Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Palikuwa na Mtu

  Рет қаралды 597,139

Siro Jack

Siro Jack

Күн бұрын

Mbali na binadamu kuumbika vizuri, binadamu huyo anaweza kuwa na shida mbalimbali za kujaribu imani. Wimbo huu unamwangazia Ayubu katika Shida zake na jinsi alivyozichukulia. Tunafaa kuiga mfano wa Ayubu katika ukristo wetu sio eti tulalamike.

Пікірлер: 292
@azaliayefta1163
@azaliayefta1163 5 жыл бұрын
Kama unabarikiwa gonga like hapa.
@givasmwananzumi5941
@givasmwananzumi5941 4 жыл бұрын
Ubalikiwe
@beatuskimarotypebackground6422
@beatuskimarotypebackground6422 4 жыл бұрын
Niwachache San tunao fuatilia kwaya hizi zinabariki sana
@emilyorome9175
@emilyorome9175 4 жыл бұрын
I love this songs all the time
@roniasyeya
@roniasyeya Жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na nyimbo hizi sana Tena sana😅 6:18
@GeorgeKaiwanga
@GeorgeKaiwanga 8 ай бұрын
@@givasmwananzumi5941 ~~~
@madungavetagro6964
@madungavetagro6964 4 жыл бұрын
Daaaah Barikiwa sanaaaa.... Nani yupo nami mwaka huu kuusikiliza ujumbe huu wa Mungu? gonga LIKE hapa na Mungu Atubariki Daima
@beatuskimarotypebackground6422
@beatuskimarotypebackground6422 4 жыл бұрын
Kweli kbs
@pognus
@pognus Жыл бұрын
Nipo toka DRC
@stevennaftary2084
@stevennaftary2084 Жыл бұрын
Nipo Brother
@ngusawales2039
@ngusawales2039 Жыл бұрын
Nipo mwanza
@WisobaMmasa
@WisobaMmasa Жыл бұрын
Nipo America, nabarikiwa na jumbe za enzi hizo japo sio wa enzi hizo,Hallelujah!!!!!!!!!!
@mwagsbasket9370
@mwagsbasket9370 4 жыл бұрын
Who is here 2020 and loving it? Like pap!
@andrewnday9127
@andrewnday9127 4 жыл бұрын
You are not alone. Where are them in our days? Anywell, Mungu awabariki sana, sana.
@beatuskimarotypebackground6422
@beatuskimarotypebackground6422 4 жыл бұрын
Ubatikiwe mfuatiliaki wa kway hizi
@eliezamdugi6390
@eliezamdugi6390 4 жыл бұрын
Hakika mwanadamu ameumbwa kuliko viumbe vyote
@daytonday8264
@daytonday8264 4 жыл бұрын
THE MWAGS BASKET you are not alone mate, here we go!! Bless you , bless them
@ikungasyamwakitalu6540
@ikungasyamwakitalu6540 8 ай бұрын
2024
@lydiahmutai6456
@lydiahmutai6456 Ай бұрын
Who is here Dec 2024
@patricesekanyambo284
@patricesekanyambo284 4 жыл бұрын
Honestly, I cannot understand how a normal person can despise this song and gives it a dislike. Some human beings are something else
@michaeljoseph7954
@michaeljoseph7954 6 жыл бұрын
Hizi nyimbo za wapendwa wetu zinabariki sana nazikumbuka sana tangu 89 nina miaka kadhaa hakika Mungu ashukuriwe sana milele na milele (AMEN)
@samwelbenard5798
@samwelbenard5798 4 жыл бұрын
Hakika mungu awkumbuke kwakazi hii mtaripwa
@belito1270
@belito1270 4 жыл бұрын
Hii ni ya early 2000......
@JosephSallat-w3f
@JosephSallat-w3f 2 ай бұрын
duuuh 💯 wimbo unanikumbusha baba yang mdgo ndo ilikua favorite song yake Kila siku jion jamn
@charlesmganga3086
@charlesmganga3086 6 жыл бұрын
Tulikuwa tunakusanyika makanisa yote ya umpt enzi zile za kina mama ode wa nzega kweli zikuwa kwaya chini ya mch.lazaro sengati hapi Tazengwa nakumbuka mbari sana .
@karangwafred3835
@karangwafred3835 4 жыл бұрын
Around 1997, I used to shade tears once I listened to this beautiful song. Nyimbo hu nazinginezo za Barabara 13, Ulyankuru Choir na Rose Muhando zimenifundisha shwahiri na piga guitar. Mungu awabarike sana🙏🙏🙏
@winniembula392
@winniembula392 Жыл бұрын
Napenda sana HUU ujumbe 🙏 Asante Yesu Kristo 🙏
@nickmpanzi
@nickmpanzi 8 жыл бұрын
my take ....ktk mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi wala kumuwazia Mungu kwa upumbavu.
@arthurambura5400
@arthurambura5400 2 жыл бұрын
More than Golden voices Tanzania is blessed 😍
@labanakyoo4177
@labanakyoo4177 4 жыл бұрын
Da,Mungu awabariki popote mlipo, hakuna kwaya siku hizi ni kurukaruka tu, ila nyie mnaimba vizuri sana
@jamesnkwabi1832
@jamesnkwabi1832 6 жыл бұрын
value of this choir is more than diamond, value of the sound is more than Tanzanite, value of music is more than gold but all in all value of the Gospel is valuable more than anything. Is all about bible context I wish God could turn your ages as when you where young to restart praise again. Hallelujah
@SiroJack
@SiroJack 5 жыл бұрын
True
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
@@SiroJack a Kenyan so this and embraced it.woo!!!be blessed and you deserve whatever you're getting from KZbin.
@mariammnyaga3527
@mariammnyaga3527 3 жыл бұрын
Kiukwel tang nikiwa na miaka kumi nimekua nikiimba nyimbo zote za barabara13 tang miaka ya 1990 mpaka Sasa zinanikumbusha enzi bado mdogo,,,wote waliotangulia mbele za haki Mungu awasamee dhambi zao na awape zawad ya uzima wa milele maana kazi walizofanya wakiwa hai bado zinafanya kazin👏👏
@ombenikamaganwa2322
@ombenikamaganwa2322 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana sana kwa ujumbe ambao umebadilisha walio wengi na kuwaleta kwa mwokozi Yesu. Naamini wamoja wenu hawapo tena duniani, ila Mungu ambae si mdhalimu azikumbuke kazi mulizo zifanya na awape kuingia katika raha ya milele pamoja na watakatifu wote.
@maryjustapeter5430
@maryjustapeter5430 6 жыл бұрын
Nyimbo kama hizi ninzuri zinabarki sana , kimavazi mmevaa vizuri sana siokama waimbaji waleo
@adrianaalexander2513
@adrianaalexander2513 5 жыл бұрын
Umeona eeh?? yan wasiku hiz ni balaa
@lidianelima4295
@lidianelima4295 4 жыл бұрын
Tuende na wakati bwana
@yusuphmkapa5302
@yusuphmkapa5302 4 жыл бұрын
Mungu atukutanishe mbinguni
@consolatajoseph6766
@consolatajoseph6766 5 жыл бұрын
Jamani hivyo vinanda, mpangilio mzuri wa sauti, da!!! Sio kama kwaya za sasa, Kelele nyingi nyimbo hazina ujumbe ili, mradi tu biashara. Hakika cha kale in dhahabu. Mungu awabariki watumushi hawa.
@nelsonzebedayo8281
@nelsonzebedayo8281 5 жыл бұрын
Ukisikiriza nyimbo za zaman ulikua unaskia umebarikiwa tofauti na nyimbo za sasahv.Nahiyo yote nikutokana na kuingiliwa kwa kanisa,Namkumbuke kwa sasa tuko nyakati gani
@harunyusuf4229
@harunyusuf4229 4 жыл бұрын
Japo nilikua Mtoto,niliupenda sana huu wimbo nyakati zile amen.
@witnessmasanja9097
@witnessmasanja9097 3 жыл бұрын
Duh yaan nickiliza hzi nyimbo huw nakuw mpole gafla,,,mbalikiwe
@maryjustapeter5430
@maryjustapeter5430 6 жыл бұрын
Ooh. asante Kwa kutuwekea nyimbo hii jamani , waimbaji Mungu awabarki sana.
@dannympollo8359
@dannympollo8359 6 жыл бұрын
mbarikiwe Sana
@patricksila8654
@patricksila8654 4 жыл бұрын
This song reminds me those old days nikiwa class two 2002 tulikua tunaimba hiii choir
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
the level of enthusiasm put in songs belong to this choir was on another level..
@FruitsOfOurLabour
@FruitsOfOurLabour 8 ай бұрын
2024 listening when the holy spirit really inspired people to worship God
@OgusuMesocho
@OgusuMesocho 4 ай бұрын
May God bless the choir for this spiritual and organized voices
@monicapaul8480
@monicapaul8480 5 жыл бұрын
Safi sana ,wimbo mzuri usiochuja miaka yote,wabarikiwe sana waimbaji hawa
@annewanjiru818
@annewanjiru818 8 ай бұрын
It's such a blessing to have such beautiful melodies. I had this cassette back in 1998/1999 and till today on internet I'm blessed
@athensbharat8224
@athensbharat8224 Жыл бұрын
Early 2000s and I can still sing each and every word of this song...thank you mama,may your beautiful soul rest in hands of our father Lord❤
@gabrielmashauri8236
@gabrielmashauri8236 Жыл бұрын
Mbarikiwe saana nyimbo hizi zimedumu ktk nyakati mbali mbali na bado ni nzuri kwa sauti na maushui ya kiroho
@ester7689
@ester7689 Жыл бұрын
Wow wow jaman nyimbo zenye baraka na uwepo mkubwa wa mungu yani Kila unapozisikiliza unabarikiwa sana
@zaituniomollo
@zaituniomollo Жыл бұрын
Napenda sana wimbo huu na mbarikiwe sana watumishi wa mungu
@jacksonmipango8984
@jacksonmipango8984 4 жыл бұрын
Enzi hizo kenya kiswahili kilikuwa cha fasaha kama cha Tz👏😆
@mpinabaharia2247
@mpinabaharia2247 4 жыл бұрын
Ilkuwa ni Tanzania sio Kenya
@prudencemugarula3247
@prudencemugarula3247 4 жыл бұрын
Nyimbo za zamani lakini nzuri utadhani ni za jana.Wabarikiwe waimbaji hawa.
@athensbharat8224
@athensbharat8224 Жыл бұрын
This choir is made of blessings
@duncanmponda4645
@duncanmponda4645 11 ай бұрын
Ni nyimbo ambazo hazichoshi kuzisikiliza nazipenda saaana ,zina maudhui mazuri mno Mungu awabariki
@happymshiko3725
@happymshiko3725 5 жыл бұрын
naupenda huuu wimbo wimbo huuu uishi milele daima
@thomjunior9947
@thomjunior9947 7 жыл бұрын
Hakika mnanikumbusha mbali sana dah..Mungu awabariki popote mlipo!
@annmumbi2350
@annmumbi2350 2 жыл бұрын
A hit of the early 90s and still beautiful..
@williamkirway4620
@williamkirway4620 4 жыл бұрын
Tumsifu mungu,mda wote tumtegemee yeye aijua kazi ,yake
@mwl.japhetmasatu4173
@mwl.japhetmasatu4173 6 жыл бұрын
waoooh kazi nzuri watu wa mungu mungu awabariki saaaaana
@amanimilonde9219
@amanimilonde9219 4 жыл бұрын
Asante sana ! Naifurahiya Sana hizo nyimbo za ULYANKULU KWAYA.
@lovelandmathew5966
@lovelandmathew5966 3 ай бұрын
Naupenda sana huu wimbo
@danielmatheka5541
@danielmatheka5541 9 жыл бұрын
I wish this generation of today may embark on God's message like it was when this album was composed
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 4 жыл бұрын
Bwana awabariki kwa kazi nzuri!
@BarakaSafari-i2u
@BarakaSafari-i2u 6 ай бұрын
❤ vraiment munaninjenga sana kiroho mubarikiwe sana
@agnesfaidamuhima9104
@agnesfaidamuhima9104 3 жыл бұрын
Asante sana ,nime barikiya sana na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu awa Bariki piya
@bokemgaya7778
@bokemgaya7778 6 жыл бұрын
Data mnanibariki sana .akina rose mhanda wajifunze kwenu .waache biashara ya nyimbo wamuimbie mungu
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 4 жыл бұрын
Mungu awabariki nyoote na Dunia yote kwa ujumla, mbarikiwe sana
@crispaseve
@crispaseve 4 жыл бұрын
Mliifanya kazi ya Mungu vyema kabisa katika kipindi kigumu lakini kazi ni nzuri sana jina la bwana libarikiwe sana nanyi pia popote mlipo mbarikiwe sana ... Namkumbuka Severine na Veronika sababu baba alinunua album hizi na mama ali play wanae tuone Mungu anavyopaswa kuabudiwa/kuimbiwa. Mungu bariki Malamsha family, Amen.
@AgnessNjeri
@AgnessNjeri 10 ай бұрын
Nyimbo hizi ni mpya kila siku mbarikiwe sana waimbaji na MUNGU awabariki sana
@albertwoni194
@albertwoni194 2 жыл бұрын
Nyimbo zilizoongozwa na Roho mtakatifu
@moussaika744
@moussaika744 9 жыл бұрын
MUNGU awabari kwa kuturudishiya tena hizi nyimbo! Naomba mungelitiya album yote ya KWAVIUMBE VYOTE kama gisi ilivyo toka tangu zamani!
@nemanikakindilo6660
@nemanikakindilo6660 5 жыл бұрын
Wimbo mzuri unsnikumbusha mwaka 1996. Nikiwa na redio teleline caset ya kanda.mbarikiwe sana.hamtasahaurika mpaka yesu atarudi.
@georgematemba6642
@georgematemba6642 8 жыл бұрын
Hi kwaya ilikuwa inamwimbia Mungu kwelikweli na itaendelea kusimama kwa ujumbe siku zote
@crazykids5779
@crazykids5779 Жыл бұрын
Nataka ule wimbowa samson na delilah
@virussella9979
@virussella9979 5 жыл бұрын
MUNGU awatie nguvu katika huduma ya uimbaji mnaimba vizuri sana
@emmanuelsanga7363
@emmanuelsanga7363 2 жыл бұрын
Watu hawa tunamshukuru Mungu sana kwa ajili Yao hata Leo bado wanatuhubiri katika siku hizi za mwisho maana mwisho wa mambo yote umekaribia
@monicahwanjira9038
@monicahwanjira9038 5 жыл бұрын
Mungu angali anawatafuta watakao mwabudu katika roho n.a. katika kweli
@emasikachele4678
@emasikachele4678 4 жыл бұрын
Hii kwaya nimfano wa kuigwa nyimbo za zamani utafikili ni za Leo mubalikiwe sana
@anthonymichael9300
@anthonymichael9300 10 жыл бұрын
Mungu awajarie maisha malefu.
@methodrweyendera6814
@methodrweyendera6814 4 жыл бұрын
naam
@musandiege2111
@musandiege2111 4 жыл бұрын
Nazikumbuka nyimbo zenu since 2000 MUNGU awabariki sana
@pascalkambale3638
@pascalkambale3638 3 жыл бұрын
Zilipedwa na Zita pendwa dayima🙏🙏🙏🙏🙏
@julianaferuzi7342
@julianaferuzi7342 6 жыл бұрын
Katika viumbe vyote vilivyoumbwa binadamu kaumbika kuliko vyote. Tumepewa masikio na macho yakuona na akili yakujua mema na mabayaa. 👌👌👏👏👏
@MwitaMagoti
@MwitaMagoti 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtu wa mungu
@munyanezaevariste7475
@munyanezaevariste7475 Жыл бұрын
Nawapenda Sana waimbaji Hawa tangu zamani
@blessed5400
@blessed5400 4 жыл бұрын
Who is here 2020,I liked the song when I was growing up and still love it
@josphatkioko543
@josphatkioko543 8 жыл бұрын
it reminds me days of my childhood and the time i got to know about salvation .Be blessed brothers and sisters in Christ Jesus.
@denisnyaga947
@denisnyaga947 8 жыл бұрын
since i was akid i was raised listening to this songs this days is when choir was choir
@samwelamwamburi1388
@samwelamwamburi1388 8 жыл бұрын
mi too.that's my dad favourite. en it was in radio cassettes
@josephinemutheu5938
@josephinemutheu5938 2 жыл бұрын
I’m here 2022 , reminds me of my first video cassette in the early 90’s to watch ! Message … straight from job 1. Im being blessed! Watching from 🇺🇸
@mashakaally978
@mashakaally978 4 жыл бұрын
Mungu,,nipo,Tanzania,Tanga,Amboni,lunga,lunga,,Rod
@andrewkibona7307
@andrewkibona7307 4 ай бұрын
Amazing, long time but full of message
@juliusomollo5178
@juliusomollo5178 8 жыл бұрын
A very powerful message through this song. Thank you for blessing me. May God bless Choir teacher(s) together with the entire choir members.
@vardyjean7698
@vardyjean7698 2 жыл бұрын
I used to listen to these songs in 1992-93 .we sang them in church ,in our home .it helped me to lay a strong foundation in my walk with God.
@milcahlaizer5771
@milcahlaizer5771 5 жыл бұрын
Nyimbo zenye utukufu wa Mungu. Dah sauti zao😘
@omegamariki6176
@omegamariki6176 4 жыл бұрын
Majaribu yapo, Mungu tusaidie tushinde haya
@natureenergies
@natureenergies Жыл бұрын
sweet truths ndani ndani 2023
@mbuguahenrynjuguna8296
@mbuguahenrynjuguna8296 9 жыл бұрын
true believer and from deep in their hearts,they sung for the glory of Our God.wish we had them singing for us all day and night.
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 жыл бұрын
Nilisikia nikiwa mdogo sana God is good
@cutereyb.8030
@cutereyb.8030 9 жыл бұрын
Nice songs... I used to have their tape longtime ago..... Be blessed!
@chebocheberio4112
@chebocheberio4112 4 жыл бұрын
Reminding me redio ijili kijabe Sunday's after noon
@briansancedo9336
@briansancedo9336 5 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa ujumbe wenu
@jenipherlyatuu6746
@jenipherlyatuu6746 4 жыл бұрын
Kiukweli nyimbo hii ni nzuri sana
@gwantwabjm8964
@gwantwabjm8964 4 жыл бұрын
2020 wimbo ni the best Mungu awabariki kwa kweli
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 3 жыл бұрын
2021 mbarikiwe sana nakumbuka mbali sana ndani yangu natamani kulia.. Mungu awatunze sana jmn
@Marley127-y2e
@Marley127-y2e 3 жыл бұрын
Who else is here enjoying?
@noadieniyonsaba7863
@noadieniyonsaba7863 4 жыл бұрын
Napenda hii kwaya wananibariki saana
@raelkasina
@raelkasina 10 ай бұрын
They never get old this songs
@bizimanarama9708
@bizimanarama9708 Жыл бұрын
Shukulan sana mngu awabaliki
@mkuyu-ben.6746
@mkuyu-ben.6746 8 жыл бұрын
M'balikiwe kwa uinjilishaji kwa nyimbo nzuri.
@MussaIslaeli-kl4tn
@MussaIslaeli-kl4tn Жыл бұрын
Asante kwa huduma hii ameniiiii
@mwombekimbekomize8276
@mwombekimbekomize8276 3 жыл бұрын
Du, Ayubu alipata mtihani kweli
@ambrosemutinda7831
@ambrosemutinda7831 11 жыл бұрын
Huu wimbo unahimiza sana.Kweli hii kwaya imebarikiwa.Mungu awabariki sana.
@richiebula2996
@richiebula2996 4 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu... Amina... from Durban South Africa ...
@juliusolela948
@juliusolela948 8 жыл бұрын
Ahsante ndugu kwa kutumia hekima uliopewa na Mungu. Umetujulisha wanakwaya na sauti zao na hilo ni jambo muhimu sana katika kwaya ambayo inabariki kama Barabara 13 Ulyankulu. Mimi niko Kenya lakini nimebarikiwa sana na nyinyi. Msalimie Habona Edmund. I am very happy to see your faces on the video my brothers. God bless you all.
@pendoemanuel4220
@pendoemanuel4220 7 жыл бұрын
Jamani kwanini kwa sasa kwaya hazifanyi vizuri kama hii jamani yaani nikisikiliza utafikiri napaa kwenda sijui Wapi huko asanteni sanasana waimbaji na mtunzi
@lilianngamba2884
@lilianngamba2884 6 жыл бұрын
Nawapenda sana wanakwaya wa ulyankulu hongera sana mwlm wangu mwlm petere enzi nasoma hapo chuo mlinitunza mbarikiwe
@elkahmovic
@elkahmovic 8 жыл бұрын
i really be interesting with it and also Wishes to join with them get blessed with there Gospels i really love this choir so joyful to me and well attached my heart when i here there songs ameeeeen bwana asifiwe
@ananiafransic1257
@ananiafransic1257 4 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi 2020
@reginaldmlingi8603
@reginaldmlingi8603 8 жыл бұрын
Nafarijika sana sana ninapozisikiliza nyimbo hizi,,mzidi kubarikiwa sana,,naomba mnijuze hako katoto hivi sasa kana umri gani
@wekesapaul417
@wekesapaul417 6 жыл бұрын
Who is watching with me 2019
@emmanuelokivuyo5976
@emmanuelokivuyo5976 6 жыл бұрын
Wekesa Paul me.hazichuji kbs hizi nyimbo ndugu.wabarikiwe sana
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Wakati Ule wa Nuhu
6:26
Siro Jack
Рет қаралды 544 М.
Wanamwabudu Nani? By Pastor Faustin Munishi
6:25
Munishi TV
Рет қаралды 7 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Kwa Viumbe Vyote
4:24
Siro Jack
Рет қаралды 692 М.
NKINGA CHRISTIAN CHOIR - FULL ALBUM, SIFA NI ZA BWANA"
1:00:24
EMANUEL PETER TRUE GOSPEL CHANNEL 🇰🇪
Рет қаралды 151 М.
Nyimbo za Kuabudu na Maombi
1:00:07
Lucas Kaaya
Рет қаралды 757 М.
Heri Mtu Yule Asiyekwenda
4:56
Barabara 13 Ulyankulu - Topic
Рет қаралды 143 М.
Israel Mbonyi - Kaa Nami
13:40
Israel Mbonyi
Рет қаралды 8 МЛН
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Yesu Alipokuwa Ameketi
6:37
Siro Jack
Рет қаралды 198 М.
Sipati Picha  -  New Life in Christ (Official Music Video).
7:08
Neema Mwaipopo
Рет қаралды 288 М.
Mapigano Ulyankulu Kwaya Sisi Ni Barua Official Video
6:15
Africha Entertainment
Рет қаралды 558 М.
Kijito Choir - Simba wa Yuda (Official Video)
9:44
Wyldpytch Rekords / 51 Lex Records
Рет қаралды 1,6 МЛН
Арман (Сені күнде көру)
2:51
IL'HAN - Topic
Рет қаралды 1,6 МЛН
Emkal - Oublie-moi (Clip officiel)
3:00
EmkalVEVO
Рет қаралды 6 МЛН
V $ X V PRiNCE x DE LACURE - СУ (Mood Video)
3:06
V S X V PRiNCE
Рет қаралды 1,1 МЛН
Qanay & ALI Otenov - Lolly (Music Video)
2:59
AAA Production
Рет қаралды 87 М.