Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Wakati Ule wa Nuhu

  Рет қаралды 458,248

Siro Jack

Siro Jack

11 жыл бұрын

Wakati Ule wa Nuhu watu walimwasi Bwana. Walimchukiza Muumba wao kwa dhambi zao nyingi. Mungu aliamua kuwaangamiza kwa mvua ya gharika

Пікірлер: 206
@MonicaMfinanga
@MonicaMfinanga 6 ай бұрын
Naipenda hii nyimbo 2024 ❤❤❤
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 15 күн бұрын
🎉ata mim naipenda sana
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 13 күн бұрын
ni wimbo na siyo nyimbo tafadhali.
@ziporahmuthoka2863
@ziporahmuthoka2863 8 ай бұрын
This was the best gospel songs during my time. When gospel was true gospel
@user-yo4mt8cv6w
@user-yo4mt8cv6w Ай бұрын
Kweli hizi nyimbo zinanguvu za Mungu hatari ukiskilza tu kuna hisia fulani katika mwili Mungu awabariki sana
@user-yz2ln8cu2v
@user-yz2ln8cu2v 7 ай бұрын
Hari Sana hizi nyimbo watu zamani waliimba Bwana 🎉🎉🎉🎉❤
@elihakisalehe5445
@elihakisalehe5445 9 жыл бұрын
I was Still young boy when the series of these songs released, Till now Im blessed. Now days Gospel songs have changed to ndombolo and so many worthless meaning. May God bless every one who watch and listen to these guys.
@jamesmahigi3566
@jamesmahigi3566 9 жыл бұрын
Elihaki Salehe true my friend the current crop of singers hahahahaa
@stevek8318
@stevek8318 2 жыл бұрын
Which years were these
@mteulemaxie8432
@mteulemaxie8432 Жыл бұрын
@@stevek8318 1980's
@galiotkoske7962
@galiotkoske7962 Жыл бұрын
Songs are good but how are they downloaded from yu tube
@maryjoeljoel
@maryjoeljoel Жыл бұрын
​@@stevek8318 1996
@nitahkimanzi4103
@nitahkimanzi4103 20 күн бұрын
Everytine I listen to these songs there is a new revelation.
@rosemutiso9140
@rosemutiso9140 8 жыл бұрын
Huu wimbo niliupenda tangu nikiwa mdongo nimefurahi leo kuusikiliza. Ni baraka kubwa.
@margaretgibuni1535
@margaretgibuni1535 20 күн бұрын
The song still remains to be the best. I love it. I used to listen when I was a youth.
@anniemwangaza7578
@anniemwangaza7578 21 күн бұрын
At this time, people used to worship God for truth. Singing according to the word in the Bible, nyimbo zakujenga kabisa👌🙏🙏
@kalenzietien2791
@kalenzietien2791 7 жыл бұрын
kumcha mungu in chanzo cha maarifa.
@makutowambeteh2005
@makutowambeteh2005 Жыл бұрын
sweet melodies, surely you were born to worship and praise the living God.from Mombasa Kenya
@isaacjohnasienwa8205
@isaacjohnasienwa8205 8 жыл бұрын
1980s,ooooooh goodness,music that was and is inspiring,this breathrens must be old by now,Mungu awabariki sana.
@karlmarxgibson7497
@karlmarxgibson7497 3 жыл бұрын
3:14 that Mama's voice is unmatched.
@21111977o
@21111977o 8 жыл бұрын
Forget the 21st century artist who are doing it for fame and money...these souls did itto praise God and pass His message to the world. This explains why these songs are as fresh as they were in 80s...May God bless us all.
@estherjoseph7202
@estherjoseph7202 4 жыл бұрын
corona brought me here..
@vemeso
@vemeso 8 жыл бұрын
In the 1980's this was the best music that i listened from radio KBC. My goodness it is still inspiring up today.Whenever it rains and floods,i remember this song and develop fear of drowning,
@simonkabuchojudiciary
@simonkabuchojudiciary 6 ай бұрын
Narok Kenya where i used to listen these songs. Mum in Narok be blessed for such great songs you choose for us. Keeps me going.
@mercykwame1436
@mercykwame1436 3 жыл бұрын
I like this song since l was 3 years still l can remember it . Especially used to sing on Sundays on the Swahili broadcast radio.
@loisemuraya4336
@loisemuraya4336 9 жыл бұрын
Thank you for uploading this. Reminds me when gospel music was a sermon and teachings.
@davidsamoei1585
@davidsamoei1585 7 жыл бұрын
Siku zenu watu hawakupenda pesa sana kama leo! Hongera!
@ernestkatongore4898
@ernestkatongore4898 2 ай бұрын
Wonderful voice I love it I'll never forget .
@imanimazichri121
@imanimazichri121 8 жыл бұрын
Mungu awabariki sana ninyi muliyo weka nyimbo hizi kwenye KZbin. Hakika, nyimbo hizi za "KWA VIUMBE VYOYE" zina nijenga sana kila mara nizisikiyapo. Asante sana kabisa!
@cwam15
@cwam15 Жыл бұрын
Reminds me of my childhood,we used to play it on a video decorder. I miss my parents, thanks mum and dad for introducing me to God. Till we meet again,keep resting...
@malengamsombwa364
@malengamsombwa364 4 жыл бұрын
Nikweli ulimwengu unamwisho. Ee mungu wangu nipe mwisho mzuri baba
@AgnessNjeri
@AgnessNjeri 3 ай бұрын
Wimbo zenye ujumbe mzuri sana mbarikiwe sana
@jennifermuigai97
@jennifermuigai97 8 жыл бұрын
wow, i looooove this song.....and the lady soloist has a very beautiful voice.........
@EdsonJoseph-zl8vv
@EdsonJoseph-zl8vv 12 күн бұрын
Nilichoshangaa wahusika wa hizi nyimbo hawanufaiki na nyimbo zao duh! Kweli injii itahubiriwa kwa halali na hata isiwe kwa halali Wabarikiwe waimbaji na wasamehewe wanufaika.
@danielmatheka5541
@danielmatheka5541 8 жыл бұрын
may God remember these beautiful sound and keep the choir to entertain us in heaven as well as they do to day
@dianahinn6763
@dianahinn6763 Жыл бұрын
Kwani walisha kufa?
@mercymambo1459
@mercymambo1459 10 ай бұрын
Continue resting in peace mum and dad back to 1996 tukiuza cassete machakos
@stephennyagah9267
@stephennyagah9267 7 ай бұрын
Nyimbo zenye uwepo na nguvu nyingi za Mungu
@lilliankerubonyakundi8155
@lilliankerubonyakundi8155 7 жыл бұрын
i still love the songs they had meaning. God bless u
@michaelkarimi2483
@michaelkarimi2483 Жыл бұрын
Binadamu atakufa tu Siku moja ufanye ya maana sasa uogope dhambi na utii Mungu wako. Kwa hivi sasa hii ndiyo paradiso tuko na jehanamu ni hapa hapa tu...... Kwa kuwa ukifa wewe ni spirit tu n'a mambo yataishia hapo. Hasawa waafrika watafute Mungu WA ukweli waacahane na hadithi za waisraeli...
@TanzaniaImageTravel
@TanzaniaImageTravel 9 жыл бұрын
nyimbo za ukweli.really blessing.
@elikanagodwin4882
@elikanagodwin4882 7 жыл бұрын
wimbo huu unanikumbusha mbali sana kipindi chamimi kujifunza gitaa ameni kubwa sana
@nndabaangelique4389
@nndabaangelique4389 Ай бұрын
Kutoka Burundi napenda sana izi nyimbo mpaka uyu mwaka wa 2024
@charlesmaina7271
@charlesmaina7271 7 жыл бұрын
Even the beats were inspired all for the glory of the Lord, unlike today nothing from artists or even the ones playing the beats are inspiring. God bless you guys
@gabrielbahange9815
@gabrielbahange9815 8 жыл бұрын
kabisa!! hii ni kwaya ya kuenea. huu wimbo unanifurahishaka sana. musonge mbele n'a kutuhimarisha.
@joskyshams4758
@joskyshams4758 2 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo sasa
@danadon6782
@danadon6782 8 ай бұрын
2023 beautiful melody. Genesis 6
@jesca0601
@jesca0601 8 жыл бұрын
asante sana, nimetafuta mno hii choir ckukumbuka jina! napenda nimesikiliza toka miaka 5
@margaretomwakwe9162
@margaretomwakwe9162 7 жыл бұрын
since my childhood until now, listening to this song, God bless you so much barabara ya 13 choir
@nzundaeva108
@nzundaeva108 10 жыл бұрын
Nimefurahi kuona wimbo huu nimenikumbusha mbali.Mungu awabariki
@robertmaginga6132
@robertmaginga6132 9 жыл бұрын
hakika nyimbo hizi zinaleta tumaini zinamtukuza MUUMBA na si kama waimbaji wa injili wa leo wamepoteza mvuto kabisa eti wanakwenda na wakati mi nadhani wakati ndo unaenda na waimbaji wa nyimbo za injili wa leo, MUNGU aibariki kwaya hii aibariki sana.
@patrickguyo
@patrickguyo 4 ай бұрын
Vemeso. Mary wangui. Na robert thanks nduguzanguni mushaasema yote
@marywangui2310
@marywangui2310 8 жыл бұрын
Waibaji wa nyimbo sa kiroho na mpango mafasi masuli hawana marangi kwa midomo na makusha wanaimba na ROHO MTAKATIFU
@gilberttungu8377
@gilberttungu8377 10 жыл бұрын
Ahsante sana wana tanzania kwa kutukumbukumbu namna hii, tafadhali naomba album mzima ya "mwenye mamlaka' kuna wimbo nitafutao sana wa 'zakayo'. Mungu akubariki.
@annewanjiru818
@annewanjiru818 Ай бұрын
Ulyankulu choir imenibariki kwa miaka mingi. Nakumbuka nilikuwa na hii cassette nikiwa college in 1998/1999, I used to listen to it every day and I'd put the music very loudly in my room and it blessed everyone
@nitungaantoine3250
@nitungaantoine3250 16 күн бұрын
pangali waibaji wakingari hai miongoni mwa choir iyi ? Mungu awabariki zaidi. Mimi nimefundishwa kupiga muziki kwa kujitaidi na kurudiya emwo jinshi walipi. Kwa hiyo,nilijitayidi kusema na kujuwa lugha ya kiswahili tangu wakati ningali masomoni ya kisekondari ingawa nilifuata sayansi. Hata ivi na watoto wangu wananiuliza kwa sababu gani napenda sana album za Uryankuru choir.
@nitungaantoine3250
@nitungaantoine3250 16 күн бұрын
pangali waibaji wakingari hai miongoni mwa choir iyi ? Mungu awabariki zaidi. Mimi nimefundishwa kupiga muziki kwa kujitaidi na kurudiya emwo jinshi walipi. Kwa hiyo,nilijitayidi kusema na kujuwa lugha ya kiswahili tangu wakati ningali masomoni ya kisekondari ingawa nilifuata sayansi. Hata ivi na watoto wangu wananiuliza kwa sababu gani napenda sana album za Uryankuru choir.
@mariachahe7077
@mariachahe7077 7 жыл бұрын
Mungu awabariki sana! huu ndio uimbaji wenyewe maneno yana sikika!! Mungu atusaidie waimbaji tuimbe kwa kumaanisha! sio kwakuonekana km tunaimba Tu!
@peacefulmbekenga5215
@peacefulmbekenga5215 7 жыл бұрын
ukiacha roho mtakatifu akaimba utaenjoy du nawapenda xna mnanifanya niitafakar siku ya mwisho du Mungu nisaidie
@WiliamMatondo
@WiliamMatondo 22 күн бұрын
Mungu aendelee kuwabari
@violetsumba5429
@violetsumba5429 Жыл бұрын
I Love the song very much God bless you all , I'm violet wakungwi from kakamega and I stay in Mombasa town
@dom1tv987
@dom1tv987 7 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kusikilizaga hz nyimbo
@juliennekashindy2510
@juliennekashindy2510 11 жыл бұрын
Naupenda nyimbo huu! Unanikumbuka mbali sana... Mungu awabariki.
@ciciandjojo7701
@ciciandjojo7701 Жыл бұрын
Mliimba vizuri. Sauti zenu nzuri saana. Wimbo mzuri saana hadi leo 2023 unanibariki sana
@collinskisanya2374
@collinskisanya2374 4 жыл бұрын
Am blessed by this song.I have confidence in God as my salvation.
@imbenzi
@imbenzi 8 жыл бұрын
Nyimbo zisizozeeka. Nazipenda mno
@mhinakaduguda4472
@mhinakaduguda4472 8 жыл бұрын
wakat wanuh unanikumbusha mbal ndugu tumrudien mungu
@bernardmwenda5186
@bernardmwenda5186 9 жыл бұрын
I started to here this song before i born again; John 3:3, it was fantastic and still very fantastic. it is a song that even you don`t know what is God, for this song you can know who is God.
@sethonsando1496
@sethonsando1496 10 жыл бұрын
From 1990 have always loved to listen to this song,God bless you.
@heureusebirhashwirwa1447
@heureusebirhashwirwa1447 11 жыл бұрын
thank you so much for posting this song.God bless you
@justusmutune2208
@justusmutune2208 3 жыл бұрын
am trully blessed since my youth.GOD BLESS THOSE OLD SERVANTS NOW WHO ARE STILL LIVING
@chrisantusmchili9989
@chrisantusmchili9989 7 жыл бұрын
kwaya hii ilifanya kazi njema ya kueneza injili kupitia uimbaji
@mathewshayo3792
@mathewshayo3792 7 жыл бұрын
nakumbuka mbali sana, Hakika Mungu ananipenda
@anthonymusyoki8432
@anthonymusyoki8432 8 жыл бұрын
yes kweli nazipenda nyimbo hizi za zama
@stanleylatani9179
@stanleylatani9179 8 жыл бұрын
Powerful Message..Kbc hoiyee
@KephaDanieli-jl4rl
@KephaDanieli-jl4rl 2 ай бұрын
Hivi nyie waimbaji wa zamani mko wapi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@amosmihayosimon883
@amosmihayosimon883 11 жыл бұрын
mungu awatie nguvu katika utumishi wenu!
@justforfunny9994
@justforfunny9994 3 жыл бұрын
When I listen to this song I remember my parents 🙏🙏 God bless all
@songssonga3865
@songssonga3865 8 жыл бұрын
je me rapele de ma grand mere
@KenedySakwa
@KenedySakwa 3 ай бұрын
It makes me remember my parents back in 1990😪😪
@japhetlobulu3968
@japhetlobulu3968 11 жыл бұрын
si wewe me mwenyewe nakumbaka ndo wimbo nilianza kuujua utotoni mangu
@clifforina8115
@clifforina8115 9 жыл бұрын
message still relevant...30 plus so years...wabarikiwe sana hao waimbaji kule wako
@nicksonjk8479
@nicksonjk8479 7 жыл бұрын
2016 the music is still uptodate. so much blessed n absolutely inspired to learn a guiter.
@zacharymasira9591
@zacharymasira9591 9 жыл бұрын
In fact its like parents trying to caution and advice. A very good song.
@johnkiambi
@johnkiambi 11 жыл бұрын
Fabulous song. Very touching. Takes me back in time to the days of ananda Sakwa. Does he still exist?
@gideonmandale4237
@gideonmandale4237 Жыл бұрын
Yes he is still alive
@kelvinmutinda431
@kelvinmutinda431 7 жыл бұрын
wimbo mzuri sana na unabariki sana
@erickzakaria5506
@erickzakaria5506 8 жыл бұрын
Asante sana mungu wabariki kokote mriko
@cleverchristopher9403
@cleverchristopher9403 4 жыл бұрын
2020 any one good gospels songs
@fidelajackson2723
@fidelajackson2723 Жыл бұрын
Amen,Amen,Amen.
@patsonnzogoro-sh7yb
@patsonnzogoro-sh7yb 9 ай бұрын
Mungu awatunze uko mliko
@amosmogarenyangau1767
@amosmogarenyangau1767 8 жыл бұрын
Good song.
@allenmwaikambo9186
@allenmwaikambo9186 Жыл бұрын
I do remember on those old good days 1990's
@Wakereu
@Wakereu 9 жыл бұрын
the softest old music that sooth the heart.wonderful message.Thanks to the Ulyankulu choir,God bless you!
@kilonzokithuku8406
@kilonzokithuku8406 8 жыл бұрын
Old is Gold
@collinsngeno8044
@collinsngeno8044 10 жыл бұрын
thank you GOD for such a wonderful message
@rossettereborn240
@rossettereborn240 2 жыл бұрын
God bless you mama,you have an amazing voice
@judithchalamanda3152
@judithchalamanda3152 Жыл бұрын
Hila Hawa saa hzi watakuwa wazee Mimi wakati nasikiliza nilikuwa mdogo
@mafanikiotv239
@mafanikiotv239 9 жыл бұрын
HAKIKA NI UJUMBE MWEMA SANA
@jjjohnombuki7635
@jjjohnombuki7635 Ай бұрын
Hizi ndio nyimbo si za siku hizi unasikia mwimbaji anaanza kwamba "ni bahati Tena"
@SaidTaimur
@SaidTaimur Ай бұрын
Hata mimi yanikumbusha miaka mingi mno.
@cyrusnjuguna877
@cyrusnjuguna877 3 жыл бұрын
Great blessed praises to God , of All times . God bless each and every team members.
@victoriamwende3670
@victoriamwende3670 9 жыл бұрын
God bless these singers
@lazaroussingogo4566
@lazaroussingogo4566 7 жыл бұрын
i love this song
@imathamjesse2702
@imathamjesse2702 9 жыл бұрын
thank you for sharing this, ina nikumbusha mbali sana
@ictcentrepersonnel855
@ictcentrepersonnel855 8 жыл бұрын
jst a nice jod done
@katafunuwatowa9646
@katafunuwatowa9646 4 жыл бұрын
Is really happened now may God help as
@user-bk9ps3rj2p
@user-bk9ps3rj2p 5 ай бұрын
Wimbo huu unanibariki Sana mungu awahifadhi sana
@johnmghanga2366
@johnmghanga2366 4 жыл бұрын
Who is listening 2020
@madefukingee3566
@madefukingee3566 4 жыл бұрын
Tuko wengi
@pacyongalo703
@pacyongalo703 8 жыл бұрын
am also listening in 2016,i love the song
@japhetlobulu3968
@japhetlobulu3968 11 жыл бұрын
hv naomba nikulize hv hawa wana kwaya bado wapo hai kwel mana wakitambo sna
@frankkinyaiya.8217
@frankkinyaiya.8217 2 ай бұрын
Bado wapo baadhi kama uyo mama alieimba hapo anaitwa JOVITA NYANDU, alisema kuna baadhi MUNGU amewachukua, wengine walirudi kweny nchi zao, wengine waliolewa sehemu mbalimbali
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Palikuwa na Mtu
7:07
Siro Jack
Рет қаралды 570 М.
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Kwa Viumbe Vyote
4:24
Siro Jack
Рет қаралды 479 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 57 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН
Nuhu
4:56
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 472 М.
nkinga cristian choil sauli
5:16
oscar manimb
Рет қаралды 16 М.
Samson Mnadhiri
6:52
MAPIGANO ULYANKULU RD22 KWAYA
Рет қаралды 4,9 М.
Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Yesu Alipokuwa Ameketi
6:37
Siro Jack
Рет қаралды 192 М.
Kwaya Ya Vijana KKKT Mabibo Nijaposema Kwa Lugha
6:49
Wyldpytch Rekords / 51 Lex Records
Рет қаралды 245 М.
AYUBU
5:04
ASTUDIOS TZ
Рет қаралды 222 М.
Malohat
3:35
Xamdam Sobirov - Topic
Рет қаралды 1,2 МЛН
Aq Koilek
2:51
Algyt - Topic
Рет қаралды 118 М.
Жандос ҚАРЖАУБАЙ - Ауылымды сағындым (official video) 2024
4:25
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 62 МЛН
KeshYou x Snoop Dogg - Forever Sunday (Official Music Video)
3:06
BM PRODUCTION
Рет қаралды 178 М.
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54