KASEKENYA - "OUTER RINGROAD" KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI DODOMA, na "INNER RINGROAD" KUJENGWA.

  Рет қаралды 3,468

Wizara ya Ujenzi

Wizara ya Ujenzi

Жыл бұрын

Serikali imesema imejipanga kuanza ujenzi wa barabara ya mzunguko wa ndani wa Jiji la Dodoma utakaokuwa na urefu wa kilometa 16 kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo linaloendelea kukua kwa kasi kutokana na shughuli za Serikali kuhamia huko.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya wakati akikagua ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 112.3 ambao ujenzi wake unaendelea vizuri.

Пікірлер: 15
@silvanomuhumha9760
@silvanomuhumha9760 26 күн бұрын
Mkotaratibu sana kweli 2025 mtakuwa mmekabidhi mradi wa barabara
@neemaelimbinzi6779
@neemaelimbinzi6779 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@joevang4685
@joevang4685 Жыл бұрын
Rip jpm
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Dodoma kuna msongamano gan
@joevang4685
@joevang4685 Жыл бұрын
Mji unakuwa
@kingmandama8382
@kingmandama8382 Жыл бұрын
Haya ni maandalizi ya miaka ijayo usiiangalie Dodoma ya Leo na kesho
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
@@kingmandama8382 Hiyo inaleta maana kama hakuna sehemu zingine zenye uhitaji
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
safi sana
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
ivi kati ya dodoma Mwanza na Arusha wapi panakua na msongamano sana wa magari
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Жыл бұрын
Dodoma n Jiji la mwisho kuwa na msongamano miji mikubwa Kama Arusha,Mbeya,Mwanza msongamano n mkubwa wanahangaika na huko
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 11 ай бұрын
panapokuwa na shughulighuli nyingi za kiserikali,Unakuwepo pia utitiri wa shughuli za kibinafsi,Dodoma ya Sasa imechangamka Sana na Ina shughuli nyingi,Dodoma pia Ni makao makuu ya Tanzania.
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
Hivi Dodoma kuna msongamano? Acheni utani 😅
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 11 ай бұрын
Mji hujengwa kwa kuangalia miaka 100 mbele na siyo kuangalia miguuni ulikosimama,Misongamano inayotutesa Leo Ni makosa yaliyofanyika miaka tele iliyopita kwa kujenga miundombinu bila kutazama mbele.
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 11 ай бұрын
@@brysonkaale3003 Hizo pesa zingefaa kutatua misongamano iliyopo kwanza, halafu ndio tutatue misongamano ya miaka 100 ijayo
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 11 ай бұрын
@@vintagemusicgroup9236 Inategemea una upeo gani,kwasababu Kama malori yakipita nnje ya mji automatic utakuwa umetibu Misongamano iliyoko Sasa.Kutatua Misongamano Ni kupanua barabara na kujenga nyingine mpya na ndicho kinachofanyika.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Muongozo wa gharama za ujenzi wa barabara kwa kila Mkoa Tanzania Bara
12:33
RAIS SAMIA ATOA WITO KWA WATANZANIA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA
10:01
UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MABASI YA MWENDOKASI AWAMU YA NNE   DAR UNAENDELEA
7:04
BASHUNGWA ATOA TAMKO MPASUKO WA BARABARA BUSUNZU - KIGOMA, SIO UPIGAJI.
9:31