Mashaallah,,, Allah akulipe hili ktk mizani yako ya wema kesho akhera
@aishaissa26912 жыл бұрын
Masha Allah tabarakallah shukran San Allah akupende zaidi na zaidi
@fawziaabdurrahman22512 жыл бұрын
Shukran ustadha kwa darsa nzuri Allah akujalie umri mrefu wenye kheri, akutakabalie amal zako njema, akuzidishe maarifa na ilmu na akubarikie watoto wako na akupe jannah. Na sisi sote ummati Muhammad hivo hivo. Na wasio kua na watoto Allah awajalie watoto wa kheri na tufuate mafunzo tuliopata kwenye hii darsa allahumma amin
@Awatee2 жыл бұрын
ALLAH humma Amiin
@sumol95862 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishe
@Ukhtyzuhura11 ай бұрын
Hili darsa liwafikie Wote wenye kudhani Ya kuwa 40 ni dini Kumbe si dini watu wametengeneza Ada Badala ya kumfanyia Mtoto aqiqah Zinafanywa gharama Kubwa za shughuli ya 40 Wengi wao wakidhani wametimiza Ibada kufanya hivyo . Shukran Ukhty Allah akulipe kheir Uzidi kueleimisha umma Wa kiislam🤲
@kalamuMedia11 ай бұрын
Aaaminx3
@aishaomar96212 жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie umri furaha Tele uzidi kutujuza
@fatumahamadi60722 жыл бұрын
Shukran kw ujumbe mzr ALLAH akujaalie siha n Afya njema
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@abdulhida82912 жыл бұрын
Masha Allah, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri
@zenahbayeh73712 жыл бұрын
Shukurani jazakallahkher
@ramlajeffah983111 ай бұрын
Waaleikum msalam warahmatullahi wabarakatu shukran jazila ya ukthi
@karambeuamini4516 Жыл бұрын
Shukran JazaqAllahu kheir
@shadyaahmad70662 жыл бұрын
Mashallah
@mohamedshee79674 ай бұрын
Ma sha Allah
@ashashaban64842 жыл бұрын
mashallah mashallah
@saidemuamedeali2678 Жыл бұрын
Hongera
@khamisabduuqataadah84882 жыл бұрын
Ukhuty Fatma Mdidi nakuombeni mzingatie Sitara ya kuvaa Niqa'ab Maana mwakaa uso wazi nyusi zaonekana.
@maloomaalmnsj51112 жыл бұрын
Kwani lazima
@baisheally46362 жыл бұрын
mwambie hasaa
@sitikhamis79782 жыл бұрын
Niqab sio lazma katka uislamu wala gloves
@khamisabduuqataadah84882 жыл бұрын
Ni kiungo gani katika Mwili wa Mwanamke hupambwa Sana? Na nipe ushahidi wa kuwa Niqa'ab si muhimu.
@ralmazidi69782 жыл бұрын
Sio lazima
@saidmuha39972 жыл бұрын
Balaka allhu raka
@Abuuabdillah25911 ай бұрын
Mbona hutoi dalili ya hayo unayoyaeleza
@user-xq6mg1yu1y3 ай бұрын
Salaam aleikum warahimathullah wabarakathu,je ni vipi kama imefika siku ya saba na sikupata kichinjoo,je naweza kunya siku nikiwa nimepata,hata kama ni nimiaka kumi au saba?
@user-vi3lz7sz8r7 ай бұрын
Assalam alaikum ustadhat. Na Je! kama hakuna uwezo nifanyeje
@Hamis-ks1sy6 ай бұрын
Haijuzu muislam mwanamke kuzungumza hadharani mpaka wanaume wakasikia na hicho unachofanya ni haram
@aminaalmazrui97852 жыл бұрын
Assalam alaykum,natamani niilize masuala maana ata sijaelewa vzr
@aminachaulaya278 Жыл бұрын
Mwanangu ana miaka 10 je naweza kumfanyia hakika?
@zainabuali9915 Жыл бұрын
Maahaa Allah. Kam mt hakuwahi kufanya hayo wkt mtot ni mchnga na mtot ashfikia mwak mmoj na nusu afanyeje? ktk kuchinja na sadaka
@jumahamadomar9124 Жыл бұрын
Hayo mengine yatakuwa yamekupita lakini hili la kumchinjia bado lipo unaweza ukamfanyia mtoto wako lakini vizuri zaidi ni siku ya saba na kama utakosa sabaa ya kwanza unamchinjia sabaa ya pili au yatatu
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Shukraan
@mubashop4442 жыл бұрын
Asalam aleykum ukht mi nna shida na wewe
@mubashop4442 жыл бұрын
Mimi ni mwanamke mwenzio lakini natumia simu ya mume wangu
@reemareemo2698 Жыл бұрын
Sante dada mxuri
@SalumuSaid-vq2kp10 ай бұрын
Nahii siku ya arobain yamama kutoka nje ipoje hii kuna majambo gan yapaswa kufanya ama ipo tu