Рет қаралды 514
Kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Noverth, inayowakabili washtakiwa tisa, imeahirishwa kwa mara ya tatu hii leo katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Bukoba na huku taratibu za kuihamishia mahakama kuu zikiendelea.
#AzamTVUpdates
Wahariri || Tuya Ibrahim, @moseskwindi