Mimi mkristo lakini Huwa nakufatilia sana Mzee wetu na ninakupenda sana shehe stambuli ❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kukupa Afya Ili uzidi kutujaza maarifa kama haya
@user-ms1xg1fp4vАй бұрын
Una maarifa mapana sana.Mola akupe Afya na uzima na akupe umri mrefu
@omariselemani6578Ай бұрын
Wana kalam media group tunasubiria nakala hizo nyingine zije haraka in sha Allah Peace 🙏🙏🙏 from USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲
@user-kn5bv3qj8pАй бұрын
Ufafanuzi muzuri saana sheikh wangu
@user-hg7cq3zz3iАй бұрын
Mashallah babu unatupa darsa nzuri mashallah
@hemedjackson2261Ай бұрын
Huy mzee huyu anaonekana hatar san kw kweli tunaomb awe namuendelez wa vipindi
@salimfaraj5509Ай бұрын
Sheikh upo vizuri sana shukran sana kwa taarifa
@jelemierrasto7183Ай бұрын
Mjadara huu nimeupenda sana
@saidmoussa909Ай бұрын
Mashallah
@AliAdam-bz9wxАй бұрын
Ahasante Shekh , Tukopamoja
@HamisiGatusoАй бұрын
Upo sawa unajua sana Mzee wangu
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Well done Brother
@barakachristopher2504Ай бұрын
Ni ngumu sana kuelezea kwa ufasaha kama tayari msimamo wako uko upande upi.
Utakapo toa ushahidi uingie pia kwenye unabii wa kihistoria kwa yake Mungu mwenyewe alioyasena na Ibrahimu na Musa na Yoshua ,kwa kia historia imejengwa kwa neno la Mungu.
@ahmedmakame1687Ай бұрын
Hawa ndo Quran inawajuwa kwa jina la Yaajuja-Maajuja wakifunguliwa wataenea ulimwengu mzima
@IshakaJuma-m1i8 күн бұрын
Assalam aliekum warahmatullahi wabaraqatu tunaomba muendelezo wa video hii kama ambavyo sheikh wetu alituahidi
@twahirshali8014Ай бұрын
Shukran
@user-hw3wn8ms6jАй бұрын
Mimi ni mkristo lakini nakukubali sana ktk chambuzi zako.
@francisjoseph1074Ай бұрын
Utakua mjinga kama ukisikiliza utumbo WA Huyu Mzee, jaribu kumuuliza wayahudi halisi wako wapi? Anasema wayahudi halisi wapo Ethiopia je , mfalme daudi alizaliwa Ethiopia? Suleiman methipi? Yesu alipozaliwa Nazareth ni Ethiopia? Wakina petro yohana na wengine kule galilaya walipokua wanavua samaki ni Ethiopia?
@user-nd8pk7wt1rАй бұрын
Saf sana
@hemedjackson2261Ай бұрын
Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky Kiufupi Netanyahu ni mtu kutoka poland
@NicoleMakaveli-wr6mmАй бұрын
Sasa kaa ni mtu kutoka polad??
@humphreymwihambi4330Ай бұрын
Ni myahudi aliyekuwa akiishi Poland. Wayahudi waliingia hapo 1948. Hiyo haiwaondolei ukweli kuwa wao sio wayahudi
@azizayassin3623Ай бұрын
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
@joycedimoso8648Ай бұрын
Kama hawa sio wenyewe wenywewe wako wapi?
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Wayahudi hawawezekani sababu wale wanalindwa na Mungu achaneni nao mtaumia
@nyemondagalla608Ай бұрын
Mzee kaongea kweli tupu kwenye uharibifu wa mila na tamaduni, watoto wa 2000 ningum kumuelewa, lkn wazazi tusiache kuwaeleza kweli ya khaki.
@jumakhamis3545Ай бұрын
Asalaamu alaykum warahmatu Allahi. Naomba katika kulizungumzia hili urejee maneno ya Allah ( ما كان إبراهيم يهوديا ولا نصرانيا ولكن كان حنيفا مسلما وما من المشركين) ninakusudia kukuuliza kusudio lako UYAHUDI ni Dini au Ni UKABILA? Naomba kabla hujanijibu urejee kwenye Aya niliashiria hapo juu kwenye Tafsiri ya Muammad Ally Swàbun iitwayo (SWAFWATU TAFAASIR) ALLAH akulipe kheiri.
@jumakhamis3545Ай бұрын
Samahani sana katika kuandika Aya hapo juu nimewacha neno ( كان) sikuksudia kufanya hivyo ispokuwa ni mapungifu ya kibinaadam, naomba isomekeke ( وما كان المشكين
@InterestingShows2023Ай бұрын
Free Free Palestine❤❤❤❤
@mathayodaniel812Ай бұрын
Hii elimu nilikuwa sijui daah
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qiАй бұрын
SASA UFAHAMU KUWA HAWA NI ]wazungu[ NA ]wote[ WANA 'DUAL-CITIZENSHIP SIO WAZALIWA WA ISRAELI'; SIO 'Wana Wa Israeli'. NA KUPAMBANA NAO (]israeli bandia[) NI KUPAMBANA NA #ULAYA# NA #MAREKANI# NA #NCHI ZOTE ZA WAZUNGU#
@AminaAbeid-mr1foАй бұрын
Uislamu ndio dini ya haki Allah atujaalie mwisho ulio mwema
@samwelmvande2396Ай бұрын
Yesu ndiye njia, kweli na uzima. Kama utakufa ukiwa muislamu utakuwa umepotea vibaya sana
@abidandastanmaliyatabu1373Ай бұрын
Nani kakuambia, Mungu hana habari na dini yako, hivi unajua nini maana ya dini? Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwadamu. Na hicho ndicho Mungu anataka tuwe nacho mabali na dini zetu haswaa kabla ya kuwa na dini zetu. Kabla ya dani ya kikristo ya kiislamu MUNGU anataka tuopokee wokovu wake kwanza aliouleta kupitia njia ya mwanawe Yesu kristo. Shida ya hizi dini na kuwa mwanadini ni kwamba mtu anaweza kuwa na dini yake ni mkristo au muislamu lakini ni flauni wa kutwupa, muongo hata shetani kazingiziwa, anamaneno machafu hata shetani anamuogopa, ni mfilaji , anaharibu watoto watu, mtaani akipita watu hawalali utasikia watu wakiambiana jamani mtu flani kapita hapa kuweni makini kwa kuchukua wanawake wa watu ni namba moja na mambo kama hayo na huku ajiita yeye ni mkristo au ni muislamu; madhala ya kuwa na dini moyoni mwako, dini haina msaada wowote ktk maisha ya mwanadamu; ila ukiwa na wokovu kwelikweli hayo yote hatatajwa kwako, sijui uongo kuharibu watoto wa watu kuchonganisha watu cjui ugomvi hayo yote hautayaona kwa mtu mwenye ambaye amepokea wokovu .
@VailethBugali-sr8gxАй бұрын
Pole sanaaa
@apostlemussaonlinetvАй бұрын
Nani kakuambia haki iko kwa mtu mojamoja anayetenda haki watu wanachinja watu unasema dini yahaki
@badruseif1318Ай бұрын
@@apostlemussaonlinetvNani aliechinjwa mbona wewe mpaka Leo upo hujachinjwa?
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Nguluwe ailiwi bana tunakula nyama yake😂😂
@user-ls1ot6fs4vАй бұрын
(BABU) profeser safi sana
@zakariaissa7574Ай бұрын
❤
@byoseasolokoci7257Ай бұрын
Soma Biblia. Acheni ushabiki.
@HeboniBabuАй бұрын
Bibilia inafundisha sitoli ya Maisha ya yesu sio mafundisho yamungu ndio mana unamuita yeyemungu ilondio tatizo kk
@alicekarimi6168Ай бұрын
You are so good in the revolation vile you narrate story basi kuja kwa yesu aki,
@HeboniBabuАй бұрын
tatizo bibilia imetoka ukouko KK kilasiku kinabadilishwa Na kinakuja kingine Chapapa chakufungisha ushoga
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Mmefungwa akili na mungu mpaka nnashidwa kujua wayahudi pale ndio kwao wanarudi baada ya mauaji ya wayahudi yalotikea balani ulaya nasasa wapo nchin kwao kama biblia ilivo tabil i amina
@samwelmvande2396Ай бұрын
kula nguruwe ni dhambi ila uasherati na uzinzi na ulevi ni kawaida tu. Huwezi kuelewa mambo ya wayahudi wakati pepo la umalaya tu lakuoa wake kama mvua limekushinda. Pia haya mambo ya kisiasa hayasaidii kitu bila wew binafsi kuwa vizuri na muumba wako. Na muumba wa vitu vyote ni Yesu Kristo. Isaya9:6
Pole lakini nakuliza wewe unajifahamu kweli? Sababu maoni Yako hapa hayana msingi.
@AwateeАй бұрын
Ivo vyote unavozungumzia vimeharamisha na uo uzinzi unao zungumzia ni dhambi ya 3 kwa ukubwa
@PablolookmanАй бұрын
Tatizo la makafiri mdandia mada zisizo wahusu Bora ungefuatia darasa za wachungaji naamini IPO makafiri tutakana mapanga nynyi walokole mmezidi upuzi
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Naipenda islaer mpaka naipenda tena❤❤❤
@simbaman3449Ай бұрын
MASHALLA MASHALLA NAIPENDA CHANAL YAKO RAIS WA NCHI MTAFUTIE. WADIFA KATIKA SIRIKALI PLZ MTU WA IMAN NA BUSARA SANA
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Unajua kula mb😂😂😂😂
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Mwatuelimisha
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Waalabi washenzi waliwatumikisha babu zetu ila kwa waislaer awata weza watabak na chuk tu
@deusNjimbaАй бұрын
Mbona Huwahamuelezei kuhusiana. Yale walio yafanya wa labu balani afrika
@othmansaid6949Ай бұрын
Rudi shule kwanza ukajue kuandika
@tegemeojosia831Ай бұрын
Ereza nyuma ya otoman empire kulikuwa nan
@HeboniBabuАй бұрын
Unakuja ushoga baba kutoka ukouko wanaleta bibilia ya ushoga sasa
@samwelmvande2396Ай бұрын
wayahudi wamewazidi uwezo hadi mnahisi watakuwa ni wazungu. kweli nimeamini kichwa cha mjinga ni mzigo wa tikiti maji
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Pooole saana umedanganywa tangu utotoni adi umezeeka 😅
@FridayMwassaАй бұрын
Ili ujue Quran haitoshi ni lazima utafute ukweli kwenye kitabu cha kweli kinacho elezea tangu uumbaji hadi mwisho wa dunia
@AbelsonGidion-vo1ujАй бұрын
Kalime kama una kaziii
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Uwe na Adabu
@AwateeАй бұрын
Na wanapo ambiwa wanaharibu wanasema wanajenga hali yakua wanafanya uharibifu ndio kama wewe kumefafanuliwa vzr bado unaleta ujinga
@maclaudismail6606Ай бұрын
Acha ikuingie yoote inauma eeh
@annasolomon9855Ай бұрын
@@Awateehakuna ukweli wowote hapa ni chuki .. hamtabadilisha kitu
@rukkyxaratАй бұрын
Go and educate yourself @annasolomon9855
@reubenhizzaАй бұрын
Aiseeeh... Leo ndio nimeiskia KalamuTv kama bahati, nimemslia mzee usiku na sikumuelewa sbb ya usingizi. Mzee anauelewa mkubwa sn, nitamfuailia mpaka niridhuke.
@jumabuckary7698Ай бұрын
Vijana tunataka kuelewa nani adui wa wa Dunia anaefanya kusiwe na amani Duniani. Mzee tunasubiri maendelezo
@evodiusbahegwa6557Ай бұрын
Mbona we Mzee hueleweki,iwe wazungu au waarabu,wale ni wayahudi.
@user-ov6nq2wp6wАй бұрын
Waloishi zaman wako wapi mbona unafumbafumba saana.
@samwelmvande2396Ай бұрын
Kila kitu kinacho endelea Israel ni mpango wa Mungu. anaye ibariki Israel amebarikiwa na anaye laani Israel amelaaniwa
@AlkadoNkundwe-wb3ofАй бұрын
Aya au maneno yako tu? Km ni andiko tuwekee kujisomea sisi sio makafiri wenzako kuamini kila kitu
@user-hw3wn8ms6jАй бұрын
Ndio taifa lenye kushelehekea siku ya mashoga duniani. Je? Waisrael wa sasa ndiyo wale wa kwenye biblia au ndio ile mizetuni mwitu. Tuliyoambiwa kwenye biblia?. Nyongeza *# MAREKANI ametangaza kushelehekea shelehe za mashoga kwa mwezi: 1: na ndie mshilika wa Israel. Tafakari vizuri. Mimi ni mkristo pia ila naona nje ya box 📦.
@PablolookmanАй бұрын
Ndio taifa linaloshekea ushoga duniani
@user-sp4xo9rm8lАй бұрын
Kwani maadui wakubwa wa Waisraeli ni akinanani kama siyo Waarabu na Waislamu? haohao maadui wa Israeli ndio watuonyeshe Waisraeli wa kweli? mnataka Waisraeli wa kweli tuwachukie kisha tugeukie kuwaunga mkono Waisraeli wa bandia ili Waisraeli wa kweli wapigwe kirahisi siyo? HIYO NI DANGANYA TOTO.
@mboneamalaki5674Ай бұрын
Ashika nazi 😂😂😂😂 dah!
@jumajuma3679Ай бұрын
Wakristu wa kitanganyika muache jazba, majukwaa yasiyowahusu mnapaswa kunyamaza na kusikiliza tuu.
@ladislausngoyinde4384Ай бұрын
Ueleze pia waarabu walichofanya Africa kabla ya wazungu kuja, hapa waislam wengi huwa wanakwepa sabab wanajua unyama uliofanywa ndugu zao waarabu kwa waafrika, au uongelee pia kinachofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi
@gervasexavery2977Ай бұрын
Je mbona waarabu waliwatesa Sana mababu zetu mbona hamzungumzi ,wali watesa namna hii ,walikuwa wakiwafunga minyororo kwa kuwatoboa visigino vya miguu waliwa funga minyororo mizito shingoni mwao, waliwatia miti ya panda shingoni mwao, waliwatembeza uchi,waliwapiga mijeredi ya chuma, waliwauwa walipotaka ,waliwakalia migongoni kuwafanya viti.waliwatumikisha ,waliwauwa waliwatupa baharini waliwatupa kwenye mashimo waliwachoma Moto waliwabebesha mizigo mizito.waliwalawiti, waliwahasi wasizae, wanawake walipasuliwa matumbo ya wajawazito kutaka kuona watoto walivyo matumboni waliwapa sumu ,waliwafunga kwenye magereza kwa minyororo ya chuma...haya mnakwepa kuyazungumza. (NATAKA NIKWAMBIE MZEE MUNGU ANABAKI KUWA MUNGU NENOLAKE HALITANGUKI KILAKITU KINAKWENDA KIMAANDIKO ,,CHAMSINGI NIKUMTAFUTA YESU KRISTO AWEBWANA KTK MAISHA YAKO .UTAFUNGULIWA NAKUONA JICHO LAKO LIKITAZAMA KWANA MNA NYINGINE MAMBO HAYA BWANA AKUTUNZE MZEE .
@maclaudismail6606Ай бұрын
Watumwa kule marekani hawakupelekwa na waarabu. Usipindishe
@tegemeojosia831Ай бұрын
Waraabu warikuwa ndo walikuwa wanakamata watu wanauzia waingereza
@ladislausngoyinde4384Ай бұрын
@@tegemeojosia831 hilo hawaliongelei kabisa, pia angalia mauaji yanayofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi
@ladislausngoyinde4384Ай бұрын
@@maclaudismail6606 na biashara ya utumwa Africa masharik nani alikuwa anafanya
@ladislausngoyinde4384Ай бұрын
Kwan ukisema hiyo salam kwa kiswahili utapungukiwa nn, , sisi sio waarabu
@AFRICA_D669Ай бұрын
😂😂😂
@samwelmvande2396Ай бұрын
wanatapeli wajinga wenzao Kwa kujifanya wanaongea kiarabu. Yesu Kristo ndiye aliye waumba hawa wote wanao mpinga
@AlkadoNkundwe-wb3ofАй бұрын
@@samwelmvande2396 myahudi akakuumba ? Jinga la kwanza hili
@marysanga5310Ай бұрын
wayahudi wana wa yakobo wa isilaeli wa isaka wa ibrahimu nyi nyi waislamu hamujui bibilia mnadogo hao wazungu sio wa isilaeli ila wanahshimu taifa la Mungu ndio maana wasema kweli Nakuisadia lsilaeli Mungu ibariki lsilaeli na ulilinde taifa lako isilaeli
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Ww hujitambui
@HusseinAbdul-is9xqАй бұрын
Wye ujitambui
@samwelmvande2396Ай бұрын
safii
@HusseinSaguti-sj9nhАй бұрын
Nn maana ya neno israel ni taifa ama ni mtu? Kilaza mmoja akili umeziweka matakoni Israel sio taifa
@MichaelDonaldnchingaMichaelDonАй бұрын
Ethopia wanaitwa wakushi
@esterjoseph670Ай бұрын
Uma wa muhamadi umepotea saana; na kilichofanya uma huu kupotea,ni pale walipomkubali sheteni na majini wawe sehemu ya waislamu!Mzee umedanganywa na wewe unaendeleza uongo kudanganya uma wa waislamu.
@MichaelDonaldnchingaMichaelDonАй бұрын
Mzee hao ndiyo wayaudi acheni kudanganya watu
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Tumedanganywa saana na wazungu maana hao wanaotawala leo Israel si wale walioishi hapo kale
@charlesboniphace2249Ай бұрын
Majini yanakuponza
@annasolomon9855Ай бұрын
Muongo wew huezi kuubadilisha uhalisia kwa kuongopa kwa chuki..
@user-nb2jw4km6fАй бұрын
Inawezekana kwasababu wale wakale walikua wanamjua mungu
@badruseif1318Ай бұрын
@@charlesboniphace2249kama wewe unavosumbuliwa na ushoga
Hatugombani na shetan una wivu na uislam mbwa ww mla nguruwe😂
@esterjoseph670Ай бұрын
Anaekula nguruwe na anaezini bora nani? Waislamu wengi ni wanzizi kwao dhambi ni kula nguruwe!
@AwateeАй бұрын
@@esterjoseph670Nyie si mnachukuana tuu mnachunguzanaa tabia na mkazalishana bila ya ndoa hujaliona ilo uislam umekataza Yote ayo muislam wa kweli hawezi zini anaweza teleza na sio kuzini ukimuona mtu anazini hajaujua uislam vzr zinaa ni dhambi ya 3 kwa ukubwa ktk uislam acha kuzua zua
@MichaelDonaldnchingaMichaelDonАй бұрын
Dini ya haki nikweli hata mafisadi huwa wana haki yakutafuta wanashelia ata kahaba anahaki ndiyo maana anajiuza,Ungesema ivi Uislam ni dini Ya kweli,Haki nini mnafeli bana wajukuu wa isimaili
@simionnicholaus4875Ай бұрын
Ongelea waarabu waisrael hawakuhusu wewe
@MichaelDonaldnchingaMichaelDonАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😢😢😮😮😅😅Mzee muongo uyu anamix na ukweli
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qiАй бұрын
KAMA NI uongo, HAYA BAKI KATIKA UPOTOFU ]wako[ BAADAE UTAKUJA JUWA NA KUFAHAMU 'WAKATI IT'S TOO LATE'. SAA HII UNAONA NI MCHEZO TU!!!
@user-xs1cu7cl8yАй бұрын
Mzee hapo umetuposha kasome biblia vizuri utajifunza kitu sio kuleta hadisi za kujitungia ya kidunia
@AwateeАй бұрын
Biblia ilojaa uongo iyo iloandikwa na wazayuni biblia maneno ya ukweli machache uongo umejaa
@annasolomon9855Ай бұрын
@@Awateekwendraaa unadhani hata mkitumia nguvu nyingi mtabadilisha kitu..
@josephwilliam5813Ай бұрын
@@Awateeiyo BIBLIA iliyojaa UONGO kama unavyodai NDIO imebeba historia AMBAYO haipo KWENYE Quran,,,HATA sule akiuelezea mgogoro hutumika BIBLIA
@AwateeАй бұрын
@@josephwilliam5813 ndivo unavojidanganya nafsi yako Qur'aan hakuna ilicho acha Qur'aan imekuja kuweka sawa injili ilio ondolewa na kuekwa uongo kwa akili yak unafikiri iyo biblia maneno Yote ya innjil sio kweli Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho elezea mfumo mzima wa mwanadam ata makafiri wenzio wanaitumia kwa maslah yao ya kidunia
@AwateeАй бұрын
Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho kuja kurekebisha vitabu vyote vilivo tiwa uongo ikiwemo iyo bibilia
@samwelmvande2396Ай бұрын
wanao ukubali ujinga wa huyo mzee apo watapotea kama wasipo achana na hayo maelezo ya shetani aliye vaa balaghashia
@RashidKaoneka-bj8mmАй бұрын
Shetani ni mamaako
@amenipasanga9865Ай бұрын
Du uongo mtupu
@florencekaneza7491Ай бұрын
Kabisa 💯nimuongo
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
mtume muhamadi ndio nani huyo?
@abdallahsuwed65Ай бұрын
Huwezi kujua kwa sababu unaabudu binaadamu mwezako
@Maxpaul-oi8pwАй бұрын
@@abdallahsuwed65 kumbe hilo ndo jbu
@AFRICA_D669Ай бұрын
@Maxpaul-oi8pw 😂😂😂
@samwelmvande2396Ай бұрын
Yesu ni Mungu na Muhammad aliumbwa na Yesu Kristo
@davidkalama5426Ай бұрын
Acha uchambuzi wa kipumbavu, soma biblia utajua ukweli, kafiri mkubwa wewe.
@AwateeАй бұрын
Biblia ilojaa uongo weye mwenyeo huijui iyo biblia ungelikua unajua kushatoka kwenye ukafiri biblia inasema na hap hao walio lala ktk ukiristo wamepotea sasa cha kazi gani kusoma mukiambiwa eti biblia haisomwi kama gazeti
@ameirzapy1318Ай бұрын
Leo kafir wewe unamuita Muislam Kafir ?
@annasolomon9855Ай бұрын
@@ameirzapy1318kafiri ndio .. muislamu ni Kafiri .. akajambe mbele kule
@user-io8hn1jb4dАй бұрын
Mim mkristo ila huyu mzee anaongea ukweli , nimebatizwa palokia ya mt martin de pores Mnyamala awa Wayahudi wa sasa ni washenzi hawa sio tunaowajua sisi wakina Yuda ila ni Wayahudi wanaofuata tamaduni tu za kiyahudi ambao wanafuata imani tu Ila sio uhalisia, ila hata hiyo dini unayo amini, ila wayahudi baada ya kushindwa Yerusalem walaamuru kufanya vita kokote kule