Рет қаралды 4,851
Huyu hapa mwamba @obamatz_ amefunguka na mpenja tv kuhusu changamoto anazokutana nazo kuigiza kama mtumishi na kusema yeye anaelimisha jamii na wala hapotoshi jamii na kusema kuwa kuna baadhi ya watu wanampongeza kwa kile anachokifanya cha kuikumbusha jamii kuhusu maswala ya dini.
Lakini pia @obamatz_ ameeleza wazo la kuigiza kama mtumishi alilipata baada ya kualikwa kwenye tamasha la dini na kuamua kuchukua wazo ilo na kuliwasilisha kwa jamii na baadhi ya watu kupendezwa na wazo hilo.