VIDEO: TAZAMA BARABARA INAYOZUNGUKA DODOMA PANDE ZOTE NNE YA BILIONI 194

  Рет қаралды 24,639

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Asante mama yetu, Mhe dk Samia Rais wetu, mungu akutunze sana
@KitilaMndeme
@KitilaMndeme 11 ай бұрын
Asante mama,ww ni shujaa Mungu azidi kukuongoza vema siku moja utupatie kadi za bank tukadownload mafao yetu tuliyochuma pamoja
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi azid kumpa nguvu,afya na umri mrefu Rais wetu SSH
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Жыл бұрын
Asante sana mh samia unafanya vzr sana na utaushangaza ulimwengu.
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Halafu mseme mama hafanyi kazi miradi imesimama yaani sisi watanzania hatuna shukrani tumejawa na chuki udini ukanda na ukabila ndio kinacho tutafuna!!! Mama samia piga kazi acha wapumbavu walalamike watakuelewa tu
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Sisi watu wa Dodoma tunajivunia wewe, Kwa kutujali tulipokuwa tumesahauliwa, mungu akukumbuke na kizazi chako
@Tanzania_ni_yetu
@Tanzania_ni_yetu 4 ай бұрын
Hujielewi wewe 😃
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Hapo naona Fursa ya kununua Viwanja mapema sana katika hizo Barabara. Ntashangaa sana kuona Vijana tunaenda kununua Viwanja Jiji la Dar es Salaam kwa bei ya Gharama kubwa na kuacha Viwanja vya Bei Nafuu katika Jiji la Dodoma. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
@kelvinmoses5232
@kelvinmoses5232 Жыл бұрын
Great point 🇹🇿🇹🇿
@saidihussein6718
@saidihussein6718 Жыл бұрын
Hahahahaha
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 Жыл бұрын
Huu mradi ulikuwa Wa magufuli, Ni ring roads but nashukuru Sana Mama Samia anakutelekeza vizuri pongi kwake mama tunashukuru Sana unatujali Wana dodoma
@KitilaMndeme
@KitilaMndeme 11 ай бұрын
Barbara safi na imara Dodoma very good
@abedomar5183
@abedomar5183 Жыл бұрын
Great job hivi ndo tunataka makao makuu ya nchi lazima yawe mfano kwa Tanzania
@peterrogathe5756
@peterrogathe5756 Жыл бұрын
Thanks Magufuli
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
Huku mtandaoni tunasema hakuna kinachoendelea. Kila kitu kimesimama! Sisi TZ tulio wengi ni WACHAWI!
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 Жыл бұрын
Bora umelioma Ni kwamba mama Hana majigambo, imagine Ni mradi aliplan magufuli alafu mama kaja kuutekeleza kuanzia mwazo mpaka itaisha kama Mungu akipenda.
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
@@paschazianestorymatunda6490 Kwa kweli!
@salummpikita2856
@salummpikita2856 Жыл бұрын
Shukran sana mama na samiha
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 Жыл бұрын
Hakikisheni mnaimaliza hiyo kazi kwa wakati uliopangwa; Tuna kazi nayo sana hiyo barabara
@hassankurwa464
@hassankurwa464 Жыл бұрын
Feature ya mwenye maono ya Makao Makuu kuhamia Dodoma na aliye thubutu kuhamisha Makao Makuu Dodoma
@venancemiyeji6804
@venancemiyeji6804 Жыл бұрын
hii ni miradi ya JPM so huyu yeye akamilisha tu malengo na mikakati aliotuachia sasa hapo machawa watasema mama kaupiga mwingi upi unajiuliza kipi ambacho kafanya kipya zaidi tu kukamilisha yale aliyoyaacha mpendwa wetu
@jambo3751
@jambo3751 Жыл бұрын
@@venancemiyeji6804 kwahiyo Mama SAMIA ilikuwa aipuuze hiyo miradi asiiendeleze ili serikali ipate hasara! Halafu hii si miradi ya mtu binafsi bali ni miradi ya serikali.Rais yoyote yule alieko madarakani ndio msimamizi wa mambo ya nchi na ni jukumu lake kufanya hivyo.
@silvanomuhumha9760
@silvanomuhumha9760 3 ай бұрын
Tunaisubiri kwa hamu sana sisi wa matumbulu
@Tanzania_ni_yetu
@Tanzania_ni_yetu 4 ай бұрын
Hivi tz hatuna kampuni za ujenzi za tanzania?
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 Жыл бұрын
Bunge litunge sheria kuzuia kuifuata balabala kujenga nyumba karibu na balala hio kujenga iwe mita 500 kutoka wa balabala isiwe Kama Arusha by pas load na maeneo mengine
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 Жыл бұрын
Mnafanya vizuri ila natamani kama serikali ingekuwa serious sana kwenye uwekezaji mkubwa kwenye kilimo cha umwagiliaji na baadaye viwanda.
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 Жыл бұрын
Kwanza tuache kutumia viambata sumu katika kilimo hiyo ndo sera YA msingi alafu ndo mengine yafuate.
@aoloathumani10
@aoloathumani10 Жыл бұрын
Hiv jaman toka tulipoanza kujenga barabara toka tulipopata uhuru ni kwamba bado wasomi wetu hawaja jifunza jinsi ya kujenga hizi barabara, iweje kila siku katika miradi hii ambayo ni ya kawida wanapewa wageni, kama tatizo ni mitambo ni kwanini serikali isinunue mitambo yake ikawapa mainjinia wetu, yaan iwe kampuni mfano Tanzania civil engineering kama ilivo China civil engineering, ili miradi yote ya barabara, majengo, madaraja, viwanja vya ndege, mabwawa ya umeme ipewe iyo kampuni ya tanzania ili kupunguza utegemezi wa mafundi toka nje, na gharama pia lakini pia kutoa ajira kwa watu wetu
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 Жыл бұрын
Wengi wakijenga wanalipua kipindi cha magufuli alijaribu Sana kuwapa Ila wengi walikuwa Wana lipua. Barabara.
@silvanomuhumha9760
@silvanomuhumha9760 3 ай бұрын
Muwe makini na wezi wa matilio mata, nondo,cement hao ndo wanaulidisha mladi nyuma
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 Жыл бұрын
Ni wajibu kidini kwa viongozi kuwa WAAMINIFU na waadilifu kwa raia wao na nchi zao.
@saidimandala8342
@saidimandala8342 Жыл бұрын
HII inawezekana ikawa barabara ya njia nane...😄
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Жыл бұрын
Isijekua amesaini mikataba tuu mashoga wakawa wengi
@salumbujjo2320
@salumbujjo2320 Жыл бұрын
Cha kushangaza utakuta wanajenga single hiyo barabara baada ya kujenga za kupishana kutokana na ongezeko la watu na matumizi ya barabara
@venancebasil4656
@venancebasil4656 Жыл бұрын
Na mitaro yao wazi yajaa takataka bila drainages mvua zikinyesha barabara na shamba hamna utofauti
@triplea3463
@triplea3463 Жыл бұрын
Umeangalia vizuri huo upana wa barabara haiwezekani 2lane iwe hivyo hio ni 4lane mbili kwenda mbili kurudi
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 Жыл бұрын
Hizo Ni barabara Kwa ajiri YA magari makubwa Na Sio magari madogo, magari yanayotoka Dar, moro, kwenda singida, au Arusha n.k hayakuwa yanapita katikati YA mji Bali Kupitia hizo barabara ili kuepusha msongamano Wa magari Na ajali
@nyarinkya6102
@nyarinkya6102 Жыл бұрын
Shida mchina tu
Majaribio ya ndege  uwanja mpya Dodoma kuanza Agosti
6:39
Mwananchi Digital
Рет қаралды 7 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 66 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Maisha ya Ujasi, eneo maarufu linalokuwa kwa kasi kibiashara jijini Dodoma
56:05
Dodoma: Ujenzi wa mji mkuu mpya wa Tanzania
9:25
Peter Mwangangi
Рет қаралды 26 М.
TAZAMA ULIPOFIKIA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA MSALATO DODOMA
3:47
Daily News Digital
Рет қаралды 7 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН