Alhamdulilah Mashaallah Twashkuru Allah Subhana Wataala Atujaalie Kula la Kher,Afya Nzuri na Atuhifadhi Shari.Tafsiri nzuri ya Kuielewa Zanjibar.Shukran.i
@samwelsengati13693 жыл бұрын
Nzur
@surusuru1994 Жыл бұрын
Hiyo estory inatakiwa wazanzibar wazijuwe mana wenge shule wamekibia
@tanzanite99443 жыл бұрын
Tuleteeni Makunduchi Kwa Muheshimiwa mkuu wa Nchi
@hamzayusuf29992 жыл бұрын
namimi nakufundisha kuna mahali mogadisho somaliya yiko mta karibu na baharini yiko shangani asili ya hiyo jina la kituruki
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Jamani kwa nini mnawauliza watu walokuwa hawaijuwi Zanzibar wala hawakusoma hapo Skuli wala Chuoni...Hata basi waulizeni Wahindi ndio walokuwa wakiishi wengi kama 70% hapo Stone Town. Muulizaji huna kazi wewe......
@hajmy19543 жыл бұрын
Hakutaja kwamba hao wa Arabu walikuwa zaidi ni kutoka Oman
@manallayusuf4951 Жыл бұрын
Kanisa la mkunazini limejengwa 1905 sio 1800 usitupotoshe historia yetu na hao mishonari wamekuja kusambaza ukiristo na sio kuondosha utumwa masoko ya utumwa yalifungwa tokea 18022
@rafaelmarquez9396 Жыл бұрын
Kama hujui historia usjifanye kuwa wewe ni mwanahistoria