu awabaliki kwakazi Asanten kwakumsaidia huyo mama
@rehemashabhay22054 жыл бұрын
Molla awajaalie jeshi letu .Ndugu V.Mabeho molla akuongezee imani Inshaalah.Umemsaidia huyu mama nawe Mungu atakupa lako fungu.
@Frajuu4 жыл бұрын
Wanajeshi ni watu wazuri sana wapo kwa ajili ya nchi na pia amani kwa mioyo ya watanzania, nyote muwe salama katika mapambano ya nchi yetu
@alfinmbilinyi59854 жыл бұрын
Big up afande Komba kwa kutekeleza agizo la afande CDF uko vizuri kwa kazi tangu ukiwa bwingabo.hongera kwa kumsaidia huyo mama wa Tanzania kutoa gari yake. Mungu ibariki pia JWTZ kwa kazi nzuri.
@ayushsaeed10514 жыл бұрын
Asante makamanda wetu Tanzania kwa kusikia kilio cha mwanamke mwenzetu asnte magufuli
@mariamnimbo83944 жыл бұрын
Mungu awabariki wana jeshi kwa moyo wenu na umakini na ushujaa na kujitoa.
@mackmillan28034 жыл бұрын
Mama zidi kumtegemea Mungu,Mimi namwamini Mungu anafanya njia pasipokuwa na njia,,Aliweza kupasua njia katikati ya Bahar!Hakuna linaloshindikana kwa Mungu,,we mwamin tu Inatosha.
@rithakuyala99514 жыл бұрын
Mungu awabariki sana jeshi letu la TZ angalau atapumua kidogo 🙏🙏🙏🙏
@marthasumaye60174 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni awabariki Sana wanajeshi wetu nawapendaga Sana wanajeshi
@evaakyoo30094 жыл бұрын
Nimefurahi mbarikiwe sana wanajeshi mungu awabariki sana
@israelisponsor87554 жыл бұрын
Ndo maana nawapenda sana wanajeshi wetu Hongera kwa moyo wa upendo
@Khaleed57674 жыл бұрын
Watu wabaya , Subhana'ALLAH wameiba engine na cabin.. Kwa uzoefu wangu sio rahisi cabin na engine kupotea hivyo vyote huwa vinashikana na chassis... Kwa ufupi kuna mdau atakuwa amevihitaji zaidi ..Dah Binaadam wengine noma sana..
Kamanda mabeho mungu akubariki Sana akupe maisha matefu.
@marykibwana94134 жыл бұрын
Nashauri, dada Mwajuma, uza vifaa vichache vilivyoopolewa.Heri kununua jipya. Kwa kadri utakavyochangiwa. Mungu akutie moyo.
@nkenemalulu13304 жыл бұрын
CDF Venance Mabeyo, umedhhirisha Utanzania, Uzalendo na kuiweka dhahiri maana JWTZ kwa Watanzania kuwa ni Jeshi letu. Pole saana kwa Huyo mama asikate tamaa. Pia kwa waliopoteza maisha katika ajali hiyo Mungu awape mapumziko mema peponi Amina.
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Mubarikiwe wote mliomsaidia mwenyez MUNGU atawalipa🙏🙏
@annapeter49944 жыл бұрын
Tumewapenda bure wa jeshi wetu. Hii inatupa moyo kuwa Tanzania tunaye wa kulilia ambaye hatoi msaada kwa kuangalia huyu ni kabila gani na anatoka wapi. Mungu awabariki sana na sana 💪💪💪💪
@magrethmvungi25164 жыл бұрын
Nmefurah sana yote haya ni mpango wa mungu asante mungu, endelea kuonyesha njia kwa watanzania wote waguse wamsaidie huyu mama kutengeneza gar lake aweze kusimama tena asante mungu
@jeromendetaulwa34664 жыл бұрын
Mungu awabariki wanajeshi wetu watanzania wanajeshi si maadui ni marafiki wa watanzania
@allyjuma4634 жыл бұрын
Pole Sana Mama Mungu Akifanyie Wepes wa kila jambo
@Elijahkha4 жыл бұрын
CDF, Divers,Nyumbu Project, hongereni kwa kweli hayo ndo mema ya nchi mungu awajalie mema
@santosmungure82794 жыл бұрын
Utarudishiwa Mara Saba elfu simama na Mungu tu🙏
@stanleychisaluni15034 жыл бұрын
Nyumbu Ni wafundi,tuombe Mungu wanaweza mtengenezea
@faridaothman4 жыл бұрын
Gari ilivyoharibika je itafaa tena?? Naombeni mnijuze plz
@Ibrah2874 жыл бұрын
Huwa zinanyooshwa tu zikifika karakarani, na hutoijua ndio ilikua imebondeka bondeka hivo... Hakuna kinachoshindikana....
@jemamhagama49784 жыл бұрын
Mmenifurahisha sana jwt. Safi sana!
@officialmologa4 жыл бұрын
Mbali na malaika Jeshi Ni Mkono wa Mungu ,licha ya madhaifu mbali mbali ya kibinadamu , Respect
@Splkevin80264 жыл бұрын
Ongereni sana makamanda wetu mungu Awape nguvu
@africanhappyadventure69514 жыл бұрын
Jeshi hAwashindwi kitu kudadadadeki wale pamoja na kukomaa na M 5 Walishindwa.Nimewaza hata wangekuja mapema wangelitoa lote.Ahsanteni sana Jeshi letuu.Mbarikiwe pamoja na mkuu wenu.
@usullenolascos76104 жыл бұрын
Shukrani Sana jeshi letu.asante CDF kwa kujali
@bububuzanzibar94974 жыл бұрын
Mungu akubariki CD OF. Mabeyo ww nimungwana kweli nanimtu wa mfano Allah akubariki unahuruma sana umeweza kuwasaidia hadi wtt wetu walioko JKT kuwemo ktk kz Allah akutakulie
@rejobu97234 жыл бұрын
Walio fanya kazi ya kujaribu kuivuta na breakdown ndio walio ihalibu hiyo gari pl sana mama na Asante kwa mkuu wa majeshi kwa msaada wako mungu atakulipa kwa msaada wako!
@ramadhanihudhaifani43764 жыл бұрын
Dah! Allah Ndiye Mjuzi wa yote haya.Pole sana dada kwa mkasa huu! Poleni wote waathirika.🤦♂️😥
@suleimanassaa53834 жыл бұрын
Pole sana mama kila kitu anapanga Allah kwa Sababu zake Inshallaah Allah akupe Subra kwenye kipindi hichi kigumu unachopitia Amein Amein Yarraby
@eliahdonarth76444 жыл бұрын
Just the efforts that have contributed with JWTZ are good juxt big up
@abdillahkaguro16944 жыл бұрын
Kweli mzee baba umekomaa nae kila hatua umetujuza big up man endelea kuwa na moyo huo huo
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Huyu jamaa anazungumza vzr sana Hongera sana kwa kaz nzr Mungu atawasimamia
@anastaziaconstantine45694 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwamoyo wakujitolea
@AhmedAhmed-bk2il4 жыл бұрын
Safi sana jeshi langu....🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jacklinemosha88314 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awabariki sana muwe na upendo huo huo
@chechejohakim69554 жыл бұрын
Asanten sana kwa msaada wenu
@hynaombanambayakohy2074 жыл бұрын
Salut sana jeshi letu ndo maana tanzania yetu inaamani,mmeonyesha mfano mzuri sanaa
@iddothmani32734 жыл бұрын
Kweli mungu ndo kila tu. Ahsanten makamanda kwakazi nzur namsaada Mkubw
@ndwangilandwangila93344 жыл бұрын
Selekali yenye watu sahihi naipongeza mkuu wa JWZ Mungu akulinde. Rais wetu hakukosea.
@sporamashanga40194 жыл бұрын
Wote mlio shiriki kumsaidia huyo mama Mungu awabariki sana. Hii ndiyo Tanzania Yetu.
@kikwayutv89754 жыл бұрын
Millardayo unastahili heshima kwa habari zako, achana na wale wahuni wanaotafuta kiki mitandaoni sio level yako
@zaharaallymwndelezotunatak8184 жыл бұрын
Asanteni jeshi letu mbarikiwe
@ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын
Hongereni sana majeshi yetu kwa kazi ngumu ila Tz jamani yaani engine washaenda kuifungua muda tu dah watu hawana huruma
@devothafredrick39114 жыл бұрын
MBARIKIWE Sana kwa kazi nzuri mlioifanya 🙏🙏🙏
@neymafrancis62194 жыл бұрын
Shukrani kwake mabeyo🤲🙏
@stadiuscornely38594 жыл бұрын
Daaah mungu akusaidie mkuu wa majeshi kwa iki ulicho kifanya kwa uyo mama
@eliasikagemulo2134 жыл бұрын
Pongezi kwa JWTZ mmefuta machozi Mtanzania mwenzetu mama shupavu ,mpambanaji naamini kilichopatikana siyo haba kuliko Hari zima kupotea.Mungu akutie nguvu Dada Mwajuma.