😂😂😂 Endeleeeni kudanganyana tarehe 19 Sio mbali panapo uhai siku hiyo kila mmoja wenu atatokea mlango wake. Usajiri bilioni 7 😂😂😂😂😂😂😂😂😅
@AkimuWaziri-l4w3 сағат бұрын
Sisi yanga niwakwanza kuzaliwa lakin mbona wenzetu wakojuusan cafu?
@mahadshekh3982 сағат бұрын
Mjinga sana.Vipi Utopolo mna mkutano lini?Mapato na matumizi yenu mnayajua.
@ismailhassan52092 сағат бұрын
Shabani we mjinga .kutano haukufanyika kwa ajili ya Derby ni mkutano maalumu wa mwaka
@josephatkajange8714Сағат бұрын
Mayanga ndo zenu tushawajua!
@taseleli918131 минут бұрын
Utopoloooo wanaona wivu Kwa kila jambo la Simba walitarajia mkutano uwe na vurugu lakini kila kitu kimekwenda sawa ndo wanahaha tu eti subirini tarehe 19 kwani mnadhani nyio utopolokwinyo ndo mnajiandaaa peke yenu endeleeni kukariri kuwa kila siku ni Ijumaa Simba wameshinda mechi 4 mfululizo utopolokwinyoo mkaanza kulalamika mpaka kuilalamikia Azam hivyo endeleeni kujifariji mkidhani kuwa kila siku ni ijumaaa😂😂😂😂