wanaorudia video za joti kuangalia tujuane gonga like kama wewe pia unarudia video😂😂😂
@africanboychris22153 жыл бұрын
Tupo
@jonasmongi78113 жыл бұрын
Tupoo
@OmarAli-le2zk2 жыл бұрын
mm name download kibao zpo kwenye smu yangu🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
@rehemaally81282 жыл бұрын
Me zaidi ya mara Mia😂😂❤️
@timboboytv57602 жыл бұрын
Tupo
@izacksbalzack18546 жыл бұрын
Joti haishiwi na vituko kweli Ebu tusaidiane kugonda like kama twajivunia kipaji cha kaka yetu👏👏
@jasmineabdullah16994 жыл бұрын
Him
@mohamedsaid28824 жыл бұрын
We unalipwa na hizo like acha kubwa maskini wa fikra ndugu yangu 😂😂😂😂
@meshackisaya51404 жыл бұрын
Kweli kaka hapo
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@anuaralmas83473 жыл бұрын
🤣
@jayproducts58716 жыл бұрын
Joti hana mpinzani EASTAFRICA say Yes👍
@sinvulaherbertntema2805 жыл бұрын
Yes
@georgelawrence40584 жыл бұрын
Joti wewe kiboko sasa unalia nn
@donlinechanell47604 жыл бұрын
Kabisa yani
@kennethmichael67544 жыл бұрын
Ajawai kukosea joti ww tim fisi ni atari ww
@abeidmsimange78403 жыл бұрын
Mambo hayo ndio yametawala kwenye jamii yetu
@oscarx59166 жыл бұрын
Mashabiki wa Joti Like hapa
@winfridapeter44585 жыл бұрын
Umepewa nyumba masaki unalia,ingekuwa vitu vyangu si ungekufa😂😂😂😂😂😂 like hapa tucheke wote
@lincolnroosevelt83095 жыл бұрын
Sasa onalia lia nini mnafiki mkubwa wewe. 😂😂😂
@jobbup0lly7004 жыл бұрын
😂😂😂
@allenmrema29093 жыл бұрын
😂😂😂
@lauraabass10773 жыл бұрын
🤣🤣
@UzalendoNaUtu3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Huzzayn2 жыл бұрын
Vile kuna zaidi ya milioni 500 ya wanao ongea lugha ya kiswahili afrika mashariki, sifahamu kwa nini hii kazi murwa ya Joti na wenzake halijafikisha mtazamo (views) million hata kumi. Tunawapenda hapa Kenya 🇰🇪. Zidi kunawiri. (Niwie radhi kwa Kiswahili yangu taabani)😀 (With the over 500 million swahili speakers in East Africa, I don't understand why and how this beautiful piece does not get 10 million views. Thank you Joti and team. Big love from Kenya 🇰🇪
@baloz8974 Жыл бұрын
Much love from Mozambique 🇲🇿 kiswahili kidumishwe.
@kamgomoli36506 жыл бұрын
Hongera sn joti kwa kutoa ajira kwa vijana wenzako maana kila siku bogi linaongezeka
@sultanikawambwa41186 жыл бұрын
Abby Adams @ Hahaaa hakuna anayelipwa kwa hao unaoona wanaongezeka ni kuuza suraa tu
@mohamedrajabu5246 жыл бұрын
Watauzaje suranaww achaushogaww watuwapokazin hapo
@latifamchekenje6718 Жыл бұрын
Yan hii video naipenda kuliko zote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila mwez naangalia
@severinmbanza495011 ай бұрын
Baaaasiiii mmekeishaaaaaaaa😂😂😂😂😂
@sammyma95336 жыл бұрын
kama wewe ni shabiki wa kweli wa Joti Gong like kubwa apa
@musaismail19846 жыл бұрын
Sammy MA k
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@basilking59646 жыл бұрын
Wale wa kusoma comment tujuane 👇👇twende Sawa
@pamelanangila86616 жыл бұрын
Basil King niko
@eunicejohn55206 жыл бұрын
Niko hapa basil,hahahahaha
@dommycash15 жыл бұрын
yeeaahh
@elsnyng68156 жыл бұрын
Basiiiii... mmekwisha wote na wanunua 🤣🤣🤣
@abdallasarai50646 жыл бұрын
This is soo inspiring if u think twice...more than how fun it is.
@bestsuma58262 жыл бұрын
Indeed it was inspiring but the funny part was the lawyer's patience 😅 waiting for them to argue for almost four minutes straight without saying anything
@lutherking36666 жыл бұрын
Hahahh Eti wakil tupo tyr toka jana joti c'yo pouw asee
@paschalcosta39986 жыл бұрын
Big Sound 😂🤣😂😂 muwekee buku jero yake.. eti mjomba lako godoro tu 😂😂😂
@enosedee43265 жыл бұрын
KAMA UNA MKUBALI BIG SOUND AKA JOTI GONGA LIKE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mullanochamp38606 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Marehem kanifanya vibaya 😂😂
@ligmmohd81126 жыл бұрын
Hahahhahahahh marehem alikujuwa, nishai hauna akili za kusimamia mali na ndio maan uakaambulia buku jero.UNAJUWA WAZAZI WANATUSOMA SANA.
@nancymohamed19246 жыл бұрын
Ndio
@maulidiissa96475 жыл бұрын
Dingi aliona kichwa kibovu
@yohanalembuguni31714 жыл бұрын
Hili ni somo kubwa
@mahamoudjacob19836 жыл бұрын
Big sounds... Marehemu kanifanya viby
@elidaimalema73106 жыл бұрын
H
@nancymohamed19246 жыл бұрын
Hahahaaa
@rehemasaid56516 жыл бұрын
haahaa yan Jot akil yke
@lauraabass10773 жыл бұрын
🤣🤣
@noelmarapachi18083 жыл бұрын
Buku Jelo
@mrpambatv34203 жыл бұрын
Nimempenda sana dada alivyoambiwa kapewa nyumba masaki akajifanya alia kinafki
@princeuzieri45486 жыл бұрын
Wewe sio mzima kbs kama unamkubali joti gonga like 🤣😂😎😎😃😃
@Mahmud.de.boogyman5 жыл бұрын
Big sound kapata shillingi elfu moja mia tano😂😂😂😂😂
@innocentmoshi29662 жыл бұрын
Mjomba umepewa godoro
@bashilukazembe9186 жыл бұрын
unache kelea,,,!!!!! ??sevirce.... vifaa ad ubelgigy 😂😂😂😂😂😂
@mghayayustin78806 жыл бұрын
😀😀😀😀 Joti dadek daaaah unatisha like kwa jot jamani mimi ndo big sound
@renatuschigobolela86263 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Nishaiii kaliwaaaaa
@theoriginals32404 жыл бұрын
Ane itizama tena 2020, acheke kwa sauti kubwa🤣🤣🤣🤣
@abdallahmwanyende666 жыл бұрын
Very nice work joti and your family team,,, big up kipande and mama van Dame
@salimusalimuomary68435 жыл бұрын
Jamani ktk zote ulisocheza mzee baba hii nimeikubali na naipa 💯💯💯💯💯💯
@omreuzex71096 жыл бұрын
hahahhahah... Mpendwa mteja salio lako ni TSH 1500. asante kwa kuwa mwanafamilia wetu. 😅😅😅
@abeidabdullwarith89916 жыл бұрын
Hahaha big sound kaangukia pesa ya nauli😃😃
@gloriousgal20012 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@barakahmatulah30706 жыл бұрын
saa zingne mjomba unajielewa saa zingne hujielew 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hellyfridy6 жыл бұрын
Joti jamani we nibalaa tupu 😂😂😂😂😂 yaani nimecheka hadi najamba you are king of commedy
@tinatina34405 жыл бұрын
😂 😂 😂 2019 kama tunamkubali bingwa number 1 wa comedy bongo gonga like
@michaelmathias74236 жыл бұрын
et unachekelea,,,, service! 😃😃😃😃😃
@abdallahmachella22694 жыл бұрын
Joti uwendi peponi hahhahhahha
@itisfinished.78312 жыл бұрын
This piece of art needs more views 👍
@maryamfimbo7185 жыл бұрын
joti we kiboko wallah Bmw service 🤣🤣🤣 ma vandame unalia nini unafki huo ukipata mtu kama huyu katika familia mnakunya
@faudhiajosefu82484 жыл бұрын
Yani atariii joti
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@jimj82852 жыл бұрын
Maryam unaniaibisha mrembo! Daah mambo ya kunya tena??? Mrembo haongelei mambo ya kuvua chupi na kunya mamii!! wewe unaonekana huna haya bhana au? Neno kunya ni chafu la aibu wewe mrembo! Daah Saa Hii unasema unakunya??? Una maana unamwaga mavi yananukaaaaaa!!!! Daah usamehewe we Mariam kinuka chupi!!!!
@alimussa26556 жыл бұрын
Mjomba utafikiriwa kuna mashamba 🤣🤣😂😂😂 gonga like
@luganojackson59776 жыл бұрын
Nice one bro...keep up the good work
@alikomwamundela62646 жыл бұрын
Dah! Inauma sana marehemu akikufanya vibaya😀😀😀!
@abduyusufu18766 жыл бұрын
Hahaaaa wakili tuko tayali toka jana Kama unamkubali joti gonga like
@immampiku3841 Жыл бұрын
😁😁😁😁
@onlinetzmedia6 жыл бұрын
jaman nmechekaaaaaa
@nancymohamed19246 жыл бұрын
Aunishindi mimi
@mariamhaidarijamali8066 жыл бұрын
Joty ameleta mkewe kw ajili y kupata faraja duuuh iyo mpya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pasikamamy12685 жыл бұрын
MARIAM HAIDARI JAMALI joti bana ananivunja mbavuu
@furahinichoirkkamiyunga1136 жыл бұрын
Joti so mzima wewe leo umenikosha😁😁😁😁😁 nawanunua wote
@flyricksmackdown92115 жыл бұрын
Akuna km joti
@angelamartin15965 жыл бұрын
Joti hahahaaaa umetisha
@shadrakckmakasishadrackmak70986 жыл бұрын
bilion 1.45 mpaka buku jero hahah like yako inahusika
@eriqemarson23626 жыл бұрын
Shadrakck Makasi Shadrack Makasi kaua 😂😂😂 big sound
@sumagmk52165 жыл бұрын
hipo poa sana kama ujachka
@mohamedmpuku80664 жыл бұрын
hahahaaaaaaa, nouma sana
@isacknguvumali34456 жыл бұрын
Eti marehemu ka nifanya vibaya miieeeeee 😂😂😂😂😂
@mwandumazaoidrossa17026 жыл бұрын
isack nguvumali
@jobbup0lly7004 жыл бұрын
😂😂😂
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@joharijumajohari64175 жыл бұрын
Kazi nziri 😂😂😂😂
@bobog97326 жыл бұрын
mtoto wa kwanza 😭😭 pol snaaaaaaaaa umekuwa unajishauwa bur 😀😆😆
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
Instagram @THEREALFAMILYOVERFAME INSTA SANTENI NAKUPENDI FOLLOW MEEEEE TZ STAND UP!!❤🌍
@ezramahamba9926 Жыл бұрын
Asanteni sana kwaku tuonya, Ezra Toka DRC
@jackkisaina39803 жыл бұрын
Ahahaaa eti dar es laam yote nitainunua this guy is full of funny serious
@mariamsaidi30846 жыл бұрын
Joti upo juu nani ana mkubal joti jmn team +254 🇰🇪
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@rosemarybenjamin43336 жыл бұрын
Muoneeni hurum kaka enu big😂😂😂
@nancymohamed19246 жыл бұрын
Hahahaaa
@DanielRukas7 ай бұрын
Leo nimekuja kiitazama tena 2024
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
😂😂😂Kati ya videos zote zako Joti lakini hii uliua, kali sana😂😂😂
@swalehbakari26672 жыл бұрын
😁😁😁
@kpkipala5883 Жыл бұрын
Ipo na ile ya bastola ya baba yake 😁😀😄
@ramxoketti75214 жыл бұрын
Jaman 2muombeen joti umri mref ndofuraha yetu awo wengine Wana force tucheke 😂😂😂
@uwimanauwimana55196 жыл бұрын
mbavu zangu miyeeeeee 😂😂😂😂
@hassanimapanga28894 жыл бұрын
Kama umeirudia hii kitu zaid ya mara3 gonga Like twende sawa 2020
@nkwabitz2336 жыл бұрын
CREATIVITY. Nice Bro!
@nancymohamed19246 жыл бұрын
Hahahaaa kweli baba yako kakutia nishai kama jina lako vile NISHAI na nishai kweli buku jero 1500 sio poaaw halooo
Hahaha mbavu zangu, jamani, gonga like hapa twende sawa
@frankkinyaiya.82175 жыл бұрын
Nimecheka hapo joti aliposema mmekwisha nawanunua wote nyie😂🤣
@mrboogie255-dr2kh6 жыл бұрын
Hhhhhhh nice bro
@sundaylutavi76256 жыл бұрын
nawanunua nyinyi 😂😂😂😂😂
@mfaumeseif58726 жыл бұрын
Joti ametisha sana
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame nifate kaka love
@kasaba76 жыл бұрын
ahahaha we jamaa Fundi sanaaa...#Don't stop broo for real...team yako wanajua sanaa..Kipande anauaa
@firdaussheikh48173 жыл бұрын
Nishai kkkkk Kkkkkkkkk kkkkkkk 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 nimependa sana na kiherehere sake 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@enockkitomarys49096 жыл бұрын
Baaaaasi mmekwisha
@barytz59776 жыл бұрын
Kipaji unacho
@sajidabakari98096 жыл бұрын
hahahhahah Joti weee eti "dada, dada nataka nyumba ya masaki"
@kabonejuma54535 жыл бұрын
joti we fund sana kaka ukovuzur kama unamkubar joti gonga like
@MegaNgy6 жыл бұрын
Big sound... Nanunua Dar es salaam yote 😂😂😂😂😂😂😂
@icepackgiffted77803 жыл бұрын
The instagram therealfamilyoverfame sante sister 🌍❤
@victorsir-nga77086 жыл бұрын
jamani kuna watu wana roho mbaya duniani duuuuh,eti MTU video kama hii anapress 'dislike' au na wao marehemu aliwafanya vibaya wakaambulia 1500,wametoneshwa kidonda😂😂😂😂😂😂😂😂
@nassaabdul61146 жыл бұрын
Victor Sanga wajinga sana hao
@user-us9gl8jg4l4 жыл бұрын
Itakuwa
@winnievesso44734 жыл бұрын
Wivu
@winfridapeter44584 жыл бұрын
😁😁
@mohamedjafferali24234 жыл бұрын
Watu wanakichaa sana 😂
@totoclass24702 жыл бұрын
Tusilaze damu hapo kuna mtu kupasuka🤣🤣🤣🤣
@ephraimisaya50275 жыл бұрын
Haya mambo tufanye haraka haraka mtu amexhakufa harudi tena kila mtu apate cha kwake,,,hyo kwel ndo big sound
@swahibaflamberngwira50776 жыл бұрын
Kkkkkkkkk mbavu zangu heti marehemu kanifanya vibaya
@jobbup0lly7004 жыл бұрын
😂😂😂
@defrankline6 жыл бұрын
hahahahaha! Joti katoka na 1,500 TZS
@sophiahmedza9292 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@amanchuphichuphi4725 Жыл бұрын
Hahahhaha at Ndo faraja yenyewe uko kuu bro
@khamisnassor4460 Жыл бұрын
Nishai bwana ni nomaaaaaa kwa kuchekesha na pengo lake na makoti ya kiajabu🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩😃😃😃😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@dashuusaalim88826 жыл бұрын
Mama vandame analia unyambi!!! Chzea nymb mbil maduk mawil na mashine ya kufyatulia matofali. Haaahaaaaaaaa nmecheka vby xanna leo nmefraaah joti kapatikana
@jahkeyrenson44006 жыл бұрын
Dashuu Saalim yani hawa nawakubali
@dashuusaalim88826 жыл бұрын
Nikiion tu joti tv me sfny ajiz coz najua lazm ntfrahia.
@jahkeyrenson44006 жыл бұрын
Dashuu Saalim walahy mimi notifications zote you tube but joti tv huwa sichelewi kufungua😂😂😂😂😂
@dashuusaalim88826 жыл бұрын
Jahkey Renson dddduuuuh shetan wetu mmoja me mwnyew cpitw na jtv... zaid akiwa na sopa na kipande wanajua balaaaa
@jahkeyrenson44006 жыл бұрын
Dashuu Saalim afu SOPA nampenda hadi sijiwezi yani natamani nimeet naye siku moja🙈🙈🙈🙈🙈
@funneybozzendaddy76316 жыл бұрын
Tembo jero ndio salio😂😂😂😂 joti mjomba leo umeachwa v8 iyoo
@jeffballafundi9776 Жыл бұрын
Joti Katrend Leo Nakipande Hicho "Bhaaasi Mmekwisha" Kuna Nini Tena 😂🤣😂🤣😂 #feisal na yanga