Kuna watu unaweza kuwafanyia kibuli lakini sio mama miezi tisa tumboni. Mama akisema pesa yako inapotea ujue inapotea kweli...
Пікірлер: 796
@elifurahambowe5102 жыл бұрын
“Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌
@samwelimoshi56142 жыл бұрын
Yn nyeto
@elifurahambowe5102 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 Noma
@kijanawakisouth8382 жыл бұрын
Nyeto
@youngweezy38462 жыл бұрын
😂😂😂
@elifurahambowe5102 жыл бұрын
@@youngweezy3846 🤣
@bennysady4692 жыл бұрын
Tuliokwepa kutapeliwa Kwa staili hiyo tujuane🤣🥲🥲
@iddysalim63312 жыл бұрын
Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito
@miriammtaki1495 Жыл бұрын
Jirani
@ycmrpondis15372 жыл бұрын
Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian
@CertifiedStoic2 жыл бұрын
MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥
@dj.ino.official2 жыл бұрын
nataka nione like za WACHUKUA SHERIA MKONONI 😂😂😂
@ntibashimadicksonyingo7908 Жыл бұрын
Hatar
@henrickhussein7251 Жыл бұрын
joti fundi
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳
@jumakassim53512 жыл бұрын
Itakuwa nchi mpya hiyo🤪🤪
@queenandchill912 жыл бұрын
@@jumakassim5351 😂😂😂 Tanzanua
@furahafanuel69172 жыл бұрын
@@jumakassim5351 nime cheka nilijua ata nyooshwa
@bahatilufingo56022 жыл бұрын
Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha
@maigekelvin752 жыл бұрын
Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah
@captainalabama20652 жыл бұрын
This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙
@davevice31782 жыл бұрын
Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃
@victormwabuka18502 жыл бұрын
Miguno
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@frankenock28532 жыл бұрын
Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai
@jacksonnduna44192 жыл бұрын
😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂
@cedricmaina45232 жыл бұрын
Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂
@neemairakoze92182 жыл бұрын
Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁
@isayajames68742 жыл бұрын
Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu
@davidnchoji2 жыл бұрын
This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽
@prosperkullaya67212 жыл бұрын
Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80
@mohamedmuhajiri46902 жыл бұрын
Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂
@MrBriarth2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@husseinmaingo71162 жыл бұрын
Yaan kumuelewa maneno yake ni kipaj pia
@omarcarlos45952 жыл бұрын
Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu
@Watema232 жыл бұрын
Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.
@magrethmbuma30452 жыл бұрын
Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa
@user-nj2kx3hg1i11 ай бұрын
Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅
@boazambokile25872 жыл бұрын
Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot
@joharimanyanda33582 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@lilianalmas59112 жыл бұрын
😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁
@stn48732 жыл бұрын
Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.
@mwananyamalaz44272 жыл бұрын
Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
@hkthebaddest2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌
@zangkhed7999 Жыл бұрын
Kumbe 2meelewa wengi🤣
@sanja_graphix2 жыл бұрын
Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂
@leengamlay992 жыл бұрын
Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂
@lorenzokelly43742 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.
@tabuhatibu64962 жыл бұрын
Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥
@ernestmwakalambo39382 жыл бұрын
Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂
@nemesapollo48462 жыл бұрын
Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣
@brianchriss812 жыл бұрын
Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂
@zarikassim77382 жыл бұрын
Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
@damarisosebe41612 жыл бұрын
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
@zarikassim77382 жыл бұрын
Nomaaa sanaaa hawa watu
@modadiiiooop33362 жыл бұрын
Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi
@zarikassim77382 жыл бұрын
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
@halimameledy69262 жыл бұрын
Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi
Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@allstars75262 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021
@starjay30522 жыл бұрын
sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Mtombangile Kitwango,Mikazo…Miguno😂😂😂
@redmioman81052 жыл бұрын
Ayo majina sasa😀😀😀😀
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
@@redmioman8105 😂😂😂
@victorsomba8672 жыл бұрын
Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015
@chrismaswali37042 жыл бұрын
Pure talent😂
@fatmafetty41172 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa
@danielmatemu96982 жыл бұрын
Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…
@mrjaula77692 жыл бұрын
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania.... 😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu.. I'm from Zanzibar
@mohamedsheealom87452 жыл бұрын
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti
@mohamedsheealom87452 жыл бұрын
@@kimsamespa8490 🤣
@fasterwalker14642 жыл бұрын
@@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia
@mohamedsheealom87452 жыл бұрын
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
@aliomari59612 жыл бұрын
nilitolewa nywele kwenye mdomo ,, na moshi kwenye magoti,,, ati ni za maiti,,,, bongo bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@marymungi21042 жыл бұрын
Wezi wa buguruni walinifanyia hivyo
@modadiiiooop33362 жыл бұрын
Leo nimejikuta nacheka .hata mie pia walitaka twende hadi nyumban badae .wakahisi nitashituka
@modadiiiooop33362 жыл бұрын
Wapo sana bunguruni sokon
@sylviakoech22042 жыл бұрын
Thank you for making my morning 😅😅😅
@hassanhamza66162 жыл бұрын
Umemnyima mama era hatimae wamechukuwa wajanja Doo inafundisha sana bg up jot
@jumaselemani27202 жыл бұрын
Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂
@dutchsafari75622 жыл бұрын
Team joti Mlio wahi wapema tujuane 👇hapa tafathali 😂😂😂
@iankweyamba77762 жыл бұрын
Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥
@lamarmullahzalim27482 жыл бұрын
Maf respect from 🇰🇪🇰🇪. Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂. Nishai umeshinda
@agripinamgema36562 жыл бұрын
Nampenda mama, she is good 👍
@sarahomary36152 жыл бұрын
Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂
@angelluanda42212 жыл бұрын
Stasahau 😀😀
@leeabd90572 жыл бұрын
Doris wa maneno ya kwambiwa 🔥🔥
@Adnan.Shidhani2 жыл бұрын
Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao
@patrickmukundichalamila30382 жыл бұрын
Leo umekoma Dadadekiii 🔥🔥😂😂
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂
Jot nakupenda sana ijumaa nilitaka kukuchek tu mb ikakata, ila umenichekesha sana hii kaz nzur mnafanya, we ndo best Tanzania
@ninodebox38552 жыл бұрын
Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti
@thomassong83272 жыл бұрын
“Dada yako ana ji download” lol 😂 😂
@frankenock28532 жыл бұрын
Thomas song, hapo kanivunja mbavu kishenzii yani
@treshazgodfather92192 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂
@leilatemba98712 жыл бұрын
Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣
@muharas00592 жыл бұрын
dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae
@blackpanther48252 жыл бұрын
Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣
@storyzatowntz2 жыл бұрын
Wapo vizur sana
@aminamsouth9 Жыл бұрын
Mama yupo so natural ❤😂
@jumaselemani27202 жыл бұрын
Daaaj bigi fundi sana 😂😂
@ndochiboetz82992 жыл бұрын
Gonga like hapa twende sawa fans wa joti😂😂😂
@orestemanenomaneno77262 жыл бұрын
Duhh brow Kali sana wewe joti 😂😂🇲🇿🔥🕌
@danielmussa4101 Жыл бұрын
Noma sana umetisha sana joti
@gastonjoseph25962 жыл бұрын
Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣
@calvinmsangi86732 жыл бұрын
😂😂😂 nimeoza mieh
@queenandchill912 жыл бұрын
Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@gulamthabit39332 жыл бұрын
Nishai nakubali sana kaz zak🌏🌏🌏
@saleemmussah2 жыл бұрын
😁nilitapeliwa hv hvo pale garden magomen nikatapeliwa kanga za mama mpya kabsa dot 3 wallah nmekumbuka mbalii sana
@ahmadkasika71142 жыл бұрын
Karbuni tena tandale home ,scene nilicheka sana hiii dah 😀😀😀
@sullehtz93272 жыл бұрын
The king of comedy👑✊
@liciouscharles33702 жыл бұрын
Niliwah kutapeliwa hv hv...wakanituma tv na simu na pasi nyumban niwapelekee
@kodackdeblack79822 жыл бұрын
😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo
@adamumbise97552 жыл бұрын
Wa kumi jmn wapi like za joti
@afsamandaly16562 жыл бұрын
Joti chizi sana eti atamia 😂😂
@brianaldo50842 жыл бұрын
🔥🔥🔥kweli katapeliwa duuh
@mpembawizzy58652 жыл бұрын
😀😀joti mseng sana et wamenipga
@CHITUS2 жыл бұрын
I swear things happen I once face such people but I thank God I heard a same story from a friend so I recall before things went bad.
@mohammedkombokatumu1399 Жыл бұрын
Hiya kali
@augustmbuya70512 жыл бұрын
Hahahahaa daaa et Sheria mkononi
@tchipppo2 жыл бұрын
Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige
@mosesndunguru57312 жыл бұрын
Sio dawa ni research
@roselukinga67652 жыл бұрын
😂😂ant yangu ashawah kutapeliwa mchana kweupee watu wabaya sanaa
@johnmushi87392 жыл бұрын
Yan jamaaa anajua kufikisha ujumbe kwa jamii sana, tafakar chukua hatua
@VerifiedComment2 жыл бұрын
Watching from Kyiv Ukraine. Joti you are the best in Africa! 💣🔥
@maembamwita47162 жыл бұрын
Uko Ukraine wapi wewe😀😀
@mumyhendry29192 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ATI Kyiv🙌🙌🙌
@VerifiedComment2 жыл бұрын
@@maembamwita4716 Так, я в Україні, і я хочу повернутися додому, в Танзанію через війну тут!
@VerifiedComment2 жыл бұрын
🇺🇦🇺🇦 + 🇹🇿🇹🇿 = ❤️
@husseinally70522 жыл бұрын
Sheikh umepona na mabomu huko ya urusi
@KingJacka_MwanaNzambe_2 жыл бұрын
Hahahaaaaaa safi sana Bro Levels
@tiboruhanga258 Жыл бұрын
💜💙🖤❤️naona hapa Dubai 🇦🇪
@nickymustafa43062 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Joti👏🏾👏🏾👏🏾
@neemairakoze92182 жыл бұрын
Wa pili leo kwa King comedy Joti 😁😁😁😁😁😁😁
@saidramadhan94172 жыл бұрын
Joti we kiboko ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😥
@luggyqayn24102 жыл бұрын
Ila wametumia mbinu ambayo sio rahisi kushtukia, tuliowahi kupigwa hizi game tunaelewa
@beatricejulius302 Жыл бұрын
Izi game balaa yaani mpka kujua dah matapeli
@hassanally46472 жыл бұрын
Najichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣joti una lanaaaaa🤣🤣🤣🤣