🚨Kesi ya Simba na coastal Union imesikilizwa sakata la Lawi,Yaliyojitokeza kwenye kesi

  Рет қаралды 9,072

mtanange tv

mtanange tv

Күн бұрын

Пікірлер: 12
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 3 ай бұрын
Masharti ktk mkataba huo yalikuwa zaidi ya malipo. Kulikuwa na Sharti pia la Coastal Union kumpeleka mchezaji Simba akapimwe afya kabla ya mara tu baada ligi keisha. Pamoja na kuwa sehemu kubwa ya malipo Lawi hawakumpeleka kupima afya.Sharti hilo hamlizungumzii. Ninyi mnajidai ni wajuzi wa kila kitu na kuwahukumu Simba kuwa wanamakosa lakini kiukweli hamjui chochote zaidi ya uandishi wa habari. Ndiyo maana kesi hamkuletewa ninyi muamue bali zimefuataa taratibu na sheria zilizopo. Mnapaswa kuwa wasikilizaji kama sisi na si kuwa waamuzi na kuwasema wenzenu kwamba wako unprofessional.
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 3 ай бұрын
Hili ndo tatizo la club ndogo kujifanya chawa wa timu nyingine kubwa huwa mnawaachia ushindi waachieni na mchezaji
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 3 ай бұрын
Miye ni mwananchiiiiiiiii …. Ila makolo wana haki na mchezaji huyo ….. Ila kwenye kesi hii watashindwa kutokana na viongozi wa TFF wana vina saba na Coastal union …!! Msisahau huyo mchezaji ata kadi nyekundu ya Lawi ilifutwa dhidi ya YANGA …!!
@JumaSuleiman-np3eb
@JumaSuleiman-np3eb 3 ай бұрын
Wachambizi bhana
@PrinceMgambwa-h7r
@PrinceMgambwa-h7r 3 ай бұрын
Mbona hamjawahoji viongozi wa simba
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 ай бұрын
Ukisema Tamaa hata wachezaji pia wanahusika. Uzuri ni kwamba TFF sio ccm wanaweza kusimamia haki,Mchezaji anaweza akawa kajikanyaga na Costol pia wamejikoroga ila kwa Simba hawana hata doa,wajitathmini kisha wajilipue wenyewe kumaliza huu mchongo
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
Katibu wa Coastal Union yupo smart sana😂
@drallan6879
@drallan6879 3 ай бұрын
ulizeni lawyers tamaa ni watu wa coastal
@drallan6879
@drallan6879 3 ай бұрын
huyu mzee wa coastal hajitambui case wamepoteza
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 ай бұрын
Hawa wazee hawakupaswa kufika huku 7bu wanatia huruma mno ilibidi wasije mtandaoni ili simba wawahurumie na kuwaachia 7bu ni mchezi muhimu kucheza kwao,pengine hata wangempewa kwa mkopo 7bu Simba kwa kikosi chake sasa ataanzia banch au kucheza half tu. Kwann hawa wazee wamechagua ubabe na wanaijua sheria vema watungaji wao na wakanyagiaji wao,siku wao wakija kuvaa viatu vya Simba itakuwaje?
@silasjacob-j2l
@silasjacob-j2l 3 ай бұрын
acha ujinga kwahio pesa mliyopokea toka simba mlikopeshwa au?
@drallan6879
@drallan6879 3 ай бұрын
wameingia mtegoni mwa panya
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН
2 MAGIC SECRETS @denismagicshow @roman_magic
00:32
MasomkaMagic
Рет қаралды 16 МЛН
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 14 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 125 МЛН
MKUTANO WA SIMBA MO AMEKAMILISHA USAJIRI WA KIZUMBI DEAL DONE
3:59
The Day Ronaldinho Became a Barcelona Legend
15:14
BR7 Football
Рет қаралды 5 МЛН
KUMEKUCHA KITIMA AMJIBU ASKOFU SHOO "TUSIWE WATUMWA WA MAOKOTO"
8:05
15 year old Cole Palmer was INSANE!
4:20
J9Studio
Рет қаралды 703 М.
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 162 МЛН