Usalama umeendelea kuyumbishwa na vijana mjini Mombasa

  Рет қаралды 24,279

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

4 жыл бұрын

Licha ya mageuzi katika idara ya Usalama mjini Mombasa, magenge yameendelea kuzuka hasa katika maeneo ya Kisauni na Nyali. Vijana wenye umri kati ya miaka 13 Hadi 18 ndio wanaodaiwa kushiriki uvamizi huku makundi hayo yakibadili mbinu. Je nini kinachochangia kuzuka tena Kwa makundi haya.

Пікірлер: 42
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 4 жыл бұрын
Msa inahitaji wale polisi wa Eastleigh mhalifu akipatikana kanyaga kichwa piga risasi mpaka akufded.
@annaswedy5712
@annaswedy5712 4 жыл бұрын
Haha weee
@almubarak3108
@almubarak3108 4 жыл бұрын
Wanahitaji mpangani 6...
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 4 жыл бұрын
mmubarak kabisa
@SophhhiaOnono
@SophhhiaOnono 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@naimastadi3133
@naimastadi3133 4 жыл бұрын
Exactly
@mnyalumykt1980
@mnyalumykt1980 4 жыл бұрын
Hawa watoto wanajificha sehemu ya utange.... police washirikiane na wakazi wa utange wawape information ya hawa watoto.....mtaa wa maweni utange ndo waliko jificha
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
Asante Sana mnyalu
@briandeflugel9055
@briandeflugel9055 2 жыл бұрын
Mzee Najib umeongea point kabisa
@nancynyagaka4432
@nancynyagaka4432 4 жыл бұрын
Hawa watoto ni watu tunawajua wengine ni vile mtu uwesi msema hila msa akuna rahaa ikifika saa moja rohoo mkononi yaani ni mungu 2
@topadeng8222
@topadeng8222 4 жыл бұрын
Anayeshikwa aauliwe .....
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 4 жыл бұрын
Brings marua back Brings marua back Brings marua back
@mbithepauline3686
@mbithepauline3686 4 жыл бұрын
Msa imegeuka na kuwa kama Nairobi,,, khee,, jameni Mola tulinde
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 4 жыл бұрын
Upuuzi mkubwa baada ya kuua munapata faida gani
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 4 жыл бұрын
Wapigwe risasi
@gaddafijnrmuammar
@gaddafijnrmuammar 4 жыл бұрын
Wakiuliwa wazazi utawaskia wakilaumu idhara ya usalama
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
CC TV NGAPI WATU HUVUNJA
@elizabethbusche2572
@elizabethbusche2572 4 жыл бұрын
Joho.! Is a joke. Next time mombasa vote wisely.
@kareemalamoody6345
@kareemalamoody6345 4 жыл бұрын
Uwa wote Hao
@achkobekudevela9563
@achkobekudevela9563 4 жыл бұрын
Ukosefu Waa ajira unachangia vijana hawana kazi...
@officialifruit_x7549
@officialifruit_x7549 4 жыл бұрын
Joho ndio anaongoza haya magengi ya mauwaji hakuna mwengine uhakika uwazi
@uncensoredbluehawk6335
@uncensoredbluehawk6335 4 жыл бұрын
Haki Africa mnangoja nini?safisheni area
@technician139
@technician139 4 жыл бұрын
Na venye nsis wako wengi mombasa kazi yao ni gani
@francismay1620
@francismay1620 4 жыл бұрын
Awa wanaitaji risasi ya kichwa akuna la mwanangu, mwanangu c muhuni kitu gani
@davyndila1241
@davyndila1241 4 жыл бұрын
DCI mwaga CID coast & all this kind of criminals give an authorization "shot on the spot". It will give good lesson to many. No need court cases.
@Purity493
@Purity493 4 жыл бұрын
Omg!!!!
@kelvinchabs6702
@kelvinchabs6702 4 жыл бұрын
Wamrudishe marwa
@SophhhiaOnono
@SophhhiaOnono 4 жыл бұрын
Hapa lazima wakazi waungani ndio hili tatizo litapunguwa
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 4 жыл бұрын
Mm naona kuna watu wakubwa ndio wanawaongoza tena inaonyesha nipolisi maana mtu wakawaida hakuna
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 4 жыл бұрын
Hawa polisi wasipokee misgahara tuu waekwe kila mahali huko mombasa wasilale pilisi tena pia inawezekana kuna polisi pia wamo kwahio nawanajuwa kama mangenge watavamia
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 4 жыл бұрын
Wachakufunguliwa saa kumi na mbili tuu wangefunguwa saa moja kweupee
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 4 жыл бұрын
Piga risasi
@danielmacharia5945
@danielmacharia5945 4 жыл бұрын
Magenge haya yanafadhiliwa na nani,tuna walinda usalama,jee mkono wa sheria uko wpi? mlipa kodi analipa ushuru,vikosi vya usalama viko wapi,Kenya is a peaceful country,pls don't fool us.
@gaddafijnrmuammar
@gaddafijnrmuammar 4 жыл бұрын
Hahaaa.... Mtachinjwa sana....
@gaddafijnrmuammar
@gaddafijnrmuammar 4 жыл бұрын
@Mansoor Nandlal askari wakifanya kazi yao mwalalama.... Ona sasa ukiskia imekuuma tafta humans right
@asmaabugalala1856
@asmaabugalala1856 4 жыл бұрын
Joho kazi yake nini
@tureali7061
@tureali7061 4 жыл бұрын
Magenge yakiua ama kujeruhi, lawama 'polisi wanalala'. Mwanagenge akipigwa risasi na polisi, MUHURI, KNCHR,IPOA wanapiga nduru eti polisi kaua 'vijana wetu' kiholela.
@wandisha6097
@wandisha6097 4 жыл бұрын
Kweli sijui wakenya Wanataka nini
@anthonyodeba4137
@anthonyodeba4137 4 жыл бұрын
Double standards on the sides of human rights groups.
@AhmedAli-jm5yu
@AhmedAli-jm5yu 4 жыл бұрын
Ni magenge kutoka bara especially central ndio wanavuruga coast
@awkamau8797
@awkamau8797 4 жыл бұрын
NA JOHO NI BBI USIKU NA MCHANA
@fauzishma8033
@fauzishma8033 4 жыл бұрын
Kwani Joho ni police atae kuja mitaani kuatafuta hao majambazi wacha chuki zako
Familia 2 Mombasa zaelezea jinsi walivyopotea jamaa zao
6:13
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 17 М.
Rais Ruto akoselewa vikali kuhusu uteuzi wa baraza la mawaziri
4:40
KTN News Kenya
Рет қаралды 48 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 113 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 129 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Mkasa wa Ferry Mombasa
15:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1 МЛН
Polisi wadaiwa kuwatesa watu watatu waliokamatwa Lamu
12:55
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 91 М.
SOKO LA MARIKITI NI KIVUTIO CHA WATALII MOMBASA
3:05
VOA Swahili
Рет қаралды 1,6 М.
Mshukiwa wa wakali kwanza auawa Mombasa
6:21
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
Mwanafunzi mmoja wa chuo cha TUM Mombasa ameripotiwa kupotea
6:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 44 М.
BI MSAFWARI | Mapenzi katika ndoa hukolezwa vipi?
27:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 43 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН