Tunakuombea daima. Mungu amekupaka mafuta utumikie ufalme wake. Atakulinda na kukubariki daima
@yungeelias93398 ай бұрын
Hongera sana Askofu wetu Mkuu JUDDE RUWAICHI kwa utume wako! Mungu azidi kukubariki na kukulinda uishi miaka mingi yenye furaha na Amani teleeeee. AMINA
@josephlorri4318 ай бұрын
Nakukumbuka sana Mhashamu Askofu Mkuu Ruwa'ichi... umeacha alama katika maisha yangu. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yako..nakuombea afya njema na umri mrefu
@rehemamwaisumo62618 ай бұрын
Amina Baba Mungu aendelee kukutunza vema,udumu katika utumishi wako,Nakukumbuka Sana, Dodoma,ulitujengea kikanisa cha kuabudia Ekaristi Takatifu,masaa yote,ishi Maisha marefu yenye Baraka tele Baba
@KaburuKimath-eu5nf8 ай бұрын
Baba askof tumsifu yesu kiristu
@ReginaChileka8 ай бұрын
Hongera Sana Askofu wetu, Mungu akupe maisha marefu baba
@albertmaneno8 ай бұрын
Hongera Baba.... wewe ni kichwa
@billgussy60998 ай бұрын
Hongera sana Mungu aendelee kukulinda na kukubariki
@raphaelkessy73608 ай бұрын
Barikiwa sana katika safari yako ya u Injilishaji Baba Askofu
@vickyedward-jo1fe8 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Baba Askofu. Mungu azidi kutusimamia na kutubariki sote tuimarike katika Imani yetu Katoliki.
@johnmligo69668 ай бұрын
Very true especially the last point... May God bless him!!! 🙏🙏🙏
@liberathershao21508 ай бұрын
Hongera sana Askofu wetu mkuu RUWAICHI.Mungu akupe afya njema utuongoze vema katika kazzi ya Mungu.
@raymondlaurent94038 ай бұрын
Asante Mungu kwa Zawadi ya Baba Askofu wetu...
@adelinelyaruu30368 ай бұрын
Amina❤
@wiseofficial54918 ай бұрын
Amina zawadi ya uwepo wako ni tunu kwa kanisa letu.
@georgemasanja37507 ай бұрын
Kwa kweli tuna kila sababu ya kukutakia maisha mema baada kufikisha miaka 25 ya kichungaji kama Askofu. Mungu akupe maisha zaidi na zaidi
@YohaniSulle8 ай бұрын
Karibu Tena mbulu baba
@ibanzatvonline8 ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu Mkuu kwa utume wako huu
@desderipatrick83928 ай бұрын
Ee Yesu tunakushukuru kwa zawadi ya mtumishi wako baba askofu watu mkuu Yuda Thadeus Rwaichi, tunakuomba umjalie afya njema na maisha marefu katika utume.
@YohanaMbano8 ай бұрын
Asante MUNGU akutunze ulisimamie Jimbo letu kuu la DSM isonge mbele Kwa maendeleo hususan ujenzi Wa kanisa mpya la gezaurole tulikamilishe Kwa wakati asante Baba askofu
@cedricinkoramutima9928 ай бұрын
Hongera Baba
@MartinChawangula8 ай бұрын
Bravo
@lgf72978 ай бұрын
Baba Askofu hajasema akiwa Mwanza akipewa pia kushikilia Dayosisi ya Shinyanga alihudimu hadi Vijiji ndanindani kabisa. Katumia muda huo kujifunza na kuongea Kisukuma cha kuridhisha kabisa. Ni mtu wa Mungu.
@faustaedward26968 ай бұрын
Ee Mungu umjalie afya njema azidi kulichunga kundi la kondoo wako.