Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
@moodyyahaya30403 ай бұрын
A.alyekum
@ismailhassan52092 ай бұрын
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
@EstherKomba5 ай бұрын
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
@rayisadesigns26464 ай бұрын
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
@dennisezakiel33803 ай бұрын
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
@user-ei3ps8dw8hАй бұрын
Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu
@mrishosudi189611 ай бұрын
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
@AhAu2-oi5wn2 ай бұрын
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
@cishahayoali11369 ай бұрын
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen! tumeilimika kwa darsa hi!
@jeremiahmoemi96069 ай бұрын
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
@mwassamwassa72649 ай бұрын
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
@user-ce4ec5vc7j8 ай бұрын
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
@leedsoldat41893 ай бұрын
Sasa Nan kafir apo????@@user-ce4ec5vc7j
@handsomembuvi3 ай бұрын
@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
@user-so9rn6ld3n7 ай бұрын
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
@kimwanachangani3922 Жыл бұрын
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
@user-eq9yi7pz4i9 ай бұрын
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
@user-ct6ml1iz4z Жыл бұрын
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
@abdaladelo371 Жыл бұрын
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
@user-zz1mf2st5g9 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
@jasminmohamed61456 ай бұрын
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@user-he1bj6kt6y11 ай бұрын
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
@mohamedswadiq6732 Жыл бұрын
Darsa Ya Elimu MashaAllah
@ashooraashoora118011 ай бұрын
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
@user-mb3fk4kb8n Жыл бұрын
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
@abdulimaliki8 ай бұрын
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
@HadjatiMayidiya27 күн бұрын
Jazakallah Kheir sheikh
@abdulimaliki8 ай бұрын
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
@user-zt6re1dr5f7 ай бұрын
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
@user-rz5no7us8e11 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
@jymvumbi480410 ай бұрын
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
@evordluanda51845 ай бұрын
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
@user-vg7sh1qi5j3 ай бұрын
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
@Issa_negro7 ай бұрын
God is great fr😢
@mwanarusiali443011 ай бұрын
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
@Happy-be8hh11 ай бұрын
Kiufupi كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
@OmanOman-bm1lr11 ай бұрын
Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni
@randochannel863311 ай бұрын
Usihangaike nao siku zote anaepinga ni mtu asiye na akili..
@ikabako24549 ай бұрын
Tunahoji. Allah ndio mungu ambaye hakujua kuwa jua halizami na pia ndo mungu aliyeruhusu mtoto wa miaka 6 aolewe na muhammad chizi.
@cath-ef7wd9 ай бұрын
@@ikabako2454mbwa wewe mwanaharamu kafiri mkubwa wewe...Muhammad anahusikaje hapa...??? Mbwa,nguruwe,kafir mkubwa wee
@cath-ef7wd9 ай бұрын
@@ikabako2454toto la zinaa wewe
@mwassamwassa72649 ай бұрын
@@cath-ef7wdYaani ndiyo kielelezo hasa cha uislam kwa jinsi unavotukana
@HamisaSimonАй бұрын
mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer
@shinayzashiraaz4588Ай бұрын
Jazakumullah kheirun
@fatmehfaraj518811 ай бұрын
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
@rukiyakibera7610 ай бұрын
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
@mariamahmed685911 ай бұрын
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
@NeemaAlly-hu1rd2 ай бұрын
At me nina mshukuru sana sheeh angu
@user-eq9yi7pz4i9 ай бұрын
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
@user-dl1ju4ge3x9 ай бұрын
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
@mrsahmadhajraah15506 ай бұрын
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
@MohamedDahir-hj2oq4 ай бұрын
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
@ARAFATVSHOW4 ай бұрын
MANSHALLAH ❤️
@husseinabdille1004Ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@LinconLopez3 ай бұрын
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
@user-hj9wd4nc2y3 ай бұрын
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
@user-pu2mp6th3s11 ай бұрын
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
@minabuelysee811 ай бұрын
Amin
@thuleythasule703610 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule703610 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule703610 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule703610 ай бұрын
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@user-dc3zf2xi8y10 ай бұрын
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
@kandellahramadan57948 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@user-lh8uc4re6o2 ай бұрын
Allah akupe heri nyingi
@OmanOman-bm1lr11 ай бұрын
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
@ashajumasaid728511 ай бұрын
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
@thumnathumna594611 ай бұрын
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
@universitylink5 ай бұрын
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
@user-lc5wf4ly3i6 ай бұрын
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
@khalidirashidi21967 ай бұрын
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
@nassorali10344 ай бұрын
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
@hatibumabote1902 ай бұрын
Allah akbar
@user-fj1cf4fs8b9 ай бұрын
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
@silviaamos-pl5lk4 ай бұрын
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
@jannffer3 ай бұрын
Glory be to God for this revelation
@AthmanMasini11 ай бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
@user-no8yh4ub7l4 ай бұрын
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
@latoyasammy988811 ай бұрын
mawaidha mazito n yenye faida kwetu Allah akubarik
@ramadhanmahongole929311 ай бұрын
hakuna lolote anasema kabla ya mbingu na ardhi Mungu alikuwa kwenye nafasi je hiyo nafasi imeumbwa nanan?
@saphinalutaha907711 ай бұрын
😂😂😂😂we mwslam gan ambae hauna iyo elim alikuwa juu ya arish hata phiscs imeeleza kabla ya mbigu na ardh kuumbwa kasome
@user-mp8lp6pz6l3 ай бұрын
Allahu akbar
@AbdallahYusufu-rc5xu3 ай бұрын
ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم
@allyhassanabdallah429511 ай бұрын
Allahumma bariq
@abdallaismail24279 ай бұрын
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
@ramadhaniayoub81718 ай бұрын
Allah akisema kuwa na kina kuwa
@kipangatz194 ай бұрын
Maji yalikuwa hali ya gesi
@zangzang15743 ай бұрын
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
@zangzang15743 ай бұрын
Story
@hidayashabani58974 ай бұрын
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
@Khalifaibrahim-oh7ti4 ай бұрын
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
@user-xc4ml1qh9v11 ай бұрын
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
@kassidpandu8663 ай бұрын
Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah
@michaelmwangi3669Ай бұрын
Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia
@MohamedIbrahim-bn8rz4 ай бұрын
Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤
@RahimKhamis-zy3np11 ай бұрын
Shukran shekh wetuu
@allysaid69846 ай бұрын
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
@jeremiahmoemi96069 ай бұрын
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
@user-vh5eo7ij4n3 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe jaza njema
@rubbyruu71728 ай бұрын
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
@user-fc5ep5ib4p8 ай бұрын
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
@user-dr3mg5ey6f5 ай бұрын
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
@fatumahamisi16044 ай бұрын
Allahu Akbar Allah kareem
@kibibijaphary69189 ай бұрын
Allah Akbar Allah Akulinde Mashaa Allah Nimepata Darsa zuri kabisaa
@AlhabibMujahiddjibril3 ай бұрын
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
@AlhabibMujahiddjibril3 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
@swalehemhando6921 Жыл бұрын
Jazakhalah kheir shekh
@emmanuelywilibert2198 Жыл бұрын
Allah aqbaru
@MuaraboabdalasaideMuaraboabdal6 ай бұрын
Allah ahlam
@user-kz9kk9bw7u8 ай бұрын
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
@lilatito28164 ай бұрын
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
@asharamadhan71011 ай бұрын
SubhanaAllah
@rajabukimosa337711 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@seifomary803411 ай бұрын
Mashallah Allah akuifazi maalim
@dallatode829511 ай бұрын
Ma sha Allah
@rehemamuhammad3893 Жыл бұрын
Masha Allah Allah Allah Allahuakkbar
@marietheresenyandwi86715 ай бұрын
❤jaazakhallah kheir ❤
@user-bm2wo9jl4f5 ай бұрын
Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus
@inkubamedia81116 ай бұрын
allah akbar mungu ni mkubwa na nimjuzu الله أكبر منغو ني مكوبوا نا نيمجوزو