No video

KAZI NGUMU NILIZABULIWA KIBAO KAZINI | SIKU YA KWANZA TUNAKUTANA NILIMLAZA CHINI SIKUA NA PAKULALA

  Рет қаралды 18,697

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

Күн бұрын

Norbert ameeleza safari ya maisha yake kutoka Bongo kuingia Marekani kimasomo
Ambapo yeye ni mwanasheria lakini aliingia marekani kusomea Muziki ili kuendeleza talanta yake ya muziki
Lakini alipofika mambo yalienda ndivyo sivyo ikabidi ajiunge na kazi za kuosha vyombo, kuendesha na kufanya kazi za care ambapo alikutana na changamoto ya kazi ya kupigwa kazini.
Sasa anafanya kazi ya Muziki kama ilivyokua ndoto yake, na ameoa African American.
Thank you Norbert for allowing this to be online
www.oda.international

Пікірлер: 75
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Instagram: min_norbert_joseph
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 ай бұрын
Shukrani
@omanhh2875
@omanhh2875 Ай бұрын
Mambo vp dada
@zabibukasele4305
@zabibukasele4305 3 ай бұрын
Kaka ana Hofu ya Mungu NA mchapa kazi kitambo. Hachagua kazi. Anajitambua atafik mbali Sana. Bi Mkubwa wake ameleaaa kwa vitendo. Big up mama Norbert
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Tumpe Maua Mama 💐
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 ай бұрын
Kaka anajitambua sana atafika mbali. Nimependa vile ana moyo wa kushukuru kwa kila aliyemshika mkono kwa nukta moja. Big up young man. Na muomba Mungu aniongezee moyo wa shukrani
@zainabsibuma-omary7061
@zainabsibuma-omary7061 3 ай бұрын
Kijana ana heshima na anajielewa na anakumbuka kutoa shukran sana, safi sana. Mazungumzo mazuri. Una bahati kupata fursa ya kufanyiwa interview bila kulipia fee huo ubalozi
@husnangairi184
@husnangairi184 3 ай бұрын
Sana, God bless his heart
@anociatafungameza
@anociatafungameza 2 ай бұрын
Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Asante kaka kwa kulijua hilo, kweli mtoto mlee katika njia impasayo nae hataiacha hata atakapokiwa Mzee. Big up kwa wazazi wako pia. Wamekilea ktk njia za kumjia Mungu.
@AdamBabalao
@AdamBabalao 3 ай бұрын
Uyoo ametisha ndugu yetu wewe nimwana alakati salut dada yao
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 3 ай бұрын
Mambo shena , hongera kwa kazi yako zuri, huyu kaka na roho nyeupe Sana ndo maana anafakiwa, hongera Sana mdogo wangu ,Mungu abariki ndoa yetu mbarikiwe mtoto was kikie na. Wakiume
@komboko4143
@komboko4143 3 ай бұрын
Hilo uamifu ni swala la kwanza katika maisha ya binaadam big up Bro umeongea point muhim sana.
@selemanmniko1158
@selemanmniko1158 3 ай бұрын
Big nakupa hongera make wewe ni mwanzi sana sana mungu akupe kibali ndoa yako ifike miaka 60 . SELEMAN CHARLES MNIKO nipo mwanza tanzania
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 ай бұрын
Community college ni sawa na Chuo kinachotoa Diploma mfano CBE Chuo cha Biashara, au DSA ni vyuo vinavyotoa Diploma inayokuwezesha kuingia University kupata Degree, ukimaliza Community College miaka miwili unatunukiwa Associate Degree (sawa na Diploma) Wengine wanaenda Community college sababu ufaulu wao hautoshi kuingia University unaanzia Community kusafisha ufaulu ili ukubalike University, ila tofauti ukikubaliwa kuingia University ukiwa umemaliza community college University wanahesabu masomo yako na wanakuanzisha Mwaka wa Tatu wa University na utasoma na kumaliza degree yako
@johnriwa2854
@johnriwa2854 3 ай бұрын
The most fascinating story ana chekesha ubarikiwe bro 👏
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
He is amazing 🥰🙏
@jescanicodemus
@jescanicodemus 3 ай бұрын
Ana heshima mno sanaa aseee
@marthapeter8246
@marthapeter8246 3 ай бұрын
Kweli mnakula vizuri mwanangu😂😂
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 ай бұрын
Nimemuelewa vizuri na nimecheka sana wifi siku ya kwanza kulazwa chini😂na asiyetaka kukusamehe apambane mwenyewe
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 Ай бұрын
Nimemuelewa sana huyu baba ana nondo sana🎉
@judithetaeta2594
@judithetaeta2594 3 ай бұрын
Hongera mshikaji wangu ongera umechakalika Sana MUNGU akubariki Zaidi
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 ай бұрын
Kijana mdogo lakini kasema maneno makubwa yanayo eleweka. Siyo maneno ya kiwazimu. Mzungu Mzungu.
@mariansumari2179
@mariansumari2179 2 ай бұрын
Ya kiwazimu yakoje 😅😅
@kaupigwe
@kaupigwe 3 ай бұрын
We get you 100%
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 3 ай бұрын
Norbat Asante sana, nakuomba kitu kimoja, mimi pia niko USA angalia chakula kula kiasi, usipate pressure, sukari, na cholesterol, tunakupenda sana sana.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
Wewe naye muache mwezio ale mpaka apasuke😂
@jescanicodemus
@jescanicodemus 3 ай бұрын
@@aishaarusha894😂😂😂😂😂 eti jmn ananichekesha uyo eti nipo marekani sijui nin na nn 😂😂
@anetkileo2461
@anetkileo2461 3 ай бұрын
Kipapai Yani hii ni kweli kabisaaaa
@FredyIsseme
@FredyIsseme 2 ай бұрын
Namjua alikua anatuimbia pale kariaaako morning gro
@ashaidei5680
@ashaidei5680 3 ай бұрын
Norbert Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk njia zako zote.🙏🙏🙏🙏
@giboncebarnabas9667
@giboncebarnabas9667 3 ай бұрын
Safi sana Shena, leo nimecheki all of the interviews na zote ziko poaaaa sana. Kudos!
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Shukran 🙏
@PtransJulius
@PtransJulius Ай бұрын
apo sawa nawapata kutoka south Africa.
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 3 ай бұрын
Kweli kabisa❤ nimependa sana kaka yangu achosema
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 Ай бұрын
Huyu kaka ana nidhamu sana 🎉
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 3 ай бұрын
Nice interview da shena na kaka Nobert 💐🥰🌹♥️
@klaussteiner94
@klaussteiner94 3 ай бұрын
Hiiii dunia hiii aisee hapana...watu wanapiga kimbola balaaaa...cheki mwamba kafika zake state lakini maraia bado wanamfuatilia godamn it🙌🙌
@PiusBitakweite
@PiusBitakweite 3 ай бұрын
Sister ongera kwa kazi nzuri uyu kijana ana moyo mweupe naomba namna ya kupata msaada kasema amewai kuendesha maroli ndo fani yangu na pasport ninayo.
@mazruyonlinetv2423
@mazruyonlinetv2423 3 ай бұрын
Story nzuri sn kiukweli.
@shamzone388
@shamzone388 3 ай бұрын
Shena umetuletea kijana mkweli na anajitambua sana Mapenzi na maelewano ndio muhimu
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 3 ай бұрын
Nimependa story, anaongea vizuri❤❤❤❤
@heritoomasoud363
@heritoomasoud363 3 ай бұрын
Mungu yu mwema awalinde zaidi ndoa yenu
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 3 ай бұрын
Aah kumbe hy ndo maana ya mtoto kuzaliwa amefunga mkono,I get you bro
@olivernyange2349
@olivernyange2349 3 ай бұрын
Waoo umekatika kidogo
@esterMahenge
@esterMahenge 2 ай бұрын
😂😂😂😂apo kwenye kula
@mohrecaps
@mohrecaps 3 ай бұрын
Shena leo umenifurahisha sana umeleta mwanaume hongera dada
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Mbona wanaume wanakuja sana kaka Hujaona video za wanaume ?
@mohrecaps
@mohrecaps 3 ай бұрын
Sikuona dada ila nitajitahidi niangalie video zote shukran sana dada kwa watu unaotuletea wanatupa sana moyo kufika abroad
@komboko4143
@komboko4143 3 ай бұрын
Dahh hiyo ya mwisho nimeipenda sana kama hutaki kumisamehee pambana nalo😂😂😂 Jamaa anakiona sana mm nilishamsamee na kumuomba samahan ila jamaa hataki ila ujumbe apambane nalo❤😂😂😂
@kaupigwe
@kaupigwe 3 ай бұрын
Correct kabisa.
@irenewile
@irenewile 3 ай бұрын
Shule amesoma mdogo wangu
@leonidammbone2405
@leonidammbone2405 3 ай бұрын
Wah Leo mtambo mmbaya kweli ana hung sana
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 3 ай бұрын
sikujua watanzania tunajulikana kwa wizi😢😢😢😢
@benardmsafiri4648
@benardmsafiri4648 3 ай бұрын
Big Up 👊🏽
@mazruyonlinetv2423
@mazruyonlinetv2423 3 ай бұрын
Hio kazi ya jumatatu hadi jumamosi hapa UK tunaita care sleep in.
@user-ky2ru7hl9j
@user-ky2ru7hl9j 3 ай бұрын
Sàuti inakwama sana.
@kevinmary7129
@kevinmary7129 3 ай бұрын
Anza kujiombea binafsi
@ESTHERKamala-qp7gi
@ESTHERKamala-qp7gi 3 ай бұрын
Naona anakatika katika
@veronicankenja9061
@veronicankenja9061 3 ай бұрын
Dada Shena .Network ni tatizo,
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 ай бұрын
Young Brother… vipi lile begi lako lililo potea uliliona Tena??? 😅
@ashumohd2192
@ashumohd2192 3 ай бұрын
28:01 kuendelea🤣🤣
@annatemu4488
@annatemu4488 3 ай бұрын
Kaka mcheshi😅😅😅
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 ай бұрын
Mtanzania atakuibiya 😂😂😂😂😂
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 3 ай бұрын
Hutaki kunisamehe pambana mwenyewe 😅😅😅
@ZuwenaSinde-hj9qg
@ZuwenaSinde-hj9qg 3 ай бұрын
Kama hutaki kunisamehe 😅😅 pambana nayo
@neemasalema1546
@neemasalema1546 3 ай бұрын
Sauti inakatakata sijui ni mtandao
@JacoGityamwi
@JacoGityamwi 3 ай бұрын
😂😂
@user-ky2ru7hl9j
@user-ky2ru7hl9j 3 ай бұрын
Hatusikii
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 ай бұрын
Shena umefurahi kwa story,nimefurahi kukuona na furaha
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Thanks dear Kaka kaongea ukweli unaofurahisha pia
@JaniferMichael
@JaniferMichael 3 ай бұрын
Sauti ndogo
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
MBONA PETE HATUIONI JAMAANI ?
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 3 ай бұрын
Hivi Pete ni lazima ?
@immaculateakilimali7220
@immaculateakilimali7220 3 ай бұрын
Wabongo bwana,sasa we unamuulizia Pete ya nini?tatizo tunakariri sana maisha,mwenzio kaishatengeneza maisha yake,kafunga ndoa yake,kasajili document zake,na anatambulika na serikali ya marekani ni mwanandoa halali,we unauliza pete hahahaha.
@upendomshani3932
@upendomshani3932 3 ай бұрын
Afu kuna ngongonda atabak kudai ODA haina mafundisho 😏😏
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 7 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
NILINYIMWA VISA NA NDOA YANGU MKONONI | CHANGAMOTO NILIZOPITIA NA NAMNA NILIVYOZIKABILI
1:04:45
NDOA NYINGI ZA INTERRACIAL ZINAVUNJIKA |NIMESOMA SHERIA MAREKANI | UTAMADUNI NI CHANGAMOTO
1:45:16
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
SHIJA tv
Рет қаралды 4,3 М.
MY BOSS  ( PENZI LA BOSS WANGU ) MR C.E.O
4:14:45
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 325 М.
USHUHUDA | Jinsi Vijana Hawa Walivyofanikiwa |  Rev. Dr. Eliona Kimaro
38:45
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 208 М.
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
57:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 73 М.
RAFIKI AKAWA ADUI BAADA YA KUJUA MUME YUPO UK |MTANDAO UNAVYOSAIDIA KUANZISHA MAHUSIANO
1:35:30